bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 22 | ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko, na mbingu
2 2, 29 | kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu,
3 2, 30 | Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema:
4 2, 36 | nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na
5 2, 61 | vile vinavyo mea katika ardhi, kama mboga zake, na matango
6 2, 71 | asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji mimea,
7 2, 107| ana ufalme wa mbingu na ardhi? Nanyi hamna mlinzi wala
8 2, 117| ndiye Muumba wa mbingu na ardhi pasina ruwaza; na anapo
9 2, 164| katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku
10 2, 164| na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na
11 2, 164| kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo Ishara
12 2, 168| Kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala
13 2, 267| tulivyo kutoleeni katika ardhi. Wala msikusudie kutoa vilivyo
14 3, 83 | kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye
15 3, 129| mbingu na vilivyomo katika ardhi. Yeye humsamehe na humuadhibu
16 3, 133| upana wake ni mbingu na ardhi, iliyo wekwa tayari kwa
17 3, 180| Na urithi wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu. Na
18 3, 189| Na Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; na
19 3, 190| katika kuumbwa mbingu na ardhi na kukhitalifiana usiku
20 3, 191| hufikiri kuumbwa mbingu na ardhi, wakisema: Mola wetu Mlezi!
21 4, 42 | wakamuasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe juu yao. Wala
22 4, 97 | tunaonewa. Watawaambia: Kwani ardhi ya Mwenyezi Mungu haikuwa
23 4, 132| mbingu na viliomo katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu anatosha
24 4, 171| katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa
25 5 | Subhanahu juu ya mbingu na ardhi, na ukamilifu wa uwezo wake. ~
26 5, 17 | na wote waliomo katika ardhi? Na mamlaka ya mbingu na
27 5, 17 | Na mamlaka ya mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake
28 5, 18 | Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye. ~~~~~~
29 5, 26 | watakuwa wakitanga-tanga katika ardhi. Basi wewe usiwasikitikie
30 5, 31 | kunguru anaye fukua katika ardhi ili amwonyeshe vipi kumsitiri
31 5, 40 | anao ufalme wa mbingu na ardhi? Humuadhibu amtakaye, na
32 5, 64 | kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi
33 5, 97 | mbinguni na yaliyomo katika ardhi, na ya kwamba Mwenyezi Mungu
34 5, 120| Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Naye ni Muweza
35 6, 1 | Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza.
36 6, 12 | katika mbingu na katika ardhi? Sema: Ni vya Mwenyezi Mungu.
37 6, 14 | ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha
38 6, 35 | njia ya chini kwa chini ya ardhi, au ngazi kwendea mbinguni
39 6, 38 | Na hapana mnyama katika ardhi, wala ndege anaye ruka kwa
40 6, 59 | Wala punje katika giza la ardhi, wala kinyevu, wala kikavu
41 6, 71 | ani wamempumbaza katika ardhi, amebabaika? Anao marafiki
42 6, 73 | ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Na anaposema:
43 6, 75 | Ibrahim ufalme wa mbingu na ardhi, na ili awe miongoni mwa
44 6, 79 | kwa aliye ziumba mbingu na ardhi, wala mimi si miongoni mwa
45 6, 101| ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje
46 7 | kutupia jicho kwenye mbingu na ardhi na viliomo ndani yao, na
47 7, 10 | hakika tumekuwekeni katika ardhi, na tumekujaalieni humo
48 7, 24 | nyinyi maadui. Na kwenye ardhi itakuwa ndio makao yenu
49 7, 54 | Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha
50 7, 58 | 58. Na ardhi njema, yenye udongo wa rutba,
51 7, 58 | idhini ya Mola Mlezi wake. Na ardhi mbaya haitoi ila mimea michache,
52 7, 73 | Basi mwachieni ale kwenye ardhi ya Mwenyezi Mungu, wala
53 7, 78 | 78. Basi tetemeko la ardhi likawanyakua, na kulipo
54 7, 91 | 91. Basi tetemeko la ardhi likawanyakua, na wakaamkia
55 7, 96 | kutoka mbinguni na katika ardhi. Lakini walikanusha basi
56 7, 100| hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba
57 7, 128| Mungu, na subirini. Hakika ardhi ni ya Mwenyezi Mungu. Naye
58 7, 137| mashariki na magharibi ya ardhi tuliyo ibariki. Na likatimia
59 7, 158| Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Hapana mungu ila Yeye anaye
60 7, 168| Na tuliwafarikisha katika ardhi makundi makundi. Wako kati
61 7, 185| hawatazami ufalme wa mbingu na ardhi, na vitu alivyo viumba Mwenyezi
62 7, 187| Ni nzito katika mbingu na ardhi. Haikujiini ila kwa ghafla
63 9, 25 | lakini haukukufaeni kitu. Na ardhi ikawa dhiki kwenu juu ya
64 9, 36 | tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu.
65 9, 38 | Mungu, mnajitia uzito katika ardhi? Je, mmeridhia maisha ya
66 9, 74 | Akhera. Na wala hawana katika ardhi mlinzi wala wa kuwanusuru. ~~~~~~
67 9, 116| anao ufalme wa mbingu na ardhi; huhuisha na hufisha. Nanyi
68 10, 3 | ambaye ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita, na ametawala
69 10, 6 | Mwenyezi Mungu katika mbingu na ardhi, zipo Ishara kwa watu wanao
70 10, 14 | mahala pao baada yao katika ardhi ili tuone jinsi mtakavyo
71 10, 18 | katika mbingu wala katika ardhi? Subhanahu wa Taa'la! Ametakasika
72 10, 24 | yakachanganyika na mimea ya ardhi wanayo ila watu na wanyama.
73 10, 24 | ila watu na wanyama. Mpaka ardhi ilipo kamilika uzuri wake,
74 10, 31 | kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Au ni nani anaye miliki
75 10, 55 | katika mbingu na katika ardhi ni vya Mwenyezi Mungu. Jueni
76 10, 61 | uzito hata wa chembe katika ardhi na katika mbingu, wala kidogo
77 10, 68 | katika mbingu na katika ardhi ni vyake peke yake. Nyinyi
78 10, 99 | amini wote waliomo katika ardhi. Je, wewe utawalazimisha
79 10, 101| yaliomo mbinguni na kwenye ardhi! Na Ishara zote na maonyo
80 11, 6 | HAKUNA mnyama yoyote katika ardhi ila riziki yake iko kwa
81 11, 7 | ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Na Kiti
82 11, 20 | hawawezi kushinda katika ardhi, wala hawana walinzi isipo
83 11, 44 | 44. Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe
84 11, 61 | ndiye aliye kuumbeni katika ardhi, na akakuwekeni humo. Basi
85 11, 64 | Basi mwacheni ale katika ardhi ya Mwenyezi Mungu; wala
86 11, 107| muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola
87 11, 108| muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola
88 11, 123| vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo yote
89 12 | na kuwaweka vyema katika ardhi maadamu wanaishika Haki
90 12, 101| Ewe Muumba wa mbingu na ardhi! Wewe ndiye Mlinzi wangu
91 12, 105| ishara ngapi katika mbingu na ardhi wanazo zipitia, na hali
92 12, 109| mijini. Je! Hawatembei katika ardhi wakaona jinsi ulivyo kuwa
93 13, 3 | Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na
94 13, 4 | 4. Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana,
95 13, 15 | viliomo mbinguni na katika ardhi vinamsujudia Mwenyezi Mungu
96 13, 16 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu. Sema:
97 13, 17 | wafaa watu hubakia kwenye ardhi. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu
98 13, 18 | navyo vyote viliomo katika ardhi na mfano wa hivyo, bila
99 13, 31 | endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu, (basi
100 13, 33 | yale asiyo yajua katika ardhi; au ni maneno matupu? Bali
101 13, 40 | Hawakuona kwamba tunaifikia ardhi tukiipunguza nchani mwake?
102 14, 2 | viliomo katika mbingu na ardhi. Na ole wao makafiri kwa
103 14, 10 | Mungu, Muumba mbingu na ardhi? Yeye anakuiteni apate kukufutieni
104 14, 14 | Na tutakuwekeni katika ardhi baada yao. Haya ni kwa anaye
105 14, 19 | Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki? Akitaka atakuondoeni
106 14, 26 | muovu, ulio ng'olewa juu ya ardhi. Hauna imara. ~~~~~~
107 14, 32 | ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi, na akateremsha maji kutoka
108 14, 38 | kwa Mwenyezi Mungu katika ardhi wala katika mbingu. ~~~~~~
109 14, 48 | 48. Siku itapo geuzwa ardhi iwe ardhi nyengine, na mbingu
110 14, 48 | Siku itapo geuzwa ardhi iwe ardhi nyengine, na mbingu pia.
111 15 | sayari ziilizo hifadhiwa, na ardhi iliyo tandikwa, na kukunjuliwa,
112 15, 19 | 19. Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka
113 15, 85 | Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake
114 16 | ya kuumba kwake mbingu na ardhi. Kisha kawabainishia watu
115 16, 3 | 3. Ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Ametukuka na wanayo
116 16, 13 | hivi alivyo vieneza katika ardhi vya rangi mbali mbali. Hakika
117 16, 15 | 15. Na kaweka katika ardhi milima ili ardhi isiyumbe
118 16, 15 | katika ardhi milima ili ardhi isiyumbe yumbe nanyi. Na
119 16, 36 | upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho
120 16, 45 | Mungu hatawadidimiza katika ardhi, na haitawafika adhabu kutoka
121 16, 49 | katika mbingu na katika ardhi, tangu wanyama mpaka Malaika,
122 16, 52 | viliomo katika mbingu na ardhi. Na Dini ni yake Yeye daima.
123 16, 65 | mbinguni na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Kwa
124 16, 73 | kutoka mbinguni wala kwenye ardhi, wala hawawezi kitu. ~~~~~~
125 16, 77 | zote za katika mbingu na ardhi ziko kwa Mwenyezi Mungu.
126 17, 37 | 37. Wala usitembee katika ardhi kwa maringo. Hakika wewe
127 17, 37 | Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala kufikia urefu wa milima. ~~~~~~
128 17, 44 | Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake.
129 17, 55 | waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha
130 17, 90 | ututimbulie chemchem katika ardhi hii. ~~~~~~
131 17, 99 | Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
132 17, 102| Mola Mlezi wa mbingu na ardhi ili kuwa ni ushahidi wa
133 18, 7 | tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie
134 18, 8 | tutavifanya vyote vilio juu ya ardhi kuwa kama nchi ilio pigwa
135 18, 14 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi. Hatutamwita mwenginewe
136 18, 26 | zake tu siri za mbingu na ardhi. Kuona kulioje na kusikia
137 18, 40 | hicho chako, na kikageuka ardhi tupu inayo teleza. ~~~~~~
138 18, 45 | yakachanganyika na mimea ya ardhi, kisha hiyo mimea ikawa
139 18, 47 | iondoa milima na ukaiona ardhi iwazi, na tukawafufua -
140 18, 51 | Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi
141 18, 84 | tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila
142 19, 40 | Hakika Sisi tutairithi ardhi na walio juu yake. Na kwetu
143 19, 65 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilivyo baina yake. Basi
144 19, 90 | mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka
145 20 | Taa'la, Mmiliki mbingu na ardhi, Mwenye kujua siri, na kilicho
146 20, 4 | yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu. ~~~~~~
147 20, 6 | mbinguni na viliomo katika ardhi, na viliomo baina yao, na
148 20, 6 | yao, na viliomo chini ya ardhi. ~~~~~~
149 20, 53 | 53. Ambaye amekufanyieni ardhi kuwa tandiko, na akakupitishieni
150 20, 55 | 55. Kutokana nayo (ardhi) tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni,
151 21 | viliomo katika mbingu na ardhi. Na Malaika kila walipo
152 21 | hakika kwenda sawa mbingu na ardhi ni dalili kuwa Muumba wake
153 21 | uumbaji wake wa mbingu na ardhi. Na akabainisha hali ya
154 21, 4 | yasemwayo mbinguni na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye kusikia
155 21, 16 | Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa
156 21, 19 | vilivyomo mbinguni na katika ardhi. Na walioko kwake hawafanyi
157 21, 21 | Au wamepata miungu katika ardhi inayo fufua? ~~~~~~
158 21, 22 | ya shaka hizo mbingu na ardhi zingeli fisidika. Subahana '
159 21, 30 | hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha
160 21, 31 | 31. Na tukaweka katika ardhi milima iliyo thibiti ili
161 21, 44 | ya kwamba Sisi tunaifikia ardhi tukiipunguza ncha zake?
162 21, 56 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi ambaye ndiye aliye ziumba.
163 21, 81 | wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi
164 22, 5 | kuwa anakijua. Na unaiona ardhi imetulia kimya, lakini tunapo
165 22, 18 | mbinguni na viliomo katika ardhi, na jua, na mwezi, na nyota,
166 22, 46 | 46. Je! Hawatembei katika ardhi ili wapate kuwa na nyoyo
167 22, 63 | kutoka mbinguni, na mara ardhi inakuwa chanikiwiti? Hakika
168 22, 64 | mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu
169 22, 65 | amevidhalilisha kwenu viliomo katika ardhi, na marikebu zipitazo baharini
170 22, 65 | mbingu zisianguke juu ya ardhi ila kwa idhini yake. Hakika
171 22, 70 | yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni.
172 23, 18 | kiasi na tukayatuliza katika ardhi. Na hakika Sisi tunaweza
173 23, 71 | zingeli haribika mbingu na ardhi na waliomo ndani. Bali tumewaletea
174 23, 79 | ndiye aliye kuenezeni katika ardhi, na kwake Yeye mtakusanywa. ~~~~~~
175 23, 84 | 84. Sema: Ni ya nani ardhi na viliomo ndani yake, kama
176 23, 112| Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka? ~~~~~~
177 24, 35 | Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama
178 24, 41 | vilivyomo katika mbingu na ardhi, na ndege wakikunjua mbawa
179 24, 42 | Mungu ufalme wa mbingu na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndio
180 24, 55 | atawafanya makhalifa katika ardhi kama alivyo wafanya makhalifa
181 25 | Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Na juu ya utukufu wa utawala
182 25, 2 | wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala
183 25, 6 | siri za katika mbingu na ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe
184 25, 59 | Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa
185 26, 7 | 7. Je! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha
186 26, 24 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa
187 27 | za aliye umba mbingu na ardhi zenye kuthibitisha uwezo
188 27 | Na ikanabihisha hali ya ardhi, na kwamba milima yake inakwenda
189 27, 25 | fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha
190 27, 60 | yule aliye ziumba mbingu na ardhi, na akakuteremshieni maji
191 27, 61 | Au nani yule aliye ifanya ardhi mahali pa kutua, na akajaalia
192 27, 62 | akakufanyeni warithi wa ardhi? Je! Yupo mungu pamoja na
193 27, 64 | kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Je! Yupo mungu pamoja na
194 27, 65 | Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa
195 27, 69 | 69. Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho
196 27, 75 | hakuna siri katika mbingu na ardhi ila imo katika Kitabu kinacho
197 27, 82 | tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa
198 27, 87 | waliomo mbinguni na katika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu.
199 28, 77 | usitafute kufanya ufisadi katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi
200 28, 81 | yeye na nyumba yake katika ardhi; wala halikuwepo kundi lolote
201 29, 20 | 20. Sema: Tembeeni katika ardhi na tazameni jinsi alivyo
202 29, 22 | si wenye kushinda katika ardhi wala katika mbingu. Wala
203 29, 36 | Akhera, wala msende katika ardhi mkifisidi. ~~~~~~
204 29, 37 | basi ukawatwaa mtikiso wa ardhi, wakapambazukiwa ndani ya
205 29, 40 | tulio wadidimiza katika ardhi; na kati yao wapo tulio
206 29, 44 | Mungu ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Kwa hakika katika
207 29, 52 | yaliomo katika mbingu na ardhi. Na wale wanao amini upotovu
208 29, 56 | wangu mlio amini! Kwa hakika ardhi yangu ina wasaa. Basi niabuduni
209 29, 61 | Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi
210 29, 63 | mbinguni, na akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake? Bila
211 30 | Mungu, na watembee katika ardhi wapate kuujua mwisho wa
212 30 | makafiri walio iamirisha ardhi zaidi kuliko walivyo iamirisha
213 30 | ulimwengu katika mbingu na ardhi. Na ikapiga mifano ambayo
214 30, 8 | Mungu hakuumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yake ila
215 30, 9 | 9. Je! Hawatembei katika ardhi wakaona ulivyo kuwa mwisho
216 30, 9 | kuliko wao, na wakaitimbua ardhi na wakaistawisha zaidi kuliko
217 30, 18 | ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri na adhuhuri. ~~~~~~
218 30, 19 | kilicho hai. Na huihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Na
219 30, 22 | zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana ndimi zenu
220 30, 24 | mbinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Hakika
221 30, 25 | Ishara zake ni kuwa mbingu na ardhi zimesimama kwa amri yake.
222 30, 25 | tu, hapo mtatoka kwenye ardhi. ~~~~~~
223 30, 26 | vilivyo mbinguni na katika ardhi. Vyote vinamt'ii Yeye. ~~~~~~
224 30, 27 | mfano bora katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu,
225 30, 50 | Mungu, jinsi anavyo ihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Basi
226 31, 10 | ziona; na ameweka katika ardhi milima ili ardhi isikuyumbisheni;
227 31, 10 | katika ardhi milima ili ardhi isikuyumbisheni; na ametawanya
228 31, 10 | mbinguni, na tukaotesha katika ardhi mimea mizuri ya kila namna. ~~~~~~
229 31, 16 | ndani ya mbingu au ndani ya ardhi, basi Mwenyezi Mungu atakileta.
230 31, 20 | viliomo mbinguni na kwenye ardhi, na akakujalizieni neema
231 31, 25 | Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema:
232 31, 26 | viliomo mbinguni na katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye
233 32 | w., na kuumbwa mbingu na ardhi, na shani yake Mtukufu katika
234 32, 4 | ndiye aliye umba mbingu na ardhi na viliomo baina yao kwa
235 32, 5 | yote yalio baina mbingu na ardhi, kisha yanapanda kwake kwa
236 32, 10 | Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika
237 32, 27 | tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa
238 33 | mwanaadamu, hali mbingu na ardhi na milima ilishindwa kulibeba. ~
239 33, 27 | 27. Na akakurithisheni ardhi zao na nyumba zao na mali
240 33, 27 | nyumba zao na mali zao, na ardhi msiyo pata kuikanyaga. Na
241 33, 72 | tulikadimisha amana kwa mbingu na ardhi na milima; na vyote hivyo
242 34 | vilioko mbinguni na katika ardhi ni vyake Yeye kwa kuviumba
243 34 | walio kama wao, ikawameza ardhi, au vikawaangukia vipande
244 34, 1 | viliomo mbnguni na katika ardhi. Na sifa ni zake Yeye katika
245 34, 2 | Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na
246 34, 3 | katika mbingu wala katika ardhi, wala kilicho kidogo kuliko
247 34, 9 | yaliyo nyuma yao ya mbingu na ardhi? Tungeli penda tungeli wadidimiza
248 34, 9 | tungeli wadidimiza ndani ya ardhi, au tungeli wateremshia
249 34, 14 | kufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula fimbo yake. Na
250 34, 22 | hichi katika mbingu wala ardhi. Wala hawana ushirika wowote
251 34, 24 | kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu! Na
252 35 | Mungu, Muumba mbingu na ardhi, bila ya ruwaza, Mwenye
253 35 | wa walio tangulia katika ardhi. Naye anaizuia mbingu isiondoke.
254 35, 1 | Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, aliye wafanya Malaika kuwa
255 35, 3 | kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Hapana mungu ila Yeye tu.
256 35, 9 | nchi iliyo kufa, tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake. Ndivyo
257 35, 38 | Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni Mjuzi wa
258 35, 39 | kufanyeni manaibu katika ardhi. Na anaye kufuru, basi kufuru
259 35, 40 | wameumba sehemu gani katika ardhi? Au wana ushirika wowote
260 35, 41 | ndiye anaye zuilia mbingu na ardhi zisiondoke. Na zikiondoka
261 35, 44 | Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho
262 35, 44 | Mungu mbinguni wala katika ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kujua,
263 35, 45 | basi asingeli muacha juu ya ardhi hata mnyama mmoja. Lakini
264 36 | na aliye umba mbingu na ardhi, huyo basi ni Muweza wa
265 36, 33 | 33. Na Ishara hiyo kwao - ardhi iliyo kufa, nasi tukaifufua,
266 36, 36 | katika vinavyo mea katika ardhi na katika nafsi zao, na
267 36, 81 | Kwani aliye ziumba mbingu na ardhi hawezi kuwaumba mfano wao?
268 37 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, na Yeye
269 37, 5 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na
270 38, 10 | wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi
271 38, 27 | Na hatukuziumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure.
272 38, 42 | Akaambiwa:) Piga-piga ardhi kwa mguu wako! Basi haya
273 38, 66 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na viliomo baina yake, Mwenye
274 39 | katika kuumba mbingu na ardhi, na kumuumba mtu; na kwamba
275 39 | na kwamba Yeye huihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na
276 39 | Nani aliye umba mbingu na ardhi? Hapana shaka watasema:
277 39 | walioko mbinguni na kwenye ardhi isipo kuwa wale ambao Mwenyezi
278 39, 5 | 5. Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku
279 39, 10 | dunia hii watapata wema. Na ardhi ya Mwenyezi Mungu ni kunjufu.
280 39, 21 | akayapitisha kwenye chemchem katika ardhi, kisha kwa maji hayo akatoa
281 39, 38 | nani aliye ziumba mbingu na ardhi. Bila ya shaka watasema:
282 39, 44 | Yeye tu ufalme wa mbingu na ardhi. Kisha mtarejeshwa kwake. ~~~~~~
283 39, 46 | Mungu! Muumba mbingu na ardhi! Mjuzi wa yasiyo onekana
284 39, 63 | anazo funguo za mbingu na ardhi. Na wale walio zikataa Ishara
285 39, 67 | yake. Na Siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake,
286 39, 68 | mbinguni na waliomo katika ardhi, isipo kuwa aliye mtaka
287 39, 69 | 69. Na ardhi itang'ara kwa Nuru ya Mola
288 39, 74 | ahadi yake, na akaturithisha ardhi, tunakaa katika Bustani
289 40 | wazunguka ya mbinguni na kwenye ardhi, na neema zinazo wamiminikia,
290 40 | kuwataka watu watembee katika ardhi waone yaliyo wafika kaumu
291 40, 21 | Kwani hawatembei katika ardhi wakaona jinsi ulivyo kuwa
292 40, 57 | ya shaka kuumba mbingu na ardhi ni kukubwa zaidi kuliko
293 40, 64 | Mwenyezi Mungu aliye kufanyieni ardhi kuwa ni pahala pa kukaa,
294 40, 75 | mlikuwa mkijitapa katika ardhi pasipo haki, na kwa sababu
295 40, 82 | Kwani hawatembei katika ardhi wakaona ulikuwaje mwisho
296 41 | katika kuziumba mbingu na ardhi, kisha inawahadharisha na
297 41, 9 | nyinyi mnamkataa aliye umba ardhi katika siku mbili, na mnamfanyia
298 41, 11 | moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa
299 41, 39 | Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia
300 41, 39 | Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu.
301 42, 4 | mbinguni, na viliomo katika ardhi. Na Yeye ndiye Mtukufu,
302 42, 5 | maghfira waliomo kwenye ardhi. Ama hakika Mwenyezi Mungu
303 42, 11 | Yeye ndiye Muumba mbingu na ardhi, amekujaalieni mke na mume
304 42, 12 | Mwenye funguo za mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki amtakaye,
305 42, 29 | zake ni kuumba mbingu na ardhi, na wanyama alio waeneza.
306 42, 31 | hamwezi kushinda katika ardhi. Na wala nyinyi hamna mlinzi
307 42, 49 | 49. Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba
308 42, 53 | viliomo mbinguni na katika ardhi. Jueni kuwa mambo yote yanarudi
309 43, 9 | Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema:
310 43, 10 | 10. Ambaye amekufanyieni ardhi kama tandiko, na akakufanyieni
311 43, 60 | miongoni mwenu Malaika katika ardhi wakifuatana. ~~~~~~
312 43, 82 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, Mola Mlezi wa A'rshi, na
313 43, 84 | mbinguni, na ndiye Mungu katika ardhi. Naye ndiye Mwenye hikima,
314 43, 85 | Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo ndani yake. Na
315 44, 7 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, ikiwa
316 44, 29 | 29. La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa
317 44, 38 | Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake
318 45 | kumsifu Muumba mbingu na ardhi, Mwenye utukufu kote humo,
319 45, 3 | Hakika katika mbingu na ardhi ziko Ishara kwa Waumini. ~~~~~~
320 45, 5 | mbinguni, na kwayo akaifufua ardhi baada ya kufa kwake, na
321 45, 13 | mbinguni na vilivyomo katika ardhi, vyote vimetoka kwake. Hakika
322 45, 22 | Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa haki, na ili kila nafsi
323 45, 27 | Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Na siku itapo simama Saa
324 45, 36 | mbingu, na Mola Mlezi wa ardhi, na Mola Mlezi wa walimwengu
325 45, 37 | Yeye tu, mbinguni na katika ardhi, naye ni Mwenye nguvu, Mwenye
326 46, 3 | Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake
327 46, 4 | Nionyesheni wameumba nini katika ardhi; au hao wanayo shirika katika
328 46, 20 | kuwa mkitakabari katika ardhi bila ya haki, na kwa sababu
329 46, 32 | hao hawatashinda katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi
330 46, 33 | aliye ziumba mbingu na ardhi, na hakuchoka kwa kuziumba,
331 47, 10 | Kwani hawakutembea katika ardhi wakaona ulikuwaje mwisho
332 48, 4 | mwenye majeshi ya mbingu na ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye
333 48, 7 | ana majeshi ya mbingu na ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye
334 48, 14 | mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Humsamehe amtakaye, na
335 49, 15 | anayajua ya katika mbingu na ardhi, na Mwenyezi Mungu anajua
336 49, 17 | anajua siri za mbingu na ardhi. Na Mwenyezi Mungu anayaona
337 50, 4 | kila kinacho punguzwa na ardhi kutokana nao. Na kwetu kipo
338 50, 7 | 7. Na ardhi tumeitandaza na tukaiwekea
339 50, 36 | Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo
340 50, 42 | 44. Siku itapo wapasukia ardhi mbio mbio! Mkusanyo huo
341 51, 20 | 20. Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini. ~~~~~~
342 51, 23 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama
343 51, 48 | 48. Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji
344 52, 36 | wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. ~~~~~~
345 53 | viliomo mbinguni na kwenye ardhi. Na Yeye ndiye atakaye mlipa
346 53, 31 | mbinguni na viliomo katika ardhi, ili awalipe walio tenda
347 53, 32 | alipo kuumbeni kutoka kwenye ardhi, na mlipo kuwa mimba matumboni
348 54, 12 | 12. Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana
349 55 | majini katika mbingu na ardhi. ~Na inaeleza adhabu za
350 55, 10 | 10. Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe. ~~~~~~
351 55, 29 | vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika
352 55, 33 | kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya
353 56, 4 | 4. Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso, ~~~~~~
354 57 | walioko mbinguni na katika ardhi wamemsabihi na kumtakasa
355 57 | huko ufalme wa mbingu na ardhi, na kuvizunguka vyote hivyo
356 57, 1 | kiliomo ndani ya mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu,
357 57, 2 | Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha.
358 57, 4 | ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha
359 57, 4 | Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na
360 57, 5 | 5. Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa
361 57, 10 | hali urithi wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu? Hawawi
362 57, 17 | Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni
363 57, 21 | kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini
364 57, 22 | 22. Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila
365 58, 7 | mbingu na vilivyomo katika ardhi? Hauwi mnong'ono wa watu
366 59 | kilioko katika mbingu na ardhi kinamsabihi na kinamtakasa
367 59, 1 | mbingu na viliomo katika ardhi. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye
368 59, 24 | kilioko katika mbingu na ardhi kinamtakasa, naye ni Mwenye
369 61 | katika mbingu na katika ardhi vinamsabihi Mwenyezi Mungu.
370 61, 1 | katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu,
371 62 | viliomo katika mbingu na ardhi vyote vinamsabihi Yeye.
372 62, 1 | mbinguni na viliomo katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu,
373 63, 7 | Mwenye khazina za mbingu na ardhi, lakini wanaafiki hawafahamu. ~~~~~~
374 64 | katika mbingu na katika ardhi kinamtakasa Mwenyezi Mungu
375 64, 1 | katika mbingu na katika ardhi. Ufalme ni wake, na sifa
376 64, 3 | 3. Ameziumba mbingu na ardhi kwa haki, na akakupeni sura,
377 64, 4 | viliomo katika mbingu na ardhi, na anajua mnayo yaficha
378 65 | kuziumba mbingu saba, na katika ardhi mfano wa hizo. ~KWA JINA
379 65, 12 | ameziumba mbingu saba, na ardhi kwa mfano wa hizo. Amri
380 67 | Mungu mnavyo viona katika ardhi na mbinguni upeo wa macho
381 67, 15 | ndiye aliye idhalilisha ardhi kwa faida yenu, basi tembeeni
382 67, 16 | hatakudidimizeni kwenye ardhi, na tahamaki hiyo inatikisika! ~~~~~~
383 67, 24 | aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa. ~~~~~~
384 69 | kuondoka yatakayo zisibu ardhi na milima na mbingu. Na
385 69, 14 | 14. Na ardhi na milima ikaondolewa, na
386 71, 17 | Mungu amekuotesheni katika ardhi kama mimea. ~~~~~~
387 71, 19 | Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati. ~~~~~~
388 71, 26 | Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika
389 72, 10 | shari wale wanao kaa kwenye ardhi au Mola wao Mlezi anawatakia
390 73, 14 | 14. Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia,
391 73, 20 | wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya Mwenyezi
392 77, 25 | 25. Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya ~~~~~~
393 78, 6 | 6. Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko? ~~~~~~
394 78, 37 | Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman,
395 79, 30 | juu ya hivyo ameitandaza ardhi. ~~~~~~
396 80, 26 | 26. Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu, ~~~~~~
397 84 | ya Kiyama, na kunyenyekea ardhi na mbingu kufuata atakavyo
398 84, 3 | 3. Na ardhi itakapo tanuliwa, ~~~~~~
399 85, 9 | anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi
400 86, 12 | 12. Na kwa ardhi inayo pasuka! ~~~~~~
401 88, 20 | 20. Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa? ~~~~~~
402 89, 21 | Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande, ~~~~~~
403 91, 6 | 6. Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza! ~~~~~~
404 99 | za Kiyama:- ~Mtikisiko wa ardhi, na kutoka khazina na maiti
405 99, 1 | 1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake! ~~~~~~
406 99, 2 | 2. Na itakapo toa ardhi mizigo yake! ~~~~~~
|