Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
mtuma 7
mtumai 1
mtumbukizeni 1
mtume 365
mtumeni 1
mtumie 2
mtumishi 1
Frequency    [«  »]
382 sema
381 ndiye
374 shaka
365 mtume
363 wenye
360 je
354 lakini

Qu'rani

IntraText - Concordances

mtume

                                                 bold = Main text
    Sura, verse                                  grey = Comment text
1 1 | kabla ya Hijra, kuhamia Mtume s.a.w. Madina. Imeitwa Al-Faatih' 2 2 | moyo kila alilo kuja nalo Mtume s.a.w., na kwamba wasio 3 2, 101| 101. Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, 4 2, 108| 108. Au mnataka kumwomba Mtume wenu kama alivyo ombwa Musa 5 2, 129| Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee 6 2, 143| mashahidi juu ya watu, na Mtume awe ni shahidi juu yenu. 7 2, 143| kumjua yule anaye mfuata Mtume na yule anaye geuka akarejea 8 2, 151| 151. Kama tulivyo mtuma Mtume kwenu anaye tokana na nyinyi, 9 2, 214| madhara na wakatikiswa hata Mtume na walio amini pamoja naye 10 2, 279| vita na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mkitubu, basi haki 11 2, 285| 285. Mtume ameamini yaliyo teremshwa 12 3, 32 | Mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume. Na wakigeuka basi Mwenyezi 13 3, 49 | 49. Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia: 14 3, 53 | yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike pamoja na 15 3, 81 | hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo 16 3, 86 | na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia 17 3, 101| Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu? Na mwenye 18 3, 132| mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume ili mpate kurehemewa. ~~~~~~ 19 3, 144| Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla 20 3, 153| hamumsikilizi yeyote, na Mtume anakuiteni, yuko nyuma yenu. 21 3, 164| Waumini vile alivyo waletea Mtume aliye miongoni mwao wenyewe, 22 3, 172| mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na 23 3, 183| Mungu ametuahidi tusimuamini Mtume yeyote mpaka atuletee kafara 24 4, 13 | mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Yeye atamtia katika 25 4, 14 | muasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na akaipindukia mipaka 26 4, 42 | walio kufuru na wakamuasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe 27 4, 59 | Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika 28 4, 59 | lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi 29 4, 61 | Mwenyezi Mungu, na njooni kwa Mtume; utawaona wanaafiki wanakukwepa 30 4, 64 | 64. Na hatukumtuma Mtume yeyote ila at'iiwe kwa idhini 31 4, 64 | Mwenyezi Mungu msamaha, na Mtume akawaombea msamaha, hapana 32 4, 69 | kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume, hao wa pamoja na wale alio 33 4, 79 | tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi 34 4, 80 | 80. Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi 35 4, 83 | kuwa wangeli lipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kati 36 4, 100| ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, kisha yakamfika mauti 37 4, 115| 115. Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, 38 4, 136| Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha 39 4, 136| alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha 40 4, 157| Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao 41 4, 170| Watu! Amekwisha kujieni Mtume huyu na haki itokayo kwa 42 4, 171| Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno 43 5, 15 | Kitabu! Amekwisha kujieni Mtume wetu anaye kufichulieni 44 5, 19 | Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika 45 5, 33 | mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya 46 5, 41 | 41. Ewe Mtume! Wasikuhuzunishe wa fanyao 47 5, 55 | mlinzi ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake na walio amini, ambao 48 5, 56 | urafiki na Mwenyezi Mungu na Mtume wake na walio amini, basi 49 5, 67 | 67. Ewe Mtume! Fikisha uliyo teremshiwa 50 5, 70 | Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio yapenda nafsi 51 5, 75 | Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume 52 5, 83 | SIKIA yaliyo teremshwa kwa Mtume utaona macho yao yanachururika 53 5, 92 | Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, na tahadharini. Na ikiwa 54 5, 92 | basi jueni ya kuwa juu ya Mtume wetu ni kufikisha ujumbe 55 5, 99 | 99. Haimlazimu Mtume ila kufikisha ujumbe tu. 56 5, 104| yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyo 57 5, 111| kwamba waniamini Mimi na Mtume wangu, wakasema: Tumeamini 58 7, 61 | upotofu, lakini mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola Mlezi 59 7, 67 | upumbavu. Lakini mimi ni Mtume niliye toka kwa Mola Mlezi 60 7, 104| Firauni! Hakika mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola Mlezi 61 7, 157| Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala 62 7, 158| Enyi watu! Hakika mimi ni Mtume kwenu nyinyi nyote, niliye 63 7, 158| muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake asiyejua kusoma na 64 8, 1 | ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi Mungu 65 8, 1 | mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini. ~~~~~~ 66 8, 13 | wamemuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumuasi 67 8, 13 | kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi Mwenyezi Mungu 68 8, 20 | Mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala msijiepushe naye, 69 8, 24 | Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la 70 8, 27 | khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana zenu, 71 8, 41 | ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume, na jamaa, na mayatima, 72 8, 46 | mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala msizozane mkaingiwa 73 9 | yaani miaka tisa baada ya Mtume s.a.w. kuhamia Madina. Akaichukua 74 9 | akiwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapendwa na Waumini 75 9 | wanaafiki. Nayo ni kuwa Mtume s.a.w. asimsalie yeyote 76 9 | upuuzwe Msikiti alio ujenga Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 77 9 | toba ya wale walio mkhalifu Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w., 78 9, 1 | kujitoa Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwenye jukumu la maagano 79 9, 3 | kutokana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa wote siku ya Hija 80 9, 3 | kwamba Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawana jukumu lolote 81 9, 7 | Mwenyezi Mungu na mbele ya Mtume wake, ila wale mlio ahidiana 82 9, 13 | wakawa na hamu ya kumfukuza Mtume, nao ndio walio kuanzeni 83 9, 16 | isipo kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Waumini wenziwe? 84 9, 24 | kuliko Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Jihadi katika Njia 85 9, 26 | akateremsha utulivu wake juu ya Mtume wake na juu ya Waumini. 86 9, 29 | harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya 87 9, 33 | Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini 88 9, 40 | Ikiwa nyinyi hamtamnusuru Mtume, basi Mwenyezi Mungu alikwisha 89 9, 54 | walimkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala hawaji kwenye 90 9, 59 | alicho wapa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na wakasema: Mwenyezi 91 9, 59 | katika fadhila yake - na pia Mtume wake; hakika sisi ni wenye 92 9, 61 | miongoni mwenu. Na wanao muudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu watapata 93 9, 62 | kuridhishwa ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake, lau kama wao ni Waumini. ~~~~~~ 94 9, 63 | shindana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi huyo atapata 95 9, 65 | Mungu na Ishara zake na Mtume wake? ~~~~~~ 96 9, 71 | humt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hao Mwenyezi Mungu 97 9, 74 | ila kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake amewatajirisha kutokana 98 9, 80 | wamemkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu 99 9, 81 | kubakia kwao nyuma na kumuacha Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walichukia 100 9, 84 | wamemkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na wakafa na hali 101 9, 86 | piganeni Jihadi pamoja na Mtume wake, wale wenye nguvu miongoni 102 9, 88 | 88. Lakini Mtume na wale walio amini pamoja 103 9, 90 | mwambia Mwenyezi Mungu na Mtume wake uwongo. Itawafika walio 104 9, 91 | wanamsafia niya Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hapana njia ya kuwalaumu 105 9, 94 | zenu. Na Mwenyezi Mungu na Mtume wake wataviona vitendo vyenu. 106 9, 97 | yateremsha Mwenyezi Mungu juu ya Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu 107 9, 99 | Mungu na ya kuwapatia dua za Mtume. Naam! Hayo ni kweli mambo 108 9, 105| vitendo. Na Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Waumini wataviona 109 9, 107| mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake hapo kabla. Na bila 110 9, 120| kubakia nyuma wasitoke na Mtume, wala kujipendelea nafsi 111 9, 128| Hakika amekwisha kujieni Mtume kutokana na nyinyi wenyewe; 112 10 | hii kubainisha mambo ya Mtume huyu ili kutimiza mawaidha 113 10, 47 | 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa 114 10, 47 | umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao 115 12 | Kisha Qur'ani inamwambia Mtume kuwa inda na husda huwapelekea 116 12 | ukafirini. Na kwamba pupa yake Mtume s.a.w. kuwa waamini wengi 117 13 | na ikataja kejeli zao kwa Mtume wao. Na ikamueleza Mtume 118 13 | Mtume wao. Na ikamueleza Mtume kuwa Mitume wa kabla yake 119 13, 38 | na dhuriya. Na haiwi kwa Mtume kuleta miujiza isipo kuwa 120 14, 4 | 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake 121 15, 11 | 11. Na hakuwafikia Mtume ila walimkejeli. ~~~~~~ 122 16, 36 | kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi 123 17 | ya usiku aliyo chukuliwa Mtume s.a.w. kutoka Makka mpaka 124 17, 15 | hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume. ~~~~~~ 125 17, 93 | isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume? ~~~~~~ 126 17, 94 | humtuma mwanaadamu kuwa ni Mtume? ~~~~~~ 127 17, 95 | wateremshia Malaika kuwa ni Mtume wao. ~~~~~~ 128 18 | mambo, hata akiwa Nabii Mtume katika Mitume imara - Ulul 129 19, 51 | kuchaguliwa, na alikuwa Mtume, Nabii. ~~~~~~ 130 19, 54 | mkweli wa ahadi, na alikuwa Mtume, Nabii. ~~~~~~ 131 20, 96 | nikashika gao katika unyao wa Mtume. Kisha nikalitupa. Na hivi 132 20, 134| Mlezi! Kwa nini usituletee Mtume tukazifuata ishara zako 133 21 | nacho. Nao walidai kuwa Mtume hatokuwa binaadamu, na pengine 134 21, 25 | Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia 135 22 | akafuatilizia hayo kumpoza Mtume s.a.w. kwa masaibu yaliyo 136 22 | matokeo ya mambo yenu ni kuwa Mtume wenu akushuhudieni kwa kukufikishieni 137 22, 15 | Mwenyezi Mungu hatamnusuru (Mtume) katika dunia na Akhera 138 22, 52 | Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anapo soma, 139 22, 78 | hii (Qur'ani) pia, ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi 140 23, 32 | 32. Tukawapelekea Mtume miongoni mwao, kuwaambia: 141 23, 44 | Kila umma alipo wafikia Mtume wao walimkanusha. Tukawafuatanisha 142 23, 69 | 69. Au hawakumjua Mtume wao, ndio maana wanamkataa? ~~~~~~ 143 24 | za Waumini wanapo itwa na Mtume kwa jambo lilio wakhusu 144 24, 47 | Tumemuamini Mwenyezi Mungu na Mtume, na tumet'ii. Kisha kikundi 145 24, 48 | kumuendea Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina yao, 146 24, 50 | ya kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake watawadhulumu? Bali 147 24, 51 | itwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina yao, 148 24, 52 | kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na wakamwogopa Mwenyezi 149 24, 54 | Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Na mkigeuka, basi yaliyo 150 24, 54 | mtaongoka. Na hapana juu ya Mtume ila kufikisha Ujumbe wazi 151 24, 56 | na toeni Zaka, na mt'iini Mtume, ili mpate kurehemewa. ~~~~~~ 152 24, 62 | muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na wanapo kuwa pamoja 153 24, 62 | muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na wakikuomba ruhusa 154 24, 63 | 63. Msifanye wito wa Mtume baina yenu kama wito wa 155 25 | na wanaukataa Utume wa Mtume s.a.w. kwa hoja ya kuwa 156 25, 7 | 7. Na wakasema: Ana nini Mtume huyu? Anakula chakula, na 157 25, 27 | ningeli shika njia pamoja na Mtume! ~~~~~~ 158 25, 30 | 30. Na Mtume alikuwa akisema: Ee Mola 159 25, 41 | Mwenyezi Mungu aliye mtuma kuwa Mtume? ~~~~~~ 160 26 | kwa kuvunja wazo la kuwa Mtume ni mtunga mashairi, na kuwa 161 26, 27 | Firauni) akasema: Hakika huyu Mtume wenu aliye tumwa kwenu ni 162 26, 107| 107. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. ~~~~~~ 163 26, 125| 125. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. ~~~~~~ 164 26, 143| 143. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. ~~~~~~ 165 26, 162| 162. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu. ~~~~~~ 166 26, 178| 178. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. ~~~~~~ 167 27 | ikasimulia yanayo mfuatia Mtume katika kazi yake ya Daa' 168 28, 34 | ulimi wake kuliko mimi. Basi mtume ende nami kunisaidia, ili 169 28, 47 | Mlezi! Mbona hukututumia Mtume nasi, tukafuata Ishara zako, 170 28, 59 | haangamizi miji mpaka ampeleke Mtume katika miji yake mikuu awasomee 171 29 | mafunzo hayo kwa ajili ya Mtume s.a.w. Kisha ikasimulia 172 29, 18 | kadhibisha. Na si juu ya Mtume ila kufikisha Ujumbe waziwazi. ~~~~~~ 173 30 | ikakhitimishia kwa kumnasihi Mtume s.a.w. athibiti juu ya Haki, 174 31 | mtenda mema, na ikamnasihi Mtume asihuzunike kwa kukataa 175 32 | kuteremshwa Kitabu, na umuhimu wa Mtume s.a.w., na kuumbwa mbingu 176 33 | hii imeanza kwa kumtaka Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 177 33 | alio wajibisha kwa ajili ya Mtume wake, na hishima na kuwatukuza 178 33 | wa Waumini, yaani wake za Mtume. Na Sura imeeleza ahadi 179 33 | ambazo zinawapasa wake za Mtume kuzifuata, na wajilazimishe 180 33 | halali yake. Na Sura ikamsifu Mtume s.a.w. na ikamthibitishia 181 33 | harusi. Na ikamkhusisha Mtume s.a.w. kuwa imemhalalishia 182 33 | Mamama wa Waumini (wake za Mtume s.a.w.) wateremshe mitandio 183 33 | wa Waumini, yaani wake za Mtume s.a.w.~KWA JINA LA MWENYEZI 184 33, 12 | nyoyo zao: Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu 185 33, 13 | mwao likaomba ruhusa kwa Mtume kwa kusema: Hakika nyumba 186 33, 21 | nyinyi mnayo ruwaza njema kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa anaye 187 33, 22 | tuahidi Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu 188 33, 22 | wake. Na Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamesema kweli. Na 189 33, 29 | mnamtaka Mwenyezi Mungu na Mtume wake na nyumba ya Akhera, 190 33, 31 | mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na akatenda mema, 191 33, 33 | mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hakika Mwenyezi Mungu 192 33, 33 | enyi Watu wa Nyumba ya Mtume, na kukusafisheni baarabara. ~~~~~~ 193 33, 36 | jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri 194 33, 36 | kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea 195 33, 40 | katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho 196 33, 53 | Wala haikufalieni kumuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala 197 33, 55 | Hapana ubaya kwao (wake za Mtume) kuonana na baba zao, wala 198 33, 57 | muudhi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Mwenyezi Mungu amewalaani 199 33, 66 | Mungu, na tungeli mt'ii Mtume! ~~~~~~ 200 33, 71 | mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, bila ya shaka amefanikiwa 201 34 | kufufuliwa, na kumsingizia Mtume kuwa ni mwongo na mwendawazimu. 202 34 | ikathibitisha Ujumbe wote wa Mtume. Na ikataja kuwa washirikina 203 34 | washirikina. Kwani wao walimwabia Mtume wao kwamba yeye anataka 204 34 | kabla yake, wala hakutumwa Mtume kabla yake. Na hali hakika 205 34 | tuliwashika kwa kuwaadhibu. Na Mtume s.a.w. anaamrishwa aeleze 206 35 | Mwenyezi Mungu. Na kazi ya Mtume ni kuwaonya watu wake. Na 207 36 | tanga katika kila bonde. Mtume hakuja ila kwa ajili ya 208 36, 30 | Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli. ~~~~~~ 209 37 | Mmoja, na wakamsingizia Mtume wao kuwa ana kichaa na wazimu; 210 37 | Mitume wengine ili kumpoza Mtume wa Mwenyezi Mungu, na kuwapa 211 38 | wateremkia, msimamo wao kwa Mtume s.a.w. usingeli kuwa hivyo 212 38 | dhiki, na ili kumpa moyo Mtume wake s.a.w. kufikisha Wito, 213 38 | kueleza vilivyo kazi muhimu ya Mtume s.a.w., nayo ni kufikisha 214 38, 86 | 86. Sema (Ewe Mtume) : Sikuombeni ujira juu 215 39 | ya nafsi yake. Na hakika Mtume s.a.w. si mwakilishi juu 216 40, 5 | lilikuwa na hamu juu ya Mtume wao wamkamate. Na walibishana 217 40, 34 | Mwenyezi Mungu hataleta kabisa Mtume baada yake. Kama hivyo Mwenyezi 218 40, 78 | hatukukusimulia. Na haiwi Mtume alete Ishara yoyote ila 219 41 | wito wake, na msimamo wa Mtume kwa mnasaba wa makafiri, 220 41, 44 | Yawaje lugha ya kigeni na Mtume Mwaarabu? Sema: Hii Qur' 221 42 | na ikashughulikia kumpoza Mtume s.a.w., na tena baada ya 222 42 | ikawalaumu wale walio mkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 223 42 | Sura imeshughulika kumpoza Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 224 43, 29 | mpaka ikawafikia Haki na Mtume aliye bainisha. ~~~~~~ 225 43, 46 | akasema: Hakika mimi ni Mtume wa Mola Mlezi wa walimwengu 226 43, 88 | 88. Na usemi wake (Mtume) ni: Ewe Mola wangu Mlezi! 227 44 | wanao kadhibisha Ujumbe wa Mtume s.a.w. kuwa nao wangojee 228 44, 13 | kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha. ~~~~~~ 229 44, 17 | wa Firauni, na aliwafikia Mtume Mtukufu. ~~~~~~ 230 44, 18 | kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu. ~~~~~~ 231 47 | yao wanayo jifichia, na Mtume wa Mwenyezi Mungu adhihirishe 232 47, 32 | Mungu na wakapinzana na Mtume baada ya kwisha wabainikia 233 47, 33 | Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo 234 48 | msahilishia Mwenyezi Mungu Mtume wake, na imeelezea athari 235 48 | nusura ya Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake. Na imetaja kuwa Mtume 236 48 | Mtume wake. Na imetaja kuwa Mtume Muhammad s.a.w. ametumwa 237 48 | kusimulia kuungwa mkono Mtume na watu wa kweli wa kutimiza 238 48 | walio kwenda kinyume na Mtume wasitoke naye kwenda pambana 239 48 | Mwenyezi Mungu hatampa nusura Mtume, na ikaeleza kuwa kutaka 240 48 | nao katika kumuunga mkono Mtume s.a.w. kwa Ridhwani. Imezungumzia 241 48 | ameitimiza ndoto aliyo iota Mtume wake ya kuingia katika Msikiti 242 48, 9 | mumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mumsaidie, na mumhishimu, 243 48, 12 | Lakini mlidhani kwamba Mtume na Waumini hawatarudi kabisa 244 48, 13 | muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi kwa hakika Sisi 245 48, 17 | kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, atamuingiza katika 246 48, 26 | aliteremsha utulivu juu ya Mtume wake na juu ya Waumini, 247 48, 27 | Mwenyezi Mungu amemtimizia Mtume wake ndoto ya haki. Bila 248 48, 28 | Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini 249 48, 29 | 29. Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio 250 49 | kabla Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawajaamrisha, na pia 251 49 | adabu wakampigia kelele Mtume s.a.w. nyuma ya vyumba, 252 49 | kwa kukataza kumsimbulia Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa ajili 253 49, 1 | mbele ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mcheni Mwenyezi 254 49, 3 | teremsha sauti zao mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, hao ndio 255 49, 7 | 7. Na jueni kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu yuko nanyi. 256 49, 13 | mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote 257 49, 14 | muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake tena wasitie shaka 258 50 | wanavyo kanya makafiri kuja Mtume kati yao, na kuona muhali 259 50 | masimulizi yake kwa kumuamrisha Mtume s.a.w. avumilie maudhi ya 260 50 | kabla yao, na kumwelekeza Mtume s.a.w. athibiti juu ya ibada 261 50 | kufufuliwa, na kumliwaza Mtume s.a.w. kwa kuwa yeye ni 262 51 | katika maneno yao juu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, na juu 263 51 | kuwaonya wanao mkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 264 51, 52 | hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi 265 52 | ya hayo Sura inamuamrisha Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 266 53 | kinadhihirisha ukweli wa Mtume s.a.w. katika anayo yasimulia 267 53 | hayo wala hakukosea. Na Mtume s.a.w. amesema kweli katika 268 53 | kiume. ~Kisha Sura inamtaka Mtume s.a.w. awapuuze, na amwachilie 269 54 | kukadhibisha. Na anatakiwa Mtume s.a.w. awapuuze na awangojee 270 57, 7 | Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyo 271 57, 8 | hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola 272 57, 28 | Mwenyezi Mungu, na muaminini Mtume wake, atakupeni sehemu mbili 273 58 | kwa wao, na baina yao na Mtume s.a.w. Kama vile vile alivyo 274 58 | kumridhi Mwenyezi Mungu na Mtume wake kuliko wengine wasio 275 58, 4 | mumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na hiyo ndiyo mipaka 276 58, 5 | pinzana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake, watadhalilishwa kama 277 58, 8 | ya uadui, na ya kumuasi Mtume? Na wakikujia hukuamkia 278 58, 9 | madhambi, na uadui, na kumuasi Mtume. Bali nong'onezane kwa kutenda 279 58, 12 | amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka 280 58, 13 | mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu 281 58, 20 | mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hao ndio miongoni 282 58, 21 | ameandika: Hapana shaka Mimi na Mtume wangu tutashinda. Hakika 283 58, 22 | mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hata wakiwa ni baba 284 59 | Walikuwa hao walisuluhiana na Mtume s.a.w. baada ya kuhamia 285 59 | wakaungana na Maqureshi dhidi ya Mtume s.a.w. Hapo ndipo akenda 286 59 | ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na jamaa, na mayatima, 287 59, 4 | walimpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumpinga 288 59, 6 | leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwao hamkuyakimbilia 289 59, 7 | leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwa watu wa 290 59, 7 | Mwenyezi Mungu, na kwa ajili ya Mtume, na jamaa, na mayatima, 291 59, 7 | mwenu. Na anacho kupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni 292 59, 8 | wanamsaidia Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hao ndio wa kweli. ~~~~~~ 293 60 | kwao ukafiri, na kumtoa Mtume wa Mwenyezi Mungu na Waumini 294 60 | wanawake, kwa walivyo mtolea Mtume s.a.w. Kisha Sura ikakhitimisha, 295 60, 1 | iliyo kujieni, wakamfukuza Mtume na nyinyi kwa sababu mnamuamini 296 61, 5 | mnajua kuwa hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu niliye 297 61, 6 | Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, 298 61, 6 | na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; 299 61, 9 | Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini 300 61, 11 | Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na piganeni Jihadi 301 62 | wala kusoma kwa kuwaletea Mtume miongoni mwao, ambaye anawafundisha 302 62, 2 | Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, 303 63 | inaelezea kuwa wakiitwa ili Mtume wa Mwenyezi Mungu awaombee 304 63, 1 | Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi 305 63, 1 | Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi 306 63, 5 | wanapo ambiwa: Njooni ili Mtume wa Mwenyezi Mungu akuombeeni 307 63, 7 | kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, ili waondokelee 308 63, 8 | Mwenye utukufu - Yeye, na Mtume wake, na Waumini. Lakini 309 64 | wamuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na Nuru iliyo teremshwa 310 64 | wamt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Wakipuuza, basi hakika 311 64 | Wakipuuza, basi hakika Mtume hana juu yake ila kufikisha 312 64, 8 | muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na Nuru tuliyo iteremsha. 313 64, 12 | Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu 314 64, 12 | Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni kufikisha (Ujumbe 315 65 | kuwakumbusha neema za kuwapelekea Mtume anaye wasomea Aya za Mwenyezi 316 65, 11 | 11. Mtume anaye kusomeeni Aya za Mwenyezi 317 66 | Waumini watubu kweli kweli, na Mtume s.a.w. ende kupambana kwa 318 66, 3 | Mwenyezi Mungu akamdhihirishia Mtume, alimjuvya sehemu na akaacha 319 66, 3 | Nani aliye kwambia haya? Mtume akasema: Kaniambia Mjuzi 320 66, 4 | mkisaidiana dhidi yake (Mtume), basi hakika Mwenyezi Mungu 321 67 | Malaika kwa kuto mwitikia Mtume alipo waita na akawahadharisha. ~ 322 68 | tukufu imekusanya kumtetea Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 323 68 | Akhera, na wanatishwa. Na Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 324 69 | ikakhitimisha kwa kutaja ukweli wa Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 325 69, 10 | 10. Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo 326 70 | uharibifu. Na mwishoni anausiwa Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 327 72 | Mungu Mtukufu amemuamrisha Mtume wake s.a.w. katika Sura 328 72 | yake, na juu ya wito wa Mtume kumwendea Mwenyezi Mungu, 329 72 | Mungu, na majini kumzunguka Mtume, na ikaeleza kwa kuwekea 330 72 | kuwekea mipaka lipi aliwezalo Mtume na lipi ambalo haliwezi, 331 72 | kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume watahadhari na Jahannamu 332 72 | katika viumbe ili awe ni Mtume wa kuuhifadhi Wahyi kwa 333 72, 7 | Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume. ~~~~~~ 334 72, 23 | kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi hakika hao watapata 335 72, 27 | 27. Isipo kuwa Mtume wake aliye mridhia. Naye 336 73 | Mwenyezi Mungu amemuamrisha Mtume wake asimame sehemu kubwa 337 73 | pamoja naye, walipo muasi Mtume wa Mola wao Mlezi, na akawakhofisha 338 73, 15 | Hakika Sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi juu yenu, 339 73, 15 | yenu, kama tulivyo mtuma Mtume kwa Firauni. ~~~~~~ 340 73, 16 | Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko 341 74 | Sura hii tukufu inamhimiza Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 342 74 | makafiri. Na inamuamrisha Mtume s.a.w. amwachilie mbali 343 75 | vyake. Kisha inampa moyo Mtume s.a.w. kuwa Qur'ani itakusanywa 344 76 | kisha ikageukia kusema na Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 345 79 | Musa na Firauni kumliwaza Mtume s.a.w., na ikataja khabari 346 79 | ikabainisha kwamba kazi ya Mtume ni kuwaonya wenye kukiogopa 347 81 | katika Qur'ani, na kumtakasa Mtume s.a.w. na tuhuma za wazimu, 348 87 | Mwenyezi Mungu atamsomesha Mtume wake Qur'ani, naye ataihifadhi, 349 87 | Kisha Sura inamuamrisha Mtume akumbushe kwa Qur'ani apate 350 88 | hizi ikageukia khabari za Mtume s.a.w. kwa kukumbusha kwamba 351 91 | hakika wao walipo mkadhibisha Mtume wao, na wakamuuwa yule ngamia, 352 91, 13 | 13. Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo 353 93 | Mwenyezi Mungu hakumwacha Mtume wake wala hakumchukia, na 354 94 | Mwenyezi Mungu na jina lake Mtume katika asli ya Imani na 355 94 | na faraji, na zikamtaka Mtume kila anapo pata nafasi kutokana 356 98 | alipo teuliwa miongoni mwao Mtume wa Mwenyezi Mungu mwenye 357 98, 2 | 2. Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi 358 105 | Mwenyezi Mungu anampa khabari Mtume wake s.a.w. kisa cha Watu 359 108 | katika Sura hii anamtajia Mtume wake s.a.w. neema alizo 360 108 | anaye mchukia na kumbughudhi Mtume.~KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU 361 109 | Mwenyezi Mungu anamuamrisha Mtume wake s.a.w. awakatishe tamaa 362 109 | za kutaka kusikilizana na Mtume katika wito wake wa Haki, 363 110 | Madina)~Sura hii imemtaka Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. 364 111 | adui wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na kuwa hapana kitu 365 111 | yake aliyo kuwa akimfanyia Mtume na maovu aliyo kuwa akiyafanya


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License