bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 21 | nyinyi na wale wa kabla yenu, ili mpate kuokoka. ~~~~~~
2 2, 36 | Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda. ~~~~~~
3 2, 40 | na Mimi nitatimiza ahadi yenu, na niogopeni Mimi tu. ~~~~~~
4 2, 50 | ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha
5 2, 54 | wenu. Naye akapokea toba yenu. Hakika Yeye ndiye apokeaye
6 2, 58 | Tusamehe! Tutakusameheni makosa yenu, na tutawazidishia wema
7 2, 63 | Na tulipo chukua ahadi yenu, na tukaunyanyua mlima juu
8 2, 63 | na tukaunyanyua mlima juu yenu (tukakwambieni): Shikeni
9 2, 64 | fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema zake, mngeli kuwa
10 2, 85 | mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana
11 2, 93 | Na tulipo chukua ahadi yenu na tukauinua mlima juu yenu (
12 2, 93 | yenu na tukauinua mlima juu yenu (tukakwambieni): Kamateni
13 2, 93 | iliyo kuamrisheni imani yenu ikiwa ni wenye kuamini. ~~~~~~
14 2, 94 | iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila ya watu wengine,
15 2, 143| Mtume awe ni shahidi juu yenu. Na hatukukifanya kibla
16 2, 143| hakuwa mwenye kuipoteza Imani yenu. Kwani Mwenyezi Mungu ni
17 2, 150| watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu
18 2, 168| ani. Hakika yeye ni adui yenu aliye dhaahiri. ~~~~~~
19 2, 183| andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu. ~~~~~~
20 2, 187| hivyo amekukubalieni toba yenu na amekusameheni. Basi sasa
21 2, 195| wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo. Na fanyeni
22 2, 214| wajia wale walio pita kabla yenu? Iliwapata shida na madhara
23 2, 217| mpaka wakutoeni katika Dini yenu kama wakiweza. Na yeyote
24 2, 231| neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, na aliyo kuteremshieni
25 2, 237| Wala msisahau fadhila baina yenu. Hakika Mwenyezi Mungu anayaona
26 2, 247| Mungu amemteua yeye juu yenu na amemzidishia ukunjufu
27 2, 271| yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu. Na Mwenyezi Mungu anazo
28 2, 279| wake. Na mkitubu, basi haki yenu ni rasilmali zenu. Msidhulumu
29 2, 282| mwandishi aandike baina yenu kwa uadilifu, wala mwandishi
30 2, 282| ya mkono-kwa-mkono baina yenu, basi hapo si vibaya kwenu
31 3, 31 | na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye
32 3, 55 | ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni
33 3, 73 | msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni
34 3, 81 | kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie.
35 3, 100| makafiri baada ya Imani yenu. ~~~~~~
36 3, 101| Mungu na Mtume yuko kati yenu? Na mwenye kushikamana na
37 3, 103| Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi
38 3, 119| Sema: Kufeni kwa chuki yenu! Hakika Mwenyezi Mungu anayajua
39 3, 137| 137. Kabla yenu zimepita nyendo nyingi;
40 3, 153| Mtume anakuiteni, yuko nyuma yenu. Mwenyezi Mungu akakupeni
41 3, 154| ulifunika kundi moja kati yenu. Na kundi jengine nafsi
42 3, 182| ya iliyo tanguliza mikono yenu, na kwamba Mwenyezi Mungu
43 3, 186| walio pewa Kitabu kabla yenu na wale walio shiriki. Na
44 4, 3 | tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya
45 4, 5 | msiwape wasio na akili mali yenu ambayo Mwenyezi Mungu ameyajaalia
46 4, 5 | ameyajaalia yawe ni kiamu yenu. Walisheni katika hayo na
47 4, 16 | 16. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni.
48 4, 23 | hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake
49 4, 23 | walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili
50 4, 24 | walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya
51 4, 24 | Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio
52 4, 24 | kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini.
53 4, 24 | Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada
54 4, 25 | 25. Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya kuolea wanawake
55 4, 25 | Waumini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia. Na Mwenyezi Mungu
56 4, 25 | Mungu ni Mjuzi wa imani yenu. Nyinyi mmetokana wenyewe
57 4, 26 | nyendo za walio kuwa kabla yenu, na akurejezeni kwenye ut'
58 4, 29 | mlio amini! Msiliane mali yenu kwa dhulma, isipo kuwa iwe
59 4, 31 | katazwa, tutakufutieni makosa yenu madogo, na tutakuingizeni
60 4, 32 | wafadhili Mwenyezi Mungu baadhi yenu kuliko wengine. Wanaume
61 4, 36 | walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Hakika Mwenyezi
62 4, 43 | mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni
63 4, 71 | amini! Chukueni hadhari yenu! Na mtoke kwa vikosi au
64 4, 72 | 72. Na yupo kati yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni
65 4, 73 | kwamba hapakuwa mapenzi baina yenu naye: Laiti ningeli kuwa
66 4, 77 | walio ambiwa: Izuieni mikono yenu, na mshike Sala na mtoe
67 4, 83 | fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake mngeli mfuata
68 4, 90 | watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wanakujieni na
69 4, 90 | Mungu angeli wasaliti juu yenu wakapigana nanyi. Basi wakijitenga
70 4, 92 | watu ambao pana ahadi baina yenu na wao basi wapewe diya
71 4, 102| zao, basi nawende nyuma yenu, na lije kundi jingine ambalo
72 4, 102| zenu. Na chukueni hadhari yenu. Hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia
73 4, 123| 123. Si kwa matamanio yenu, wala matamanio ya Watu
74 4, 131| walio pewa Kitabu kabla yenu, na nyinyi pia, kwamba mumche
75 4, 141| Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu Siku ya Kiyama, wala Mwenyezi
76 4, 144| awe na hoja iliyo wazi juu yenu? ~~~~~~
77 4, 170| Basi aminini, ndiyo kheri yenu. Na mkikakanusha basi hakika
78 4, 171| Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi
79 5, 2 | Mlezi. Na mkisha toka Hija yenu basi windeni. Wala kuwachukia
80 5, 3 | kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni
81 5, 3 | nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema
82 5, 5 | walio pewa Kitabu kabla yenu, mtakapo wapa mahari yao,
83 5, 6 | osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake
84 5, 6 | vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni. Na mkiwa
85 5, 6 | mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hapendi Mwenyezi Mungu
86 5, 6 | kutimiza neema yake juu yenu ili mpate kushukuru. ~~~~~~
87 5, 7 | Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu, na ahadi yake aliyo fungamana
88 5, 11 | Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, walipo taka watu kukunyooshieni
89 5, 12 | shaka nitakufutieni maovu yenu na nitakuingizeni katika
90 5, 20 | Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa Manabii kati
91 5, 20 | alipo wateuwa Manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala,
92 5, 48 | Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni
93 5, 55 | 55. Hakika rafiki yenu mlinzi ni Mwenyezi Mungu
94 5, 57 | ifanyia kejeli na mchezo Dini yenu miongoni mwa walio pewa
95 5, 57 | walio pewa Kitabu kabla yenu, na makafiri wengine. Na
96 5, 77 | Msipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Wala msifuate
97 5, 91 | Shet'ani anataka kutia kati yenu uadui na chuki kwa ulevi
98 5, 94 | kuwinda inayo wafikia mikono yenu na mikuki yenu, ili Mwenyezi
99 5, 94 | wafikia mikono yenu na mikuki yenu, ili Mwenyezi Mungu amjue
100 5, 96 | baharini na kuvila, kwa faida yenu na kwa wasafiri. Na mmeharimishiwa
101 5, 102| Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa. ~~~~~~
102 5, 105| amini! Kilicho lazima juu yenu ni nafsi zenu. Hawakudhuruni
103 5, 105| Mwenyezi Mungu ndio marudio yenu nyote; basi atakwambieni
104 6, 3 | ardhini. Anajua ya ndani yenu na ya nje yenu. Na anajua
105 6, 3 | ya ndani yenu na ya nje yenu. Na anajua mnayo yachuma. ~~~~~~
106 6, 54 | Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu! Mola wenu Mlezi amejilazimisha
107 6, 56 | mimi sifuati matamanio yenu. Hivyo nitakuwa nimepotea,
108 6, 60 | kwake Yeye ndiyo marejeo yenu, na tena akwambieni mliyo
109 6, 65 | kukuleteeni adhabu kutoka juu yenu au kutoka chini ya miguu
110 6, 65 | au kutoka chini ya miguu yenu, au kukuleteeni fujo la
111 6, 65 | mfarakano, na kuwaonjesha baadhi yenu jeuri ya wenzao. Tazama
112 6, 66 | Mimi sikuwakilishwa juu yenu. ~~~~~~
113 6, 94 | kwanza. Na mkayaacha nyuma yenu yote tuliyo kupeni, na wala
114 6, 94 | Yamekatika makhusiano baina yenu, na yamekupoteeni mliyo
115 6, 128| atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo
116 6, 130| wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia
117 6, 133| wengine awapendao badala yenu, kama vile alivyo kutoeni
118 6, 142| ani. Hakika yeye ni adui yenu dhaahiri. ~~~~~~
119 6, 164| mwenziwe. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Mlezi,
120 6, 165| na amewanyanyua baadhi yenu juu ya wengine daraja kubwa
121 7, 22 | kwamba Shet'ani ni adui yenu wa dhaahiri? ~~~~~~
122 7, 24 | ardhi itakuwa ndio makao yenu na starehe yenu mpaka ufike
123 7, 24 | ndio makao yenu na starehe yenu mpaka ufike muda. ~~~~~~
124 7, 38 | na umma zilizo pita kabla yenu za majini na watu. Kila
125 7, 46 | Assalamu Alaykum, Amani juu yenu! Wao bado hawajaingia humo,
126 7, 89 | Mungu tukirudi katika mila yenu baada ya kwisha tuokoa nayo
127 7, 110| Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani? ~~~~~~
128 7, 124| Lazima nitaikata mikono yenu na miguu yenu mbali mbali.
129 7, 124| nitaikata mikono yenu na miguu yenu mbali mbali. Kisha nitakutundikeni
130 7, 161| tupate kukusameheni makosa yenu. Walio wema tutawazidishia. ~~~~~~
131 7, 195| Sema: Iiteni hio miungu yenu ya ushirikina. Kisha nifanyieni
132 8, 1 | suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Mwenyezi Mungu
133 8, 11 | zenu, na kuitia imara miguu yenu. ~~~~~~
134 8, 25 | walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi
135 8, 42 | msafara ulipo kuwa chini yenu. Na ingeli kuwa mmeagana
136 8, 51 | kwisha tangulizwa na mikono yenu, na hakika Mwenyezi Mungu
137 8, 65 | wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda
138 8, 65 | mbili. Na wakiwapo kati yenu mia watawashinda elfu moja
139 8, 66 | wapo watu mia moja kati yenu wenye kusubiri watawashinda
140 8, 72 | katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia, isipo kuwa juu
141 8, 72 | ambao yapo mapatano baina yenu na wao. Na Mwenyezi Mungu
142 9, 4 | hawakumsaidia yeyote dhidi yenu, basi hao watimizieni ahadi
143 9, 12 | kwao, na wakatukana Dini yenu, basi piganeni na waongozi
144 9, 14 | Mungu awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni
145 9, 16 | walio pigana Jihadi kati yenu, na wala hawakumfanya mwendani
146 9, 41 | piganeni Jihadi kwa mali yenu na nafsi zenu katika Njia
147 9, 47 | na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni fitna. Na miongoni
148 9, 66 | Tukilisamehe kundi moja kati yenu, tutaliadhibu kundi jingine
149 9, 69 | kama wale walio kuwa kabla yenu. Walikuwa wana nguvu na
150 9, 69 | lao wale walio kuwa kabla yenu. Na nyinyi mkazama katika
151 9, 111| Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko
152 9, 123| wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu.
153 10, 4 | Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi
154 10, 13 | ziangamiza kaumu za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia
155 10, 23 | dunia tu. Kisha marejeo yenu ni kwetu, na hapo tutakuambieni
156 10, 29 | hatuna khabari ya ibada yenu. ~~~~~~
157 10, 34 | Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina aliye anzisha
158 10, 35 | Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina anaye ongoa
159 10, 41 | yangu, na nyinyi mna a'mali yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa
160 10, 61 | Sisi huwa ni mashahidi juu yenu mnapo shughulika nayo. Na
161 10, 71 | Mungu. Nanyi tengezeni mambo yenu pamoja na washirika wenu,
162 10, 71 | washirika wenu, na wala mambo yenu yasifichikane kwenu. Kisha
163 10, 89 | Mwenyezi Mungu akasema: Maombi yenu yamekubaliwa. Basi simameni
164 10, 108| Na mimi si mwakilishi juu yenu. ~~~~~~
165 11, 4 | 4. Marejeo yenu ni kwa Mwenyezi Mungu tu.
166 11, 31 | ambao yanawadharau macho yenu kuwa Mwenyezi Mungu hatawapa
167 11, 57 | atawaleta watu wengine badala yenu, wala nyinyi hamumdhuru
168 11, 73 | na baraka zake ziko juu yenu, enyi watu wa nyumba hii!
169 11, 86 | Mungu ndiyo bora kwa ajili yenu, ikiwa nyinyi ni Waumini.
170 11, 92 | mmemueka nyuma ya migongo yenu! Hakika Mola wangu Mlezi
171 11, 116| hawakuwamo katika watu wa kabla yenu wenye vyeo na wasaa wanao
172 12, 9 | nchi mbali ili uso wa baba yenu ukuelekeeni nyinyi. Na baada
173 12, 59 | alisema: Nileteeni ndugu yenu kwa baba. Je! Hamwoni ya
174 12, 80 | Je! Hamjui ya kwamba baba yenu amechukua ahadi kwenu kutokana
175 12, 81 | 81. Rudini kwa baba yenu, na mwambieni: Ee baba yetu!
176 12, 92 | Akasema: Leo hapana lawama juu yenu. Mwenyezi Mungu atakusameheni,
177 13, 10 | anaye ficha kauli yake kati yenu na anaye idhihirisha, na
178 13, 24 | Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyo subiri!
179 14, 9 | Hazikukufikieni khabari za walio kabla yenu? Kaumu ya Nuhu, na A'adi,
180 14, 10 | apate kukufutieni madhambi yenu, na akupeni muhula mpaka
181 14, 22 | Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni,
182 14, 30 | Stareheni! Kwani marejeo yenu ni Motoni! ~~~~~~
183 14, 32 | akatoa matunda kuwa ni riziki yenu. Na akafanya yakutumikieni
184 14, 33 | jua na mwezi kwa manufaa yenu daima dawamu, na akaufanya
185 14, 33 | usiku na mchana kwa manufaa yenu. ~~~~~~
186 15 | mnazo zitumia katika maneno yenu, na juu ya hivyo ni Muujiza
187 15, 20 | tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyi
188 15, 57 | Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe? ~~~~~~
189 15, 65 | nyuma yao, wala yeyote kati yenu asigeuke nyuma. Na mwende
190 16, 7 | 7. Na hubeba mizigo yenu kupeleka kwenye miji msiyo
191 16, 11 | Yeye anaizalisha kwa ajili yenu mimea, na mizaituni, na
192 16, 32 | wanawaambia: Amani iwe juu yenu! Ingieni Peponi kwa sababu
193 16, 71 | Mungu amewafadhilisha baadhi yenu kuliko wengine katika riziki.
194 16, 72 | amekuumbieni wake katika jinsi yenu, na akakujaalieni kutoka
195 16, 80 | Mungu amekujaalieni majumba yenu yawe ni maskani yenu, na
196 16, 80 | majumba yenu yawe ni maskani yenu, na amekujaalieni kutokana
197 16, 92 | njia ya kudanganyana baina yenu kwa kuwa ati taifa moja
198 16, 94 | njia ya kudanganyana baina yenu. Usije mguu ukateleza badala
199 17, 63 | Jahannamu itakuwa ndiyo malipo yenu, malipo ya kutimia. ~~~~~~
200 18, 16 | ya kukufaeni katika mambo yenu. ~~~~~~
201 18, 95 | Nitakujengeeni kizuizi baina yenu na wao. ~~~~~~
202 20, 59 | 59. Akasema: Miadi yenu ni siku ya Sikukuu; na watu
203 20, 63 | wanataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wao, na waondoe
204 20, 71 | yakini nitakukateni mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha.
205 20, 71 | nitakukateni mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha. Na nitakutundikeni
206 20, 80 | Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande
207 21, 10 | ndani yake yamo makumbusho yenu. Je! Hamzingatii? ~~~~~~
208 21, 36 | huyu anaye itaja miungu yenu? Na hali wao wanakataa kumkumbuka
209 21, 57 | Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka
210 21, 67 | 67. Aibu yenu nyinyi na hivyo mnavyo viabudu
211 21, 68 | moto, na muinusuru miungu yenu, ikiwa nyinyi ni watendao
212 21, 80 | mavazi ya vita kwa ajili yenu ili yakuhifadhini katika
213 21, 103| kuwaambia): Hii ndiyo Siku yenu mliyo kuwa mkiahidiwa! ~~~~~~
214 22 | Kwani hii ni Dini ya baba yenu Ibrahim aliye mzaa Ismail,
215 22 | dnan. Na matokeo ya mambo yenu ni kuwa Mtume wenu akushuhudieni
216 22, 69 | Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu Siku ya Kiyama katika hayo
217 22, 78 | amekuteueni. Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika Dini.
218 22, 78 | Dini. Nayo ni mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi
219 22, 78 | ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi muwe mashahidi
220 23, 17 | kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa
221 23, 24 | Anataka kujipa ubora juu yenu. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu
222 24, 10 | fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na ya kuwa
223 24, 14 | fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake katika dunia
224 24, 20 | fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na kuwa
225 24, 21 | Mungu na rehema yake juu yenu, asingeli takasika miongoni
226 24, 29 | ndani yake yamo manufaa yenu. Na Mwenyezi Mungu anajua
227 24, 33 | katika wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki, basi
228 24, 34 | na walio tangulia kabla yenu na mawaidha kwa wachamngu. ~~~~~~
229 24, 54 | bebeshwa, na yaliyo juu yenu ni mliyo bebshwa nyinyi.
230 24, 58 | idhini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia na walio bado kubaalighi
231 24, 61 | washikia funguo zao, au rafiki yenu. Si vibaya kwenu mkila pamoja
232 24, 63 | Msifanye wito wa Mtume baina yenu kama wito wa nyinyi kwa
233 25, 20 | Na tumewajaalia baadhi yenu wawe ni majaribio kwa wengine;
234 26, 35 | Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna
235 26, 49 | mtakuja jua! Nitakata mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha.
236 26, 49 | Nitakata mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha. Na nitakubandikeni
237 26, 155| na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu. ~~~~~~
238 27, 36 | nyinyi mnafurahia hii zawadi yenu. ~~~~~~
239 27, 38 | wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake
240 28, 12 | nyumba watakao mlea kwa ajili yenu, nao pia watakuwa wema kwake? ~~~~~~
241 28, 55 | Salamun Alaikum, Amani juu yenu! Sisi hatutaki kujibizana
242 29, 8 | Kwangu Mimi ndio marejeo yenu, na nitakwambieni mliyo
243 29, 12 | nasi tutayabeba makosa yenu. Wala wao hawatabeba katika
244 29, 16 | mcheni Yeye. Hiyo ndiyo kheri yenu, ikiwa nyinyi mnajua. ~~~~~~
245 29, 18 | kadhaa wa kadhaa za kabla yenu zilikwisha kadhibisha. Na
246 29, 25 | kwa mapenzi yaliyo baina yenu katika uhai wa duniani.
247 29, 25 | nyinyi kwa nyinyi. Na makaazi yenu ni Motoni. Wala hamtapata
248 29, 29 | njia? Na katika mikutano yenu mnafanya maovu? Basi haikuwa
249 30, 21 | mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila
250 30, 28 | hao iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia mnao washirika
251 31, 15 | elekea kwangu. Kisha marejeo yenu ni kwangu Mimi, na Mimi
252 32, 11 | mauti aliye wakilishwa juu yenu; kisha mtarejeshwa kwa Mola
253 32, 14 | mlivyo usahau mkutano wa Siku yenu hii. Na Sisi hakika tunakusahauni.
254 33, 5 | zenu. Wala si lawama juu yenu kwa mlivyo kosea. Lakini
255 33, 9 | Mwenyezi Mungu zilio juu yenu. Pale yalipo kufikilieni
256 33, 10 | Walipo kujieni kutoka juu yenu, na kutoka chini yenu; na
257 33, 10 | juu yenu, na kutoka chini yenu; na macho yalipo kodoka,
258 33, 19 | 19. Wana choyo juu yenu. Ikifika khofu utawaona
259 33, 71 | na akusameheni madhambi yenu. Na anaye mt'ii Mwenyezi
260 34, 37 | 37. Na si mali yenu wala watoto wenu watakao
261 35, 3 | neema za Mwenyezi Mungu juu yenu. Ati yupo muumba mwengine
262 35, 6 | Hakika Shet'ani ni adui yenu, basi mfanyeni kuwa ni adui.
263 35, 14 | Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni.
264 36, 45 | Jilindeni na yalioko mbele yenu na yalioko nyuma yenu, ili
265 36, 45 | mbele yenu na yalioko nyuma yenu, ili mpate kurehemewa... ~~~~~~
266 37, 30 | hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa
267 38, 6 | zenu na dumuni na miungu yenu, kwani hili ni jambo lililo
268 39, 7 | mwingine. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Mlezi.
269 39, 71 | kukuonyeni mkutano wa siku yenu hii? Watasema: Kwani! Lakini
270 39, 73 | Salaam Alaikum, Amani iwe juu yenu! Mmet'ahirika. Basi ingieni
271 40, 26 | asije kubadilishieni dini yenu, au akatangaza uharibifu
272 40, 67 | mpate kuwa wazee. Na kati yenu wapo wanao kufa kabla, na
273 41, 22 | wenye kujificha hata masikio yenu, na macho yenu, na ngozi
274 41, 22 | hata masikio yenu, na macho yenu, na ngozi zenu, zisikushuhudilieni.
275 41, 23 | 23. Basi hiyo dhana yenu mliyo kuwa mkimdhania Mola
276 42, 15 | nimeamrishwa nifanye uadilifu baina yenu. Mwenyezi Mungu ni Mola
277 42, 30 | sababu ya vitendo vya mikono yenu. Naye anasamehe mengi. ~~~~~~
278 43, 62 | ani. Hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri. ~~~~~~
279 45, 29 | kitabu chetu kinasema juu yenu kwa haki. Hakika Sisi tulikuwa
280 45, 34 | mlivyo sahau mkutano wa siku yenu hii; na mahali penu ni Motoni,
281 47, 7 | na ataithibitisha miguu yenu. ~~~~~~
282 47, 36 | wenu, wala hakutakeni mali yenu. ~~~~~~
283 47, 38 | atawaleta watu wengine badala yenu, nao hawatakuwa kama nyinyi. ~~~~~~~~~~~~~~~~~~
284 48, 24 | mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika bonde la Makka
285 49, 12 | aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo
286 49, 15 | mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu
287 51, 14 | 14. Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza. ~~~~~~
288 56, 57 | Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa
289 56, 78 | ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha? ~~~~~~
290 57, 8 | Naye amekwisha chukua ahadi yenu, ikiwa nyinyi ni Waumini. ~~~~~~
291 57, 12 | na kuliani kwao: Furaha yenu leo - Bustani zipitazo mito
292 57, 13 | tupate mwangaza katika nuru yenu. Waambiwe: Rejeeni nyuma
293 57, 13 | Waambiwe: Rejeeni nyuma yenu mkaitafute nuru! Utiwe baina
294 57, 15 | wale walio kufuru. Makaazi yenu ni Motoni, ndio bora kwenu;
295 57, 20 | na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi
296 58, 1 | Mungu anayasikia majibizano yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni
297 58, 13 | Mwenyezi Mungu akapokea toba yenu, basi shikeni Sala, na toeni
298 59, 11 | hatutamt'ii yeyote kabisa dhidi yenu. Na mkipigwa vita lazima
299 60, 1 | mwenye kufanya hayo kati yenu basi ameipotea njia ya sawa. ~~~~~~
300 60, 3 | Mungu atapambanua baina yenu, na Mwenyezi Mungu anayaona
301 60, 7 | Mungu akatia mapenzi baina yenu na hao maadui zenu, na Mwenyezi
302 61, 11 | Mwenyezi Mungu kwa mali yenu na nafsi zenu. Haya ni bora
303 63, 9 | Yasikusahaulisheni mali yenu, wala watoto wenu, kumkumbuka
304 64, 15 | 15. Hakika mali yenu na watoto wenu ni jaribio.
305 65, 6 | wema. Na mkiona uzito kati yenu, basi amnyonyeshee mwanamke
306 66, 5 | akampa wake wengine badala yenu nyinyi, walio bora kuliko
307 66, 8 | Mlezi akakufutieni maovu yenu na akakuingizeni katika
308 67 | na mbinguni upeo wa macho yenu, ili hayo yawe ndiyo njia
309 67, 15 | idhalilisha ardhi kwa faida yenu, basi tembeeni katika pande
310 67, 30 | Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani
311 68, 6 | 6. Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu. ~~~~~~
312 69, 18 | haitafichika siri yoyote yenu. ~~~~~~
313 71, 4 | Atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni mpaka
314 71, 23 | wakasema: Msiwaache miungu yenu, wala msimwache Wadda wala
315 73, 15 | Mtume aliye shahidi juu yenu, kama tulivyo mtuma Mtume
316 73, 20 | ani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine
317 76, 22 | 22. Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa. ~~~~~~
318 78, 12 | 12. Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu? ~~~~~~
319 79, 33 | 33. Kwa nafuu yenu na mifugo yenu. ~~~~~~
320 79, 33 | Kwa nafuu yenu na mifugo yenu. ~~~~~~
321 80, 32 | 32. Kwa manufaa yenu na mifugo yenu. ~~~~~~
322 80, 32 | Kwa manufaa yenu na mifugo yenu. ~~~~~~
323 82, 10 | ya shaka wapo walinzi juu yenu, ~~~~~~
324 109, 6 | 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu. ~~~~~~~~~~~~~~~~~~
|