bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2 | Shuruti ya Imani ni kukiri kwa nafsi na kukubali kwa moyo kila
2 2 | Mwenyezi Mungu hailazimishi nafsi ila kwa kiasi ya uwezo wake,
3 2 | haijuzu mtu kujipelekea nafsi yake kwenye maangamizo.
4 2, 9 | lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui. ~~~~~~
5 2, 44 | watu mema na mnajisahau nafsi zenu, na hali nyinyi mnasoma
6 2, 54 | Hakika nyinyi mmezidhulumu nafsi zenu kwa kuchukua kwenu
7 2, 54 | kwa Muumba wenu na ziueni nafsi zenu. Haya ni bora kwenu
8 2, 57 | lakini walikuwa wanajidhulumu nafsi zao. ~~~~~~
9 2, 87 | yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine
10 2, 90 | Kiovu kweli walicho jiuzia nafsi zao, nacho ni kule kukataa
11 2, 102| kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua. ~~~~~~
12 2, 109| uhasidi uliomo ndani ya nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia
13 2, 110| kheri mtakazo jitangulizia nafsi zenu mtazikuta kwa Mwenyezi
14 2, 130| Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na
15 2, 187| kwamba mlikuwa mkizikhini nafsi zenu. Kwa hivyo amekukubalieni
16 2, 207| watu yupo ambaye huiuza nafsi yake kwa kutaka radhi za
17 2, 223| Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi
18 2, 231| fanya hivyo, amejidhulumu nafsi yake. Wala msizichukulie
19 2, 235| Mungu anajua yaliyomo katika nafsi zenu. Basi tahadharini naye.
20 2, 272| yoyote mnayo toa ni kwa nafsi zenu. Wala msitoe ila kwa
21 2, 281| Mwenyezi Mungu, kisha kila nafsi italipwa ilicho chuma. Nao
22 2, 284| mkidhihirisha yaliyomo katika nafsi zenu au mkayaficha, Mwenyezi
23 2, 286| Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya
24 3, 25 | shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma,
25 3, 30 | 30. Siku ambayo kila nafsi itakuta mema iliyo yafanya
26 3, 30 | ubaya ilio ufanya. Itapenda nafsi lau kungekuwako masafa marefu
27 3, 69 | kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui. ~~~~~~
28 3, 117| shamba la watu walio dhulumu nafsi zao, ukaliteketeza. Na Mwenyezi
29 3, 117| wao wenyewe wanadhulumu nafsi zao. ~~~~~~
30 3, 135| uchafu au wakajidhulumu nafsi zao humkumbuka Mwenyezi
31 3, 145| 145. Na haiwezi nafsi kuwa ife ila kwa idhini
32 3, 154| kati yenu. Na kundi jengine nafsi zao ziliwashughulisha hata
33 3, 154| Mungu. Wanaficha katika nafsi zao wasiyo kubainishia.
34 3, 168| uliwa. Sema: Ziondoleeni nafsi zenu mauti kama mnasema
35 3, 185| 185. Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya
36 3, 186| misukosuko katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka yoyote
37 4, 1 | aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe
38 4, 1 | na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana
39 4, 63 | kuathiri na kuingia katika nafsi zao. ~~~~~~
40 4, 64 | lau pale walipo jidhulumu nafsi zao wangeli kujia, wakamwomba
41 4, 79 | lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa
42 4, 84 | Mungu. Hukalifishwi ila nafsi yako tu. Na wahimize Waumini.
43 4, 95 | Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao. Mwenyezi Mungu amewatukuza
44 4, 95 | wanao pigana kwa mali yao na nafsi zao kuliko wale wanao kaa
45 4, 97 | wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema:
46 4, 107| Wala usiwatetee wanao khini nafsi zao. Hakika Mwenyezi Mungu
47 4, 110| tenda uovu au akajidhulumu nafsi yake, kisha akaomba maghfira
48 4, 111| dhambi, basi ameichumia nafsi yake mwenyewe. Na Mwenyezi
49 4, 113| kukupoteza. Wala hawapotezi ila nafsi zao, wala hawawezi kukudhuru
50 4, 128| suluhu. Na suluhu ni bora. Na nafsi zimewekewa machoni mwake
51 4, 135| Mungu, ijapo kuwa ni juu ya nafsi zenu, au wazazi wawili na
52 5, 25 | Hakika mimi similiki ila nafsi yangu na ndugu yangu. Basi
53 5, 30 | 30. Basi nafsi yake ikampelekea kumuuwa
54 5, 52 | kwa waliyo yaficha katika nafsi zao. ~~~~~~
55 5, 70 | Mtume kwa wasio yapenda nafsi zao wengine waliwakanusha
56 5, 80 | maovu yaliyo tangulizwa na nafsi zao hata Mwenyezi Mungu
57 5, 105| Kilicho lazima juu yenu ni nafsi zenu. Hawakudhuruni walio
58 5, 116| unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui
59 5, 116| mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye
60 6, 12 | Mungu. Yeye amejilazimisha nafsi yake kurehemu. Hakika atakukusanyeni
61 6, 20 | wao. Wale walio zikhasiri nafsi zao hawaamini. ~~~~~~
62 6, 26 | nayo. Nao hawaangamizi ila nafsi zao tu, wala wao hawatambui. ~~~~~~
63 6, 70 | Nawe kumbusha kwayo, isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu
64 6, 98 | kuzalisheni kutokana na nafsi moja. Pako pahali pa kutulia
65 6, 123| hawafanyii vitimbi isipo kuwa nafsi zao, nao hawatambui. ~~~~~~
66 6, 130| watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya
67 6, 151| yanayo fichikana. Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu ameharimisha
68 6, 164| Mlezi wa kila kitu? Na kila nafsi haichumii ila nafsi yake.
69 6, 164| kila nafsi haichumii ila nafsi yake. Na habebi mwenye kubeba
70 7, 9 | ndio walio zitia khasarani nafsi zao kwa sababu ya kuzipinga
71 7, 23 | wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe
72 7, 53 | Bila ya shaka wamejikhasiri nafsi zao, na yamewapotea waliyo
73 7, 172| na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi
74 7, 177| Ishara zetu na wakajidhulumu nafsi zao. ~~~~~~
75 7, 188| 188. Sema: Siimilikii nafsi yangu manufaa wala madhara,
76 7, 189| ndiye aliye kuumbeni katika nafsi moja; na katika hiyo hiyo
77 8, 53 | wabadilishe yaliyomo ndani ya nafsi zao. Na hakika Mwwnyezi
78 8, 72 | Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao, na wale walio toa mahala
79 9, 20 | Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao, hao wana cheo kikubwa
80 9, 35 | Haya ndiyo mlio jilimbikia nafsi zenu, basi onjeni mliyo
81 9, 36 | iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na
82 9, 41 | Jihadi kwa mali yenu na nafsi zenu katika Njia ya Mwenyezi
83 9, 42 | pamoja nanyi. Wanaziangamiza nafsi zao. Na Mwenyezi Mungu anajua
84 9, 44 | kupigana Jihadi kwa mali yao na nafsi zao. Na Mwenyezi Mungu ni
85 9, 81 | kupigana Jihadi kwa mali zao na nafsi zao, na wakasema: Msitoke
86 9, 88 | waliwania Jihadi kwa mali zao na nafsi zao. Hao ndio watakao pata
87 9, 111| Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa
88 9, 118| juu ya ukunjufu wake, na nafsi zao zikabanika, na wakayakinika
89 9, 120| Mtume, wala kujipendelea nafsi zao kuliko yeye. Hayo ni
90 10 | Mungu Mtukufu, na hali za nafsi za watu, na vipi Mwenyezi
91 10, 15 | kuibadilisha kwa nitakavyo nafsi yangu. Mimi sifuati ila
92 10, 44 | watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao. ~~~~~~
93 10, 49 | 49. Sema: Sijimilikii nafsi yangu shari wala kheri ila
94 10, 54 | 54. Na lau kuwa kila nafsi iliyo dhulumu inamiliki
95 10, 108| ongoka anaongoka kwa faida ya nafsi yake, na anaye potea anapotea
96 10, 108| anapotea kwa khasara ya nafsi yake. Na mimi si mwakilishi
97 11, 21 | Hao ndio walio zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo
98 11, 31 | Mungu anajua yaliomo katika nafsi zao - hapo bila ya shaka
99 12, 18 | ya uwongo. Akasema: Bali nafsi zenu zimekushawishini kutenda
100 12, 23 | Yusuf alimtamani kinyume cha nafsi yake, na akafunga milango.
101 12, 51 | mlipo mtaka Yusuf kinyume na nafsi yake? Wakasema: Hasha Lillahi!
102 12, 51 | niliye mtaka kinyume na nafsi yake, na hakika yeye ni
103 12, 53 | sijitoi lawamani. Kwa hakika nafsi ni mno kuamrisha maovu,
104 12, 68 | haja tu iliyo kuwa katika nafsi ya Yaa'qub aliitimiza. Na
105 12, 83 | 83. Akasema: Bali nafsi zenu zimekushawishini kwenye
106 13 | kusimamia vitu vyote na nafsi zote, na kwamba Yeye ni
107 13, 33 | Je! Anaye isimamia kila nafsi kwa yale iliyo yachuma...?
108 13, 41 | anajua inayo chuma kila nafsi. Na makafiri watajua ni
109 14, 45 | zile za walio zidhulumu nafsi zao. Na ikakudhihirikieni
110 14, 51 | Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma.
111 16, 7 | kuifikia ila kwa mashaka ya nafsi. Hakika Mola wenu Mlezi
112 16, 28 | waliwafisha nao wamejidhulumu nafsi zao! Basi watasalimu amri,
113 16, 111| 111. Siku ambayo kila nafsi itakuja jitetea, na kila
114 16, 111| itakuja jitetea, na kila nafsi italipwa sawa sawa na a'
115 17, 7 | mkifanya wema, mnajifanyia wema nafsi zenu. Na mkifanya ubaya,
116 17, 14 | Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu. ~~~~~~
117 17, 15 | basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi
118 17, 33 | 33. Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza
119 18, 6 | 6. Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia
120 18, 28 | 28. Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba
121 18, 35 | naye hali anajidhulumu nafsi yake. Akasema: Sidhani kabisa
122 18, 51 | ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao
123 20, 15 | Nimekaribia kuificha, ili kila nafsi ilipwe kwa iliyo yafanya. ~~~~~~
124 20, 41 | nimekuteuwa kwa ajili ya nafsi yangu. ~~~~~~
125 20, 67 | Basi Musa akaingia khofu nafsi yake. ~~~~~~
126 20, 96 | ndivyo ilivyo nielekeza nafsi yangu. ~~~~~~
127 21, 35 | 35. Kila nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni
128 21, 43 | Hao hawawezi kujinusuru nafsi zao, wala hawatalindwa nasi! ~~~~~~
129 21, 47 | kwa Siku ya Kiyama. Basi nafsi haitadhulumiwa kitu chochote.
130 21, 64 | 64. Basi wakajirudi nafsi zao, wakasema: Hakika nyinyi
131 21, 102| katika yale zinayo yatamani nafsi zao. ~~~~~~
132 23, 62 | 62. Na hatuilazimishi nafsi ila kwa kadri ya uwezo wake.
133 23, 103| ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na katika Jahannamu
134 24, 6 | na hawana mashahidi ila nafsi zao, basi ushahidi wa mmoja
135 25, 3 | hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara wala manufaa,
136 25, 21 | yakini hawa wamejiona bora nafsi zao, na wamepanda kichwa
137 25, 68 | Mwenyezi Mungu, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha Mwenyezi
138 26, 3 | Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini. ~~~~~~
139 27, 14 | kujivuna, na hali ya kuwa nafsi zao zina yakini nazo. Basi
140 27, 40 | anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa
141 27, 44 | Mlezi! Mimi nimejidhulumu nafsi yangu, na sasa nanyenyekea
142 27, 92 | basi ameongoka kwa faida ya nafsi yake; na aliye potea - basi
143 28, 16 | Hakika mimi nimejidhulumu nafsi yangu; basi nisamehe. Akamsamehe;
144 29, 6 | anafanya juhudi kwa ajili ya nafsi yake. Hakika Mwenyezi Mungu
145 29, 40 | walikuwa wenyewe wakijidhulumu nafsi zao. ~~~~~~
146 29, 57 | 57. Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa
147 30, 8 | 8. Je! Hawajifikirii nafsi zao? Mwenyezi Mungu hakuumba
148 30, 9 | lakini walikuwa wakijidhulumu nafsi zao. ~~~~~~
149 30, 21 | amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao.
150 30, 28 | Amekupigieni mfano kutokana na nafsi zenu. Je! Katika hao iliyo
151 30, 29 | dhulumu wamefuata mapendo ya nafsi zao pasina kujua. Basi nani
152 30, 44 | mema, basi wanazitengezea nafsi zao. ~~~~~~
153 31, 12 | anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake. Na aliye kufuru, basi
154 31, 28 | kufufuliwa kwenu ila ni kama nafsi moja tu. Hakika Mwenyezi
155 31, 34 | matumbo ya uzazi. Na haijui nafsi yoyote itachuma nini kesho.
156 31, 34 | itachuma nini kesho. Wala nafsi yoyote haijui itafia nchi
157 32, 17 | 17. Nafsi yoyote haijui waliyo fichiwa
158 33 | kuzifuata, na wajilazimishe nafsi zao kuzishika. Tena ikaangukia
159 33, 6 | zaidi kwa Waumini kuliko nafsi zao. Na wake zake ni mama
160 34, 19 | safari zetu. Na wakazidhulumu nafsi zao. Basi tukawafanya ni
161 34, 50 | basi nimepotea kwa kudhuru nafsi yangu mwenyewe. Na ikiwa
162 35, 8 | humwongoa amtakaye. Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia.
163 35, 18 | anajitakasa kwa ajili ya nafsi yake. Na marejeo ni kwa
164 35, 32 | yao yupo aliye jidhulumu nafsi yake, na yupo wa katikati,
165 36, 36 | mea katika ardhi na katika nafsi zao, na katika wasivyo vijua. ~~~~~~
166 36, 54 | 54. Basi leo nafsi yoyote haitadhulumiwa kitu,
167 37, 113| wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi. ~~~~~~
168 38 | hayo, na yeye hakujileta nafsi yake. Na Qur'ani si chochote
169 39 | kuongoka ni kwa maslaha ya nafsi yake, na mwenye kupotea
170 39 | kupotea dhambi zake ni juu ya nafsi yake. Na hakika Mtume s.
171 39 | waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema
172 39, 6 | Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe
173 39, 6 | akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile. Na akakuleteeni
174 39, 15 | ni wale walio jikhasiri nafsi zao na ahali zao Siku ya
175 39, 41 | Basi mwenye kuongoka ni kwa nafsi yake, na mwenye kupotoka
176 39, 53 | waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema
177 39, 56 | 56. Isije ikasema nafsi: Ee majuto yangu kwa yale
178 39, 70 | 70. Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo
179 40 | Mungu na uwezo wake katika nafsi zao, na yaliyo wazunguka
180 40, 10 | kuliko kujichukia nyinyi nafsi zenu, mlipo kuwa mnaitwa
181 40, 17 | 17. Leo kila nafsi italipwa kwa iliyo chuma.
182 41 | upeo wa macho na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie
183 41, 31 | mtapata kinacho tamaniwa na nafsi zenu, na humo mtapata mtakavyo
184 41, 46 | basi anajitendea mwenyewe nafsi yake, na mwenye kutenda
185 41, 46 | kutenda uovu basi ni juu ya nafsi yake vile vile; wala Mola
186 41, 53 | upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie
187 42, 11 | amekujaalieni mke na mume katika nafsi zenu, na katika nyama hoa
188 42, 45 | khasara ni hao walio khasiri nafsi zao na ahali zao Siku ya
189 43, 71 | vikombe; na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia,
190 45 | watakapo kusanywa wapotovu kila nafsi itaitwa ikapokee kitabu
191 45, 15 | mema basi ni kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kutenda
192 45, 22 | ardhi kwa haki, na ili kila nafsi ilipwe yale iliyo yachuma.
193 48, 10 | hizi anavunja kwa kuidhuru nafsi yake; na anaye tekeleza
194 49, 14 | Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao. Hao ndio wakweli. ~~~~~~
195 50 | yanayo wapitikia katika nafsi zao. Na Yeye anavisajili
196 50, 14 | tunayajua yanayo mpitikia katika nafsi yake. Na Sisi tuko karibu
197 50, 19 | 21. Na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji
198 51 | kuumba kwake, na katika nafsi zao, na katika mambo ya
199 51, 21 | 21. Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni? ~~~~~~
200 51, 28 | Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na
201 53, 23 | ila dhana tu na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu
202 53, 38 | 38. Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi
203 57 | Mwenyezi Mungu, na inazituza nafsi kwamba kila kinacho msibu
204 57, 14 | mkatia shaka, na matamanio ya nafsi zenu yakakudanganyeni. mpaka
205 57, 22 | katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa
206 58, 8 | Mungu. Na husema katika nafsi zao: Mbona Mwenyezi hatuadhibu
207 59 | Wahajiri, wakimbizi, kuliko nafsi zao, ijapo kuwa wao wenyewe
208 59 | Mungu, naye akawasahaulisha nafsi zao. ~Na ikakhitimisha Sura
209 59, 9 | bali wanawapendelea kuliko nafsi zao, ingawa wao wenyewe
210 59, 9 | mwenye kuepushwa uchoyo wa nafsi yake, basi hao ndio wenye
211 59, 18 | Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza
212 59, 19 | na Yeye akawasahaulisha nafsi zao. Hao ndio wapotovu. ~~~~~~
213 61, 11 | Mwenyezi Mungu kwa mali yenu na nafsi zenu. Haya ni bora kwenu,
214 63, 11 | Mwenyezi Mungu hataiakhirisha nafsi yoyote inapo fika ajali
215 64, 16 | toeni, itakuwa kheri kwa nafsi zenu. Na mwenye kuepushwa
216 64, 16 | mwenye kuepushwa na uchoyo wa nafsi yake, basi hao ndio walio
217 65, 1 | Mungu, basi amejidhulumu nafsi yake. Hujui; labda Mwenyezi
218 66 | na baadhi ya mambo ambayo nafsi huyapenda na Mwenyezi Mungu
219 66 | kuwaamrisha Waumini wajikinge nafsi zao na ahali zao na Moto
220 66 | wamesimama sawa sawa. Kwani kila nafsi ina dhamana kwa vitendo
221 66, 6 | Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto
222 67 | Mungu ulio zagaa katika nafsi za watu na katika viumbe
223 68 | wanakanywa madai yao wanao jidaia nafsi zao bila ya haki, na wanatiwa
224 71 | waangamie, na akajiombea nafsi yake, na wanawe, Waumini
225 73, 20 | itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Mwenyezi
226 74 | kukhofisha. Na ikataja khabari za nafsi kwa zinavyo chuma kheri
227 74, 38 | 38. Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya
228 75, 2 | 2. Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu! ~~~~~~
229 75, 14 | Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake. ~~~~~~
230 79, 40 | wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio, ~~~~~~
231 81, 7 | 7. Na nafsi zikaunganishwa, ~~~~~~
232 81, 14 | 14. Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha. ~~~~~~
233 82 | Siku ya Kiyama, siku ambayo nafsi haitoweza kuimilikia nafsi
234 82 | nafsi haitoweza kuimilikia nafsi nyengine chochote. Na amri
235 82, 5 | 5. Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza,
236 82, 19 | 19. Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote
237 82, 19 | na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo
238 86 | inatilia mkazo kuwa kila nafsi ina mlinzi wake na muangalizi,
239 86, 4 | 4. Hapana nafsi ila inayo mwangalizi. ~~~~~~
240 89 | yanayo kuwa ya kuiliwaza nafsi iliyo tua iliyo tanguliza
241 89, 27 | 27. Ewe nafsi iliyo tua! ~~~~~~
242 91 | kufuzu kwa mwenye kuisafisha nafsi yake kwa Imani na ut'iifu,
243 91, 7 | 7. Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza! ~~~~~~
244 100 | atakuwa ni shahidi dhidi ya nafsi yake kwa aliyo kuwa nayo.
245 110 | na amwombe msamaha kwa nafsi yake na kwa Waumini, kwa
246 113 | ingia giza, yanayo yasibu nafsi katika hali ya upweke, na
|