Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
muonye 1
muovu 12
muqaddas 1
musa 187
muuchukie 1
muudhi 3
muujiza 11
Frequency    [«  »]
190 kufuru
189 wetu
188 kwani
187 musa
185 mema
184 kweli
183 ikiwa

Qu'rani

IntraText - Concordances

musa

                                                 bold = Main text
    Sura, verse                                  grey = Comment text
1 2 | Mungu, na kwa vituko vyao na Musa a.s. na kuwakumbusha khabari 2 2 | kuwakumbusha mambo ambayo umma wa Musa na umma wa Muhammad walivyo 3 2, 51 | 51. Na tulipo muahidi Musa masiku arubaini, kisha mkachukua 4 2, 53 | 53. Na tulipo mpa Musa Kitabu na pambanuo ili mpate 5 2, 54 | 54. Na Musa alipo waambia watu wake: 6 2, 55 | 55. Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatutakuamini mpaka tumwone 7 2, 60 | 60. Na Musa alipo omba maji kwa ajili 8 2, 61 | 61. Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatuwezi kuvumilia chakula 9 2, 67 | 67. Na Musa alipo waambia watu wake: 10 2, 87 | 87. Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada 11 2, 92 | 92. Na alikufikieni Musa na hoja zilizo waziwazi, 12 2, 108| Mtume wenu kama alivyo ombwa Musa zamani? Na anaye badilisha 13 2, 136| wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa 14 2, 246| Wana wa Israili baada ya Musa, walipo mwambia Nabii wao: 15 2, 248| mabaki ya waliyo yaacha kina Musa na kina Harun, wanalichukua 16 3, 84 | wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine 17 4, 153| hakika walikwisha mtaka Musa makubwa kuliko hayo. Walisema: 18 4, 153| tukasamehe hayo, na tukampa Musa nguvu zilizo dhaahiri. ~~~~~~ 19 4, 164| Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno. ~~~~~~ 20 5, 20 | 20. Na pale Musa alipo waambia watu wake: 21 5, 22 | 22. Wakasema: Ewe Musa! Huko wako watu majabari. 22 5, 24 | 24. Wakasema: Ewe Musa! Sisi hatutaingia humo kamwe 23 6, 84 | Suleiman na Ayyub na Yusuf na Musa na Harun. Na hivi ndivyo 24 6, 91 | Kitabu alicho kuja nacho Musa, chenye nuru na uwongofu 25 6, 154| 154. Tena tulimpa Musa Kitabu kwa kumtimizia (neema) 26 7 | amefuatilizia hayo kwa kisa cha Musa na yaliyo tokea katika mambo 27 7, 103| Kisha baada yao tukamtuma Musa na Ishara zetu kwa Firauni 28 7, 104| 104. Na Musa alisema: Ewe Firauni! Hakika 29 7, 115| 115. Wakasema: Ewe Musa! Je, utatupa wewe, au tutakuwa 30 7, 117| 117. Nasi tukamfunulia Musa kumwambia: Tupa fimbo yako. 31 7, 122| 122. Mola Mlezi wa Musa na Haarun. ~~~~~~ 32 7, 127| kaumu ya Firauni: Unamuacha Musa na watu wake walete uharibifu 33 7, 128| 128. Musa akawaambia watu wake: Ombeni 34 7, 129| na baada ya wewe kutujia! Musa akasema: Huenda Mola wenu 35 7, 131| Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja naye ni 36 7, 134| waangukia adhabu wakasema: Ewe Musa! Tuombee kwa Mola wako Mlezi 37 7, 138| masanamu yao. Wakasema: Ewe Musa! Hebu tufanyie na sisi miungu 38 7, 138| walivyo kuwa na miungu. Musa akasema: Hakika nyinyi ni 39 7, 142| 142. Tulimuahidi Musa masiku thalathini na tukayatimiza 40 7, 142| Mlezi masiku arubaini. Na Musa akamwambia nduguye Haarun: 41 7, 143| 143. Na alipo kuja Musa kwenye miadi yetu, na Mola 42 7, 143| aliufanya uvurugike, na Musa akaanguka chini amezimia. 43 7, 144| Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende 44 7, 150| 150. Na alipo rudi Musa kwa watu wake, naye amekasirika 45 7, 151| 151.(Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! 46 7, 154| 154. Na Musa ilipo mtulia ghadhabu aliziokota 47 7, 155| 155. Na Musa akawateuwa watu sabiini 48 7, 159| 159. Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa 49 7, 160| mbali mbali. Na tulimfunulia Musa walipo muomba maji watu 50 10 | hadithi ya Nuhu, na hadithi ya Musa na Harun na Firauni na Wana 51 10, 75 | Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na 52 10, 77 | 77. Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki 53 10, 80 | Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo 54 10, 81 | 81. Walipo tupa, Musa alisema: Mliyo leta ni uchawi. 55 10, 83 | 83. Basi hawakumuamini Musa isipo kuwa baadhi ya vijana 56 10, 84 | 84. Na Musa alisema: Enyi watu wangu! 57 10, 87 | 87. Na tukampelekea Musa na ndugu yake wahyi huu: 58 10, 88 | 88. Na Musa akasema: Mola wetu Mlezi! 59 11, 17 | yake kilikuwa Kitabu cha Musa kilicho kuwa mwongozi na 60 11, 96 | 96. Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na 61 11, 110| 110. Na kwa yakini tulimpa Musa Kitabu; zikazuka khitilafu 62 14, 5 | 5. Na tulimtuma Musa pamoja na miujiza yetu, 63 14, 6 | 6. Na Musa alipo waambia watu wake: 64 14, 8 | 8. Na Musa alisema: Mkikufuru nyinyi 65 17 | inaeleza Ujumbe wa Nabii Musa a.s., na yaliyo kuwa ya 66 17, 2 | 2. Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu 67 17, 101| 101. Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. 68 17, 101| Hakika mimi nakuona wewe Musa umerogwa! ~~~~~~ 69 17, 102| 102. Musa akasema: Wewe unajua bila 70 18 | Subhanahu ametaja hadithi ya Musa pamoja na Mja Mwema aliye 71 18, 60 | 60. Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: 72 18, 64 | 64. (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo 73 18, 66 | 66. Musa akamwambia: Nikufuate ili 74 18, 71 | jahazi (yule mtu) akaitoboa. (Musa) akasema: Unaitoboa uwazamishe 75 18, 73 | 73. (Musa) akasema: Usinichukulie 76 18, 74 | wakamkuta kijana, akamuuwa. (Musa) akasema: Ala! Umemuuwa 77 18, 77 | mja mwema) akausimamisha. (Musa) akasema: Ungeli taka ungeli 78 19, 51 | 51. Na mtaje Musa katika Kitabu. Hakika yeye 79 20 | Kisha kimesimuliwa kisa cha Musa a.s. pamoja na Firauni, 80 20 | anza kupewa utume Nabii Musa a.s. Na yametajwa maombi 81 20 | Mtukufu amebainisha kuzuka kwa Musa a.s. ~Katika Sura hii pana 82 20 | pana majibizano baina ya Musa na Firauni, tena baina ya 83 20 | na Firauni, tena baina ya Musa a.s. na wachawi, na hali 84 20 | a.s. na wachawi, na hali ya Musa ya kuogopa kushindwa mbele 85 20 | kuwaadhibu. Kisha ikatajwa vipi Musa alivyo toka yeye na Wana 86 20 | kupasuka bahari; na vipi Musa aliokoka akafika Jabal T' 87 20 | ndani yake hutoa sauti. Musa alikasirika kwa yaliyo tokea, 88 20 | kuvuka katika hadithi za Musa na nyenginezo. Na mwisho 89 20, 9 | je! Imekufikia hadithi ya Musa? ~~~~~~ 90 20, 11 | alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa! ~~~~~~ 91 20, 17 | mkononi mwako wa kulia, ewe Musa? ~~~~~~ 92 20, 19 | 19. Akasema: Itupe, ewe Musa! ~~~~~~ 93 20, 25 | 25. (Musa) akasema: Ewe Mola wangu 94 20, 36 | Umepewa maombi yako, ewe Musa! ~~~~~~ 95 20, 40 | kama ilivyo kadiriwa, ewe Musa! ~~~~~~ 96 20, 49 | wenu Mlezi ni nani, ewe Musa? ~~~~~~ 97 20, 57 | 57. Akasema: Ewe Musa! Hivyo umetujia kututoa 98 20, 61 | 61. Musa akamwambia: Ole wenu! Msimzulie 99 20, 65 | 65. Wakasema: Ewe Musa! Je! Utatupa wewe, au tutakuwa 100 20, 67 | 67. Basi Musa akaingia khofu nafsi yake. ~~~~~~ 101 20, 70 | Tumemuamini Mola Mlezi wa Harun na Musa! ~~~~~~ 102 20, 77 | 77. Na tulimfunulia Musa: Toka usiku na waja wangu, 103 20, 83 | ukawaacha watu wako, ewe Musa? ~~~~~~ 104 20, 86 | 86. Musa akarudi kwa watu wake kwa 105 20, 88 | mungu wenu, na mungu wa Musa, lakini alisahau. ~~~~~~ 106 20, 91 | Hatutaacha kumuabudu mpaka Musa atapo rejea kwetu. ~~~~~~ 107 20, 92 | 92. (Musa) akasema: Ewe Harun! Ni 108 20, 95 | 95. (Musa) akasema: Ewe Msamaria! 109 20, 97 | 97. (Musa) akasema: Basi ondoka! Na 110 21 | Kiyama. Na akataja hadithi ya Musa na Harun pamoja na Firauni, 111 21, 48 | Na kwa yakini tuliwapa Musa na Haaruni kipambanuzi, 112 22, 44 | Na watu wa Madiana. Na Musa pia alikanushwa. Nikawapa 113 23, 45 | 45. Kisha tukamtuma Musa na nduguye, Haaruni, pamoja 114 23, 49 | 49. Na hakika tulimpa Musa Kitabu ili wapate kuongoka. ~~~~~~ 115 25, 35 | 35. Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukamweka pamoja 116 26 | zao. Ikasimulia mkutano wa Musa na Harun walipo kutana na 117 26, 10 | wako Mlezi, alipo mwita Musa, akamwambia: Fika kwa watu 118 26, 20 | 20. (Musa) akasema: Nilitenda hayo 119 26, 26 | 26. (Musa) akasema: Ndiye Mola wenu 120 26, 28 | 28. (Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi 121 26, 43 | 43. Musa akwaambia: Tupeni mnavyo 122 26, 45 | 45. Musa tena akatupa fimbo yake, 123 26, 48 | 48. Mola Mlezi wa Musa na Harun. ~~~~~~ 124 26, 52 | 52. Na tulimuamrisha Musa kwa wahyi: Nenda na waja 125 26, 61 | majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila 126 26, 62 | 62. (Musa) akasema: Hasha! Hakika 127 26, 63 | 63. Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari 128 26, 65 | 65. Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye 129 27 | Baada yake kimekuja kisa cha Musa a.s. Na imetajwa baadhi 130 27, 7 | 7. (Kumbuka) Musa alipo waambia ahali zake: 131 27, 9 | 9. Ewe Musa! Hakika Mimi ndiye Mwenyezi 132 27, 10 | nyuma wala hakungoja. Ewe Musa! Usikhofu! Hakika hawakhofu 133 28 | kwa jumla katika mambo ya Musa a.s. tangu kuzaliwa kwake 134 28 | tokea kukhusu kulelewa kwake Musa katika nyumba ya Firauni, 135 28 | mazungumzo ya Mwenyezi Mungu na Musa, na kumteuwa yeye kwa kumpa 136 28 | na wachawi wake pamoja na Musa, mpaka Mwenyezi Mungu alipo 137 28 | Firauni na jeshi lake. Na Musa na Wana wa Israili walio 138 28 | Wana wa Israili pamoja na Musa na nduguye Harun. Na zimetajwa 139 28, 3 | Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa 140 28, 7 | Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. 141 28, 10 | 10. Na moyo wa mama yake Musa ukawa mtupu. Alikuwa karibu 142 28, 11 | Naye akamwambia dada yake Musa: Mfuatie. Basi naye akawa 143 28, 14 | 14. Na Musa alipo fika utu-uzima baraabara, 144 28, 15 | msaada kumpiga adui yake. Musa akampiga ngumi, akamuuwa. 145 28, 18 | anampigia kelele amsaidie. Musa akamwambia: Hakika wewe 146 28, 19 | wote wawili, akasema: Ewe Musa! Unataka kuniuwa kama ulivyo 147 28, 20 | akipiga mbio, akasema: Ewe Musa! Wakubwa wanashauriana kukuuwa. 148 28, 24 | 24. Basi Musa akawanyweshea; kisha akarudi 149 28, 28 | 28. Musa akasema: Hayo yamekwisha 150 28, 30 | barikiwa kutoka kwenye mti: Ewe Musa! Hakika Mimi ni Mwenyezi 151 28, 31 | hakutazama. (Akaambiwa): Ewe Musa! Njoo mbele wala usiogope. 152 28, 36 | 36. Basi alipo wafikia Musa na Ishara zetu, walisema: 153 28, 37 | 37. Na Musa akasema: Mola wangu Mlezi 154 28, 38 | nipate kumchungulia mungu wa Musa. Na hakika mimi namwona 155 28, 43 | hakika bila ya shaka tulimpa Musa Kitabu baada ya kwisha ziangamiza 156 28, 44 | wa magharibi tulipo mpa Musa amri, wala hukuwa katika 157 28, 48 | hakupewa kama aliyo pewa Musa? Je! Kwani wao hawakuyakataa 158 28, 48 | hawakuyakataa aliyo pewa Musa zamani? Walisema: Ni wachawi 159 28, 76 | Qaruni alikuwa katika watu wa Musa, lakini aliwafanyia dhulma. 160 29 | walivyo ikataa kaumu ya Musa na wengineo. Na akagusia 161 29, 39 | na Firauni na Hamana! Na Musa aliwajia kwa Ishara waziwazi, 162 32 | na waovu, na kuteremshiwa Musa a.s. Taurati, na vipi alivyo 163 32, 23 | Hakika Sisi tulikwisha mpa Musa Kitabu. Basi usiwe na shaka 164 33, 69 | kama wale walio mtaabisha Musa, lakini Mwenyezi Mungu akamtakasa 165 37, 114| hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni. ~~~~~~ 166 37, 120| 120. Iwe salama kwa Musa na Haruni! ~~~~~~ 167 40 | imesimulia kidogo katika kisa cha Musa a.s. pamoja na Firauni, 168 40, 23 | Na kwa yakini tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na 169 40, 26 | akasema: Niachieni nimuuwe Musa, naye amwite Mola wake Mlezi! 170 40, 27 | 27. Na Musa akasema: Mimi najikinga 171 40, 37 | mbinguni ili nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa hakika mimi bila 172 40, 53 | 53. Na kwa hakika tulimpa Musa uwongofu, na tukawarithisha 173 41, 45 | 45. Na hakika tulimpa Musa Kitabu, lakini pakatokea 174 42, 13 | tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini 175 43 | Sura inasimulia kisa cha Musa na Firauni, na alivyo ghurika 176 43, 46 | bila ya shaka tulimtuma Musa kwa Ishara zetu ende kwa 177 46, 12 | yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na 178 46, 30 | kilicho teremshwa baada ya Musa, kinacho sadikisha yaliyo 179 51, 38 | 38. Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni 180 53 | ikasimuliwa na Vitabu vya Musa na Ibrahim. Na Aya hizi 181 53, 36 | yaliyomo katika Vitabu vya Musa? ~~~~~~ 182 61 | wawili watukufu, nao ni Musa na Isa s.a.w. Na kwamba 183 61, 5 | 5. Na Musa alipo waambia watu wake: 184 79 | ikafuatia hayo hadithi ya Musa na Firauni kumliwaza Mtume 185 79, 15 | Je! Imekufikia hadithi ya Musa? ~~~~~~ 186 87 | Vitabu vya Ibrahimu na Musa.~KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU 187 87, 19 | Vitabu vya Ibrahimu na Musa. ~~~~~~~~~~~~~~~~~~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License