bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 7 | Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao,
2 2, 74 | 74. Kisha nyoyo zenu zikawa ngumu baada
3 2, 88 | 88. Na walisema: Nyoyo zetu zimefunikwa. Bali Mwenyezi
4 2, 118| mfano wa kauli yao hii. Nyoyo zao zimefanana. Hakika Sisi
5 2, 225| anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu. Na Mwenyezi Mungu
6 2, 235| edani au mkadhamiria katika nyoyo zenu. Mwenyezi Mungu anajua
7 2, 248| mna ndani yake kituliza nyoyo zenu, kitokacho kwa Mola
8 3, 8 | Mola wetu Mlezi! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kwisha tuongoa,
9 3, 103| maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa
10 3, 126| ni bishara kwenu, na ili nyoyo zenu zipate kutua. Na msaada
11 3, 151| 151. Tutazitia khofu nyoyo za walio kufuru kwa vile
12 3, 156| hayo kuwa ni majuto katika nyoyo zao. Na Mwenyezi Mungu huhuisha
13 4, 63 | anayajua yaliyomo ndani ya nyoyo zao. Basi waachilie mbali,
14 4, 65 | kisha wasione uzito katika nyoyo zao juu ya hukumu utayo
15 4, 155| ya haki, na kusema kwao: Nyoyo zetu zimefumbwa; bali Mwenyezi
16 5, 13 | tuliwalaani, na tukazifanya nyoyo zao kuwa ngumu. Wanayabadilisha
17 5, 41 | vyao: Tumeamini, na hali nyoyo zao hazikuamini, na miongoni
18 5, 41 | Mungu hataki kuzitakasa nyoyo zao. Watakuwa na hizaya
19 5, 113| kukila chakula hicho, na nyoyo zetu zitue, na tujue kwamba
20 6, 25 | kusikiliza; na tumezitia pazia nyoyo zao wasije kuyafahamu. Na
21 6, 43 | wafika adhabu yetu? Lakini nyoyo zao zilikuwa ngumu, na Shet'
22 6, 46 | kuona kwenu, na akaziziba nyoyo zenu, ni mungu gani asiye
23 6, 110| 110. Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo
24 6, 113| 113. Na ili nyoyo za wasio amini Akhera zielekee
25 7, 100| na tutapiga muhuri juu ya nyoyo zao, na kwa hivyo hawatasikia? ~~~~~~
26 7, 101| Mwenyezi Mungu anazipiga muhuri nyoyo za makafiri. ~~~~~~
27 7, 179| majini wengi na watu. Wana nyoyo, lakini hawafahamu kwazo.
28 8, 2 | anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu, na wanapo
29 8, 10 | ila kuwa ni bishara na ili nyoyo zenu zituwe. Na haupatikani
30 8, 11 | Shet'ani, na kuzipa nguvu nyoyo zenu, na kuitia imara miguu
31 8, 12 | amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni
32 8, 63 | 63. Na akaziunga nyoyo zao. Na lau wewe ungeli
33 8, 63 | duniani usingeli weza kuziunga nyoyo zao, lakini Mwenyezi Mungu
34 9, 8 | Wanakufurahisheni kwa midomo yao tu, na nyoyo zao zinakataa hayo. Na wengi
35 9, 15 | 15. Na aondoe hasira ya nyoyo zao. Na Mwenyezi Mungu humkubalia
36 9, 45 | Mungu na Siku ya Mwisho na nyoyo zao zikatia shaka, hao tu
37 9, 60 | zitumikia, na wa kutiwa nguvu nyoyo zao, na katika kukomboa
38 9, 64 | watajia yaliyomo katika nyoyo zao. Sema: Fanyeni mzaha!
39 9, 87 | pamoja na wabakiao nyuma, na nyoyo zao zikapigwa muhuri; kwa
40 9, 93 | amewapiga muhuri juu ya nyoyo zao. Kwa hivyo hawajui. ~~~~~~
41 9, 110| wasiwasi nyoyoni mwao mpaka nyoyo zao hizo zikatike vipande
42 9, 117| pale baada ya kukaribia nyoyo za baadhi yao kugeuka. Basi
43 9, 125| wale wenye maradhi katika nyoyo zao, basi inawazidishia
44 9, 127| mbali. Mwenyezi amezigeuza nyoyo zao kwa kuwa hao ni watu
45 10, 74 | hivyo tunapiga muhuri juu ya nyoyo za warukao mipaka. ~~~~~~
46 10, 88 | mbali mali yao na zifunge nyoyo zao, wasiamini mpaka waione
47 13, 28 | Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi
48 13, 28 | kumkumbuka Mwenyezi Mungu ndio nyoyo hutua! ~~~~~~
49 14, 37 | washike Sala. Basi zijaalie nyoyo za watu zielekee kwao, na
50 14, 43 | na macho hayapepesi, na nyoyo zao tupu. ~~~~~~
51 15, 12 | ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu. ~~~~~~
52 16, 22 | Lakini wasio iamini Akhera nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna. ~~~~~~
53 16, 78 | amekujaalieni masikio na macho na nyoyo ili mpate kushukuru. ~~~~~~
54 16, 108| Mwenyezi Mungu ameziziba nyoyo zao na masikio yao na macho
55 17, 46 | tunaweka vifuniko juu ya nyoyo zao wasije wakaifahamu,
56 18, 14 | 14. Na tukazitia nguvu nyoyo zao walipo simama na wakasema:
57 18, 57 | tumeweka vifuniko juu ya nyoyo zao ili wasifahamu, na uziwi
58 21, 3 | 3. Zimeghafilika nyoyo zao. Na wale walio dhulumu
59 22, 32 | ni katika unyenyekevu wa nyoyo. ~~~~~~
60 22, 35 | anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hutetemeka, na wanao
61 22, 46 | ardhi ili wapate kuwa na nyoyo zao za kuzingatia, au masikio
62 22, 46 | lakini zinazo pofuka ni nyoyo ziliomo vifuani. ~~~~~~
63 22, 53 | wale wenye maradhi ndani ya nyoyo zao, na wale ambao nyoyo
64 22, 53 | nyoyo zao, na wale ambao nyoyo zao ni ngumu. Na hakika
65 22, 54 | waamini, na zipate kutua nyoyo zao. Na hakika Mwenyezi
66 23, 60 | wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea
67 23, 63 | 63. Lakini nyoyo zao zimeghafilika na hayo,
68 23, 78 | kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache
69 24, 37 | Wanaikhofu Siku ambayo nyoyo na macho yatageuka. ~~~~~~
70 24, 50 | Je! Wana maradhi katika nyoyo zao, au wanaona shaka, au
71 26, 200| Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu. ~~~~~~
72 30, 59 | anavyo piga muhuri kwenye nyoyo za wasio jua. ~~~~~~
73 32, 9 | akakujaalieni kusikia na kuona, na nyoyo za kufahamu. Ni uchache
74 33, 4 | hakumwekea mtu yeyote kuwa ana nyoyo mbili ndani ya mwili wake.
75 33, 5 | katika yale ziliyo fanya nyoyo zenu kwa makusudi. Na Mwenyezi
76 33, 10 | macho yalipo kodoka, na nyoyo zikapanda kooni, nanyi mkamdhania
77 33, 12 | wale wenye maradhi katika nyoyo zao: Mwenyezi Mungu na Mtume
78 33, 26 | na akatia khofu katika nyoyo zao. Baadhi yao mkawa mnawauwa,
79 33, 53 | Hivyo ndio usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala
80 33, 53 | zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala haikufalieni kumuudhi
81 34, 23 | itapo ondolewa khofu kwenye nyoyo zao watasema: Mola wenu
82 39 | haya ndiyo yaliyo zipelekea nyoyo zao kukata tamaa na rehema
83 39, 22 | mgumu?) Basi ole wao wenye nyoyo ngumu zisio mkumbuka Mwenyezi
84 39, 23 | Mlezi. Kisha ngozi zao na nyoyo zao hulainika kwa kumkumbuka
85 39, 45 | Mwenyezi Mungu peke yake nyoyo za wasio iamini Akhera huchafuka.
86 40 | siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni nao
87 40, 18 | siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao
88 41, 5 | 5. Na wakasema: Nyoyo zetu zimo katika vifuniko
89 46, 26 | tuliwapa masikio, na macho, na nyoyo. Na hayakuwafaa kitu masikio
90 46, 26 | yao, wala macho yao, wala nyoyo zao kwa lolote. Kwani hao
91 47, 16 | Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao, na wakafuata pumbao
92 47, 20 | utawaona wenye maradhi katika nyoyo zao wanakutazama mtazamo
93 47, 24 | Hawaizingatii hii Qur'ani? Au kwenye nyoyo (zao) zipo kufuli? ~~~~~~
94 48 | Waislamu, na kuziimarisha nyoyo za Waumini ili wazidi Imani,
95 48, 4 | teremsha utulivu katika nyoyo za Waumini ili wazidi Imani
96 48, 11 | zao yasiyo kuwamo katika nyoyo zao. Sema: Ni nani awezaye
97 48, 12 | na mkapambiwa hayo katika nyoyo zenu, na mkadhania dhana
98 48, 26 | kufuru walipo tia katika nyoyo zao hasira, hasira za kijinga,
99 49 | haijatua hiyo Imani katika nyoyo zao. Kisha Sura imebainisha
100 49, 3 | Mwenyezi Mungu amezisafisha nyoyo zao kwa uchamngu. Hao watakuwa
101 49, 7 | Imani, na akaipamba katika nyoyo zenu, na amekufanyeni muuchukie
102 49, 13 | Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi
103 57 | kwa Mwenyezi Mungu, ili nyoyo zinyenyekee kwa hukumu ya
104 57, 16 | walio amini zikanyenyekea nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi
105 57, 16 | wao ukawa mrefu, kwa hivyo nyoyo zao zikawa ngumu, na wengi
106 57, 27 | Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na
107 58, 22 | zao. Hao ameandika katika nyoyo zao Imani, na amewapa nguvu
108 59, 2 | patazamia, na akatia woga katika nyoyo zao. Wakawa wanazibomoa
109 59, 10 | wala usijaalie ndani ya nyoyo zetu undani kwa walio amini.
110 59, 14 | kuwa wako pamoja, kumbe nyoyo zao ni mbali mbali. Hayo
111 61, 5 | Mwenyezi Mungu aliziachia nyoyo zao zipotoke. Na Mwenyezi
112 63 | kusikilizwa. Na juu ya hivyo, nyoyo zao zi tupu, hazina Imani
113 63, 3 | hivyo umepigwa muhuri juu ya nyoyo zao. Kwa hivyo hawafahamu
114 66, 4 | kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko.
115 67, 23 | akakupeni masikio na macho, na nyoyo. Ni kidogo kabisa shukrani
116 74, 31 | kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi
117 79, 8 | 8. Siku hiyo nyoyo zitapiga piga, ~~~~~~
118 83 | zikawageukia watu wema, zikawatuza nyoyo kwa vitendo vyao, na zikataja
119 83, 14 | Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma. ~~~~~~
120 104 | unao vuruga miili yao na nyoyo zao, na wanafungiwa milango,
|