bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 64 | ya haya. Na lau kuwa si fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu
2 2, 90 | Mwenyezi Mungu humteremshia fadhila yake amtakaye miongoni mwa
3 2, 105| Mwenyezi Mungu ni mwenye fadhila kubwa. ~~~~~~
4 2, 198| Si vibaya kwenu kuitafuta fadhila ya Mola wenu Mlezi. Na mtakapo
5 2, 237| uchamngu. Wala msisahau fadhila baina yenu. Hakika Mwenyezi
6 2, 243| Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila juu ya watu, lakini wengi
7 2, 251| Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila juu ya walimwengu wote. ~~~~~~
8 2, 268| anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake. Na Mwenyezi
9 3, 73 | wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi
10 3, 74 | Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa. ~~~~~~
11 3, 152| Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila juu ya Waumini. ~~~~~~
12 3, 170| wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia
13 3, 171| Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya
14 3, 174| Basi wakarudi na neema na fadhila za Mwenyezi Mungu. Hapana
15 3, 174| Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu. ~~~~~~
16 3, 180| wapa Mwenyezi Mungu katika fadhila zake kuwa ni kheri yao.
17 4, 32 | muombeni Mwenyezi Mungu fadhila zake. Hakika Mwenyezi Mungu
18 4, 37 | watu ubakhili, na wanaficha fadhila alizo wapa Mwenyezi Mungu.
19 4, 54 | wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake? Basi tuliwapa ukoo
20 4, 70 | 70. Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu.
21 4, 73 | 73. Na ikikufikieni fadhila kutoka kwa Mwenyezi Mungu
22 4, 83 | wangeli lijua. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu
23 4, 113| 113. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yako
24 4, 113| amekufundisha uliyo kuwa huyajui. Na fadhila za Mwenyezi Mungu zilizo
25 4, 173| sawa, na atawazidishia kwa fadhila yake. Na ama wale walio
26 4, 175| atawatia katika rehema yake na fadhila, na atawaongoa kwenye Njia
27 5, 2 | Nyumba Takatifu, wakitafuta fadhila na radhi za Mola wao Mlezi.
28 5, 54 | anaye laumu. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa
29 8, 29 | Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa. ~~~~~~
30 9, 28 | Mungu atakutajirisheni kwa fadhila yake akipenda. Hakika Mwenyezi
31 9, 59 | Mwenyezi Mungu atatupa katika fadhila yake - na pia Mtume wake;
32 9, 74 | amewatajirisha kutokana na fadhila zake. Wakitubu itakuwa kheri
33 9, 75 | kwa kusema: Akitupa katika fadhila yake hapana shaka tutatoa
34 9, 76 | 76. Alipo wapa katika fadhila yake wakaifanyia ubakhili
35 10, 58 | 58. Sema: Kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema
36 10, 60 | Hakika Mwenyezi Mungu ana fadhila juu ya watu, lakini wengi
37 10, 107| hapana awezaye kurudisha fadhila yake. Huifikisha kwa amtakaye
38 11, 3 | maalumu. Na atampa kila mwenye fadhila, fadhila yake. Na ikiwa
39 11, 3 | atampa kila mwenye fadhila, fadhila yake. Na ikiwa mtakengeuka
40 12, 38 | chochote. Hiyo ni katika fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yetu
41 16, 14 | zikikata maji humo, ili mtafute fadhila yake, na mpate kushukuru. ~~~~~~
42 17, 12 | yenye mwangaza ili mtafute fadhila itokayo kwa Mola wenu Mlezi,
43 17, 21 | yenye daraja kubwa zaidi na fadhila kubwa zaidi. ~~~~~~
44 17, 66 | bahari ili mtafute katika fadhila zake. Hakika Yeye ni Mwenye
45 17, 70 | na tumewafadhilisha kwa fadhila kubwa kuliko wengi miongoni
46 17, 87 | Mola wako Mlezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa. ~~~~~~
47 22, 66 | Hakika mwanaadamu hana fadhila. ~~~~~~
48 24, 10 | 10. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu
49 24, 14 | 14. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu
50 24, 20 | 20. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu
51 24, 21 | na maovu. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema
52 24, 22 | wale katika nyinyi wenye fadhila na wasaa wasiape kutowapa
53 24, 32 | Mungu atawatajirisha kwa fadhila yake. Na Mwenyezi Mungu
54 24, 33 | Mwenyezi Mungu awatajirishe kwa fadhila yake. Na wanao taka kuandikiwa
55 24, 38 | yatenda, na awazidishie katika fadhila zake. Na Mwenyezi Mungu
56 27, 16 | kila kitu. Hakika hii ni fadhila iliyo dhaahiri. ~~~~~~
57 27, 40 | akasema: Haya ni katika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili
58 27, 73 | Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao
59 28, 73 | kupumzika humo na mtafute fadhila zake, na ili mpate kushukuru. ~~~~~~
60 29 | Mwenyezi Mungu akabainisha fadhila za wanao pigana Jihadi.~
61 30, 23 | mchana, na kutafuta kwenu fadhila zake. Hakika katika haya
62 30, 45 | wakatenda mema kutokana na fadhila yake. Hakika Yeye hawapendi
63 30, 46 | na mtafute kutokana na fadhila yake, na ili mumshukuru. ~~~~~~
64 33, 47 | wabashirie Waumini ya kwamba wana fadhila kubwa inayo toka kwa Mwenyezi
65 34, 10 | 10. Na tulimpa Daudi fadhila kutoka kwetu, (tukasema):
66 35 | idadi namna mbali mbali. Fadhila yoyote anayo wapelekea watu
67 35, 12 | zinakata maji ili mtafute fadhila zake, na ili mpate kushukuru. ~~~~~~
68 35, 30 | awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye ni Mwenye
69 35, 32 | Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo fadhila kuu. ~~~~~~
70 35, 35 | 35. Ambaye kwa fadhila yake ametuweka makao ya
71 36 | Sura ikaendelea kukumbusha fadhila za Mwenyezi Mungu juu ya
72 40, 61 | bila ya shaka ni Mwenye fadhila juu ya watu, lakini watu
73 42, 22 | Mola wao Mlezi. Hiyo ndiyo fadhila kubwa. ~~~~~~
74 42, 26 | wakatenda mema, na anawazidishia fadhila zake. Na makafiri watakuwa
75 43 | wao ndio wanao zigawanya fadhila za Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi
76 43, 15 | hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila aliye dhaahiri. ~~~~~~
77 44, 57 | 57. Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi.
78 45 | neema za Mwenyezi Mungu na fadhila zake kwa waja wake; na ikawataka
79 45, 12 | amri yake, na ili mtafute fadhila yake, na mpate kushukuru. ~~~~~~
80 48, 29 | wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu.
81 49, 8 | 8. Kwa fadhila za Mwenyezi Mungu na neema
82 55 | hii imeingia kuzihisabu fadhila na neema za Mwenyezi Mungu,
83 57 | Mwenyezi Mungu. Kwani hakika fadhila zote zimo katika mkono wa
84 57 | Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kuu.~KWA JINA LA MWENYEZI
85 57, 21 | Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa
86 57, 21 | Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu. ~~~~~~
87 57, 29 | hawana uweza wowote juu ya fadhila za Mwenyezi Mungu. Na fadhila
88 57, 29 | fadhila za Mwenyezi Mungu. Na fadhila zote zimo mikononi mwa Mwenyezi
89 57, 29 | Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kuu. ~~~~~~~~~~~~~~~~~~
90 59 | Waislamu wa Madina, na fadhila yao, na jinsi walivyo kuwa
91 59, 8 | yao kwa ajili ya kutafuta fadhila kutoka kwa Mwenyezi Mungu
92 62 | anawatakasa. Na hakika hii ni fadhila ya Mwenyezi Mungu humpa
93 62 | katika nchi wende kutafuta fadhila za Mwenyezi Mungu. Na kawakataza
94 62, 4 | 4. Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo
95 62, 4 | Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa. ~~~~~~
96 62, 10 | tawanyikeni katika nchi mtafute fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni
97 73, 20 | katika ardhi wakitafuta fadhila ya Mwenyezi Mungu, na wengine
98 74 | amwachilie mbali anaye pinga fadhila alizo fanyiwa na kisha anatumai
99 92 | kubainisha njia za uwongofu kwa fadhila zake, na kwake yapo mambo
100 98 | watu wa vyeo vya juu kwa fadhila, ndio bora wa viumbe. Malipo
101 100, 6 | Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi! ~~~~~~
|