bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2 | kutafuta msaada kwa Subira na Sala. Kufuata kipofu-pofu ni
2 2, 3 | huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo
3 2, 43 | 43. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni
4 2, 83 | watu kwa wema, na shikeni Sala, na toeni Zaka. Kisha mkageuka
5 2, 110| 110. Na shikeni Sala na toeni Zaka; na kheri
6 2, 153| Takeni msaada kwa subira na Sala. Hakika Mwenyezi Mungu yu
7 2, 177| ugombozi, na akawa anashika Sala, na akatoa Zaka, na wanao
8 2, 238| 238. Zilindeni Sala, na khasa Sala ya katikati,
9 2, 238| Zilindeni Sala, na khasa Sala ya katikati, na simameni
10 2, 277| wakatenda mema na wakashika Sala na wakatoa Zaka, wao watapata
11 4, 43 | Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali mmelewa, mpaka myajue
12 4, 77 | Izuieni mikono yenu, na mshike Sala na mtoe Zaka. Na walipo
13 4, 101| vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije
14 4, 103| mtapo tulia basi shikeni Sala kama dasturi. Kwani hakika
15 4, 103| kama dasturi. Kwani hakika Sala kwa Waumini ni faradhi iliyo
16 4, 162| kabla yako. Na wanao shika Sala, na wakatoa Zaka, na wanao
17 5, 6 | Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu,
18 5, 55 | walio amini, ambao hushika Sala na hutoa Zaka nao wananyenyekea. ~~~~~~
19 5, 58 | 58. Na mnapo adhinia Sala wao wanaichukulia maskhara
20 5, 106| Mtawazuia wawili hao baada ya Sala na waape kwa Mwenyezi Mungu,
21 6, 72 | 72. Na mshike Sala, na mcheni Yeye, na kwake
22 6, 92 | hichi, nao wanazihifadhi Sala zao. ~~~~~~
23 6, 162| 162. Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na
24 7, 170| kishikilia Kitabu, na wakashika Sala - hakika Sisi hatupotezi
25 8, 3 | 3. Hao ambao wanashika Sala na wanatoa katika yale tunayo
26 9, 5 | Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.
27 9, 11 | Basi wakitubu na wakashika Sala na wakatoa Zaka, basi ni
28 9, 18 | ya Mwisho, na wakashika Sala, na wakatoa Zaka, na wala
29 9, 54 | wake, wala hawaji kwenye Sala ila kwa uvivu, wala hawatoi
30 9, 71 | hukataza maovu, na hushika Sala, na hutoa Zaka, na humt'
31 10, 87 | mwahali mwa ibada, na mshike Sala, na wabashirie Waumini. ~~~~~~
32 11, 87 | Wakasema: Ewe Shua'ibu! Ni sala zako ndizo zinazo kuamrisha
33 11, 114| 114. Na shika Sala katika ncha mbili za mchana
34 13, 22 | wao Mlezi, na wakashika Sala, na wakatoa, kwa siri na
35 14, 31 | wangu walio amini, washike Sala, na watoe katika tulivyo
36 14, 37 | wetu Mlezi, ili washike Sala. Basi zijaalie nyoyo za
37 14, 40 | Nijaalie niwe mwenye kushika Sala, na katika dhuriya zangu
38 17, 78 | 78. Shika Sala jua linapo pinduka mpaka
39 17, 110| mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala
40 19, 31 | pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, ~~~~~~
41 19, 55 | alikuwa akiwaamrisha watu wake Sala na Zaka, na alikuwa mbele
42 19, 59 | yao walio wabaya, wakaacha Sala, na wakafuata matamanio.
43 20 | Subira, na Usamehevu, na Sala. Kisha ikabainishwa kubwatika
44 20, 14 | niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka
45 21, 73 | watende kheri, na washike Sala, na watoe Zaka; na walikuwa
46 22 | kwake. Na Sura ikahimiza Sala, na Zaka, na Ibada, na Jihadi,
47 22, 35 | yanao wasibu, na wanao shika Sala, na wanatoa katika tulivyo
48 22, 41 | katika nchi husimamisha Sala, na wakatoa Zaka, na wakaamrisha
49 22, 78 | mashahidi kwa watu. Basi shikeni Sala na toeni Zaka na shikamaneni
50 23, 2 | Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao, ~~~~~~
51 23, 9 | 9. Na ambao Sala zao wanazihifadhi - ~~~~~~
52 24, 37 | Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa Zaka. Wanaikhofu
53 24, 41 | Kila mmoja amekwisha jua Sala yake na namna ya kumtakasa
54 24, 56 | 56. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini
55 24, 58 | mwenu mara tatu - kabla ya Sala ya alfajiri, na wakati mnapo
56 24, 58 | zenu adhuhuri, na baada ya Sala ya isha. Hizi ni nyakati
57 27, 3 | 3. Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera
58 29, 45 | katika Kitabu, na ushike Sala. Hakika Sala inazuilia mambo
59 29, 45 | na ushike Sala. Hakika Sala inazuilia mambo machafu
60 30, 31 | mcheni Yeye, na shikeni Sala, na wala msiwe katika washirikina. ~~~~~~
61 31, 4 | 4. Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana
62 31, 17 | 17. Ewe mwanangu! Shika Sala, na amrisha mema, na kataza
63 33, 33 | ya kizamani. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini
64 35, 18 | kwa ghaibu, na wanashika Sala. Na anaye jitakasa, basi
65 35, 29 | Mwenyezi Mungu, na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na
66 42, 38 | wao Mlezi, na wakashika Sala, na mambo yao yakawa ni
67 58, 13 | toba yenu, basi shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini
68 62 | Waumini wakimbilie kwenda sali Sala ya Ijumaa pindi wakisikia
69 62 | na waache biashara. Na Sala ikisha malizika watawanyike
70 62, 9 | mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni
71 62, 10 | 10. Na itakapo kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi
72 70, 23 | 23. Ambao wanadumisha Sala zao, ~~~~~~
73 70, 34 | Na ambao wanazihifadhi Sala zao. ~~~~~~
74 73 | kubwa ya usiku kwa ajili ya Sala na kusoma Qur'ani kwa utulivu.
75 73 | aliwapunguzia na akawaamrisha Sala, na Zaka, na Sadaka, na
76 73, 20 | chepesi humo, na mshike Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni
77 98, 5 | wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo
78 107 | wale wanao ghafilika na Sala zao, ambao hawasali kama
79 107, 5 | 5. Ambao wanapuuza Sala zao; ~~~~~~
80 108 | Akhera, na akamtaka adumishe Sala iliyo safi kwa kumridhi
|