bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 35 | Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa
2 2, 265| roho zao ni kama mfano wa bustani iliyo mahali pa juu, ikaifikia
3 3, 15 | hayo? Kwa wachamngu ziko Bustani kwa Mola wao zipitazo mito
4 3, 136| msamaha kwa Mola wao Mlezi, na Bustani zipitazo mito kati yake.
5 4, 122| mema, tutawaingiza katika Bustani zipitayo mito kati yake.
6 5, 65 | tungeli waingiza katika Bustani zenye neema. ~~~~~~
7 5, 85 | kwa yale waliyo yasema, Bustani zipitazo mito katika yake;
8 5, 119| ukweli wao. Wao watapata Bustani zipitazo mito kati yake.
9 6, 99 | mashada yaliyo inama; na bustani za mizabibu na mizaituni,
10 6, 141| Yeye ndiye aliye ziumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja,
11 7 | na walivyo toka kwenye Bustani kwa kutiwa wasiwasi na Shet'
12 7, 19 | Kaa wewe na mkeo katika Bustani hii, na kuleni humo mpendapo.
13 9, 21 | zitokazo kwake, na radhi, na Bustani ambazo humo watapata neema
14 9, 72 | wanaume na Waumini wanawake Bustani zipitazo mito kati yake,
15 9, 72 | Na makaazi mema katika Bustani za kudumu, na Radhi za Mwenyezi
16 9, 89 | Mwenyezi Mungu amewatengenezea Bustani zipitazo mito kati yake,
17 9, 100| wameridhika naye; na amewaandalia Bustani zipitazo mito kati yake,
18 13, 4 | vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine,
19 13, 23 | 23. Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao
20 13, 35 | 35. Mfano wa Bustani waliyo ahidiwa wachamngu,
21 16, 31 | 31. Bustani za milele wataziingia; iwe
22 18, 31 | 31. Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito
23 19, 61 | 61. Bustani za milele alizo waahidi
24 20, 76 | 76. Bustani za milele zipitazo mito
25 20, 117| Basi asikutoeni katika Bustani hii, mkaingia mashakani. ~~~~~~
26 20, 121| wakaanza kujibandika majani ya Bustani. Na Adam akamuasi Mola wake
27 22, 14 | na wakatenda mema katika Bustani zipitazo mito kati yake.
28 22, 23 | na wakatenda mema katika Bustani zipitiwazo na mito kati
29 22, 56 | wakatenda mema watakuwa katika Bustani zenye neema. ~~~~~~
30 23, 19 | maji hayo tukakufanyieni bustani za mitende na mizabibu,
31 25, 8 | khazina juu yake, au akawa na bustani ale katika hiyo? Wakasema
32 26, 85 | unijaalie katika warithi wa Bustani za neema. ~~~~~~
33 27, 60 | na kwa hayo tukaziotesha bustani zenye kupendeza? Nyinyi
34 30, 15 | mema watafurahishwa katika Bustani. ~~~~~~
35 31, 8 | wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema. ~~~~~~
36 32, 19 | wakatenda mema, watakuwa nazo Bustani za makaazi mazuri. Ndio
37 34 | wasishukuru. Hao walikuwa na bustani mbili, ya kulia na kushoto.
38 34, 15 | Sabaa katika maskani yao - bustani mbili, kulia na kushoto.
39 34, 16 | tukawabadilishia badala ya bustani zao hizo kwa bustani nyengine
40 34, 16 | ya bustani zao hizo kwa bustani nyengine zenye matunda makali
41 37, 43 | 43. Katika Bustani za neema. ~~~~~~
42 38, 50 | 50. Bustani za milele zitazo funguliwa
43 39, 74 | akaturithisha ardhi, tunakaa katika Bustani popote tupendapo. Basi ni
44 40, 8 | Mlezi! Na waingize katika Bustani za Milele ulizo waahidi.
45 47, 12 | na wakatenda mema katika Bustani zipitiwazo na mito kati
46 48, 5 | Waumini wanawake katika Bustani zipitazo mito kati yake,
47 53, 15 | 15. Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa. ~~~~~~
48 55, 46 | Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili. ~~~~~~
49 55, 48 | 48. Bustani zenye matawi yaliyo tanda. ~~~~~~
50 55, 54 | hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu. ~~~~~~
51 55, 62 | 62. Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili. ~~~~~~
52 56, 12 | 12. Katika Bustani zenye neema. ~~~~~~
53 56, 85 | ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema. ~~~~~~
54 57, 12 | kwao: Furaha yenu leo - Bustani zipitazo mito kati yake
55 61, 12 | maskani nzuri nzuri katika Bustani za milele. Huko ndio kufuzu
56 65, 11 | mema, atamwingiza katika Bustani zipitazo mito kati yake,
57 68, 34 | Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi. ~~~~~~
58 69, 22 | 22. Katika Bustani ya juu, ~~~~~~
59 76, 12 | 12. Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri
60 80, 30 | 30. Na bustani zenye miti iliyo songana
61 85, 11 | wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati
62 88, 10 | 10. Katika Bustani ya juu. ~~~~~~
63 98, 8 | yao kwa Mola wao Mlezi ni Bustani za daima, zipitazo mito
|