bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2, 130| hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema. ~~~~~~
2 2, 247| ni mfalme. Wakasema: vipi atakuwa na ufalme juu yetu, na hali
3 2, 249| pamoja nami, na asiye kunywa atakuwa pamoja nami: ila atakaye
4 3, 46 | katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu wema. ~~~~~~
5 3, 85 | haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. ~~~~~~
6 4, 109| Siku ya Kiyama? Au ni nani atakuwa wakili wao wa kumtegemea? ~~~~~~
7 4, 159| kwake. Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao. ~~~~~~
8 5, 5 | imepotea, naye katika Akhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara. ~~~~~~
9 5, 12 | baada ya hayo bila ya shaka atakuwa amepotea njia iliyo sawa. ~~~~~~
10 6, 16 | epushwa nayo adhabu hiyo atakuwa Mwenyezi Mungu amemrehemu.
11 6, 135| nafanya. Mtakuja jua nani atakuwa na makaazi mema mwishoni.
12 8, 16 | kuungana na kikosi - basi atakuwa amestahiki ghadhabu ya Mwenyezi
13 12, 32 | shaka atafungwa gerezani, na atakuwa miongoni mwa walio chini
14 12, 93 | mumwekee usoni baba yangu, atakuwa mwenye kuona. Na mje nao
15 15, 60 | mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma. ~~~~~~
16 15, 66 | wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali. ~~~~~~
17 16, 122| duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema. ~~~~~~
18 17, 72 | aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa
19 17, 72 | atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia. ~~~~~~
20 20, 111| Milele, Mwangalizi Mkuu. Na atakuwa ameharibikiwa mwenye kubeba
21 27, 41 | hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka. ~~~~~~
22 28, 9 | Na mkewe Firauni alisema: Atakuwa kiburudisho cha macho kwangu
23 28, 67 | akaamini na akatenda mema, huyo atakuwa miongoni mwa wenye kufanikiwa. ~~~~~~
24 32, 18 | 18. Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi
25 41, 34 | baina yako naye pana uadui atakuwa kama rafiki jamaa wa kukuonea
26 69, 21 | 21. Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza, ~~~~~~
27 80, 37 | miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha. ~~~~~~
28 100 | katika Akhera bila ya shaka atakuwa ni shahidi dhidi ya nafsi
29 100, 11 | siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote! ~~~~~~~~~~~~
30 101, 7 | 7. Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza. ~~~~~~
|