bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 2 | Yametajwa mas-ala ya kutoa sadaka na Zaka, riba, biashara,
2 2, 196| kwa kufunga au kwa kutoa sadaka au kuchinja wanyama. Na
3 2, 263| usamehevu ni bora kuliko sadaka inayo fuatiliwa na maudhi.
4 2, 264| Enyi mlio amini! Msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na
5 2, 271| 271. Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha
6 2, 276| baraka riba, na huzibariki sadaka. Na Mwenyezi Mungu hampendi
7 2, 280| Na mkiifanya deni kuwa ni sadaka, basi ni bora kwenu, ikiwa
8 3, 17 | na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira
9 4, 92 | kuwa waache wenyewe kuwa ni sadaka. Na akiwa ni jamaa wa maadui
10 4, 114| yule anaye amrisha kutoa sadaka, au kutenda mema, au kupatanisha
11 9, 58 | kusengenya katika kugawa sadaka. Wanapo pewa wao huridhika.
12 9, 60 | 60. Wa kupewa sadaka ni mafakiri, na masikini,
13 9, 75 | yake hapana shaka tutatoa sadaka, na tutakuwa katika watendao
14 9, 79 | wabeuwa Waumini wanao toa sadaka nyingi na wasio nacho cha
15 9, 103| 103. Chukua sadaka katika mali zao, uwasafishe
16 9, 104| waja wake, na anazikubali sadaka, na kwamba Mwenyezi Mungu
17 12, 88 | kipimo na fanya kama unatupa sadaka. Hakika Mwenyezi Mungu huwalipa
18 12, 88 | Mwenyezi Mungu huwalipa watoao sadaka. ~~~~~~
19 22, 36 | 36. Na ngamia wa sadaka tumekufanyieni kuwa ni kudhihirisha
20 33, 35 | wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na
21 57, 18 | hakika wanaume wanao toa sadaka, na wanawake wanao toa sadaka,
22 57, 18 | sadaka, na wanawake wanao toa sadaka, na wakamkopesha Mwenyezi
23 58, 12 | Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
24 58, 13 | Mnachelea kutanguliza hiyo sadaka kabla ya kusemezana kwenu?
25 63, 10 | muda kidogo nipate kutoa sadaka, na niwe katika watu wema? ~~~~~~
26 73 | akawaamrisha Sala, na Zaka, na Sadaka, na Kuomba maghfira. ~Na
|