bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
1 3, 151| Motoni; na maovu yaliyoje maskani ya wenye kudhulumu! ~~~~~~
2 12, 23 | Huyu bwana wangu kaniweka maskani nzuri, na hakika wenye kudhulumu
3 14, 45 | 45. Na mkakaa katika maskani zile zile za walio zidhulumu
4 16, 80 | amekujaalieni majumba yenu yawe ni maskani yenu, na amekujaalieni kutokana
5 16, 81 | viumba, na amekufanyieni maskani milimani, na amekufanyieni
6 20, 128| yao, nao wanatembea katika maskani zao? Hakika katika hayo
7 21, 13 | zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa! ~~~~~~
8 28, 58 | jifakharisha tumeiangamiza! Na hayo maskani yao hayakukaliwa tena baada
9 29, 38 | kubainikieni kutokana na maskani zao. Na Shet'ani aliwapambia
10 32, 26 | yao, nao wanapita katika maskani zao hizo? Hakika katika
11 34, 15 | wa nchi ya) Sabaa katika maskani yao - bustani mbili, kulia
12 41, 24 | Basi wakisubiri Moto ndio maskani yao. Na wakiomba radhi hawakubaliwi. ~~~~~~
13 41, 28 | Moto! Humo watakuwa na maskani ya kudumu, ndiyo malipo
14 54 | inawatuza wachamngu katika maskani zao za Mabustanini na mito,
15 59, 9 | 9. Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao,
16 61, 12 | yapitiwayo na mito kati yake, na maskani nzuri nzuri katika Bustani
17 65 | kumtazama kwa matumizi, na maskani. Na kati ya hukumu hizi,
18 101, 9 | 9. Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya! ~~~~~~
19 106 | maadui wake, naye akawapa maskani karibu yake wakapata utukufu
|