Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library

Qu'rani

IntraText - Concordances

(Hapax - words occurring once)


228-akiwa | akiya-anapi | anapo-eleke | endap-hatut | hatuw-husim | husis-isomw | israa-kufua | kufud-kusud | kutaa-makas | makel-mnani | mnaom-natub | navip-shukr | shuku-tumek | tumel-ukiku | ukili-viko | vikos-wakip | wakir-wanaw | wanay-yamek | yamel-zuka

                                                       bold = Main text
     Sura, verse                                       grey = Comment text
1005 9, 104| ya kwamba Mwenyezi Mungu anapokea toba ya waja wake, na anazikubali 1006 6, 73 | mbingu na ardhi kwa Haki. Na anaposema: Kuwa! Basi huwa. Kauli 1007 96, 13 | kama yeye akikanusha na anarudi nyuma? ~~~~~~ 1008 17, 33 | katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa. ~~~~~~ 1009 2, 177| katika ugombozi, na akawa anashika Sala, na akatoa Zaka, na 1010 45, 8 | Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, 1011 73 | Qur'ani kwa utulivu. Akawa anasimama yeye na kikundi cha wale 1012 18 | yake na wanawe. Na wa pili anatafakhari kwa Mwenyezi Mungu wake. 1013 18 | Mungu akimjuulisha. Tena anatajwa Dhul-qarnaini na kufika 1014 3 | kukengeuka kwao, na vipi Muumini anatakikana aongoke katika itikadi yake 1015 54 | kushikilia kwao kukadhibisha. Na anatakiwa Mtume s.a.w. awapuuze na 1016 2, 96 | washirikina. Kila mmoja wao anatamani lau angeli pewa umri wa 1017 16 | kubainisha uwezo wake, na anatilia mkazo ahadi yake kwa wachamngu 1018 65, 3 | humtosha. Hakika Mwenyezi Mungu anatimiza amri yake. Mwenyezi Mungu 1019 16, 75 | inayo toka kwetu, naye akawa anatoa katika riziki hiyo kwa siri 1020 60 | basi, ndio Mwenyezi Mungu anatukataza kuwafanyia hisani na kukhusiana 1021 3, 173| wakasema: Mwenyezi Mungu anatutosha, naye ni mbora wa kutegemewa. ~~~~~~ 1022 9, 59 | wakasema: Mwenyezi Mungu anatutosheleza, Mwenyezi Mungu atatupa 1023 42, 24 | wako. Na Mwenyezi Mungu anaufuta upotofu na anaithibitisha 1024 75, 6 | 6. Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku 1025 11, 38 | 38. Na akawa anaunda jahazi, na kila wakipita 1026 64 | kumuamini Mwenyezi Mungu ndio anauongoa moyo wake. ~Sura inawataka 1027 70 | ya uharibifu. Na mwishoni anausiwa Mtume wa Mwenyezi Mungu 1028 5, 64 | wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta 1029 50 | katika nafsi zao. Na Yeye anavisajili vitendo vyao na maneno yao 1030 48, 10 | Basi avunjaye ahadi hizi anavunja kwa kuidhuru nafsi yake; 1031 40, 74 | Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anawaachia makafiri wapotelee mbali. ~~~~~~ 1032 33, 73 | Kwa hivyo Mwenyezi Mungu anawaadhibu wanaafiki wanaume, na wanaafiki 1033 4, 120| 120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet' 1034 9, 21 | 21. Mola wao Mlezi anawabashiria rehema zitokazo kwake, na 1035 35, 45 | mnyama mmoja. Lakini Yeye anawachukulia mpaka ufike muda maalumu. 1036 50 | na huku Mwenyezi Mungu anawafadhili Waumini kwa kuwapa neema 1037 62 | Mtume miongoni mwao, ambaye anawafundisha Kitabu, na hikima, na anawatakasa. 1038 35, 2 | Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watu hapana wa kuizuia. 1039 3, 164| zake, na anawatakasa, na anawafunza Kitabu na hikima, ijapo 1040 34 | dalili za uweza wake, na anawahadharisha kuwa atawateremshia kama 1041 7, 157| na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia 1042 31, 21 | Je! Ijapo kuwa Shet'ani anawaita kwenye adhabu ya Moto uwakao? ~~~~~~ 1043 42, 26 | 26. Na anawaitikia wanao amini na wakatenda 1044 7, 157| anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia 1045 39, 16 | Kwa hayo Mwenyezi Mungu anawakhofisha waja wake. Enyi waja wangu! 1046 34 | vipande kutoka mbinguni. Na anawakumbusha anavyo wafanyia vipenzi 1047 2, 159| kwa watu Kitabuni -- hao anawalaani Mwenyezi Mungu, na wanawalaani 1048 12 | ujira, ila ni kuwa yeye anawaletea Qur'ani iwe ni uwongofu 1049 106, 4 | anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu. ~~~~~~ 1050 7, 157| ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo 1051 33, 73 | washirikina wanawake; na anawapokelea toba Waumini wanaume, na 1052 34 | Mwenyezi Mungu Subhanahu anawarejesha kwenye dalili za uweza wake, 1053 29, 60 | riziki zao! Mwenyezi Mungu anawaruzuku hao na nyinyi pia. Na Yeye 1054 6, 58 | nyinyi. Na Mwenyezi Mungu anawashinda wote kuwajua madhaalimu. ~~~~~~ 1055 4, 135| masikini Mwenyezi Mungu anawastahikia zaidi. Basi msifuate matamanio, 1056 35 | kuipeleka. Mwenyezi Mungu anawataka watu waikumbuke neema, kwani 1057 72, 10 | ardhi au Mola wao Mlezi anawatakia uwongofu. ~~~~~~ 1058 27, 23 | mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, 1059 89, 14 | Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia. ~~~~~~ 1060 6, 124| Mjuzi kuliko wote kujua wapi anaweka ujumbe wake. Itawafikia 1061 4, 81 | yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia 1062 6, 103| Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye 1063 14, 17 | 17. Awe anayagugumia, wala hawezi kuyameza. Na 1064 13, 2 | kinakwenda kwa kiwango maalumu. Anayapanga mambo, na anazipambanua 1065 4, 166| 166. Lakini Mwenyezi Mungu anayashuhudia aliyo kuteremshia wewe. 1066 58, 1 | Mungu. Na Mwenyezi Mungu anayasikia majibizano yenu. Hakika 1067 2, 130| mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? 1068 22, 32 | 32. Ndio hivyo! Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, 1069 55, 19 | 19. Anaziendesha bahari mbili zikutane; ~~~~~~ 1070 12, 50 | Hakika Mola wangu Mlezi anazijua vyema hila zao. ~~~~~~ 1071 9, 104| anapokea toba ya waja wake, na anazikubali sadaka, na kwamba Mwenyezi 1072 7, 101| Namna hivi Mwenyezi Mungu anazipiga muhuri nyoyo za makafiri. ~~~~~~ 1073 21 | 21. SURATUL ANBIYAA~(Imeteremka Makka)~HII NI 1074 2, 282| kwa muda ulio wekwa, basi andikeni. Na mwandishi aandike baina 1075 8 | Imeteremka Madina)~Surat Al Anfaal hii imeteremka Madina. Aya 1076 2, 273| Utawatambua kwa alama zao; hawang'ang'analii watu kwa kuwaomba. 1077 19, 12 | nguvu! Nasi tulimpa hikima angali mtoto. ~~~~~~ 1078 35, 18 | hautachukuliwa hata kidogo, na angamwomba jamaa yake. Hakika wewe 1079 2, 20 | angelitaka Mwenyezi Mungu angeliondoa kusikia kwao na kuona kwao. 1080 2, 20 | wafanyia giza husimama. Na angelitaka Mwenyezi Mungu angeliondoa 1081 5, 17 | Mwenyezi Mungu ikiwa Yeye angetaka kumuangamiza Masihi mwana 1082 2, 280| ana shida, basi (mdai) angoje mpaka afarijike. Na mkiifanya 1083 19, 18 | najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu. ~~~~~~ 1084 12, 80 | ruhusa au Mwenyezi Mungu anihukumie. Na Yeye ndiye Mbora wa 1085 27, 40 | zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru au nitakufuru. 1086 27, 21 | kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha. ~~~~~~ 1087 40, 27 | Mlezi na Mola wenu Mlezi anilinde na kila mwenye jeuri asiye 1088 12, 80 | nchi hii mpaka baba yangu anipe ruhusa au Mwenyezi Mungu 1089 28, 34 | ende nami kunisaidia, ili anisadikishe. Hakika mimi nina khofu 1090 78 | 78. SURAT ANNABAA~(Imeteremka Makka)~Sura 1091 53 | 53. SURAT ANNAJM~(Imeteremka Makka)~Kiapo 1092 79 | 79. SURAT ANNAZIA'AT~(Imeteremka Makka)~Imeanza 1093 91, 13 | Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake. ~~~~~~ 1094 4, 25 | wa kiungwana Waumini, na aoe katika vijakazi Waumini 1095 70, 14 | wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye. ~~~~~~ 1096 2, 230| kwake baada ya hayo mpaka aolewe na mume mwengine. Na akiachwa 1097 17, 11 | mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani mwanaadamu 1098 23 | kumnabihisha Nabii wake aombe maghfira na rehema kutokana 1099 21, 112| Mlezi ni Mwingi wa Rehema, aombwaye msaada juu ya mnayo yazua. ~~~~~~~~~~~~ 1100 9, 15 | 15. Na aondoe hasira ya nyoyo zao. Na 1101 3 | vipi Muumini anatakikana aongoke katika itikadi yake na mwenendo 1102 10, 35 | Haki au asiye ongoa ila aongozwe yeye? Basi nyinyi mna nini? 1103 5, 95 | ya hayo ni kufunga, ili aonje ubaya wa jambo lake hili. 1104 3, 179| katika hali mliyo nayo mpaka apambanue wabaya na wema. Wala haiwi 1105 2, 141| waliyo yachuma, na nyinyi mt apata mliyo yachuma, wala hamtaulizwa 1106 5, 95 | miongoni mwenu. Mnyama huyo apelekwe kwenye Al Kaaba, au kutoa 1107 3, 47 | hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho. Anapo hukumu jambo, huliambia: 1108 87 | chochote katika hivyo ila apende Mwenyezi Mungu. Na atamsahilishia 1109 40, 35 | Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu apigavyo muhuri juu ya kila moyo 1110 40, 28 | Mwenyezi Mungu hamwongoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa. ~~~~~~ 1111 27, 49 | 49. Wakasema: Apishaneni kwa Mwenyezi Mungu tutamshambulia 1112 7, 40 | hawataingia Peponi mpaka apite ngamia katika tundu ya sindano. 1113 2, 54 | yenu. Hakika Yeye ndiye apokeaye toba na Mwenye kurehemu. ~~~~~~ 1114 33, 24 | wanaafiki pindi akitaka, au apokee toba yao. Hakika Mwenyezi 1115 39, 8 | Mwenyezi Mungu washirika ili apoteze watu njia yake. Sema: Starehe 1116 13 | Imeteremka Madina)~"Surat Ar Raa'd" ni Sura ya Madina, 1117 13 | 13. SURAT AR-RAA'D~(Imeteremka Madina)~"Surat 1118 30 | 30. SURAT AR-RUM~(Imeteremka Makka)~SURA 1119 10, 66 | vyote viliomo mbinguni na ardhinii. Na wala hawawafuati hao 1120 78, 39 | anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi. ~~~~~~ 1121 35 | kupunguziwa adhabu yake. Atataka arejezwe duniani ili atengeneze vitendo 1122 93 | kwamba Yeye atampa mpaka aridhike, na yaliyo tangulia ni ushahidi 1123 83, 24 | Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema, ~~~~~~ 1124 84, 9 | 9. Na arudi kwa ahali zake na furaha. ~~~~~~ 1125 50, 23 | 25. Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka, ~~~~~~ 1126 3, 154| yaliyomo vifuani mwenu, na asafishe yaliyomo nyoyoni mwenu. 1127 47, 15 | kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo 1128 8, 42 | dalili zilizo dhaahiri, na asalimike wa kusalimika kwa dalili 1129 9 | mstahikia mtu kubaki nyuma asende vitani. Na pia Subhanahu 1130 91 | 91. SURAT ASH-SHAMS~(Imeteremka Makka)~Mwenyezi 1131 94 | 94. SURAT ASH-SHARH'~(Imeteremka Makka)~Inathibitisha 1132 26 | 26. SURAT ASH-SHUA'RAA~(Imeteremka Makka)~Sura 1133 2, 178| ndugu yake chochote basi ashikwe kulipa kwa wema, na yeye 1134 20, 61 | Na mwenye kuzua lazima ashindwe! ~~~~~~ 1135 59 | 59. SURAT AL-H'ASHRI~(Imeteremka Madina)~Sura 1136 2, 197| asifanye vitendo vichafu wala asibishane katika Hija. Na kheri yoyote 1137 2, 197| asiseme maneno machafu wala asifanye vitendo vichafu wala asibishane 1138 27 | Mwenyezi Mungu Aliye takasika asifiwe.~KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU 1139 15, 65 | yao, wala yeyote kati yenu asigeuke nyuma. Na mwende mnapo amrishwa. ~~~~~~ 1140 29 | akamuamrisha Nabii wake asijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa 1141 2, 282| uadilifu, wala mwandishi asikatae kuandika. Aandike kama alivyo 1142 93 | aangaliwe vyema yatima, na asikemewe mwenye kuomba au kuuliza, 1143 68, 24 | leo hata masikini mmoja asikuingilieni. ~~~~~~ 1144 20, 16 | 16. Kwa hivyo asikukengeushe nayo yule ambaye haiamini 1145 27, 18 | Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake 1146 18, 19 | mambo hayo kwa busara, wala asikutajeni kabisa kwa yeyote. ~~~~~~ 1147 20, 117| adui yako na wa mkeo. Basi asikutoeni katika Bustani hii, mkaingia 1148 43, 62 | 62. Wala asikuzuilieni Shet'ani. Hakika yeye ni 1149 73 | amemuamrisha Mtume wake asimame sehemu kubwa ya usiku kwa 1150 9 | Nayo ni kuwa Mtume s.a.w. asimsalie yeyote katika wanaafiki 1151 18, 110| naatende vitendo vyema, wala asimshirikishe yeyote katika ibada ya Mola 1152 25, 77 | Sema: Mola wangu Mlezi asinge kujalini lau kuwa si kuomba 1153 16, 59 | 59. Anajificha asionekane na watu kwa ubaya wa aliyo 1154 17, 33 | madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani 1155 2, 282| Mungu, Mola wake Mlezi. Wala asipunguze chochote ndani yake. Na 1156 11, 81 | Wala yeyote miongoni mwenu asitazame nyuma, isipo kuwa mkeo, 1157 17 | wanavyo jaribu kumzuia Nabii asitimize Wito wake, na vipi Mwenyezi 1158 18, 28 | tuliye mghafilisha moyo wake asitukumbuke, na akafuata matamanio yake 1159 24, 40 | mtu mkono wake anakaribia asiuone. Na ambaye Mwenyezi Mungu 1160 8, 34 | gani hata Mwenyezi Mungu asiwaadhibu, na hali ya kuwa wanawazuilia 1161 35 | dunia na mapambo yake. Na asiwadanganye Shet'ani. Na shauri yake 1162 3, 176| Mwenyezi Mungu anataka asiwawekee sehemu yoyote katika Akhera, 1163 92, 8 | mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake, ~~~~~~ 1164 7, 158| Mwenyezi Mungu na Mtume wake asiyejua kusoma na kuandika, ambaye 1165 4, 25 | 25. Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya 1166 59 | mungu isipo kuwa Yeye Mwenye Asmau-l-H'usna, Majina Mazuri kabisa.~ 1167 32 | 32. SURAT ASSAJDAH~(Imeteremka Makka)~Sura 1168 9 | Hija hiyo alikuwa Abu Bakr Assidiq r.a. Na Aya zake ni 129. 1169 68 | ananasihiwa asubiri na astahamili. Mwishoe Sura inakhitimisha 1170 35 | aliye mteuwa ataingia Peponi astarehe humo. Na mwenye kukufuru 1171 102 | 102. SURAT AT-TAKAATHUR~(Imeteremka Makka)~Sura 1172 95 | 95. SURAT AT-TIN~(Imeteremka Makka)~Mwenyezi 1173 75, 36 | anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure? ~~~~~~ 1174 55, 27 | 27. Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi 1175 20, 100| kwa yakini Siku ya Kiyama atabeba mzigo. ~~~~~~ 1176 37, 55 | 55. Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu. ~~~~~~ 1177 92, 17 | 17. Na mchamngu ataepushwa nao, ~~~~~~ 1178 19, 93 | mbinguni na ardhini ila atafika kwa Arrahmani Mwingi wa 1179 12, 32 | muamrisha basi hapana shaka atafungwa gerezani, na atakuwa miongoni 1180 35 | malipo. Mwenye kutaka nguvu atafute nguvu kwa Mwenyezi Mungu. 1181 20, 64 | kujipanga safu, na kwa yakini atafuzu kweli kweli leo atakaye 1182 22, 2 | amnyonyeshaye, na kila mwenye mimba ataharibu mimba yake. Na utaona watu 1183 84, 8 | 8. Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi, ~~~~~~ 1184 20, 106| 106. Na ataiacha tambarare, uwanda. ~~~~~~ 1185 61 | yake ni ya kweli - kuwa ataifanya Dini hii ishinde dini zote 1186 87 | Mtume wake Qur'ani, naye ataihifadhi, wala hatosahau chochote 1187 36, 79 | 79. Sema: Ataihuisha huyo huyo aliye iumba hapo 1188 47, 2 | atawafutia makosa yao na ataitengeneza hali yao. ~~~~~~ 1189 47, 7 | Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu. ~~~~~~ 1190 20, 105| Waambie: Mola wangu Mlezi ataivuruga vuruga. ~~~~~~ 1191 65, 7 | alicho mpa. Mwenyezi Mungu atajaalia baada ya dhiki faraji. ~~~~~~ 1192 2, 229| hapana lawama ikiwa mwanamke atajikomboa. Hii ndiyo mipaka ya Mwenyezi 1193 25, 27 | ambayo mwenye kudhulumu atajiuma mikono yake, na huku anasema: 1194 82 | katika siku ambayo kila mtu atajua nini alilo litanguliza na 1195 17, 13 | Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa. ~~~~~~ 1196 61, 8 | vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa makafiri 1197 52 | na katika kila msimamo atakao kuwamo kwa jambo lolote, 1198 108 | kumbashiria Nabii s.a.w. kuwa atakatiliwa mbali huyo anaye mchukia 1199 33, 31 | 31. NA MIONGONI mwenu atakeye mt'ii Mwenyezi Mungu na 1200 31, 16 | ardhi, basi Mwenyezi Mungu atakileta. Hakika Mwenyezi Mungu ni 1201 34, 39 | chochote mtakacho kitoa Yeye atakilipa. Naye ni Mbora wa wanao 1202 71, 4 | Atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni mpaka muda ulio wekwa. Hakika 1203 3, 80 | Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi 1204 16, 92 | njia hiyo. Na bila ya shaka atakubainishieni Siku ya Kiyama mliyo kuwa 1205 67, 30 | yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika? ~~~~~~~~~~~~~~~~~~ 1206 12, 6 | wako Mlezi atakuteuwa na atakufundisha tafsiri ya mambo. Na atatimiza 1207 71, 4 | 4. Atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni 1208 2, 284| mkayaficha, Mwenyezi Mungu atakuhisabuni kwayo. Kisha amsamehe amtakaye 1209 57, 28 | mbili katika rehema yake, na atakujaalieni muwe na nuru ya kwenda nayo. 1210 104, 5 | 5. Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama? ~~~~~~ 1211 46, 31 | Mungu atakusameheni, na atakukingeni na adhabu chungu. ~~~~~~ 1212 2, 148| Popote mlipo Mwenyezi Mungu atakuleteni nyote pamoja. Hakika Mwenyezi 1213 5, 67 | wake. Na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu. Hakika Mwenyezi 1214 47, 7 | Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu 1215 6, 41 | ndiye mtakaye mwomba, naye atakuondoleeni mnacho mwombea akipenda. 1216 27, 93 | za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni Ishara zake, na mtazijua. 1217 93, 5 | 5. Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike. ~~~~~~ 1218 3, 31 | nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi 1219 17, 54 | anakujueni vilivyo. Akipenda atakurehemuni, na akipenda atakuadhibuni. 1220 28, 85 | kuifuata Qur'ani hapana shaka atakurudisha pahala pa marejeo. Sema: 1221 3, 75 | amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye 1222 71, 18 | 18. Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena. ~~~~~~ 1223 5, 89 | vyenu vya upuuzi, lakini atakushikeni kwa mnavyo apa kweli kweli 1224 11, 3 | Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakustarehesheni starehe nzuri mpaka muda 1225 72, 9 | sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia! ~~~~~~ 1226 9, 28 | umasikini, basi Mwenyezi Mungu atakutajirisheni kwa fadhila yake akipenda. 1227 12, 6 | kadhaalika Mola wako Mlezi atakuteuwa na atakufundisha tafsiri 1228 61, 12 | Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika Mabustani yapitiwayo 1229 71, 18 | Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena. ~~~~~~ 1230 8, 62 | kukukhadaa basi Mwenyezi Mungu atakutosheleza. Kwani Yeye ndiye aliye 1231 2, 137| upinzani tu. Na Mwenyezi Mungu atakutosheni kukukingeni na shari yao, 1232 65, 1 | Hujui; labda Mwenyezi Mungu ataleta jambo jengine baada ya haya. ~~~~~~ 1233 20, 39 | mto utamfikisha ufukweni. Atamchukua adui yangu naye ni adui 1234 35 | kutafuta nguvu kwa mwenginewe, atamdhalilisha. Na vitendo vya waja vinapanda 1235 92 | kukusanya kheri Mwenyezi Mungu atamfanyia wepesi kuingia mashakani. 1236 19, 95 | Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake. ~~~~~~ 1237 80, 22 | 22. Kisha apendapo atamfufua. ~~~~~~ 1238 63, 8 | utukufu zaidi bila ya shaka atamfukuza aliye mnyonge. Na Mwenyezi 1239 3, 48 | 48. Na atamfunza kuandika na Hikima na Taurati 1240 5, 72 | Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni 1241 80, 34 | 34. Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye, ~~~~~~ 1242 12, 14 | Wakasema: Ikiwa mbwa mwitu atamla na hali sisi ni kundi lenye 1243 3, 44 | wakitupa kalamu zao nani wao atamlea Maryamu, na hukuwa nao walipo 1244 48, 10 | Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu atamlipa ujira mkubwa. ~~~~~~ 1245 12, 41 | wenzangu wawili! Ama mmoja wenu atamnywesha bwana wake mvinyo. Na ama 1246 22, 4 | rafiki, basi huyo hakika atampoteza na atamwongoza kwenye adhabu 1247 4, 176| acha maiti. Na mwanamume atamrithi ndugu wa kike ikiwa hana 1248 22, 2 | kila mwenye kunyonyesha atamsahau amnyonyeshaye, na kila mwenye 1249 22, 60 | hapana shaka Mwenyezi Mungu atamsaidia. Hakika Mwenyezi Mungu ni 1250 87 | khabari kwamba Mwenyezi Mungu atamsomesha Mtume wake Qur'ani, naye 1251 72, 17 | kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu. ~~~~~~ 1252 4, 130| wakitengana Mwenyezi Mungu atamtosheleza kila mmoja katika wao kwa 1253 4, 159| Watu wa Kitabu ila hakika atamuamini yeye kabla ya kufa kwake. 1254 65, 11 | Mungu, na akatenda mema, atamwingiza katika Bustani zipitazo 1255 26, 81 | 81. Na ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha. ~~~~~~ 1256 67, 28 | Mwaonaje, ikiwa Mwenyezi Mungu atanihiliki mimi na walio pamoja nami, 1257 26, 81 | ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha. ~~~~~~ 1258 14, 16 | nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha. ~~~~~~ 1259 84, 11 | 11. Basi huyo ataomba kuteketea. ~~~~~~ 1260 26 | visa vya hawa Manabii saba ataona asili ya wito wao ni mmoja. 1261 12, 75 | Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo 1262 27, 41 | chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa 1263 60, 3 | ya Kiyama. Mwenyezi Mungu atapambanua baina yenu, na Mwenyezi 1264 12, 72 | mfalme. Na ataye lileta atapewa shehena nzima ya ngamia. 1265 42, 24 | Mwenyezi Mungu akipenda atapiga muhuri juu ya moyo wako. 1266 5, 39 | akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake. Hakika Mwenyezi 1267 18, 87 | basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu 1268 12, 41 | mvinyo. Na ama mwengine atasulubiwa, na ndege watamla kichwa 1269 35 | kupunguziwa adhabu yake. Atataka arejezwe duniani ili atengeneze 1270 80, 3 | kitakujuulisha pengine yeye atatakasika? ~~~~~~ 1271 70, 11 | kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na 1272 12, 6 | atakufundisha tafsiri ya mambo. Na atatimiza neema zake juu yako na juu 1273 19, 80 | tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia mtupu peke yake! ~~~~~~ 1274 34, 26 | Mlezi atatukusanya, kisha atatuhukumu kwa haki; na Yeye ndiye 1275 9, 59 | anatutosheleza, Mwenyezi Mungu atatupa katika fadhila yake - na 1276 26, 51 | tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio 1277 2, 259| kuwa magofu tu, akasema: Ataufufuaje Mwenyezi Mungu mji huu baada 1278 16, 8 | muwapande, na kuwa ni pambo. Na ataumba msivyo vijua. ~~~~~~ 1279 111 | Akhera ataingia Motoni na ataungua humo, pamoja na mkewe ataye 1280 10, 4 | anzisha uumbaji, na kisha ataurejesha ili awalipe kwa uadilifu 1281 30, 27 | anaye anzisha uumbaji, kisha ataurudisha mara nyengine. Na jambo 1282 18, 98 | ahadi ya Mola wangu Mlezi atauvunja vunja. Na ahadi ya Mola 1283 47, 32 | Mwenyezi Mungu kwa lolote. Naye ataviangusha vitendo vyao. ~~~~~~ 1284 36 | Mungu atawafufua wafu, na atavihisabu vitendo vya waja. Na Sura 1285 47, 8 | basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao. ~~~~~~ 1286 47, 1 | ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao. ~~~~~~ 1287 12, 42 | akamwambia yule aliye jua kuwa atavuka katika wale wawili: Nikumbuke 1288 104, 4 | 4. Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama. ~~~~~~ 1289 45 | na vile Mwenyezi Mungu atavyo wasahau wao kama wao walivyo 1290 7, 186| kupotea hana wa kumwongoa. Atawaacha hao wakitangatanga katika 1291 24, 55 | yao aliyo wapendelea, na atawabadilishia amani baada ya khofu yao. 1292 2, 15 | 15. Mwenyezi Mungu atawadhihaki wao na atawawacha katika 1293 24, 64 | siku mtapo rudishwa kwake atawaeleza waliyo yafanya. Na Mwenyezi 1294 24, 55 | wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa katika ardhi kama 1295 47, 2 | toka kwa Mola wao Mlezi - atawafutia makosa yao na ataitengeneza 1296 16, 27 | 27. Kisha Siku ya Kiyama atawahizi na atasema: Wako wapi hao 1297 27, 78 | Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni 1298 3, 128| jambo katika haya - ama atawahurumia au atawaadhibu, kwani wao 1299 80, 4 | 4. Au atawaidhika, na mawaidha yamfae? ~~~~~~ 1300 58, 11 | ondokeni. Mwenyezi Mungu atawainua walio amini miongoni mwenu, 1301 19, 96 | Arrahmani Mwingi wa Rehema atawajaalia mapenzi. ~~~~~~ 1302 76, 12 | 12. Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo 1303 9, 79 | huwakejeli. Mwenyezi Mungu atawakejeli wao! Nao watapata adhabu 1304 76, 11 | na shari ya siku hiyo, na atawakutanisha na raha na furaha. ~~~~~~ 1305 7, 167| Mlezi kwamba hapana shaka atawaletea watu ambao watawaadhibu 1306 20, 97 | kisha tutamtawanya baharini atawanyike. ~~~~~~ 1307 76, 21 | fedha, na Mola wao Mlezi atawanywesha kinywaji safi kabisa. ~~~~~~ 1308 39, 61 | 61. Na Mwenyezi Mungu atawaokoa wenye kujikinga kwa ajili 1309 3, 86 | 86.Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada 1310 47, 5 | 5. Atawaongoza na awatengezee hali yao. ~~~~~~ 1311 22, 17 | hakika Mwenyezi Mungu atawapambanua baina yao Siku ya Kiyama. 1312 19, 75 | Arrahmani Mwingi wa Rahema atawapururia muda mpaka wayaone waliyo 1313 9, 71 | wake. Hao Mwenyezi Mungu atawarehemu. Hakika Mwenyezi Mungu ni 1314 22, 58 | ya shaka Mwenyezi Mungu atawaruzuku riziki njema. Na hakika 1315 24, 55 | kabla yao, na kwa yakini atawasimamishia Dini yao aliyo wapendelea, 1316 24, 32 | mafakiri Mwenyezi Mungu atawatajirisha kwa fadhila yake. Na Mwenyezi 1317 7, 44 | Ndiyo! Basi mtangazaji atawatangazia: Laana ya Mwenyezi Mungu 1318 11, 98 | 98. Siku ya Kiyama atawatangulia watu wake na atawaingiza 1319 7, 164| tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza au atawaadhibu adhabu kali? 1320 34 | na anawahadharisha kuwa atawateremshia kama alivyo wateremshia 1321 11, 111| Na hakika Mola wako Mlezi atawatimilizia malipo ya vitendo vyao. 1322 61 | Na kwamba Mwenyezi Mungu atawaunga mkono Waumini kwa msaada 1323 2, 15 | Mungu atawadhihaki wao na atawawacha katika upotofu wao wakitangatanga 1324 4, 35 | mapatano Mwenyezi Mungu atawawezesha. Hakika Mwenyezi Mungu ni 1325 4, 173| ujira wao sawa sawa, na atawazidishia kwa fadhila yake. Na ama 1326 25, 70 | Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na 1327 10, 30 | 30. Huko kila mtu atayajua aliyo yatanguliza. Na watarudishwa 1328 3, 161| Na atakaye fanya khiyana, atayaleta Siku ya Kiyama aliyo yafanyia 1329 9, 64 | mzaha! Hakika Mwenyezi Mungu atayatoa nje hayo mnayo yaogopa. ~~~~~~ 1330 72, 25 | ahidiwa, au Mola wangu Mlezi atayawekea muda mrefu. ~~~~~~ 1331 84 | kulipokea kwa mkono wa kushoto atayayatika kuipata adhabu na kuingia 1332 45 | yao ambazo Mwenyezi Mungu atazitolea hukumu Siku ya Kiyama. Kisha 1333 3, 46 | 46. Naye atazungumza na watu katika utoto wake 1334 94 | kutokana na kutenda kheri, atende kheri nyengine, na afanye 1335 35 | Atataka arejezwe duniani ili atengeneze vitendo vyake, naye alikwisha 1336 9, 111| Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? 1337 33, 39 | Na Mwenyezi Mungu ndiye atoshaye kuhisabu. ~~~~~~ 1338 64 | 64. SURAT ATTAGHAABUN~(Imeteremka Madina)~Imeanzia 1339 66 | 66. SURAT ATTAH'RIIM~(Imeteremka Madina)~ 1340 81 | 81. SURAT ATTAKWIR~(Imeteremka Makka)~Katika 1341 43, 77 | kelele waseme: Ewe Malik! Na atufishe Mola wako Mlezi! Naye aseme: 1342 5, 84 | tunatumai Mola wetu Mlezi atuingize pamoja na watu wema? ~~~~~~ 1343 64, 6 | wakasema: Hivyo binaadamu ndio atuongoe? Basi wakakufuru, na wakageuka 1344 40, 49 | Mwombeni Mola wenu Mlezi atupunguzie walau siku moja ya adhabu. ~~~~~~ 1345 20, 73 | tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio 1346 2, 61 | tuombee kwa Mola wako Mlezi atutolee vile vinavyo mea katika 1347 43, 13 | Ametakasika aliye mfanya huyu atutumikie, na tusingeli weza kufanya 1348 2, 67 | Unatufanyia mzaha? Akasema: Audhubil lahi! Najikinga kwa Mwenyezi 1349 12, 23 | Akamwambia: Njoo! Yusuf akasema: Audhubillahi! Najikinga na Mwenyezi Mungu. 1350 8, 8 | Ili ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangachukia wakosefu. ~~~~~~ 1351 9, 14 | akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini, ~~~~~~ 1352 48, 10 | juu ya mikono yao. Basi avunjaye ahadi hizi anavunja kwa 1353 48, 6 | awakasirikie, na awalaani, na awaandalie Jahannamu. Na hayo ni marudio 1354 9, 30 | kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa! ~~~~~~ 1355 63, 4 | tahadhari nao. Mwenyezi Mungu awaangamizilie mbali! Vipi wanapotoka na 1356 18, 81 | tulitaka Mola wao Mlezi awabadilishie aliye bora zaidi kuliko 1357 9, 115| ya kwisha waongoza mpaka awabainishie ya kujiepusha nayo. Hakika 1358 6, 158| ila wawafikie Malaika, au awafikie Mola wako Mlezi, au zifike 1359 2, 129| wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. 1360 62, 2 | Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo 1361 3, 141| awasafishe walio amini na awafutilie mbali makafiri. ~~~~~~ 1362 58, 10 | inatokana na Shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru 1363 48, 5 | 5. Ili awaingize Waumini wanaume na Waumini 1364 96, 17 | 17. Basi na awaite wenzake! ~~~~~~ 1365 8, 17 | Mungu ndiye aliye tupa, ili awajaribu Waumini majaribio mema yatokayo 1366 2, 210| wanangoja mpaka Mwenyezi Mungu awajie katika vivuli vya mawingu 1367 14, 9 | baada yao, ambao hapana awajuaye ila Mwenyezi Mungu? Mitume 1368 3, 166| ya Mwenyezi Mungu, na ili awajue Waumini. ~~~~~~ 1369 48, 6 | mbaya, na Mwenyezi Mungu awakasirikie, na awalaani, na awaandalie 1370 28, 12 | 12. Na tukamjaalia awakatae wanyonyeshaji wote tangu 1371 3, 127| 127. Haya ni kwa ajili awakate sehemu katika walio kufuru, 1372 109 | anamuamrisha Mtume wake s.a.w. awakatishe tamaa makafiri katika juhudi 1373 48, 6 | Mwenyezi Mungu awakasirikie, na awalaani, na awaandalie Jahannamu. 1374 88 | yeye hakutawalishwa juu yao awalazimishe kuamini, na kwamba mwenye 1375 4, 133| atakuondoeni, enyi watu! Na awalete wengineo. Na Mwenyezi Mungu 1376 7, 196| teremsha Kitabu. Naye ndiye awalindae walio wema. ~~~~~~ 1377 16, 31 | Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu awalipavyo wenye kumcha. ~~~~~~ 1378 58, 4 | Na asiye weza hayo basi awalishe masikini sitini. Hayo ni 1379 54 | Mtume s.a.w. awapuuze na awangojee mpaka siku watakapo toka 1380 2 | kumwomba Mola wao Mlezi awanusuru na awasaidie. ~Sura hii 1381 63 | Mtume wa Mwenyezi Mungu awaombee maghfira, hali yao hubainika 1382 74 | wa Mwenyezi Mungu s.a.w. awaonye watu wake, na amtukuze Mwenyezi 1383 30, 41 | watu, ili Mwenyezi Mungu awaonyeshe baadhi ya waliyo yatenda. 1384 6, 133| atakuondoeni na awaweke wengine awapendao badala yenu, kama vile alivyo 1385 19, 6 | Atakaye nirithi mimi na awarithi ukoo wa Yaaqub. Ewe Mola 1386 3, 141| Na pia ili Mwenyezi Mungu awasafishe walio amini na awafutilie 1387 2 | Mola wao Mlezi awanusuru na awasaidie. ~Sura hii imekusanya misingi 1388 24, 33 | kuolea, mpaka Mwenyezi Mungu awatajirishe kwa fadhila yake. Na wanao 1389 46, 15 | Na tumemuusia mwanaadamu awatendee wema wazazi wake wawili. 1390 47, 5 | 5. Atawaongoza na awatengezee hali yao. ~~~~~~ 1391 3, 140| awapambanue walio amini na awateuwe miongoni mwenu mashahidi. 1392 16, 102| wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa 1393 65 | Aya za Mwenyezi Mungu, ili awatoe kwenye giza wende kwenye 1394 4, 15 | mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine. ~~~~~~ 1395 33, 8 | 8. Ili (Mwenyezi Mungu) awaulize wakweli juu ya ukweli wao. 1396 70 | wa Mwenyezi Mungu s.a.w. awawachilie mbali na upumbavu wao na 1397 6, 133| Akipenda atakuondoeni na awaweke wengine awapendao badala 1398 76 | kwake, na kutayarishwa kwake aweze kumshukuru Mwenyezi Mungu 1399 74 | Mwenyezi Mungu Mtukufu, na ayaache yasiyo faa kutokana naye, 1400 3, 154| hivyo) ili Mwenyezi Mungu ayajaribu yaliyomo vifuani mwenu, 1401 38, 41 | 41. Na mkumbuke mja wetu Ayubu alipo mwita Mola wake Mlezi 1402 6, 84 | tulimwongoa Daud na Suleiman na Ayyub na Yusuf na Musa na Harun. 1403 21, 83 | 83. Na Ayyubu, alipo mwita Mola wake Mlezi, 1404 99 | 99. SURAT AZ-ZILZALAH~(Imeteremka Madina)~Aya 1405 6, 74 | alipo mwambia baba yake, Azar: Unayafanya masanamu kuwa 1406 74 | fanyiwa na kisha anatumai bado azidishiwe bila ya kutambua wala shukrani. 1407 6, 59 | funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua 1408 12, 102| hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri yao, walipo fanya 1409 68, 25 | asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo. ~~~~~~ 1410 47, 21 | njema. Na jambo likisha azimiwa, basi wakiwa ni wakweli 1411 12 | akamuelekeza Nabii mnamo Aya kumi azingatie kuwa masimulizi haya ni 1412 43 | 43. SURAT AZZUKHRUF~(Imeteremka Makka)~Imeanzia 1413 39 | 39. SURAT AZZUMAR~(Imeteremka Makka)~Sura 1414 105 | Mwenyezi Mungu ya Al-Kaa'ba, na anakionyesha kisa hichi 1415 2, 102| Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha 1416 33, 33 | Mtume, na kukusafisheni baarabara. ~~~~~~ 1417 19 | Mwenyezi Mungu, na alivyo mtaka babaake aache kuabudu masanamu, 1418 12, 4 | alipo mwambia baba yake: Ewe babaangu! Hakika mimi nimeota nyota 1419 34, 51 | Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! 1420 80, 35 | 35. Na mamaye na babaye, ~~~~~~ 1421 1 | yatakuja mambo kwa tafsili, babu-babu. ~Na makusudio ya Qur'ani 1422 70, 16 | 16. Unao babua ngozi ya kichwa! ~~~~~~ 1423 11, 108| 108. Na ama wale walio bahatika, wao watakuwamo Peponi wakidumu 1424 5, 103| hakujaalia uharamu wowote juu ya "Bahira" wala "Saiba" wala "Wasila" 1425 17 | a.w. kutoka Makka mpaka Bait Al Muqaddas (Yerusalemu), 1426 2, 71 | maji mimea, mzima, hana baka. Wakasema: Sasa umeleta 1427 82, 5 | ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma. ~~~~~~ 1428 3, 96 | kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye 1429 9 | wa Hija hiyo alikuwa Abu Bakr Assidiq r.a. Na Aya zake 1430 27 | Hud-hud, na akaja na kisa cha Balqis, na kuabudu kwake bibi huyu 1431 17, 40 | Yeye akawafanya Malaika ni banati zake? Kwa hakika nyinyi 1432 5 | a.s. Na juu ya hiyo miujiza Banu Israili walimkanya. Pia 1433 2 | 2. SURA AL- BAQARA~(Imeteremka Madina)~Sura 1434 9 | hivyo ikaitwa pia Sura ya Baraa-ah, yaani kujitenga, kutokuwa 1435 3, 117| ndani yake ipo baridi ya barafu, ukalisibu shamba la watu 1436 19, 73 | cheo kizuri na lilio bora barazani? ~~~~~~ 1437 80 | 80. SURAT A'BASA~(Imeteremka Makka)~Sura 1438 52, 44 | sema: Ni mawingu yaliyo bebana. ~~~~~~ 1439 24, 54 | yaliyo juu yenu ni mliyo bebshwa nyinyi. Na mkimt'ii yeye 1440 19 | kimetajwa pia kisa cha Bibi Bikra Maryam (A.S.) na kumzaa 1441 41 | khulka moja katika khulka za binaadammu, nayo ni kuwa Mwenyezi Mungu 1442 26, 37 | 37. Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu. ~~~~~~ 1443 22 | Kiyama, na kuwajuilisha wanao bisha kwa upotovu na ujinga, na 1444 55, 54 | wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na 1445 38, 32 | Kisha wakafichikana nyuma ya boma. ~~~~~~ 1446 89, 9 | walio chonga majabali huko bondeni? ~~~~~~ 1447 29 | kubainisha kwamba hapana budi ila Imani ya Waumini itiwe 1448 39 | pulizwa barugumu wakapigwa bumbuazi walioko mbinguni na kwenye 1449 79, 11 | Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa? ~~~~~~ 1450 9, 109| ya ukingo wa shimo linalo burugunyika, na likaburugunyika naye 1451 85, 1 | Naapa kwa mbingu yenye Buruji! ~~~~~~ 1452 71, 19 | amekukunjulieni ardhi kama busati. ~~~~~~ 1453 7, 22 | wakaingia kujibandika majani ya Bustanini. Mola wao Mlezi akawaita: 1454 35, 29 | hutaraji biashara isiyo bwaga. ~~~~~~ 1455 35, 12 | mnakula nyama mpya (isiyo chacha). Na mnatoa mapambo mnayo 1456 2, 187| amekusameheni. Basi sasa changanyikeni nao na takeni aliyo kuandikieni 1457 22, 63 | mbinguni, na mara ardhi inakuwa chanikiwiti? Hakika Mwenyezi Mungu ni 1458 7, 133| tukawapelekea tufani, na nzige, na chawa, na vyura, na damu, kuwa 1459 52, 24 | ni lulu zilizomo katika chaza. ~~~~~~ 1460 18, 86 | aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo 1461 37, 46 | 46. Kinywaji cheupe, kitamu kwa wanywao. ~~~~~~ 1462 2, 196| Na ikiwa mkizuiwa,basi (chinjeni) wanyama walio wepesi kupatikana. 1463 5, 3 | haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga 1464 13, 4 | kwenye shina moja na isio chipua kwenye shina moja, nayo 1465 48, 29 | Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, 1466 2, 261| mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila 1467 81, 12 | 12. Na Jahannamu itapo chochewa, ~~~~~~ 1468 6, 32 | 32. Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao 1469 89, 9 | 9. Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni? ~~~~~~ 1470 40, 35 | wowote ulio wafikia, ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi 1471 4, 83 | mamlaka kati yao, wale wanao chunguza wangeli lijua. Na lau kuwa 1472 4, 94 | Mungu akakuneemesheni. Basi chunguzeni sawa sawa. Hakika Mwenyezi 1473 94 | katika mizigo ya kazi ya Da'wa, yaani Wito. Na akalikutanisha 1474 82 | kumhadharisha mwanaadamu aliye danganyika na Mola wake Mlezi aliye 1475 75, 7 | 7. Basi jicho litapo dawaa, ~~~~~~ 1476 43, 23 | wowote ila watu wake walio deka kwa starehe walisema: Hakika 1477 23, 64 | katika adhabu wale walio dekezwa kwa starehe kati yao, hapo 1478 12, 72 | nzima ya ngamia. Nami ni dhaamini wa hayo. ~~~~~~ 1479 108 | mhanga bora ya mali yake kwa dhahiya ya shukrani kwa ukarimu 1480 22, 36 | tumewafanya hawa wanyama dhalili kwenu ili mpate kushukuru. ~~~~~~ 1481 58, 5 | watadhalilishwa kama walivyo dhalilishwa wale walio kuwa kabla yao. 1482 66 | sawa. Kwani kila nafsi ina dhamana kwa vitendo vyake mwenyewe.~ 1483 68, 40 | Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya? ~~~~~~ 1484 21, 41 | waliyo kuwa wakiyafanyia dhihaka. ~~~~~~ 1485 21, 41 | walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia 1486 24, 31 | uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao 1487 86, 9 | 9. Siku zitakapo dhihirishwa siri. ~~~~~~ 1488 62, 9 | Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni 1489 9 | yaani kujitenga, kutokuwa na dhima, kutokuwa na jukumu. Na 1490 69, 32 | mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini! ~~~~~~ 1491 28, 5 | tukataka kuwafadhili walio dhoofishwa katika nchi hiyo na kuwafanya 1492 18, 83 | Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni 1493 26, 227| wingi, na wakajitetea wanapo dhulumiwa. Na wanao dhulumu watakuja 1494 21, 87 | 87. Na Dhun-Nun alipoondoka hali ameghadhibika, 1495 21 | Idris, na Dhulkifli, na Dhunnuun, na Maryamu. Na akataja 1496 3, 75 | yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo 1497 22 | ndio wakazalika ukoo wa A'dnan. Na matokeo ya mambo yenu 1498 38, 6 | wakiwaambia: Nendeni zenu na dumuni na miungu yenu, kwani hili 1499 2, 235| tu kwa wanawake waliomo edani au mkadhamiria katika nyoyo 1500 43, 34 | nyumba zao na vitanda wanavyo egemea juu yake, ~~~~~~ 1501 10, 53 | Je! Ni kweli hayo? Sema: Ehe! Naapa kwa Mola wangu Mlezi! 1502 23, 41 | tukawafanya kama takataka zinazo elea juu ya maji. Ikapotelea 1503 50, 31 | na akaja kwa moyo ulio elekea- ~~~~~~ 1504 2, 150| Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili


228-akiwa | akiya-anapi | anapo-eleke | endap-hatut | hatuw-husim | husis-isomw | israa-kufua | kufud-kusud | kutaa-makas | makel-mnani | mnaom-natub | navip-shukr | shuku-tumek | tumel-ukiku | ukili-viko | vikos-wakip | wakir-wanaw | wanay-yamek | yamel-zuka

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License