228-akiwa | akiya-anapi | anapo-eleke | endap-hatut | hatuw-husim | husis-isomw | israa-kufua | kufud-kusud | kutaa-makas | makel-mnani | mnaom-natub | navip-shukr | shuku-tumek | tumel-ukiku | ukili-viko | vikos-wakip | wakir-wanaw | wanay-yamek | yamel-zuka
bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
6551 12, 88 | shida, sisi na watu wetu. Na tumeleta mali kidogo. Basi tupimie
6552 25, 45 | kifanya kikatulia tu. Kisha tumelifanya jua kuwa ni kiongozi wake. ~~~~~~
6553 76, 3 | 3. Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru,
6554 3, 53 | Tumeyaamini uliyo yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike
6555 17, 13 | 13. Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake.
6556 10, 2 | Imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia mmoja wao kuwa: Waonye watu,
6557 80, 25 | 25. Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu, ~~~~~~
6558 17, 33 | uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini
6559 73, 15 | 15. Hakika Sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi
6560 25, 11 | Saa (ya Kiyama). Na Sisi tumemuandalia Moto mkali kabisa huyo mwenye
6561 4, 157| Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu,
6562 37, 129| 129. Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja
6563 2, 8 | katika watu, wako wasemao: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya
6564 7, 89 | 89. Bila ya shaka itakuwa tumemzulia uwongo Mwenyezi Mungu tukirudi
6565 15, 19 | humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake. ~~~~~~
6566 18, 62 | chetu cha mchana. Kwa hakika tumepata machofu kweli kwa hii safari
6567 26, 61 | Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana! ~~~~~~
6568 68, 26 | liona, wakasema: Hakika tumepotea! ~~~~~~
6569 12, 72 | 72. Wakasema: Tumepoteza kopo la mfalme. Na ataye
6570 7, 156| hii na katika Akhera. Sisi tumerejea kwako. (Mwenyezi Mungu)
6571 15, 15 | yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa. ~~~~~~
6572 12, 65 | zaidi? Hizi bidhaa zetu tumerudishiwa. Wacha tuwaletee watu wetu
6573 18, 14 | ni Mungu. Hivyo itakuwa tumesema jambo la kuvuka mpaka. ~~~~~~
6574 60, 4 | Mola wetu Mlezi! Juu yako tumetegemea, na kwako tumeelekea, na
6575 6, 157| 157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa
6576 2, 246| Mwenyezi Mungu, na hali tumetolewa majumbani kwetu na watoto
6577 7, 129| 129. Wakasema: Tumeudhiwa kabla hujatufikia, na baada
6578 51, 49 | 49. Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie. ~~~~~~
6579 36, 39 | 39. Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama
6580 17, 1 | Msikiti wa Mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe
6581 18, 7 | 7. Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa
6582 4, 66 | 66. Na lau kuwa tumewaamrisha: Jiueni, au tokeni majumbani
6583 22, 37 | uchamngu wenu. Namna hivi tumewadhalilisha kwenu ili mumtukuze Mwenyezi
6584 17, 89 | 89. Na hakika tumewaeleza watu katika hii Qur'ani
6585 18, 54 | 54. Na bila ya shaka tumewaelezea watu katika hii Qur'ani
6586 28, 51 | 51. Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka. ~~~~~~
6587 36, 9 | na kizuizi nyuma yao, na tumewafunika macho yao; kwa hivyo hawaoni. ~~~~~~
6588 43, 32 | za Mola wako Mlezi? Sisi tumewagawanyia baina yao maisha yao katika
6589 68, 17 | 17. Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu
6590 38, 46 | 46. Sisi tumewakhusisha wao kwa sifa ya ukumbusho
6591 39, 27 | 27. Na bila ya shaka tumewapigia watu mifano ya kila namna
6592 35, 32 | 32. Kisha tumewarithisha Kitabu hao ambao tuliwateuwa
6593 17, 70 | nchi kavu na baharini, na tumewaruzuku vitu vizuri vizuri, na tumewafadhilisha
6594 30, 35 | 35. Au tumewateremshia hoja ambayo kwayo ndio wanafanya
6595 20, 85 | Mwenyezi Mungu) akasema: Sisi tumewatia mtihani watu wako baada
6596 5, 64 | uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao
6597 19, 83 | 83. Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri
6598 36, 71 | 71. Je! Hawaoni kwamba tumewaumbia kutokana na iliyo fanya
6599 3, 181| masikini, na sisi ni matajiri. Tumeyaandika waliyo yasema, na pia kuwauwa
6600 38, 3 | 3. Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele,
6601 67, 5 | ya karibu kwa mataa, na tumeyafanya ili kuwapigia mashetani,
6602 14, 9 | vyao, wakasema: Hakika sisi tumeyakataa hayo mliyo tumwa, na hakika
6603 35, 27 | kutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenye rangi mbali
6604 17, 17 | 17. Na kaumu ngapi tumeziangamiza baada ya Nuhu! Na Mola wako
6605 51, 47 | 47. Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika
6606 19, 98 | 98. Na kaumu ngapi tumezihiliki kabla yao. Je! Unawaona
6607 15, 17 | 17. Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye. ~~~~~~
6608 15, 16 | mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia. ~~~~~~
6609 6, 126| wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka. ~~~~~~
6610 6, 25 | mwao wanao kusikiliza; na tumezitia pazia nyoyo zao wasije kuyafahamu.
6611 2, 118| zimefanana. Hakika Sisi tumeziweka wazi Ishara kwa watu wenye
6612 19, 21 | ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu,
6613 54, 24 | 24. Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi?
6614 12, 21 | tulimweka Yusuf katika nchi ili tumfundishe kufasiri mambo. Na Mwenyezi
6615 7, 54 | na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni!
6616 7, 50 | watawaita watu wa Peponi: Tumimieni maji, au chochote alicho
6617 34, 33 | mlipo kuwa mkituamrisha tumkufuru Mwenyezi Mungu, na tumfanyie
6618 54, 35 | toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru. ~~~~~~
6619 40, 48 | jitukuza: Hakika sote sisi tumo humo humo! Kwani Mwenyezi
6620 28, 9 | Msimuuwe! Huenda akatufaa, au tumpange kuwa mwenetu. Wala wao hawakutambua. ~~~~~~
6621 17, 15 | Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume. ~~~~~~
6622 19, 29 | mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika
6623 25, 60 | husema: Ni nani Arrahman? Je! Tumsujudie unaye tuamrisha wewe tu?
6624 7, 70 | Wakasema: Je! Umetujia ili tumuabudu Mwenyezi Mungu peke yake,
6625 12, 24 | Hayo hivyo ni kwa ajili tumuepushe na uovu na uchafu. Hakika
6626 6, 71 | 71. Sema: Je, tumuombe asiye kuwa Mwenyezi Mungu
6627 17, 1 | tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika
6628 10, 12 | kwamba hakupata kutuomba tumwondoshee shida iliyo mpata. Ndio
6629 2, 55 | Musa! Hatutakuamini mpaka tumwone Mwenyezi Mungu waziwazi.
6630 26, 71 | 71. Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea. ~~~~~~
6631 2, 91 | Mwenyezi Mungu. Wao husema: Tunaamini tuliyo teremshiwa sisi.
6632 45, 32 | mkisema: Hatuijui hiyo Saa, tunadhania dhana tu, wala hatuna yakini. ~~~~~~
6633 11, 121| Fanyeni muwezavyo, nasi pia tunafanya. ~~~~~~
6634 50, 41 | Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi ndio marejeo. ~~~~~~
6635 50, 41 | 43. Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi
6636 7, 88 | yetu. Akasema: Je, ingawa tunaichukia? ~~~~~~
6637 13, 4 | inatiliwa maji yale yale. Na tunaifanya baadhi yao bora kuliko mengine
6638 40, 84 | Mungu kuwa ni wa pekee, na tunaikataa miungu tuliyo kuwa tukiishirikisha
6639 2, 106| ifuta au tunayo isahaulisha tunailetea iliyo bora kuliko hiyo,
6640 26, 200| 200. Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu. ~~~~~~
6641 76, 10 | 10. Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo
6642 70, 7 | 7. Na Sisi tunaiona iko karibu. ~~~~~~
6643 32, 27 | ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kula wanyama
6644 21, 18 | 18. Bali tunaitupa kweli juu ya uwongo ikauvunja
6645 2, 259| jinsi tunavyo inyanyua kisha tunaivisha nyama. Basi yalipo mbainikia
6646 28, 63 | kama tulivyo potea sisi. Tunajitenga nao mbele yako. Hawakuwa
6647 39, 74 | na akaturithisha ardhi, tunakaa katika Bustani popote tupendapo.
6648 15, 60 | 60. Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao
6649 5, 52 | wanakimbilia kwao wakisema: Tunakhofu yasitusibu mabadiliko. Huenda
6650 25, 46 | 46. Kisha tunakivutia kwetu kidogo kidogo. ~~~~~~
6651 22, 5 | ili tukubainishieni. Nasi tunakiweka katika matumbo ya uzazi
6652 1, 5 | 5. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.~
6653 23, 37 | uhai wetu wa duniani tu, tunakufa na kuishi basi. Wala sisi
6654 7, 66 | upumbavu, na hakika sisi tunakufikiria kuwa wewe ni katika waongo. ~~~~~~
6655 20, 99 | 99. Namna hivi tunakuhadithia katika khabari za yaliyo
6656 21, 35 | nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na
6657 60, 4 | badala ya Mwenyezi Mungu. Tunakukataeni; na umekwisha dhihiri uadui
6658 11, 38 | nyinyi mnatukejeli na sisi tunakukejelini kama mnavyo tukejeli. ~~~~~~
6659 76, 9 | 9. Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu.
6660 15, 52 | Yeye akasema: Hakika sisi tunakuogopeni. ~~~~~~
6661 1, 5 | tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.~
6662 20, 55 | ardhi) tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni, na kutoka humo tutakutoeni
6663 20, 132| wewe riziki, bali Sisi ndio tunakuruzuku. Na mwisho mwema ni kwa
6664 6, 151| sababu ya umasikini. Sisi tunakuruzukuni nyinyi na wao. Wala msikaribie
6665 2, 30 | tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema:
6666 2, 285| Tumesikia na tumet'ii. Tunakutaka maghfira Mola Mlezi wetu!
6667 2, 30 | kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja
6668 9, 52 | katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa Mwenyezi Mungu akufikishieni
6669 22, 5 | mpaka muda ulio wekwa. Kisha tunakutoeni kwa hali ya mtoto mchanga,
6670 12, 56 | humo popote anapo penda. Tunamfikishia rehema zetu tumtakaye, wala
6671 21, 51 | wake zamani, na tulikuwa tunamjua. ~~~~~~
6672 42, 52 | kuwa ni Nuru ambayo kwayo tunammwongoa tumtakaye katika waja wetu.
6673 6, 83 | kuhojiana na watu wake. Tunamnyanyua kwa vyeo tumtakaye. Hakika
6674 36, 68 | 68. Na tunaye mzeesha tunamrudisha nyuma katika umbo. Basi
6675 2, 139| mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu. ~~~~~~
6676 52, 30 | Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari. ~~~~~~
6677 10, 85 | 85. Wakasema: Tunamtegemea Mwenyezi Mungu. Ewe Mola
6678 34, 17 | walivyo kufuru. Nasi kwani tunamuadhibu isipo kuwa anaye kufuru? ~~~~~~
6679 21, 94 | juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia. ~~~~~~
6680 43, 36 | upofu maneno ya Rahmani tunamwekea Shet'ani kuwa ndiye rafiki
6681 12, 30 | kwa mapenzi. Sisi hakika tunamwona yumo katika upotovu ulio
6682 34, 12 | na amri yetu katika wao, tunamwonjesha adhabu ya Moto unao waka. ~~~~~~
6683 20, 45 | wetu Mlezi! Hakika sisi tunaogopa asije akapindukia mipaka
6684 2, 70 | atupambanulie ni yupi? Hakika tunaona ng'ombe wamefanana. Na kwa
6685 4, 97 | vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa. Watawaambia: Kwani ardhi
6686 43, 22 | dini makhsusi, basi na sisi tunaongoza nyayo zao. ~~~~~~
6687 10, 74 | kabla yake. Ndio kama hivyo tunapiga muhuri juu ya nyoyo za warukao
6688 2, 135| ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu,
6689 63, 1 | kujia wanaafiki husema: Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa
6690 26, 15 | Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza. ~~~~~~
6691 2, 133| Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake. ~~~~~~
6692 12, 3 | 3. Sisi tunasimulia simulizi nzuri kwa kukufunulia
6693 4, 81 | 81. Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako
6694 5, 113| 113. Wakasema: Tunataka kukila chakula hicho, na
6695 41, 5 | pazia. Basi wewe tenda, nasi tunatenda. ~~~~~~
6696 6, 99 | kutoka mbinguni; na kwayo tunatoa mimea ya kila kitu. Kutokana
6697 43, 30 | ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa. ~~~~~~
6698 36, 37 | Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa
6699 36, 65 | 65. Leo tunaviziba vinywa vyao, na iseme nasi
6700 4, 150| wake, kwa kusema: Wengine tunawaamini na wengine tunawakataa.
6701 2, 14 | pamoja nanyi. Hakika sisi tunawadhihaki tu. ~~~~~~
6702 6, 129| 129. Ndio kama hivi tunawaelekeza madhaalimu wapendane wao
6703 36, 12 | 12. Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo
6704 18, 18 | na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa
6705 17, 60 | laaniwa katika Qur'ani. Na tunawahadharisha, lakini haiwazidishii ila
6706 23, 56 | 56. Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui. ~~~~~~
6707 19, 84 | usiwafanyie haraka. Sisi tunawahisabia idadi ya siku zao. ~~~~~~
6708 40 | Mwenyezi Mungu pekee, na tunawakanya hao miungu tuliyo kuwa tukimshirikisha
6709 17, 20 | 20. Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema
6710 12, 22 | hukumu na ilimu. Na kama hivi tunawalipa wanao tenda mema. ~~~~~~
6711 40, 51 | Hakika bila ya shaka Sisi tunawanusuru Mitume wetu na walio amini
6712 3, 178| wapa ni kheri yao. Hakika tunawapa muhula wazidi madhambi.
6713 17, 31 | kuogopa umasikini. Sisi tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua
6714 7, 51 | yakawadanganya. Basi leo Sisi tunawasahau kama walivyo usahau mkutano
6715 31, 24 | 24. Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma
6716 12, 76 | alivyo taka Mwenyezi Mungu. Tunawatukuza kwenye vyeo tuwatakao; na
6717 36, 43 | 43. Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia,
6718 3, 140| haya. Na siku za namna hii tunaweletea watu kwa zamu, ili Mwenyezi
6719 7, 75 | wake? Wakasema: Hakika sisi tunayaamini yale aliyo tumwa. ~~~~~~
6720 36, 12 | Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo
6721 7, 57 | zinapo beba mawingu mazito tunayachunga mpaka kwenye nchi iliyo
6722 26, 71 | Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea. ~~~~~~
6723 32, 27 | 27. Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu,
6724 46, 16 | vyao walivyo vitenda, na tunayasamehe makosa yao. Watakuwa miongoni
6725 18, 64 | Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa
6726 25, 48 | kabla ya rehema yake, na tunayateremsha kutoka mbinguni maji safi. ~~~~~~
6727 36, 68 | 68. Na tunaye mzeesha tunamrudisha nyuma
6728 9, 11 | ndugu zenu katika Dini. Na tunazichambua Aya kwa watu wajuao. ~~~~~~
6729 7, 32 | vyao wao tu. Namna hivi tunazieleza Ishara kwa watu wanao jua. ~~~~~~
6730 15, 22 | 22. Na tunazipeleka pepo za kupandishia, na
6731 6, 105| 105. Na namna hivyo tunazisarifu Aya, na wao wakwambie: Umesoma.
6732 4, 129| mkamwacha (mmojapo) kama aliye tundikwa. Na mkisikizana na mkamchamngu
6733 7, 176| 176. Na tungelitaka tungeli mtukuza kwa hizo
6734 2, 167| wale walio fuata: Laiti tungeweza kurudi tukawakataa wao kama
6735 57, 13 | watapo waambia walio amini: Tungojeni ili tupate mwangaza katika
6736 34 | teremshiwa kuwa ni uzushi ulio tungwa, na uchawi dhaahiri! Na
6737 19, 19 | wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika. ~~~~~~
6738 8, 32 | kweli itokayo kwako basi tunyeshee mawe kutoka mbinguni, au
6739 3, 61 | na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana
6740 35, 34 | za Mwenyezi Mungu aliye tuondolea huzuni zote. Hakika Mola
6741 1, 6 | 6. Tuongoe njia iliyo nyooka,~
6742 39, 74 | tunakaa katika Bustani popote tupendapo. Basi ni malipo mazuri yaliyoje
6743 11, 87 | zetu, au tuache kufanya tupendavyo katika mali zetu? Ama hakika
6744 6, 124| husema: Hatutoamini mpaka tupewe mfano wa walio pewa Mitume
6745 60 | kuwafanyia haki. Ama hao wanao tupiga vita katika Dini, na wakasaidia
6746 2, 246| wao: Tuwekee mfalme ili tupigane katika Njia ya Mwenyezi
6747 17, 22 | ukawa wa kulaumiwa uliye tupika. ~~~~~~
6748 12, 88 | tumeleta mali kidogo. Basi tupimie kipimo na fanya kama unatupa
6749 6, 71 | hatufai wala hatudhuru, na turejee nyuma baada ya Mwenyezi
6750 32, 12 | Tumesha ona, na tumesha sikia. Turejeshe tukatende mema, kwani hakika
6751 17, 51 | Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema: Yule yule aliye
6752 7, 53 | waombezi ili watuombee? Au turudishwe ili tufanye yasiyo kuwa
6753 5, 114| Ishara itokayo kwako. Basi turuzuku, kwani Wewe ndiye mbora
6754 3, 64 | tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola
6755 20, 58 | baina yetu na wewe, ambayo tusiivunje sisi wala wewe, mahali patapo
6756 6, 71 | Uwongofu. Nasi tumeamrishwa tusilimu kwa Mola Mlezi wa viumbe
6757 3, 64 | ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane
6758 14, 12 | 12. Na tuna nini hata tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali
6759 3, 64 | yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,
6760 3, 154| lolote katika jambo hili tusinge uliwa hapa. Sema: Hata mngeli
6761 18, 90 | aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga
6762 2, 246| msipigane? Wakasema: Itakuwaje tusipigane katika Njia ya Mwenyezi
6763 6, 6 | Tuliwaweka katika nchi tusivyo kuwekeni nyinyi; tukawapelekea
6764 11, 62 | kheri kwetu. Je, unatukataza tusiwaabudu waliyo kuwa wakiwaabudu
6765 2, 286| Mola wetu Mlezi Usitutwike tusiyo yaweza, na utusamehe, na
6766 3, 168| wakakaa kitako: Lau wengeli tut'ii wasingeli uliwa. Sema:
6767 44, 12 | Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini. ~~~~~~
6768 19, 79 | 79. Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia
6769 2, 170| Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba
6770 21, 47 | uzito wa chembe ya khardali tutaileta. Nasi tunatosha kuwa washika
6771 5, 22 | humo. Wakitoka humo hapo tutaingia. ~~~~~~
6772 44, 15 | 15. Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi
6773 19, 40 | 40. Hakika Sisi tutairithi ardhi na walio juu yake.
6774 20, 21 | Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza. ~~~~~~
6775 32, 22 | akazikataa? Hakika Sisi tutajilipiza kwa wakosefu. ~~~~~~
6776 5, 24 | wako Mlezi mkapigane. Sisi tutakaa hapa hapa. ~~~~~~
6777 2, 127| wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi
6778 11, 48 | nawe. Na zitakuwapo kaumu tutakazo zistarehesha, na kisha zitashikwa
6779 10, 23 | marejeo yenu ni kwetu, na hapo tutakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda. ~~~~~~
6780 7, 134| adhabu hii hapana shaka tutakuamini, na tutawaachilia Wana wa
6781 2, 144| uso wako mbinguni. Basi tutakuelekeza kwenye Kibla ukipendacho.
6782 20, 58 | 58. Basi sisi hakika tutakueletea uchawi kama huo. Basi weka
6783 4, 31 | Mkiyaepuka makubwa mnayo katazwa, tutakufutieni makosa yenu madogo, na tutakuingizeni
6784 55, 31 | 31. Tutakuhisabuni enyi makundi mawili. ~~~~~~
6785 4, 31 | tutakufutieni makosa yenu madogo, na tutakuingizeni mahali patukufu. ~~~~~~
6786 16, 89 | yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya
6787 25, 33 | mfano wowote, ila na Sisi tutakuletea (jawabu) kwa haki, na tafsiri
6788 17, 104| Itapo kuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja. ~~~~~~
6789 43, 42 | 42. Au tutakuonyesha tulio waahidi. Nasi bila
6790 17, 5 | fika ahadi ya kwanza yake tutakupelekeeni waja wetu wa kali kwa vita.
6791 28, 35 | mkono wako kwa nduguyo, na tutakupeni madaraka, hata wasikufikilieni.
6792 36, 18 | hamtaacha basi kwa yakini tutakupigeni mawe, na mtapata adhabu
6793 87, 8 | 8. Na tutakusahilishia yawe mepesi. ~~~~~~
6794 33, 60 | hawatoacha, basi kwa yakini tutakusalitisha juu yao, kisha hawatakaa
6795 2, 58 | unyenyekevu, na semeni: Tusamehe! Tutakusameheni makosa yenu, na tutawazidishia
6796 87, 6 | 6. Tutakusomesha wala hutasahau, ~~~~~~
6797 47, 26 | yateremsha Mwenyezi Mungu: Tutakut'iini katika baadhi ya mambo.
6798 73, 5 | 5. Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito. ~~~~~~
6799 7, 88 | yake wakasema: Ewe Shua'ib! Tutakutoa wewe pamoja na wale walio
6800 14, 14 | 14. Na tutakuwekeni katika ardhi baada yao.
6801 9, 66 | Tukilisamehe kundi moja kati yenu, tutaliadhibu kundi jingine kwa kuwa wao
6802 43, 41 | Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao. ~~~~~~
6803 37, 53 | tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa? ~~~~~~
6804 21, 104| tulivyo anza umbo la mwanzo tutalirudisha tena. Ni ahadi iliyo juu
6805 20, 97 | kumuabudu - Sisi kwa hakika tutamchoma moto, kisha tutamtawanya
6806 28, 7 | Sisi tutamrudisha kwako na tutamfanya miongoni mwa Mitume. ~~~~~~
6807 20, 124| dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali ya kuwa kipofu. ~~~~~~
6808 12, 12 | acheze; na bila ya shaka sisi tutamhifadhi. ~~~~~~
6809 16, 97 | naye akawa ni Muumini, tutamhuisha maisha mema; na tutawapa
6810 96, 15 | 15. Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele! ~~~~~~
6811 19, 79 | Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu. ~~~~~~
6812 21, 29 | badala yake, basi huyo tutamlipa malipo yake Jahannamu. Hivyo
6813 12, 61 | 61. Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka
6814 19, 80 | 80. Na tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia
6815 28, 7 | usihuzunike. Hakika Sisi tutamrudisha kwako na tutamfanya miongoni
6816 27, 49 | Apishaneni kwa Mwenyezi Mungu tutamshambulia usiku yeye na ahali zake;
6817 20, 97 | hakika tutamchoma moto, kisha tutamtawanya baharini atawanyike. ~~~~~~
6818 68, 16 | 16. Tutamtia kovu juu ya pua yake. ~~~~~~
6819 17, 13 | mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi
6820 2, 133| nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba
6821 18, 87 | Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa
6822 4, 115| njia isiyo kuwa ya Waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza
6823 4, 115| tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo
6824 33, 31 | malipo yake mara mbili, na tutamwandalia riziki ya ukarimu. ~~~~~~
6825 4, 30 | na udhaalimu, basi huyo tutamwingiza Motoni. Na hilo ni jepesi
6826 29, 32 | yumo humo. Hapana shaka tutamwokoa yeye na ahali zake, isipo
6827 28, 57 | uwongofu huu pamoja nawe tutanyakuliwa kutoka nchi yetu. Je! Kwani
6828 12, 65 | tutamlinda ndugu yetu, na tutaongeza shehena ya ngamia. Na hicho
6829 2, 70 | Mwenyezi Mungu akipenda, tutaongoka. ~~~~~~
6830 37, 31 | tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu. ~~~~~~
6831 26, 203| 203. Na watasema: Je, tutapewa muhula? ~~~~~~
6832 7, 100| tutawapatiliza kwa madhambi yao, na tutapiga muhuri juu ya nyoyo zao,
6833 43, 14 | 14. Na hakika sisi tutarudi kwa Mola wetu Mlezi. ~~~~~~
6834 17, 8 | akakurehemuni. Na mkirudia na Sisi tutarudia. Na tumeifanya Jahannamu
6835 7, 169| maisha duni, na wakasema: Tutasamehewa! Na ikiwajia tena anasa
6836 28, 75 | shahidi katika kila umma, na tutasema: Leteni hoja zenu! Hapo
6837 27, 27 | 27. Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni
6838 17, 58 | kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu kali. Haya yamekwisha
6839 17, 58 | hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza kabla ya Siku ya Kiyama,
6840 28, 35 | Mwenyezi Mungu) akasema: Tutautia nguvu mkono wako kwa nduguyo,
6841 18, 8 | 8. Na hakika Sisi tutavifanya vyote vilio juu ya ardhi
6842 7, 134| hapana shaka tutakuamini, na tutawaachilia Wana wa Israili wende nawe. ~~~~~~
6843 9, 101| huwajui. Sisi tunawajua. Tutawaadhibu mara mbili, kisha watarudishwa
6844 14, 13 | aliwaletea wahyi: Hakika tutawaangamiza walio dhulumu! ~~~~~~
6845 76, 28 | viungo vyao. Na tukitaka tutawabadilisha mfano wao wawe badala yao. ~~~~~~
6846 4, 56 | Kila zitapo wiva ngozi zao tutawabadilishia ngozi nyengine ili waionje
6847 18, 100| 100. Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri
6848 41, 50 | yangu kwake! Basi kwa yakini tutawaelezea walio kufuru hayo waliyo
6849 26, 40 | 40. Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio
6850 29, 7 | wakatenda mema, kwa yakini tutawafutia makosa yao, na tutawalipa
6851 29, 31 | Hakika sisi hapana shaka tutawahiliki watu wa mji huu, kwani watu
6852 15, 92 | Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote, ~~~~~~
6853 19, 68 | pamoja na mashet'ani; kisha tutawahudhurisha kuizunguka Jahannamu, nao
6854 96, 18 | 18. Nasi tutawaita Mazabania! ~~~~~~
6855 18, 21 | shauri yao: Bila ya shaka tutawajengea msikiti juu yao. ~~~~~~
6856 27, 37 | Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza
6857 52, 21 | zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala
6858 29, 69 | juhudi kwa ajili yetu, Sisi tutawaongoa kwenye njia zetu. Na hakika
6859 7, 100| wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi yao, na tutapiga
6860 54, 27 | 27. Hakika Sisi tutawapelekea ngamia jike ili kuwajaribu,
6861 7, 182| kadhibisha Ishara zetu, tutawapururia pole pole kwa namna ambayo
6862 7, 7 | 7. Tena tutawasimulia kwa ilimu; wala Sisi hatukuwa
6863 31, 24 | Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu. ~~~~~~
6864 10, 28 | wafanya washirika. Kisha tutawatenga baina yao. Na hao walio
6865 29, 34 | 34. Kwa yakini sisi tutawateremshia watu wa mji huu adhabu kutoka
6866 29, 9 | wakatenda mema, bila ya shaka tutawatia miongoni mwa watu wema. ~~~~~~
6867 11, 109| zao zamani. Na hakika Sisi tutawatimilizia fungu lao bila ya kupunguzwa. ~~~~~~
6868 27, 82 | waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye
6869 56, 33 | 35. Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya, ~~~~~~
6870 7, 127| na miungu yako? Akasema: Tutawauwa wavulana wao, na tutawaacha
6871 68, 44 | kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali
6872 29, 12 | Fuateni njia yetu, nasi tutayabeba makosa yenu. Wala wao hawatabeba
6873 25, 23 | 23. Na tutayaendea yale waliyo yatenda katika
6874 14, 12 | zetu. Na hapana shaka sisi tutayavumilia hayo maudhi mnayo tuudhi.
6875 17, 97 | Kila moto ukifanya kusinzia tutazidi kuuchochea uwake kwa nguvu. ~~~~~~
6876 47, 31 | nyinyi na wanao subiri. Nasi tutazifanyia mtihani khabari zenu. ~~~~~~
6877 3, 151| 151. Tutazitia khofu nyoyo za walio kufuru
6878 5, 25 | yangu na ndugu yangu. Basi tutenge na hawa watu wapotovu. ~~~~~~
6879 18, 10 | rehema itokayo kwako, na tutengezee uwongofu katika jambo letu. ~~~~~~
6880 5, 114| Mungu, Mola Mlezi wetu! Tuteremshia chakula kutoka mbinguni
6881 37, 31 | Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja
6882 66, 8 | wanasema: Mola wetu Mlezi! Tutimilizie nuru yetu, na utughufirie!
6883 39, 74 | za Mwenyezi Mungu aliye tutimizia ahadi yake, na akaturithisha
6884 42, 33 | navyo hivyo vyombo husimama tutwe juu ya bahari. Hakika katika
6885 14, 12 | tutayavumilia hayo maudhi mnayo tuudhi. Na juu ya Mwenyezi Mungu
6886 20, 72 | tujia, na kuliko yule aliye tuumba. Basi hukumu utavyo hukumu;
6887 25, 32 | moja? Hayo ni hivyo ili tuuthibitishe moyo wako, na ndio tumeisoma
6888 16 | walio tangulia, akataka tuuzingatie uumbaji wake wa vitu na
6889 25, 23 | yatenda katika vitendo vyao, tuvifanye kama mavumbi yaliyo tawanyika. ~~~~~~
6890 6, 22 | wakusanya wote pamoja, kisha tuwaambie walio shirikisha: Wako wapi
6891 23, 47 | 47. Wakasema: Je, tuwaamini wanaadamu wawili hawa kama
6892 47, 31 | shaka tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao Jihadi katika nyinyi
6893 18, 7 | ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie mtihani, ni nani kati yao
6894 14, 44 | kidogo tuitikie wito wako na tuwafuate Mitume. Kwani nyinyi si
6895 3, 61 | ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu,
6896 12, 65 | zetu tumerudishiwa. Wacha tuwaletee watu wetu chakula, na tutamlinda
6897 36, 47 | huwaambia walio amini: Je! Tuwalishe ambao Mwenyezi Mungu angependa
6898 25, 49 | tuihuishe nchi iliyo kufa, na tuwanyweshe wanyama na watu wengi tulio
6899 41, 16 | katika siku za ukorofi, ili tuwaonjeshe adhabu ya kuwahizi katika
6900 6, 138| mwiko. Hawatokula ila wale tuwapendao - kwa madai yao tu. Na wanyama
6901 77, 18 | 18. Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu! ~~~~~~
6902 51, 33 | 33. Tuwatupie mawe ya udongo, ~~~~~~
6903 6, 128| tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema:
6904 2, 246| walipo mwambia Nabii wao: Tuwekee mfalme ili tupigane katika
6905 6, 105| wakwambie: Umesoma. Na ili tuyabainishe kwa watu wanao jua. ~~~~~~
6906 69, 12 | 12. Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu
6907 17, 59 | 59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni
6908 69, 44 | 44. Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu, ~~~~~~
6909 2, 260| wangu utue. Akamwambia: Twaa ndege wane na uwazoeshe
6910 45, 24 | huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana kinacho
6911 45, 24 | wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana kinacho tuhiliki
6912 6, 110| 110. Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao.
6913 51, 47 | Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua. ~~~~~~
6914 59, 5 | wowote mlio ukata au mlio uacha unasimama vile vile juu
6915 17, 73 | walikaribia kukushawishi uache tuliyo kufunulia ili utuzulie
6916 27, 47 | pamoja nawe. Yeye akasema: Uaguzi wa ukorofi wenu uko kwa
6917 20, 22 | 22. Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu.
6918 8, 11 | kufunikeni kwa usingizi uwe ni uaminisho kutoka kwake, na akakuteremshieni
6919 25 | Mtukufu, yenye kufahamisha uangalizi na maarifa. Na Sura ikakhitimisha
6920 27, 64 | 64. Au nani anaye uanzisha uumbaji, kisha akaurejesha?
6921 7, 31 | kunyweni na wala msifanye ubadhirifu. Kwa hakika Yeye hapendi
6922 2, 187| kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri
6923 4, 36 | jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio
6924 28, 28 | mmojapo nikiumaliza sitiwi ubayani. Na Mwenyezi Mungu ni Mlinzi
6925 5, 29 | 29. Mimi nataka ubebe dhambi zangu na dhambi zako,
6926 66, 12 | binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na tukampulizia humo
6927 48, 29 | mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima,
6928 93 | kueleza nyakati mbili za uchangamfu na za kutulia, ya kwamba
6929 108, 2 | 2. Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi. ~~~~~~
6930 4, 22 | Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya. ~~~~~~
6931 35, 18 | topewa na mzigo wake akiomba uchukuliwe hautachukuliwa hata kidogo,
6932 4, 30 | kutenda hayo kwa uadui na udhaalimu, basi huyo tutamwingiza
6933 5 | Zimetajwa pia humu nguzo za udhu na kutayamamu. Kadhaalika
6934 16, 59 | fedheha hiyo au amfukie udongoni? Tazama uovu wa wanavyo
6935 19, 65 | Basi muabudu Yeye tu, na udumu katika ibada yake. Je, mnamjua
6936 31 | Na Sura ikamsifu anaye uelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu
6937 20, 132| waamrishe watu wako kusali, na uendelee mwenyewe kwa hayo. Sisi
6938 24, 19 | hakika wale wanao penda uenee uchafu kwa walio amini,
6939 4, 148| MWENYEZI MUNGU hapendi uovu uenezwe kwa maneno ila kwa mwenye
6940 12, 111| kusadikisha yaliyo kabla yake, na ufafanuzi wa kila kitu, na ni uwongofu
6941 2, 268| ani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo
6942 2, 126| Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na
6943 63 | kumpendeza anao waona, na wana ufasihi mzuri wa kusikilizwa. Na
6944 24, 63 | miongoni mwenu wanao ondoka kwa uficho. Basi nawatahadhari wanao
6945 69 | a.w. katika Ujumbe alio ufikisha, na ukweli wa Qur'ani ambao
6946 46, 35 | moja ya mchana. Huu ndio ufikisho! Kwani huangamizwa wengine
6947 20, 123| kutoka kwangu basi atakaye ufuata uwongofu wangu, hatapotea
6948 7, 54 | Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na
6949 50, 9 | hivyo ndivyo utakavyo kuwa ufufuaji. ~~~~~~
6950 53, 47 | 47. Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine. ~~~~~~
6951 53, 16 | 16. Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho
6952 53, 16 | huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika. ~~~~~~
6953 1 | Al-Faatih'a inakusanya kwa ufupi na kwa kuashiria makusudio
6954 2, 177| wasafiri, na waombao, na katika ugombozi, na akawa anashika Sala,
6955 17, 53 | maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani
6956 8, 49 | wanaafiki, na wale wenye ugonjwa nyoyoni mwao: Watu hawa
6957 35, 13 | badala yake hawamiliki hata ugozi wa kokwa ya tende. ~~~~~~
6958 26, 80 | 80. Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha. ~~~~~~
6959 9, 123| walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba
6960 42, 7 | walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina
6961 6 | ya Sura hii umebainishwa uhalali wa vyakula alivyo halalisha
6962 59, 2 | katika nyumba zao wakati wa uhamisho wa kwanza. Hamkudhani kuwa
6963 5, 103| Mwenyezi Mungu hakujaalia uharamu wowote juu ya "Bahira" wala "
6964 5, 5 | nao ndoa, bila ya kufanya uhasharati wala kuwaweka kinyumba.
6965 52 | yeye kwa sababu yumo katika uhifadhi wa Mola wake Mlezi na ulinzi
6966 12 | kuashiria kwamba ni haki yake uhifadhiwe kwa maandishi na katika
6967 59 | Waislamu katika vita vya Uhud, walivunja agano lao wakaungana
6968 4, 176| 176. Wanakuomba uhukumu, sema: Mwenyezi Mungu anakupeni
6969 3, 43 | Mlezi wako na usujudu na uiname pamoja na wainamao. ~~~~~~
6970 27, 34 | Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya
6971 52, 16 | 16. Uingieni, mkistahamili au msistahamili -
6972 79, 43 | 43. Una nini wewe hata uitaje? ~~~~~~
6973 17, 76 | Na walitaka kukukera ili uitoke nchi. Na hapo wao wasingeli
6974 14, 35 | sema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ujaalie mji huu uwe wa amani, na
6975 16, 125| hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora.
6976 56, 17 | Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele, ~~~~~~
6977 93, 4 | Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko
6978 5, 100| Haviwi sawa viovu na vyema ujapo kupendeza wingi wa viovu.
6979 6, 111| atake. Lakini wengi wao wamo ujingani. ~~~~~~
6980 73, 8 | jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu. ~~~~~~
6981 96, 19 | Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee! ~~~~~~~~~~~~
6982 2, 260| wete, watakujia mbio. Na ujue kwamba hakika Mwenyezi Mungu
6983 49 | 49. SURAT AL H'UJURAAT~(Imeteremka Madina)~Imeanza
6984 10, 98 | Kwa nini usiwepo mji mmoja ukaamini na Imani yake ikawafaa -
6985 6 | vipi mbegu inavyo pasuka na ukachipua mmea.~Na Sura hii imezitaja
6986 73, 20 | Mwenyezi Mungu ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua
6987 33, 37 | mche Mwenyezi Mungu. Na ukaficha nafsini mwako aliyo taka
6988 12, 19 | 19. Ukafika msafara, wakamtuma mchota
6989 29 | Na pia Subhanahu ametaja ukaidi wa washirikina katika kutaka
6990 18, 6 | 6. Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao,
6991 26, 3 | 3. Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi
6992 39, 59 | nawe ukazikadhibisha, na ukajivuna, na ukawa miongoni mwa makafiri! ~~~~~~
6993 5, 27 | kweli. Walipo toa mhanga, ukakubaliwa wa mmoja wao, na wa mwengine
6994 11, 113| msiwategemee wanao dhulumu, usije ukakuguseni Moto. Wala nyinyi hamna
6995 5, 106| safarini, na msiba wa mauti ukakusibuni, basi washuhudie wengineo
6996 3, 117| yake ipo baridi ya barafu, ukalisibu shamba la watu walio dhulumu
6997 3, 117| walio dhulumu nafsi zao, ukaliteketeza. Na Mwenyezi Mungu hakuwadhulumu,
6998 48, 29 | toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama
6999 2, 266| mazao ya kila namna, na uzee ukamfikia naye hali ana watoto wanyonge,
7000 33, 37 | Mungu aliye mneemesha, nawe ukamneemesha: Shikamana na mkeo, na mche
7001 19, 23 | 23. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende;
7002 22, 31 | ndege wakamnyakua au upepo ukamtupa pahala mbali. ~~~~~~
7003 12, 50 | alisema: Rejea kwa bwana wako ukamuulize khabari ya wale wanawake
7004 82, 6 | mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu? ~~~~~~
7005 11, 47 | nalo. Na kama hunisamehe na ukanirehemu, nitakuwa katika walio khasiri. ~~~~~~
7006 110, 2 | 2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini
7007 12, 90 | basi Mwenyezi Mungu haachi ukapotea ujira wa wafanyao mema. ~~~~~~
7008 5, 110| kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu;
7009 9, 92 | walio kujia ili uwachukue ukasema: Sina kipando cha kukuchukueni.
7010 48, 29 | ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake,
7011 12 | hadithi zao zimesimuliwa, na ukasimuliwa msimamo wa kaumu zao, na
7012 59, 5 | 5. Mtende wowote mlio ukata au mlio uacha unasimama
7013 12 | simulizi nzuri kabisa, na ukataja kuwa Nabii Muhammad hakuwa
7014 11 | na wangojee malipo. Tena ukatajwa ujuzi ulio kamilika wa Mwenyezi
7015 16, 94 | kudanganyana baina yenu. Usije mguu ukateleza badala ya kuthibiti, na
7016 26, 19 | 19. Na ukatenda kitendo chako ulicho tenda,
7017 21, 18 | uwongo ikauvunja na mara ukatoweka. Na ole wenu kwa mnayo yazua. ~~~~~~
7018 42 | aliye iteremsha Qur'ani na ukatukuka utawala wake, na ikaeleza
7019 17, 39 | Mungu mungu mwengine, usije ukatupwa katika Jahannamu ukilaumiwa
7020 20, 83 | nini kilicho kutia haraka ukawaacha watu wako, ewe Musa? ~~~~~~
7021 33, 37 | Mwenyezi Mungu kuyafichua, nawe ukawachelea watu, hali Mwenyezi Mungu
7022 20, 121| wote wawili, na uchi wao ukawadhihirikia na wakaanza kujibandika
7023 16, 34 | 34. Basi ukawafikia uovu wa waliyo yatenda,
7024 48, 29 | sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha
7025 6, 70 | pumbao, na uhai wa dunia ukawaghuri. Nawe kumbusha kwayo, isije
7026 9, 43 | kwako wanao sema kweli, na ukawajua waongo? ~~~~~~
7027 23, 41 | 41. Basi ukawanyakua ukelele kwa haki, na tukawafanya
7028 9, 43 | Mungu amekusamehe! Kwa nini ukawapa ruhusa kabla ya kubainikia
7029 24, 63 | khalifu amri yake, usije ukawapata msiba au ikawapata adhabu
7030 4, 102| Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni
7031 39, 51 | 51. Basi ukawasibu uovu wa waliyo yachuma.
7032 10, 22 | wakaufurahia, upepo mkali ukawazukia, na yakawajia mawimbi kutoka
7033 57, 20 | mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa
7034 39, 59 | zilikujia Ishara zangu, nawe ukazikadhibisha, na ukajivuna, na ukawa
7035 16, 112| kutoka kila mahali. Lakini ukazikufuru neema za Mwenyezi Mungu;
7036 20, 126| Zilikufikia ishara zetu, nawe ukazisahau; na kadhaalika leo unasahauliwa. ~~~~~~
7037 5, 110| nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na
7038 38, 36 | tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo
7039 2, 204| hali yeye ndiye mkubwa wa ukhasimu. ~~~~~~
7040 6, 159| wakawa makundi makundi, huna ukhusiano nao wowote. Bila ya shaka
7041 7, 143| Lakini utazame huo mlima. Ukibaki pahala pake basi utaniona.
7042 8, 58 | 58. Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi
7043 21, 34 | maisha ya milele. Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele? ~~~~~~
7044 28, 32 | Na jiambatishe mkono wako ukihisi khofu. Basi hizi ni dalili
7045 110 | wa Mwenyezi Mungu s.a.w. ukija msaada wa Mwenyezi Mungu
7046 5, 42 | baina yao au jipuuze nao. Na ukijipuuza nao, basi wao hawatakudhuru
7047 12, 103| watu si wenye kuamini hata ukijitahidi vipi.. ~~~~~~
7048 7, 200| Na uchochezi wa Shet'ani ukikuchochea basi omba ulinzi wa Mwenyezi
7049 9, 50 | 50. Ukikupata wema unawachukiza, na ukikusibu
7050 33, 52 | wengine ingawa uzuri wao ukikupendeza; isipo kuwa yule uliye mmiliki
7051 9, 50 | Ukikupata wema unawachukiza, na ukikusibu msiba, wao husema: Sisi
7052 4, 72 | yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni msiba husema: Mwenyezi Mungu
|