228-akiwa | akiya-anapi | anapo-eleke | endap-hatut | hatuw-husim | husis-isomw | israa-kufua | kufud-kusud | kutaa-makas | makel-mnani | mnaom-natub | navip-shukr | shuku-tumek | tumel-ukiku | ukili-viko | vikos-wakip | wakir-wanaw | wanay-yamek | yamel-zuka
bold = Main text
Sura, verse grey = Comment text
8565 25, 55 | 55. Na wanayaabudu badala ya Mwenyezi Mungu
8566 5, 13 | tukazifanya nyoyo zao kuwa ngumu. Wanayabadilisha maneno kutoka pahala pake,
8567 29, 10 | ajili ya Mwenyezi Mungu, wanayafanya mateso ya watu kama ni adhabu
8568 6, 10 | yale yale waliyo kuwa wao wanayafanyia kejeli. ~~~~~~
8569 9, 30 | kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla
8570 62, 11 | iona biashara au pumbao wanayakimbilia hayo na wakakuacha umesimama.
8571 37 | kutokea kwake, na hali wao wanayaona hayo na wanasema: Hii ndiyo
8572 3, 118| Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwisha
8573 46, 3 | maalumu. Na walio kufuru wanayapuuza yale wanayo onywa. ~~~~~~
8574 4, 143| 143. Wanayumba yumba baina ya huku na huko.
8575 9, 42 | tungeli toka pamoja nanyi. Wanaziangamiza nafsi zao. Na Mwenyezi Mungu
8576 59, 2 | katika nyoyo zao. Wakawa wanazibomoa nyumba zao kwa mikono yao
8577 70, 32 | 32. Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao, ~~~~~~
8578 18, 56 | uwongo huo waivunje kweli. Na wanazifanya Ishara zangu na yale waliyo
8579 30, 10 | Mwenyezi Mungu, na wakawa wanazifanyia maskhara. ~~~~~~
8580 16, 83 | 83. Wanazijua neema za Mwenyezi Mungu,
8581 16, 83 | za Mwenyezi Mungu, kisha wanazikanusha; na wengi wao ni makafiri. ~~~~~~
8582 36, 33 | ndani yake nafaka, wakawa wanazila! ~~~~~~
8583 23, 5 | 5.Na ambao wanazilinda tupu zao, ~~~~~~
8584 30, 44 | na anaye tenda mema, basi wanazitengezea nafsi zao. ~~~~~~
8585 23, 8 | 8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao, ~~~~~~
8586 26, 96 | Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo: ~~~~~~
8587 107, 7 | 7. Nao huku wanazuia msaada. ~~~~~~~~~~~~
8588 37, 45 | 45. Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji
8589 105 | aliwasalitishia majeshi yalio wang'oa mizizi yao, na wasibakie
8590 85 | ndiyo mwega wa Haki, na wangaikadhibisha watu fulani, lakini hiyo
8591 2, 103| 103. Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka
8592 2, 102| walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua. ~~~~~~
8593 10, 11 | kuletewa kheri, bila ya shaka wangelisha timiziwa ajali yao. Lakini
8594 51, 56 | sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi. ~~~~~~
8595 5, 35 | tafuteni njia ya kumfikilia. Na wanieni kwa juhudi kwa ajili yake
8596 2, 186| mwombaji anapo niomba. Basi na waniitikie Mimi, na waniamini Mimi,
8597 51, 57 | kwao riziki, wala sitaki wanilishe. ~~~~~~
8598 32, 12 | Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwa vyao mbele
8599 57 | hayo kuwahimiza Waumini wanyenyekee kwa kumkumbuka Mwenyezi
8600 4, 65 | ya hukumu utayo toa, na wanyenykee kabisa. ~~~~~~
8601 66, 5 | walio bora kuliko nyinyi, wanynyekevu, Waumini, wat'awa, walio
8602 28, 12 | Na tukamjaalia awakatae wanyonyeshaji wote tangu mwanzo, mpaka
8603 72, 16 | sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi, ~~~~~~
8604 37, 67 | 67. Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto
8605 4, 22 | Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha
8606 4, 25 | wenyewe kwa wenyewe. Basi waoeni kwa idhini ya watu wao,
8607 3, 173| watu wamekukusanyikieni, waogopeni! Hayo yakawazidishia Imani,
8608 3, 64 | tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi
8609 2, 177| masikini na wasafiri, na waombao, na katika ugombozi, na
8610 70, 11 | Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe
8611 63, 7 | Mtume wa Mwenyezi Mungu, ili waondokelee mbali! Na Mwenyezi Mungu
8612 43, 50 | 50. Basi tulipo waondolea adhabu hiyo, mara wakaingia
8613 40 | watu watembee katika ardhi waone yaliyo wafika kaumu zilizo
8614 8 | Waumini kuihama nchi inayo waonea na kuwafanya wanyonge, ili
8615 28, 56 | Yeye ndiye anawajua zaidi waongokao. ~~~~~~
8616 37, 23 | Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu! ~~~~~~
8617 46, 21 | ndugu wa kina A'di, alipo waonya watu wake kwenye vilima
8618 2, 167| Mwenyezi Mungu atakavyo waonyesha vitendo vyao kuwa majuto
8619 73, 17 | itawafanya watoto wadogo waote mvi? ~~~~~~
8620 24, 32 | 32. Na waozeni wajane miongoni mwenu na
8621 2, 109| nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia Haki. Basi sameheni na wachilieni
8622 8, 48 | Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia:
8623 17, 64 | wakusanyie jeshi lako la wapandao farasi na waendao kwa miguu.
8624 19, 58 | katika uzao wa wale tulio wapandisha pamoja na Nuhu, na katika
8625 50, 42 | 44. Siku itapo wapasukia ardhi mbio mbio! Mkusanyo
8626 42, 45 | walio amini watasema: Hakika wapatao khasara ni hao walio khasiri
8627 17, 97 | anaye wapotoa basi huto wapatia walinzi badala yake. Na
8628 16, 6 | warudisha jioni na mnapo wapeleka malishoni asubuhi. ~~~~~~
8629 6, 129| tunawaelekeza madhaalimu wapendane wao kwa wao kwa sababu ya
8630 24, 55 | atawasimamishia Dini yao aliyo wapendelea, na atawabadilishia amani
8631 3, 28 | wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na
8632 47 | Dini ya Mwenyezi Mungu na wapigane kwa ajili yake. Na imeweka
8633 26, 36 | nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo. ~~~~~~
8634 47, 31 | tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao Jihadi katika nyinyi na
8635 83, 3 | 3. Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani
8636 25, 72 | ushahidi wa uwongo, na pindi wapitapo penye upuuzi, hupita kwa
8637 50 | kwanza, na anajua yanayo wapitikia katika nafsi zao. Na Yeye
8638 50, 15 | 17. Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani
8639 46, 16 | 16. Hao ndio tunao wapokelea bora ya vitendo vyao walivyo
8640 48 | wakali kwa makafiri lakini ni wapole, wanaoneana huruma wao kwa
8641 5, 110| kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini
8642 67 | msamaha kwa makosa yaliyo waporonyoka, na ujira mkubwa kwa mema
8643 18, 51 | nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao kuwa ni wasaidizi. ~~~~~~
8644 14, 30 | Mwenyezi Mungu washirika ili wapoteze watu kwenye Njia yake. Sema:
8645 17, 97 | ndiye aliye hidika. Na anaye wapotoa basi huto wapatia walinzi
8646 6 | watenga na Haki, na zinazo wapotosha.~Na ndani ya Sura hii umebainishwa
8647 83, 1 | 1. Ole wao hao wapunjao! ~~~~~~
8648 32, 30 | 30. Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao
8649 43 | wawezalo. Basi, ewe Muhammad! Wapuuzilie mbali, na useme: Salamu!
8650 6, 94 | 94. Nanyi mlitujia wapweke kama tulivyo kuumbeni mara
8651 14, 19 | atakuondoeni na alete viumbe wapya! ~~~~~~
8652 98, 8 | Mungu yu radhi nao, na wao waradhi naye. Hayo ni kwa anaye
8653 9, 122| kuwaonya wenzao watakapo warejea, ili wapate kujihadharisha? ~~~~~~
8654 2, 282| wanawake wawili katika mnao waridhia kuwa mashahidi. Ili ikiwa
8655 9, 94 | WATAKUTOLEENI UDHURU mtapo warudia. Sema: Msitoe udhuru; hatukuaminini.
8656 16, 6 | wanakupeni furaha pale mnapo warudisha jioni na mnapo wapeleka
8657 44, 36 | 36. Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi
8658 30, 2 | 2. Warumi wameshindwa, ~~~~~~
8659 40, 40 | basi hao wataingia Peponi, waruzukiwe humo bila ya hisabu. ~~~~~~
8660 45 | vile Mwenyezi Mungu atavyo wasahau wao kama wao walivyo isahau
8661 33, 26 | akawateremsha wale walio wasaidia (maadui) katika Watu wa
8662 48, 16 | kwa vita, mpigane nao au wasalimu amri. Basi mkimt'ii, Mwenyezi
8663 4, 90 | penda Mwenyezi Mungu angeli wasaliti juu yenu wakapigana nanyi.
8664 12 | Nabii, Salla Llahu alayhi wasallama, hakuwa akizijua, na kuzijua
8665 3, 134| wanajizuia ghadhabu, na wasamehevu kwa watu; na Mwenyezi Mungu
8666 17, 42 | naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia
8667 27, 82 | mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana
8668 5, 64 | Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu
8669 16 | wa Waumini wasubiri, na washikamane na uchamngu na kufanya ihsani. ~
8670 9, 5 | washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni
8671 24, 61 | wa mama zenu, au za mlio washikia funguo zao, au rafiki yenu.
8672 46 | Mitume wake, na imeita watu washughulikie kuwafanyia wema wazazi wawili,
8673 41 | ya Akhera, siku yatakapo washuhudia masikio yao, na macho yao,
8674 34 | yeye anataka kuwazuilia wasiabudu miungu walio kuwa wakiiabudu
8675 62 | Mwenyezi Mungu. Na kawakataza wasiache biashara au jambo la pumbao
8676 16 | akabainisha kuwa yapasa wasiadhibiwe isipo kuwa kwa kadiri ya
8677 63 | za uwongo kuwa ni kinga wasiambiwe kuwa ni makafiri, ambao
8678 10, 88 | yao na zifunge nyoyo zao, wasiamini mpaka waione adhabu chungu. ~~~~~~
8679 24, 22 | nyinyi wenye fadhila na wasaa wasiape kutowapa jamaa zao na masikini
8680 105 | yalio wang'oa mizizi yao, na wasibakie kitu ila kama nazi iliyo
8681 52, 39 | Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana? ~~~~~~
8682 35 | kwetu. Na waajibu kwa watu wasidanganyike na dunia na mapambo yake.
8683 8, 59 | 59. Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba
8684 18, 57 | vifuniko juu ya nyoyo zao ili wasifahamu, na uziwi kwenye masikio
8685 2, 71 | wakamchinja, na walikaribia kuwa wasifanye hayo. ~~~~~~
8686 49 | Na imewakataza Waumini wasifanyiane kejeli wao kwa wao. Na imewakataza
8687 33, 51 | yaburudike macho yao, wala wasihuzunike, na wawe radhi juu ya kile
8688 62, 5 | walio bebeshwa Taurati kisha wasiibebe, ni mfano wa punda anaye
8689 9 | wamepigiwa marfuku washirikina wasiingie katika Msikiti Mtakatifu
8690 62 | pumbao lolote kuwashughulisha wasiisikilize khutba ya Ijumaa. Na Mwenyezi
8691 29, 2 | wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe? ~~~~~~
8692 2, 282| amkumbushe mwengine. Na mashahidi wasikatae waitwapo. Wala msipuuze
8693 9, 47 | miongoni mwenu wapo wanao wasikiliza. Na Mwenyezi Mungu anawajua
8694 54 | Sura hii kuzindua kuwa watu wasikilize kwamba Kiyama kinakaribia,
8695 96 | inakhitimisha kwa kuwataka wasikivu wende kinyume na hao wenye
8696 28, 35 | tutakupeni madaraka, hata wasikufikilieni. Kwa sababu ya Ishara zetu
8697 8, 26 | katika nchi, mnaogopa watu wasikunyakueni, naye akakupeni pahala pazuri
8698 30, 60 | Mwenyezi Mungu ni ya haki. Wala wasikupaparishe hao wasio kuwa na yakini. ~~~~~~~~~~~~
8699 9, 4 | ambao mliahidiana nao kisha wasikupunguzieni chochote, wala hawakumsaidia
8700 28, 87 | 87. Wala wasikuzuie kuzifuata Aya za Mwenyezi
8701 5, 103| Bahira" wala "Saiba" wala "Wasila" wala "Hami". Lakini walio
8702 24, 4 | wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni
8703 38, 31 | Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti; ~~~~~~
8704 4, 102| kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na wachukue
8705 57, 25 | nao na Mizani, ili watu wasimamie uadilifu, na tumeteremsha
8706 57 | nguvu na vitendo, ili watu wasimamishe uadilifu. Kisha Aya ikakhitimisha
8707 37, 24 | 24. Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa: ~~~~~~
8708 4, 152| Mungu na Mitume wake, wala wasimfarikishe yeyote kati yao, hao atawapa
8709 4, 53 | sehemu ya utawala? Basi hapo wasingewapa watu hata tundu ya kokwa
8710 51, 59 | kama fungu la wenzao. Basi wasinihimize. ~~~~~~
8711 26, 12 | Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe. ~~~~~~
8712 23, 98 | kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie. ~~~~~~
8713 24, 55 | Wawe wananiabudu Mimi, wala wasinishirikishe na chochote. Na watao kufuru
8714 49 | wake hawajaamrisha, na pia wasinyanyue sauti zao juu ya sauti ya
8715 6, 43 | 43. Kwa nini wasinyenyekee ilipo wafika adhabu yetu?
8716 9, 6 | ni kwa kuwa hao ni watu wasiojua kitu. ~~~~~~
8717 4, 65 | wanayo khitalifiana, kisha wasione uzito katika nyoyo zao juu
8718 42 | wote matajiri, kwa kuchelea wasipande jeuri, wala wasiwe wote
8719 4, 90 | Basi wakijitenga nanyi, wasipigane nanyi, na wakakuleteeni
8720 24, 31 | mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane
8721 3, 118| Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika
8722 7, 169| hawakufanyiwa agano la Kitabu kuwa wasiseme juu ya Mwenyezi Mungu ila
8723 81, 4 | mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe, ~~~~~~
8724 34 | Mungu watu wa Sabaa, nao wasishukuru. Hao walikuwa na bustani
8725 2, 143| tumekufanyeni muwe Umma wa wasitani, ili muwe mashahidi juu
8726 49, 14 | Mungu na Mtume wake tena wasitie shaka kabisa, na wakapigana
8727 33, 59 | zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye
8728 9, 28 | washirikina ni najsi, kwa hivyo wasiukaribie Msikiti Mtakatifu baada
8729 36, 36 | katika nafsi zao, na katika wasivyo vijua. ~~~~~~
8730 66, 10 | wakawakhuni waume zao, nao wasiwafae kitu. Na ikasemwa: Ingieni
8731 107 | wenye kuzuia msaada wao wasiwape wanao hitajia. Na Sura inawaahidi
8732 10, 83 | kumwogopa Firauni na wakuu wao wasiwatese. Kwani hakika Firauni alikuwa
8733 37, 8 | 8. Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu.
8734 22, 67 | zao wanazo zishika. Basi wasizozane nawe katika jambo hili.
8735 10, 94 | kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini
8736 5, 89 | masikini kumi kwa chakula cha wastani mnacho walisha ahali zenu,
8737 15, 3 | 3. Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja
8738 20, 131| usivikodolee macho tulivyo wastareheshea baadhi ya watu miongoni
8739 16 | kuwa ni waajibu wa Waumini wasubiri, na washikamane na uchamngu
8740 68, 43 | hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima - ~~~~~~
8741 74 | kwa kuwauliza nini kilicho wasukumiza Motoni. Na Sura imekhitimisha
8742 21, 6 | tulio uangamiza. Basi, je, wataamini hawa? ~~~~~~
8743 5, 53 | vyao vitapotea bure, na wataamkia kuwa wenye kukhasirika. ~~~~~~
8744 6, 47 | ghafla, au kwa dhaahiri, jee wataangamizwa isipo kuwa walio dhulumu? ~~~~~~
8745 4, 119| na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu.
8746 6, 31 | kwa tuliyo yapuuza! Nao watabeba mizigo yao juu ya migongo
8747 58, 5 | Mwenyezi Mungu na Mtume wake, watadhalilishwa kama walivyo dhalilishwa
8748 58, 18 | wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata kitu! Kwa
8749 52, 25 | 25. Wataelekeana wakiulizana. ~~~~~~
8750 34 | itakapo kuja Saa ya Kiyama watafazaika, na watakuwa hawana pa kukimbilia,
8751 30, 4 | yake. Na siku hiyo Waumini watafurahi. ~~~~~~
8752 30, 15 | amini na wakatenda mema watafurahishwa katika Bustani. ~~~~~~
8753 45 | ikapokee kitabu chake. Hapo watafuzu Waumini na watakemewa walio
8754 30, 14 | itapo simama Saa, siku hiyo watagawanyika. ~~~~~~
8755 27, 83 | kadhibisha Ishara zetu, nao watagawanywa mafungu mafungu. ~~~~~~
8756 59, 12 | Na kama wakiwasaidia basi watageuza migongo; kisha hawatanusuriwa. ~~~~~~
8757 72 | Mwenyezi Mungu na Mtume watahadhari na Jahannamu na kubakia
8758 27, 87 | litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika
8759 23 | ya Kiyama, na kwamba wao watahisabiwa, na watafanyiwa uadilifu.
8760 37, 42 | 42. Matunda, nao watahishimiwa. ~~~~~~
8761 36, 53 | ukelele mmoja tu, mara wote watahudhuruishwa mbele yetu. ~~~~~~
8762 29, 13 | 13. Na hapana shaka wataibeba mizigo yao na mizigo mingine
8763 14, 23 | amini na wakatenda mema wataingizwa katika Mabustani yapitayo
8764 39, 68 | litapulizwa mara nyengine. Hapo watainuka wawe wanangojea. ~~~~~~
8765 28, 64 | lakini hawatawaitikia, na wataiona adhabu; laiti wangeli kuwa
8766 34, 52 | watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala
8767 21, 34 | Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele? ~~~~~~
8768 7, 169| ikiwajia tena anasa kama hiyo wataishika pia. Je, hawakufanyiwa agano
8769 68, 42 | utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza, ~~~~~~
8770 13, 33 | kuwa na washirika! Sema watajeni. Au ndio mnampa khabari
8771 9, 64 | isije teremshwa Sura itakayo watajia yaliyomo katika nyoyo zao.
8772 2, 226| 226. Kwa wanao apa kuwa watajitenga na wake zao, wangojee miezi
8773 41, 38 | 38. Na ikiwa watajivuna, basi hao walioko kwa Mola
8774 22, 73 | hawatoumba hata nzi ijapo kuwa watajumuika kwa hilo. Na nzi akiwapokonya
8775 67 | wataungama madhambi yao, na watajuta kwa watavyo ishia, watapo
8776 55, 41 | 41. Watajuulikana wakosefu kwa alama zao,
8777 21, 9 | tukawaokoa wao na tulio wataka, na tukawateketeza walio
8778 37, 27 | 27. Watakabiliana wao kwa wao kuulizana. ~~~~~~
8779 12, 49 | huo watu watasaidiwa, na watakamua. ~~~~~~
8780 70, 43 | 43. Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama
8781 35, 14 | hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu. Na hapana
8782 22, 19 | Mlezi. Basi walio kufuru watakatiwa nguo za moto, na yatamiminwa
8783 60, 10 | takeni mlicho kitoa, na wao watake walicho kitoa. Hiyo ndiyo
8784 45 | Hapo watafuzu Waumini na watakemewa walio takabari. Sura tena
8785 40, 78 | kwa Haki, na hapo wapotofu watakhasiri. ~~~~~~
8786 13, 11 | Na Mwenyezi Mungu anapo watakia watu adhabu hakuna cha kuzuia
8787 48, 11 | 11. Watakuambia mabedui walio baki nyuma:
8788 2, 75 | 75. Mnatumai watakuaminini na hali baadhi yao walikuwa
8789 9, 95 | 95. Watakuapieni kwa Mwenyezi Mungu mtakapo
8790 26, 216| 216. Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga
8791 39, 30 | hakika wewe utakufa, na wao watakufa. ~~~~~~
8792 17, 5 | waja wetu wa kali kwa vita. Watakuingilieni ndani ya majumba. Na hii
8793 76, 5 | 5. Hakika watu wema watakunywa katika vinywaji vilivyo
8794 3, 111| tu. Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa. ~~~~~~
8795 18, 20 | Kwani wao wakikutambueni watakupigeni mawe, au watakurudisheni
8796 6, 116| katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu.
8797 29, 8 | wema wazazi wake. Na ikiwa watakushikilia unishirikishe Mimi na usiyo
8798 25, 75 | kwa kuwa walisubiri, na watakuta humo maamkio na salamu. ~~~~~~
8799 17, 51 | kuumbeni mara ya kwanza! Watakutikisia vichwa vyao, na watasema:
8800 9, 94 | 94. WATAKUTOLEENI UDHURU mtapo warudia. Sema:
8801 56, 8 | 8. Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi
8802 2, 25 | kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na
8803 39, 69 | na Kitabu kitawekwa, na wataletwa Manabii na mashahidi, na
8804 9, 82 | Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya
8805 62 | amebariziana nao kwa kuwataka watamani kufa ikiwa wao wanasema
8806 47, 30 | kuonyesha hao na ungeli watambua kwa alama zao; lakini bila
8807 16 | washirikina kwa kuwaita watambue Upweke wa Mwenyezi Mungu;
8808 27, 87 | Mwenyezi Mungu. Na wote watamfikia nao ni wanyonge. ~~~~~~
8809 20, 108| 108. Siku hiyo watamfuata muitaji asiye na upotofu.
8810 37 | katikati ya Moto wa Jahim. Watamhimidi Mwenyezi Mungu kwa alivyo
8811 12, 41 | mwengine atasulubiwa, na ndege watamla kichwa chake. Imekwisha
8812 80 | wa Kikureshi kwa kutaraji watamwitikia, ili kwa kusilimu kwao wange
8813 51, 48 | ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi! ~~~~~~
8814 24, 4 | wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie
8815 22, 27 | 27. Na watangazie watu Hija; watakujia kwa
8816 43, 56 | Kisha tukawafanya kuwa watangulizi na mfano kwa wa baadaye. ~~~~~~
8817 28, 34 | Hakika mimi nina khofu watanikadhibisha. ~~~~~~
8818 28, 33 | katika wao, kwa hivyo naogopa wataniuwa. ~~~~~~
8819 20, 103| 103. Watanong'onezana wao kwa wao: Hamkukaa
8820 37 | yazua. Na waja wake ndio watanusuriwa, na jeshi lake ndilo litakalo
8821 5, 108| watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa visije vikaletwa viapo vingine
8822 25, 13 | dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe. ~~~~~~
8823 70, 11 | 11. Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu
8824 52, 23 | 23. Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji
8825 2, 85 | duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali kabisa.
8826 76, 15 | 15. Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe
8827 27, 28 | kisha waache na utazame watarejesha nini. ~~~~~~
8828 66, 4 | zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia. ~~~~~~
8829 8, 38 | wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia
8830 2, 230| kwao kurejeana wakiona kuwa watashikamana na mipaka ya Mwenyezi Mungu.
8831 55, 41 | wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini
8832 67 | watatupwa katika Jahannamu, na watasikilizana mikoromo yao, na wataungua
8833 17, 71 | wake wa kulia, basi hao watasoma kitabu chao wala hawatadhulumiwa
8834 54, 45 | wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma. ~~~~~~
8835 10, 45 | ila saa moja tu ya mchana! Watatambuana. Hakika wamekhasirika walio
8836 30, 43 | Mwenyezi Mungu. Siku hiyo watu watatengana. ~~~~~~
8837 21, 101| wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo. ~~~~~~
8838 34, 54 | 54. Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo
8839 104 | onyo kubwa kwa hao kuwa watatiwa kwenye Moto mkali unao vuruga
8840 5, 108| inaelekea zaidi ya kwamba watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa
8841 67 | inabainisha hali ya makafiri ambao watatupwa katika Jahannamu, na watasikilizana
8842 29, 4 | wanao tenda maovu kwamba watatushinda? Hukumu mbaya hiyo wanayo
8843 92 | Moto watauingia waovu na watauepuka walio wema.~KWA JINA LA
8844 92 | amekwisha onya kwamba Moto watauingia waovu na watauepuka walio
8845 35 | hawajibu. Na Siku ya Kiyama hao wataukataa ushirikina walio washirikisha
8846 33, 61 | watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa. ~~~~~~
8847 29, 13 | mizigo yao. Na kwa yakini wataulizwa Siku ya Kiyama juu ya waliyo
8848 67 | wataungua katika Moto wake, na wataungama madhambi yao, na watajuta
8849 67 | watasikilizana mikoromo yao, na wataungua katika Moto wake, na wataungama
8850 18, 53 | 53. Na wakhalifu watauona Moto na watajua ya kwamba
8851 67, 7 | 7. Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka. ~~~~~~
8852 26, 94 | 94. Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu, ~~~~~~
8853 7, 167| shaka atawaletea watu ambao watawaadhibu kwa adhabu mbaya mpaka Siku
8854 83, 34 | Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri, ~~~~~~
8855 24, 50 | Mwenyezi Mungu na Mtume wake watawadhulumu? Bali hao ndio madhaalimu. ~~~~~~
8856 30, 13 | na Mungu; na wao wenyewe watawakataa hao washirikishwa wao. ~~~~~~
8857 5, 20 | kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa
8858 7, 44 | 44. Na watu wa Peponi watawanadia watu wa Motoni: Sisi tumekuta
8859 45, 4 | lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye
8860 62 | Na Sala ikisha malizika watawanyike katika nchi wende kutafuta
8861 37 | Watawatokea watu waovu, na watawaona katikati ya Moto wa Jahim.
8862 21, 103| wahuzunisha. Na Malaika watawapokea (kwa kuwaambia): Hii ndiyo
8863 71, 27 | 27. Hakika ukiwaacha watawapoteza waja wako, wala wao hawatazaa
8864 7, 38 | wote humo, wa mwisho wao watawasema wa mwanzo wao: Mola wetu
8865 63 | walio waahidi Waumini kuwa watawatoa mji wakisha rejea Madina.
8866 37 | neema za Mwenyezi Mungu. Watawatokea watu waovu, na watawaona
8867 76, 19 | 19. Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio
8868 35, 33 | 33. Mabustani ya milele watayaingia. Huko watavikwa vikuku vya
8869 6, 89 | hukumu na Unabii. Ikiwa hawa watayakataa hayo, basi tumekwisha yawakilisha
8870 18, 49 | kubwa ila huliandika? Na watayakuta yote waliyo yatenda yamehudhuria
8871 37, 66 | hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo. ~~~~~~
8872 25, 16 | 16. Watayapata humo wayatakayo daima dawamu.
8873 8, 36 | ya Mwenyezi Mungu. Basi watayatoa, kisha yatakuwa juu yao
8874 68, 17 | shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa
8875 41, 21 | 21. Na wao wataziambia ngozi zao: Kwa nini mmetushuhudilia?
8876 37 | kila namna ya neema. Na watazikumbuka neema za Mwenyezi Mungu.
8877 77 | wachamngu kwa starehe na neema watazo zikuta, na mwisho wake masaibu
8878 39 | mbele ya Mola wao Mlezi ndio watazozana. ~Kisha Sura ikabainisha
8879 83, 15 | siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi. ~~~~~~
8880 34 | walikwisha kataa kabla yake. Watazuiwa baina yao na wanacho kitamani,
8881 3, 155| mawili, Shet'ani ndiye aliye watelezesha kwa sababu ya baadhi ya
8882 15, 71 | binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji. ~~~~~~
8883 27, 34 | wanyonge. Na hivyo ndivyo watendavyo. ~~~~~~
8884 2, 11 | ulimwenguni. Husema: Bali sisi ni watengenezaji. ~~~~~~
8885 10, 87 | na ndugu yake wahyi huu: Watengenezeeni majumba watu wenu katika
8886 41, 14 | Mlezi bila ya shaka angeli wateremsha Malaika. Basi sisi hakika
8887 23, 29 | baraka, na Wewe ni Mbora wa wateremshaji. ~~~~~~
8888 33 | Waumini (wake za Mtume s.a.w.) wateremshe mitandio yao juu ya vifua
8889 25, 25 | funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe Malaika kwa wingi, ~~~~~~
8890 4, 109| duniani. Basi nani atakaye watetea kwa Mwenyezi Mungu Siku
8891 14, 22 | wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa
8892 38, 47 | hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora. ~~~~~~
8893 17, 59 | waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara
8894 8, 12 | Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia
8895 6, 9 | kama binaadamu, na tungeli watilia matatizo yale wanayo yatatiza
8896 12, 6 | wa Yaa'qub, kama alivyo watimizia hapo zamani baba zako Ibrahim
8897 9, 4 | yeyote dhidi yenu, basi hao watimizieni ahadi yao mpaka muda wao.
8898 41 | inawahadharisha na yaliyo watokelea watu wa mataifa walio karibu
8899 7, 32 | la Mwenyezi Mungu alilo watolea waja wake, na vilivyo vizuri
8900 66 | Kiyama. Na inawataka Waumini watubu kweli kweli, na Mtume s.
8901 27, 86 | sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza.
8902 55, 56 | Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu
8903 6, 141| fujo. Hakika Yeye hawapendi watumiayo kwa fujo. ~~~~~~
8904 26, 224| 224. Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio
8905 42, 21 | miungu ya kishirikina walio watungia dini asiyo itolea idhini
8906 7, 53 | Je, tunao waombezi ili watuombee? Au turudishwe ili tufanye
8907 16, 86 | yako. Ndipo wale watakapo watupia kauli: Hakika nyinyi ni
8908 8, 58 | khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika
8909 40, 25 | inayo toka kwetu, walisema: Waueni watoto wanaume wa wale walio
8910 7, 135| adhabu mpaka muda fulani wao waufikie, mara wakivunja ahadi yao. ~~~~~~
8911 30, 30 | la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu. Hapana mabadiliko
8912 2, 165| katika watu wapo wanao chukua waungu wasio kuwa Mwenyezi Mungu.
8913 4, 25 | ya adhabu waliyo wekewa waungwana. Hayo ni kwa yule miongoni
8914 42, 13 | kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa,
8915 2, 240| kufa na wakawacha wake, na wausie kwa ajili ya wake zao kupata
8916 8, 17 | Mwenyezi Mungu ndiye aliye wauwa. Na wewe hukutupa, walakini
8917 6 | ifuatavyo:~Imewazindua watu wauzingatie ulimwengu na dalili ziliomo
8918 34, 44 | Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji
8919 9, 5 | washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini
8920 29, 65 | kumsafia ut'iifu. Lakini anapo wavua wakafika nchi kavu, mara
8921 2, 175| badala ya maghfira. Ama wavumilivu wa Moto watu hawa! ~~~~~~
8922 29, 48 | hivyo wangeli fanya shaka wavunjifu. ~~~~~~
8923 57, 14 | 14. Watawaita wawaambie: Kwani vile hatukuwa pamoja
8924 40, 25 | wa wale walio muamini na wawacheni hai wanawake wao. Na haviwi
8925 19, 83 | mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi? ~~~~~~
8926 18, 102| wanadhani walio kufuru ndio wawafanye waja wangu ndio walinzi
8927 38, 29 | wazizingatie Aya zake, na wawaidhike wenye akili. ~~~~~~
8928 46, 28 | Mungu, kuwa ati hao ndio wawakurubishe, hawakuwanusuru? Bali waliwapotea!
8929 35 | Na wanaelekezwa Mitume wawakusudie kwa wito wao wale wanao
8930 68, 41 | Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema
8931 25 | ubishi wanataka Malaika ndio wawaletee Ujumbe. Na lau kuwa Mwenyezi
8932 42 | uwongozi kwa wafuasi wake wawalinganie watu kwenye Dini, kama ilivyo
8933 57 | wanafiki wanavyo waomba Waumini wawangojee ili nao wapate mwangaza
8934 57 | huko. Na Sura inataka watu wawanie kushindania maghfira kwa
8935 2, 233| 233. Na wazazi wanawake wawanyonyeshe watoto wao miaka miwili
8936 18, 77 | mmoja. Wakawaomba watu wake wawape chakula, nao wakakataa kuwakaribisha.
8937 31, 6 | nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi
8938 65, 6 | 6. Wawekeni humo humo mnamo kaa nyinyi
8939 5, 106| akataka kutoa wasia, basi wawepo mashahidi wawili miongoni
8940 64 | Mwenyezi Mungu kwa kadri wawezavyo. Na Sura ikakhitimisha kwa
8941 34, 46 | ajili ya Mwenyezi Mungu, wawili-wawili na mmoja-mmoja; kisha mfikiri.
8942 68, 1 | Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo, ~~~~~~
8943 6, 113| hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma. ~~~~~~
8944 5, 63 | haramu? Ni maovu mno hayo wayafanyayo! ~~~~~~
8945 19, 75 | atawapururia muda mpaka wayaone waliyo onywa - ama ni adhabu
8946 38, 57 | 57. Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha! ~~~~~~
8947 6, 113| Akhera zielekee hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma. ~~~~~~
8948 7, 145| na uwaamrishe watu wako wayashike kwa ubora wake. Nami nitakuonyesheni
8949 58, 2 | mama zao ila wale walio wazaa. Na hakika hao wanasema
8950 3, 34 | 34. Ni wazao wao kwa wao; na Mwenyezi
8951 17, 7 | ikifika ahadi ya mwisho ili waziharibu nyuso zenu, na waingie Msikitini
8952 39, 68 | Na litapulizwa barugumu, wazimie waliomo mbinguni na waliomo
8953 12, 62 | zao katika mizigo yao, ili wazione watakapo rudi kwa watu wao
8954 9, 41 | Nendeni mtoke, mkiwa wepesi na wazito, na piganeni Jihadi kwa
8955 38, 29 | wewe, kimebarikiwa, ili wazizingatie Aya zake, na wawaidhike
8956 26 | ilikhitimishia mazumgumzo kwa kuvunja wazo la kuwa Mtume ni mtunga
8957 18, 55 | 55. Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia
8958 4, 15 | Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe
8959 17, 94 | 94. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia
8960 9, 5 | mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila
8961 4, 6 | umri wa kuoa. Mkiwaona ni wekevu, basi wapeni mali yao. Wala
8962 84, 16 | 16. Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa, ~~~~~~
8963 25, 74 | Tupe katika wake zetu na wenetu yaburudishayo macho, na
8964 3, 168| wenyewe wakakaa kitako: Lau wengeli tut'ii wasingeli uliwa.
8965 54, 51 | shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka? ~~~~~~
8966 2, 260| kila kilima sehemu, kisha wete, watakujia mbio. Na ujue
8967 2, 187| kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi
8968 74, 17 | Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana. ~~~~~~
8969 5, 2 | mkisha toka Hija yenu basi windeni. Wala kuwachukia watu kwa
8970 35 | watakuwa waongofu zaidi kuliko wlio watangulia. Alipo wajia
8971 9, 36 | washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni
8972 26, 208| Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji - ~~~~~~
8973 36, 1 | 1. Ya-Sin (Y.S.). ~~~~~~
8974 98 | Madina)~Watu wa Kitabu, yaaani Mayahudi na Wakristo, wamejua
8975 36, 52 | malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa Rehema na wakasema
8976 75, 13 | aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha. ~~~~~~
8977 81 | endelea na upotovu, na inataka yaangaliwe mazingatio yaliyomo katika
8978 25, 74 | katika wake zetu na wenetu yaburudishayo macho, na utujaalie tuwe
8979 10, 31 | aliye hai? Na nani anaye yadabiri mambo yote? Watasema: Allah,
8980 84, 23 | Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria. ~~~~~~
8981 10, 39 | Bali wameyakanusha wasio yaelewa ilimu yake kabla hayajawajia
8982 12, 18 | kuombwa msaada kwa haya mnayo yaeleza. ~~~~~~
8983 27 | milima yake inakwenda kama yaendavyo mawingu, na ikasimulia yanayo
8984 42, 37 | 37. Na wanayo yaepuka madhambi makubwa na mambo
8985 13, 14 | viganja vyake kwenye maji ili yafike kinywani mwake, lakini hayafiki.
8986 28, 23 | 23. Na alipo yafikia maji ya Madyana alikuta
8987 53 | Wahyi (Ufunuo) na anayo yafikisha kutokana na huo ufunuo.
8988 3, 162| 162. Je! Aliye yafuata ya kumridhisha Mwenyezi
8989 5, 95 | Mwenyezi Mungu amekwisha yafuta yaliyo pita; lakini atakaye
8990 36, 66 | Na tungeli penda tungeli yafutilia mbali macho yao, wakawa
8991 10, 88 | Njia yako. Mola wetu Mlezi! Yafutilie mbali mali yao na zifunge
8992 18, 42 | viganja vyake, kwa vile alivyo yagharimia, na miti imebwagika juu
8993 71, 23 | msimwache Wadda wala Suwaa' wala Yaghutha, wala Yau'qa, wala Nasra. ~~~~~~
8994 74, 5 | 5. Na yaliyo machafu yahame! ~~~~~~
8995 6, 136| uovu kabisa hayo wanayo yahukumu. ~~~~~~
8996 48, 2 | yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake,
8997 24, 31 | wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha.
8998 7, 118| 118. Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda. ~~~~~~
8999 13, 17 | kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu yaliyo kusanyika
9000 28 | teketeza ufalme wake. ~Kisha yakaelezwa yaliyo tokea kukhusu kulelewa
9001 64 | wa kila kitu. Kisha hayo yakafuatilizwa na kutajwa baadhi ya dalili
9002 53 | viumbe vyake na hali zao. Yakafwatia hayo kulaumiwa anaye kanya
9003 2 | na Wakristo. ~Mazungumzo yakaingia kuwasemeza watu wa Qur'ani
9004 24 | Kutoka uzinzi masimulizi yakaingilia kutaja hukumu ya uwongo
9005 3, 122| Makundi mawili miongoni mwenu yakaingiwa na woga kuwa watashindwa -
9006 19, 37 | 37. Lakini makundi yakakhitalifiana wao kwa wao. Basi ole wao
9007 38, 26 | wala usifuate matamanio yakakupoteza kwenye Njia ya Mwenyezi
9008 100, 10 | 10. Na yakakusanywa yaliomo vifuani? ~~~~~~
9009 54, 12 | tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa. ~~~~~~
9010 48 | kutekwa Makka. Na mazungumzo yakamalizikia kwa kubainisha kwamba Mwenyezi
9011 4, 100| Mungu na Mtume wake, kisha yakamfika mauti njiani basi umethibiti
9012 4, 18 | wale wafanyao maovu mpaka yakamfikia mmoja wao mauti, kisha hapo
9013 13, 17 | kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na
9014 13, 13 | hupeleka mapigo ya radi yakampata amtakaye. Nao wanabishana
9015 2, 81 | chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio watu wa Motoni;
9016 44 | imezibisha hoja za wanao yakanya hayo, na ikawarudi washirikina.
9017 27, 17 | na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu. ~~~~~~
9018 69, 23 | 23. Matunda yake yakaribu. ~~~~~~
9019 3, 72 | kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea. ~~~~~~
9020 28 | binti wa Shuaibu a.s. ~Kisha yakatajwa ya mazungumzo ya Mwenyezi
9021 18, 42 | 42. Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua
9022 20 | Kisha katika Sura hii tukufu yakatokea yaliyo msibu Msamaria. Mwenyezi
9023 89 | kukasirika kwake. Tena mazungumzo yakawaelekea wanao semezwa ya kwamba
9024 36, 8 | makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni. Kwa hivyo vichwa
9025 26, 206| 206. Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa, ~~~~~~
9026 2 | nusu ya Sura. Mazungumzo yakawageukia Waumini wazingatie yaliyo
9027 10, 22 | upepo mkali ukawazukia, na yakawajia mawimbi kutoka kila upande,
9028 11, 21 | zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo kuwa wakiyazua. ~~~~~~
9029 3, 173| wamekukusanyikieni, waogopeni! Hayo yakawazidishia Imani, wakasema: Mwenyezi
9030 6, 99 | matunda yake yanapo zaa na yakawiva. Hakika katika hayo pana
9031 2 | kuandikiana madeni. Mwishoe Sura yakhitimisha kwa dua ya Waumini kumwomba
9032 33, 20 | maadui hayajaondoka. Na yakija hayo makundi watatamani
9033 16, 53 | kwa Mwenyezi Mungu. Kisha yakikuguseni madhara mnamyayatikia Yeye. ~~~~~~
9034 62, 8 | Sema: Hayo mauti mnayo yakimbia, bila ya shaka yatakukuteni.
9035 3, 133| 133. Na yakimbilieni maghfira ya Mola wenu Mlezi,
9036 6, 61 | waangalizi, mpaka mmoja wenu yakimjia mauti wajumbe wetu humfisha,
9037 75 | upungufu katika yaliyo kuwa yakimlazimu, hata akawa kama kwamba
9038 94 | akaondoa matatizo yaliyo kuwa yakimthakilisha mgongo wake, nayo ni katika
9039 45, 20 | na rehema kwa watu wanao yakinisha. ~~~~~~
9040 30, 33 | 33. Yakiwapata watu madhara humwomba Mola
9041 59, 7 | na msafiri, ili yasiwe yakizunguka baina ya matajiri tu miongoni
9042 9, 98 | na wanakungojeleeni mambo yakugeukieni. Mageuko maovu yatakuwa
9043 21, 80 | vita kwa ajili yenu ili yakuhifadhini katika kupigana kwenu. Je!
9044 55, 58 | 58. Kama kwamba wao ni yakuti na marijani. ~~~~~~
9045 14, 32 | riziki yenu. Na akafanya yakutumikieni majahazi yanayo pita baharini
9046 17, 10 | 10. Na yakwamba wale wasio iamini Akhera
9047 43, 73 | humo matunda mengi mtakayo yala. ~~~~~~
9048 43, 65 | makundi kwa makundi yao yalikhitalifiana wao kwa wao. Ole wao walio
9049 27, 43 | badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa
9050 6, 130| Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia
9051 21, 41 | walio wafanyia maskhara yaliwafika yale waliyo kuwa wakiyafanyia
9052 26, 146| salama usalimina katika haya yaliyopo hapa? ~~~~~~
9053 106 | wanasafiri siku za baridi kwenda Yaman, na siku za joto wakenda
9054 54, 43 | wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi
9055 6 | Takasika.~Na ndani yake yamebainishwa mambo haya, ambayo ndio
9056 2 | walivyo ijenga Al Kaaba. Hayo yamechukua karibu nusu ya Sura. Mazungumzo
9057 19, 4 | wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta
9058 67, 30 | Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni
9059 3 | mwendo wa Wana wa Israili. Yameelezwa mengi ya walivyo kengeuka.
9060 39, 65 | 65. Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa
9061 24, 3 | mzinifu au mshirikina. Na hayo yameharimishwa kwa Waumini. ~~~~~~
9062 18, 49 | watayakuta yote waliyo yatenda yamehudhuria hapo. Na Mola wako Mlezi
9063 3, 30 | itakuta mema iliyo yafanya yamehudhurishwa, na pia ubaya ilio ufanya.
9064 6, 94 | wa Mwenyezi Mungu kwenu. Yamekatika makhusiano baina yenu, na
9065 10, 89 | Mungu akasema: Maombi yenu yamekubaliwa. Basi simameni sawa sawa,
9066 10, 57 | 57. Enyi watu! Yamekujieni mawaidha kutoka kwa Mola
9067 3, 140| 140. Kama yamekupateni majaraha, basi na hao watu
9068 6, 94 | makhusiano baina yenu, na yamekupoteeni mliyo kuwa mkidai. ~~~~~~
|