Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library |
Qu'rani IntraText CT - Text |
|
|
11. SURAT HUD (Imeteremka Makka) Surat
Hud ni Sura ya Makka. Ina Aya 123. Imeanza kwa kuisifu , na kumuabudu Mwenyezi
Mungu peke yake, na kuonya, na kubashiria. Kisha ikabainisha uwezo wa Mwenyezi
Mungu na kuwa Yeye ndiye Mola Mlezi. Na ikaeleza hali za watu katika kuzipokea
kwao neema zake Mola Mlezi, na adhabu zake. Kisha ikataja cheo cha Qur'ani, na
kufuru za makafiri bila ya udhuru wowote kwa ukafiri wao, na malipo ya Waumini.
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
|
Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library |
Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License |