Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library |
Qu'rani IntraText CT - Text |
|
|
19. SURAT MARYAM (Imeteremka Makka) Hii ni Sura iliyo teremka Makka, na hamna Aya
za Madina ila Aya 57 na 71. Hisabu
ya Aya zake ni 98. Imeanzia kwa harufi moja moja kama Sura nyingi nyenginezo.
Ndani ya Sura hii kipo kisa cha kuzaliwa Yahya bin Zakariya (Alayhima Ssalam).
Zakariya alitamani mwana na hali kesha fikilia ukongwe na mkewe ni tasa. Na
kimetajwa pia kisa cha Bibi Bikra Maryam (A.S.) na kumzaa kwake Masihi (A.S.).
Kisha kikatajwa kisa cha Ibrahim (A.S) na Wito wake kulingania Upweke wa
Mwenyezi Mungu, na alivyo mtaka babaake aache kuabudu masanamu, na majibizano
yao yaliyo jiri kwa ajili ya masanamu, na madaraka ya Shet'ani. KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
|
Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library |
Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License |