Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 11 | ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni
2 Matt 1 17 | kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo.~
3 Matt 2 1 | Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme.
4 Matt 2 7 | wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.~
5 Matt 3 13 | 13 Wakati huo Yesu alitoka Galilaya
6 Matt 4 17 | 17 Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri
7 Matt 7 4 | kibanzi jichoni mwako`, wakati wewe mwenyewe unayo boriti
8 Matt 8 29 | umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"~
9 Matt 9 15 | arusini wanaweza kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja
10 Matt 9 15 | pamoja nao? La hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi
11 Matt 9 15 | arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.~
12 Matt 10 19 | mtasema nini au namna gani; wakati utakapofika, mtapewa la
13 Matt 11 12 | 12 Tangu wakati wa Yohane mbatizaji mpaka
14 Matt 11 25 | 25 Wakati huo Yesu alisema, "Nakushukuru
15 Matt 12 1 | 1 Wakati huo, Yesu alikuwa anapita
16 Matt 12 3 | Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?~
17 Matt 12 42 | Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa,
18 Matt 12 46 | anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake
19 Matt 13 21 | ujumbe huo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea
20 Matt 13 30 | Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia
21 Matt 13 30 | mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji:
22 Matt 14 1 | 1 Wakati huo, mtawala Herode alisikia
23 Matt 14 22 | wamtangulie ng`ambo ya ziwa wakati yeye anawaaga watu.~
24 Matt 14 24 | 24 na wakati huo ile mashua ilikwishafika
25 Matt 15 28 | yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.~
26 Matt 16 2 | Lakini Yesu akawajibu, "Wakati wa jioni ukifika ninyi husema: `
27 Matt 16 21 | 21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha
28 Matt 17 18 | akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.~
29 Matt 18 1 | 1 Wakati ule wanafunzi walimwendea
30 Matt 21 34 | 34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma
31 Matt 21 41 | watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."~
32 Matt 23 39 | kweli, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: ~ <Abarikiwe
33 Matt 24 21 | 21 Maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu
34 Matt 24 25 | nimekwisha kuwaonya kabla ya wakati.~
35 Matt 24 32 | kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
36 Matt 24 39 | wote. Ndivyo itakavyokuwa wakati Mwana wa Mtu atakapokuja.~
37 Matt 24 40 | 40 Wakati huo watu wawili watakuwa
38 Matt 24 45 | wake, awape chakula kwa wakati wake?~
39 Matt 25 1 | 1 "Wakati huo, Ufalme wa mbinguni
40 Matt 25 31 | 31 "Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja
41 Matt 26 3 | 3 Wakati huo makuhani wakuu na wazee
42 Matt 26 5 | wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea
43 Matt 26 16 | 16 na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta
44 Matt 26 18 | mkamwambie: `Mwalimu anasema, wakati wangu umefika; kwako nitakula
45 Matt 26 55 | 55 Wakati huohuo Yesu akauambia huo
46 Matt 27 15 | 15 Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu
47 Matt 27 16 | 16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa
48 Mark 1 15 | 15 "Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu
49 Mark 2 3 | 3 wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa
50 Mark 2 18 | 18 Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane
51 Mark 2 19 | harusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana
52 Mark 2 20 | 20 Lakini wakati utafika ambapo bwana harusi
53 Mark 2 20 | harusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.~
54 Mark 2 24 | ambalo si halali kufanya wakati wa Sabato?"~
55 Mark 2 25 | ya kile alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula? Yeye
56 Mark 2 26 | Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani
57 Mark 4 17 | kulizingatia kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea
58 Mark 4 27 | hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua;
59 Mark 4 29 | kutumia mundu wake, maana wakati wa mavuno umefika."~
60 Mark 6 21 | 21 Ikapatikana nafasi, wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake
61 Mark 6 45 | Bethsaida, ng`ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu.~
62 Mark 8 1 | 1 Wakati huo umati mkubwa wa watu
63 Mark 8 19 | 19 wakati ule nilipoimega ile mikate
64 Mark 8 38 | atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu
65 Mark 10 30 | atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu,
66 Mark 10 30 | pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele.~
67 Mark 12 2 | 2 Wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi
68 Mark 12 35 | 35 Wakati Yesu alipokuwa akifundisha
69 Mark 13 19 | 19 Maana wakati huo kutakuwa na dhiki ambayo
70 Mark 13 28 | kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
71 Mark 13 33 | na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.~
72 Mark 14 2 | walisema, "Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije
73 Mark 14 7 | nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini
74 Mark 14 12 | Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka
75 Mark 14 32 | wanafunzi wake, "Kaeni hapa wakati mimi nasali."~
76 Mark 15 6 | 6 Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato
77 Mark 15 21 | wa Aleksanda na Rufo, na wakati huo alikuwa akitoka shambani.
78 Mark 15 42 | 42 Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha
79 Mark 16 10 | waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza
80 Luke 1 5 | 5 Wakati Herode alipokuwa mfalme
81 Luke 1 10 | wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.~
82 Luke 1 20 | maneno yatakayotimia kwa wakati wake. Hutaweza kusema mpaka
83 Luke 1 21 | 21 Wakati huo, wale watu walikuwa
84 Luke 1 57 | 57 Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti
85 Luke 2 2 | kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa
86 Luke 2 21 | 21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika,
87 Luke 2 25 | 25 Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa
88 Luke 2 37 | Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka
89 Luke 2 37 | miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni
90 Luke 2 41 | kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.~
91 Luke 3 2 | makuhani wakuu mjini Yerusalem. Wakati huo ndipo neno la Mungu
92 Luke 4 2 | kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote,
93 Luke 4 25 | Israeli nyakati za Eliya. Wakati huo mvua iliacha kunyesha
94 Luke 5 35 | 35 Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi
95 Luke 5 35 | ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga."~
96 Luke 6 3 | Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?~
97 Luke 6 23 | 23 Wakati hayo yatakapotokea, furahini
98 Luke 7 21 | 21 Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya
99 Luke 9 26 | atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu
100 Luke 9 36 | kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote
101 Luke 9 42 | 42 Wakati mtoto huyo alipokuwa anamjia
102 Luke 9 51 | 51 Wakati ulipokaribia ambapo Yesu
103 Luke 11 31 | Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa,
104 Luke 11 32 | Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa,
105 Luke 12 1 | 1 Wakati watu kwa maelfu walipokuwa
106 Luke 12 12 | 12 Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni
107 Luke 12 42 | watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?~
108 Luke 13 1 | 1 Wakati huo watu fulani walikuja,
109 Luke 13 1 | ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama
110 Luke 13 25 | 25 "Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba
111 Luke 13 28 | na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka
112 Luke 13 31 | 31 Wakati huohuo, Mafarisayo na watu
113 Luke 13 35 | nawaambieni, hamtaniona mpaka wakati utakapofika mseme: `Abarikiwe
114 Luke 14 14 | Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka."~
115 Luke 14 17 | 17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma
116 Luke 14 32 | kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali
117 Luke 15 25 | 25 "Wakati huo kaka yake alikuwa bado
118 Luke 16 16 | manabii vilikuweko mpaka wakati wa Yohane mbatizaji. Tangu
119 Luke 17 20 | 20 Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza
120 Luke 17 27 | kunywa, kuoa na kuolewa mpaka wakati ule Noa alipoingia katika
121 Luke 17 28 | Itakuwa kama ilivyotokea wakati wa Loti. Watu waliendelea
122 Luke 18 8 | kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?"~
123 Luke 18 30 | 30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na kupokea
124 Luke 18 30 | kupokea uzima wa milele wakati ujao."~
125 Luke 18 35 | 35 Wakati Yesu alipokaribia Yeriko,
126 Luke 19 11 | 11 Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza
127 Luke 19 44 | kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa."~
128 Luke 20 10 | 10 Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma
129 Luke 20 20 | Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu
130 Luke 20 29 | 29 Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu
131 Luke 20 35 | atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala
132 Luke 21 8 | wakisema: `Mimi ndiye`, na, `Wakati ule umekaribia`. Lakini
133 Luke 21 14 | hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,~
134 Luke 21 20 | ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.~
135 Luke 21 28 | 28 Wakati mambo hayo yatakapoanza
136 Luke 21 30 | majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
137 Luke 21 37 | 37 Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu
138 Luke 22 28 | Ninyi ndio mliobaki nami wakati wote wa majaribu yangu;~
139 Luke 22 35 | akawauliza wanafunzi wake, "Wakati nilipowatuma bila mfuko
140 Luke 22 53 | nguvuni. Lakini, huu ndio wakati wenu hasa, ndio wakati wa
141 Luke 22 53 | ndio wakati wenu hasa, ndio wakati wa utawala wa giza."~
142 Luke 23 7 | akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu.~
143 Luke 23 30 | 30 Wakati huo, ndipo watu wataanza
144 Luke 23 42 | akasema, "Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme
145 Luke 24 32 | haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia
146 John 1 15 | Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: `Anakuja mtu
147 John 1 18 | Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote ule. Mwana wa pekee
148 John 1 19 | ushahidi Yohane alioutoa wakati viongozi wa Wayahudi kule
149 John 3 24 | 24 Wakati huo Yohane alikuwa bado
150 John 4 8 | 8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa
151 John 4 21 | Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu
152 John 4 23 | 23 Lakini wakati unakuja, tena umekwisha
153 John 4 31 | 31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa
154 John 4 35 | Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika!` Lakini
155 John 4 45 | aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.~
156 John 5 8 | mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu
157 John 5 26 | 25 Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha
158 John 5 29 | Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo
159 John 7 6 | Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado.
160 John 7 6 | Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa.~
161 John 7 39 | waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika
162 John 9 5 | 5 Wakati ningali ulimwenguni, mimi
163 John 10 22 | na sikukuu ya Kutabaruku. Wakati huo ulikuwa wa baridi.~
164 John 11 24 | Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho."~
165 John 12 16 | 16 Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa
166 John 12 17 | wale waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita Lazaro kutoka
167 John 12 20 | wamefika Yerusalemu kuabudu wakati wa sikukuu hiyo.~
168 John 12 31 | 31 Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa;
169 John 12 36 | 36 Basi, wakati mnao huo mwanga uaminini
170 John 16 2 | na masunagogi yao. Tena, wakati unakuja ambapo kila atakayewaua
171 John 16 21 | 21 Wakati mama anapojifungua huona
172 John 16 25 | hayo kwa mafumbo. Lakini wakati utakuja ambapo sitasema
173 John 16 32 | 32 Wakati unakuja, tena umekwisha
174 John 18 39 | niwafungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Basi, mwataka
175 John 20 24 | Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.~
176 John 21 20 | mwanafunzi ndiye yule ambaye wakati wa chakula cha jioni, alikaa
177 Acts 1 4 | 4 Wakati walipokutana pamoja aliwaamuru
178 Acts 1 6 | walimwuliza, "Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha
179 Acts 1 8 | 8 Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni
180 Acts 1 21 | waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana alipokuwa anasafiri
181 Acts 1 21 | anasafiri pamoja nasi, tangu wakati Yohane alipokuwa anabatiza
182 Acts 2 31 | juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: `Hakuachwa kuzimu,
183 Acts 2 46 | kila siku Hekaluni. Lakini wakati wa kumega mkate, walikutana
184 Acts 3 1 | walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala.~
185 Acts 3 21 | mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote,
186 Acts 5 37 | 37 Tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu,
187 Acts 7 5 | ya wazawa wake, ingawaje wakati huu hakuwa na mtoto.~
188 Acts 7 17 | 17 "Wakati ulipotimia Mungu aitimize
189 Acts 7 20 | 20 Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri
190 Acts 7 38 | 38 Wakati watu wa Israeli walipokutana
191 Acts 7 45 | walilipokezana wao kwa wao mpaka wakati wa Yoshua, walipoinyakua
192 Acts 8 3 | 3 Wakati huohuo, Saulo alijaribu
193 Acts 8 16 | 16 maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa
194 Acts 8 27 | tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia
195 Acts 8 27 | huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa
196 Acts 9 1 | 1 Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha
197 Acts 9 9 | siku tatu bila kuona, na wakati huo hakula au kunywa chochote.~
198 Acts 9 25 | 25 Lakini wakati wa usiku wanafunzi wake
199 Acts 9 31 | 31 Wakati huo kanisa likawa na amani
200 Acts 9 37 | 37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua,
201 Acts 9 39 | Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai.~
202 Acts 10 44 | 44 Wakati Petro alipokuwa bado anasema
203 Acts 11 19 | Kutokana na mateso yaliyotokea wakati Stefano alipouawa, waumini
204 Acts 11 27 | 27 Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja
205 Acts 11 28 | yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala).~
206 Acts 12 1 | 1 Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza
207 Acts 12 3 | Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
208 Acts 12 16 | 16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea
209 Acts 13 20 | waamuzi wawaongoze mpaka wakati wa nabii Samweli.~
210 Acts 13 36 | alitimiza mapenzi ya Mungu wakati wake; kisha akafa na kuzikwa
211 Acts 14 17 | angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na
212 Acts 17 21 | huko walikuwa wanatumia wakati wao wote kuhadithiana na
213 Acts 18 5 | Makedonia, Paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri,
214 Acts 18 12 | 12 Lakini wakati Galio alipokuwa mkuu wa
215 Acts 19 1 | 1 Wakati Apolo alipokuwa Korintho,
216 Acts 19 23 | 23 Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia
217 Acts 19 32 | 32 Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka;
218 Acts 20 9 | alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea
219 Acts 20 18 | Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu
220 Acts 21 27 | 27 Wakati siku hizo saba zilipokaribia
221 Acts 22 20 | 20 Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa,
222 Acts 23 6 | 6 Wakati huo Paulo alikwisha tambua
223 Acts 24 4 | 4 Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa
224 Acts 24 18 | 18 Wakati nilipokuwa nikifanya hayo
225 Acts 24 20 | kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza
226 Acts 24 22 | hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja
227 Acts 24 25 | 25 Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea
228 Acts 24 26 | 26 Wakati huohuo alikuwa anatumaini
229 Acts 25 7 | 7 Wakati Paulo alipofika, Wayahudi
230 Acts 26 12 | huohuo, nilikwenda Damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka
231 Acts 26 13 | 13 Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita
232 Acts 27 12 | haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea
233 Acts 27 12 | na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.~
234 Acts 27 40 | na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba
235 Acts 28 10 | walitupatia zawadi mbalimbali na wakati tulipoanza tena safari,
236 Acts 28 11 | ilikuwa imetia nanga kisiwani wakati wote wa baridi.~
237 Roma 2 16 | ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo
238 Roma 3 26 | 26 lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi
239 Roma 5 6 | Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa
240 Roma 5 8 | kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi,
241 Roma 5 14 | 14 Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa
242 Roma 5 14 | tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala
243 Roma 6 19 | wenu wenyewe.) Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi
244 Roma 7 1 | Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.~
245 Roma 7 3 | akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa
246 Roma 7 9 | 9 Wakati mmoja mimi nilikuwa hai
247 Roma 8 18 | 18 Naona kuwa mateso ya wakati huu wa sasa si kitu kamwe
248 Roma 9 9 | yenyewe ni hii: "Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata
249 Roma 11 2 | Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung`unikia Mungu
250 Roma 11 5 | Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya
251 Roma 11 15 | upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu?
252 Roma 11 27 | agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao."~
253 Roma 13 11 | ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa
254 Roma 13 11 | katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam,
255 Roma 13 11 | karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.~
256 Roma 13 13 | adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi
257 1Cor 1 26 | 26 Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa
258 1Cor 3 13 | ya kila mmoja utaonekana wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua.
259 1Cor 4 5 | Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka Bwana
260 1Cor 5 4 | 4 Wakati mnapokusanyika pamoja kwa
261 1Cor 7 20 | na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.~
262 1Cor 7 21 | Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali;
263 1Cor 7 24 | na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.~
264 1Cor 15 8 | mtu aliyezaliwa kabla ya wakati.~
265 1Cor 15 23 | halafu wale walio wake Kristo wakati Kristo atakapokuja.~
266 1Cor 15 24 | ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi
267 1Cor 15 35 | Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja tena?"~
268 1Cor 15 52 | 52 wakati wa mbiu ya mwisho, kwa nukta
269 1Cor 16 2 | haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja.~
270 1Cor 16 3 | 3 Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma
271 1Cor 16 6 | huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate
272 1Cor 16 10 | angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya
273 2Cor 1 16 | safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate
274 2Cor 3 16 | 16 Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko
275 2Cor 4 10 | 10 Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini
276 2Cor 5 10 | kwa matendo aliyoyafanya wakati alipokuwa anaishi duniani,
277 2Cor 5 16 | kibinadamu. Hata kama kwa wakati mmoja tulimpima Kristo kibinadamu,
278 2Cor 6 2 | 2 Mungu asema hivi: "Wakati wa kufaa nimekusikiliza,
279 2Cor 6 2 | wa kufaa nimekusikiliza, wakati wa wokovu nikakusaidia."
280 2Cor 6 2 | nikakusaidia." Basi, sasa ndio wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku
281 2Cor 6 4 | kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu.~
282 2Cor 8 14 | wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie
283 2Cor 8 19 | makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii
284 2Cor 10 1 | pamoja nanyi, lakini mkali wakati nikiwa mbali nanyi, nawasihini
285 2Cor 10 2 | msinisababishe kuwa mkali wakati nitakapokuja, maana nina
286 2Cor 10 11 | tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya
287 2Cor 10 11 | mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.~
288 2Cor 11 6 | kwenu, kila mahali na kila wakati.~
289 Gala 1 22 | 22 Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana
290 Gala 4 2 | 2 Wakati huo wote yuko chini ya walezi
291 Gala 4 2 | walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.~
292 Gala 4 4 | 4 Lakini wakati ule maalumu ulipotimia,
293 Gala 4 14 | 14 Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa
294 Gala 4 15 | kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang`
295 Gala 4 18 | katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja nanyi.~
296 Gala 4 19 | mja mzito anavyotaabika wakati wa kujifungua, mimi nataabika
297 Gala 6 9 | tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.~
298 Gala 6 10 | Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema,
299 Ephe 1 10 | Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja
300 Ephe 2 2 | 2 Wakati ule mliishi kufuatana na
301 Ephe 2 12 | 12 Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo;
302 Ephe 6 6 | 6 Fanyeni hivyo si tu wakati wanapowatazama ili mjipendekeze
303 Ephe 6 18 | msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni
304 Colo 1 3 | Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.~
305 Colo 1 5 | 5 Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani
306 Colo 1 23 | na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema.
307 Colo 2 13 | 13 Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa
308 Colo 3 4 | wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi
309 Colo 3 7 | 7 Wakati mmoja ninyi pia mliishi
310 Colo 3 22 | katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa
311 1The 1 5 | 5 maana wakati tulipowahubirieni ile Habari
312 1The 2 19 | tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi
313 1The 3 13 | mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja
314 1The 4 15 | ambao tutakuwa tumebaki, wakati Bwana atakapokuja, hakika
315 1The 4 17 | 17 Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja
316 1The 5 17 | 17 salini kila wakati~
317 1The 5 23 | mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu
318 2The 1 7 | pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka
319 2The 1 10 | 10 wakati atakapokuja Siku ile kupokea
320 2The 2 5 | niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?~
321 2The 2 6 | Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.~
322 1Tim 2 6 | Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia.~
323 1Tim 2 11 | kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.~
324 1Tim 4 13 | 13 Tumia wakati wako na juhudi yako katika
325 1Tim 5 13 | kama hao huanza kupoteza wakati wao wakizurura nyumba hata
326 1Tim 6 12 | uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele
327 1Tim 6 15 | Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu
328 1Tim 6 19 | itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia
329 2Tim 1 6 | kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu. ~
330 2Tim 4 2 | sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa),
331 2Tim 4 2 | iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya
332 2Tim 4 3 | 3 Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza
333 2Tim 4 6 | kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.~
334 2Tim 4 16 | 16 Wakati nilipojitetea kwa mara ya
335 Titus 1 3 | 3 na wakati ufaao ulipowadia, akaudhihirisha
336 Titus 2 13| ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa
337 Titus 3 3 | 3 Maana, wakati mmoja sisi tulikuwa wapumbavu,
338 Titus 3 4 | 4 Lakini wakati wema na upendo wa Mungu,
339 Titus 3 8 | wawe na hamu ya kuutumia wakati wao katika kutenda mema,
340 Titus 3 12| maana nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi.~
341 Titus 3 14| wetu wajifunze kuutumia wakati wao katika kutenda mema
342 Phil 1 4 | 4 Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe
343 Phil 1 11 | Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu,
344 Phil 1 13 | hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu
345 Hebr 3 8 | kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu; kama
346 Hebr 3 15 | kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu."~
347 Hebr 4 16 | huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.~ ~~ ~
348 Hebr 7 10 | wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana
349 Hebr 7 20 | hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa
350 Hebr 7 21 | alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana
351 Hebr 7 27 | alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe,
352 Hebr 8 5 | pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza
353 Hebr 9 8 | anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo
354 Hebr 9 10 | tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu
355 Hebr 9 15 | yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale.~
356 Hebr 11 17 | alimtoa mwanae Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo
357 Hebr 11 32 | Basi, niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu
358 Hebr 12 26 | 26 Wakati ule sauti ilitetemesha nchi,
359 James 1 9 | maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,~
360 James 2 21| Mungu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae Isaka sadaka
361 1Pet 1 11 | mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo
362 1Pet 1 12 | Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu
363 1Pet 1 13 | katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!~
364 1Pet 1 14 | tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.~
365 1Pet 1 17 | bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini
366 1Pet 2 10 | 10 Wakati mmoja ninyi hamkuwa watu
367 1Pet 2 10 | sasa ninyi ni watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya
368 1Pet 3 20 | alipowangoja kwa saburi wakati Noa alipokuwa anatayarisha
369 1Pet 4 3 | 3 Wakati uliopita mlikuwa na muda
370 1Pet 4 13 | mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.~
371 1Pet 4 17 | 17 Wakati wa hukumu umefika, na hukumu
372 1Pet 5 4 | 4 Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea,
373 1Pet 5 6 | enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.~
374 2Pet 1 15 | kuyakumbuka mambo haya kila wakati, baada ya kufariki kwangu.~
375 2Pet 1 16 | 16 Wakati tulipowafundisheni juu ya
376 2Pet 1 17 | 17 Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima na kutukuzwa
377 2Pet 1 17 | kutukuzwa na Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia kutoka kwake
378 2Pet 1 18 | sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja naye juu
379 2Pet 2 13 | aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika
380 2Pet 3 6 | ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.~
381 1Joh 2 28 | kaeni ndani yake kusudi wakati atakapotokea tuwe hodari
382 1Joh 3 2 | tutakavyokuwa. Lakini tunajua kwamba wakati Kristo atakapotokea, tutafanana
383 Jude 1 3 | 3 Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya
384 Jude 1 3 | watu wake mara moja tu kwa wakati wote.~
385 Jude 1 12 | miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa
386 Rev 1 3 | yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo
387 Rev 1 10 | 10 Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa
388 Rev 3 10 | pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu
389 Rev 6 12 | 12 Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja
390 Rev 6 13 | yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na
391 Rev 8 13 | ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki
392 Rev 9 5 | maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng`e.~
393 Rev 10 6 | vyote vilivyomo. Akasema, "Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!~
394 Rev 10 7 | 7 Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa
395 Rev 10 7 | saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake,
396 Rev 11 6 | kufunga anga, mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa
397 Rev 11 13 | 13 Wakati huohuo, kukatokea tetemeko
398 Rev 11 18 | mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika,
399 Rev 11 18 | wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. Ndio
400 Rev 11 18 | wa kuwahukumu wafu. Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako
401 Rev 11 18 | wakubwa kwa wadogo. Ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza
402 Rev 14 15 | wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno
403 Rev 18 9 | anasa wataomboleza na kulia wakati watakapoona moshi wa mji
404 Rev 19 7 | kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo
405 Rev 20 7 | 7 Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia,
406 Rev 22 10 | katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.~
|