Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 1 | 1 Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi, mzawa wa
2 Matt 1 3 | Faresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Faresi alimzaa
3 Matt 1 5 | alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu). Boazi na Ruthi
4 Matt 1 6 | Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria).~
5 Matt 1 18 | alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini
6 Matt 1 19 | Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha
7 Matt 2 22 | kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa
8 Matt 4 23 | 23 Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani
9 Matt 8 24 | yakaanza kuifunika mashua. Yesu alikuwa amelala usingizi.~
10 Matt 9 32 | aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.~
11 Matt 12 1 | 1 Wakati huo, Yesu alikuwa anapita katika mashamba
12 Matt 12 22 | Yesu kipofu mmoja ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa
13 Matt 12 22 | alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu
14 Matt 12 46 | 46 Yesu alikuwa bado anasema na umati wa
15 Matt 14 4 | 4 kwamba alikuwa amemwambia Herode, "Si halali
16 Matt 14 5 | watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.~
17 Matt 14 23 | kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,~
18 Matt 17 13 | wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya Yohane
19 Matt 19 22 | akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na mali nyingi.~
20 Matt 20 30 | waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza
21 Matt 21 28 | Ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwambia
22 Matt 21 45 | mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.~
23 Matt 22 34 | waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha ~Masadukayo,
24 Matt 26 48 | aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha wapa ishara akisema: "
25 Matt 26 69 | 69 Petro alikuwa ameketi nje uani. Basi,
26 Matt 26 71 | waliokuwa pale, "Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti."~
27 Matt 27 54 | wakasema, "Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu."~
28 Matt 27 57 | jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.~
29 Mark 1 6 | 6 Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa
30 Mark 1 13 | akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa
31 Mark 1 30 | mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali.
32 Mark 2 1 | watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani.~
33 Mark 2 2 | ikakosekana mlangoni. Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake,~
34 Mark 2 15 | 15 Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani
35 Mark 2 23 | Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba
36 Mark 2 26 | lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu. Na ni makuhani
37 Mark 3 10 | 10 Alikuwa amewaponya watu wengi, na
38 Mark 4 34 | wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.~
39 Mark 4 38 | 38 Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua,
40 Mark 5 3 | 3 Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala
41 Mark 5 8 | Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, "Pepo mchafu,
42 Mark 5 25 | 25 Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa
43 Mark 5 26 | 26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea
44 Mark 5 26 | waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake
45 Mark 5 27 | 27 Alikuwa amesikia habari za Yesu,
46 Mark 5 42 | akasimama, akaanza kutembea. (Alikuwa na umri wa miaka kumi na
47 Mark 6 17 | Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni,
48 Mark 6 17 | Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake.~
49 Mark 6 18 | 18 Yohane alikuwa amemwambia Herode, "Si halali
50 Mark 6 47 | ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.~
51 Mark 7 25 | mmoja ambaye binti yake alikuwa na pepo, alisikia habari
52 Mark 7 26 | 26 Mama huyo alikuwa Mgiriki, mwenyeji wa Sirofoinike.
53 Mark 9 31 | 31 kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi
54 Mark 10 22 | akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.~
55 Mark 10 32 | kwenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa anawatangulia. Wanafunzi
56 Mark 10 46 | Bartimayo mwana wa Timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.~
57 Mark 11 32 | waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.)~
58 Mark 12 41 | 41 Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku
59 Mark 14 3 | 3 Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni,
60 Mark 14 44 | 44 Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: "Yule nitakayembusu
61 Mark 15 6 | sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia
62 Mark 15 7 | mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi
63 Mark 15 21 | mwenyeji wa Kurene. Yeye alikuwa baba wa Aleksanda na Rufo,
64 Mark 15 21 | Aleksanda na Rufo, na wakati huo alikuwa akitoka shambani. Basi,
65 Mark 15 39 | akasema, "Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!"~
66 Mark 15 43 | aliyeheshimika sana. Yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa Ufalme
67 Mark 15 44 | alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita
68 Mark 15 44 | jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo.~
69 Mark 15 45 | huyo jemadari kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu
70 Mark 16 9 | Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo saba.~
71 Luke 1 5 | kikundi cha Abia. Mke wake alikuwa anaitwa Elisabeti, naye
72 Luke 1 5 | anaitwa Elisabeti, naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni.~
73 Luke 1 7 | watoto kwa vile Elisabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa
74 Luke 1 22 | Ikawa dhahiri kwao kwamba alikuwa ameona maono Hekaluni. Lakini
75 Luke 2 4 | mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi
76 Luke 2 5 | mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.~
77 Luke 2 21 | walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla
78 Luke 2 25 | jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi
79 Luke 2 25 | Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.~
80 Luke 2 26 | 26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa
81 Luke 2 36 | Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka
82 Luke 2 44 | 44 Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri,
83 Luke 3 1 | Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa anatawala mkoa wa Yudea.
84 Luke 3 1 | anatawala mkoa wa Yudea. Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya,
85 Luke 3 1 | na Filipo, ndugu yake, alikuwa mkuu wa mikoa ya Iturea
86 Luke 3 1 | Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,~
87 Luke 3 19 | mkuu wa mkoa, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia, mke
88 Luke 3 23 | alipoanza kazi yake hadharani, alikuwa na umri upatao miaka thelathini,
89 Luke 3 24 | 24 Heli alikuwa mwana wa Mathati, mwana
90 Luke 4 38 | Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba
91 Luke 5 1 | 1 Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa
92 Luke 5 17 | 17 Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo
93 Luke 6 1 | Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba
94 Luke 6 16 | Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.~
95 Luke 7 2 | jemadari mmoja Mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda
96 Luke 7 2 | aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.~
97 Luke 7 21 | 21 Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa
98 Luke 7 41 | wamemkopa mtu fedha: mmoja alikuwa amekopa dinari mia tano,
99 Luke 8 2 | wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na
100 Luke 8 29 | mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara
101 Luke 8 42 | wa miaka kumi na miwili, alikuwa mahututi. Yesu alipokuwa
102 Luke 8 43 | lile kundi la watu, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu
103 Luke 8 43 | miaka kumi na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake
104 Luke 8 53 | kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.~
105 Luke 9 18 | 18 Siku moja, Yesu alikuwa anasali peke yake, na wanafunzi
106 Luke 9 53 | hawakutaka kumpokea kwa sababu alikuwa anaelekea Yerusalemu.~
107 Luke 10 30 | Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu
108 Luke 10 39 | 39 Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria;
109 Luke 10 40 | 40 Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi.
110 Luke 11 1 | 1 Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza
111 Luke 11 14 | 14 Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya
112 Luke 11 16 | afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni.~
113 Luke 13 1 | wa Galilaya ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa
114 Luke 13 6 | akawaambia mfano huu: "Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake.
115 Luke 13 10 | 10 Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi
116 Luke 13 14 | alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato.
117 Luke 15 24 | Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima
118 Luke 15 24 | amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.`
119 Luke 15 25 | 25 "Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa
120 Luke 15 32 | kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima;
121 Luke 15 32 | amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana."`~ ~ ~~ ~
122 Luke 16 1 | wanafunzi wake: "Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani
123 Luke 16 19 | mtu mmoja tajiri, ambaye alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa
124 Luke 16 20 | aliyekuwa amejaa vidonda na alikuwa analazwa mlangoni pa nyumba
125 Luke 16 23 | 23 Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu,
126 Luke 17 16 | Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.~
127 Luke 18 23 | alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana.~
128 Luke 19 2 | jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena
129 Luke 19 3 | 3 Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu
130 Luke 19 3 | umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.~
131 Luke 19 4 | kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.~
132 Luke 19 11 | akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na
133 Luke 20 6 | wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii."~
134 Luke 20 33 | huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba."~
135 Luke 21 37 | mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni;
136 Luke 21 37 | watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa
137 Luke 22 56 | macho, akasema, "Mtu huyu alikuwa pia pamoja na Yesu."~
138 Luke 22 59 | akasisitiza, "Hakika huyu alikuwa pamoja naye; ametoka Galilaya
139 Luke 23 7 | 7 Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode,
140 Luke 23 7 | Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu.~
141 Luke 23 8 | alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake,
142 Luke 23 8 | sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu
143 Luke 23 8 | mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona Yesu
144 Luke 23 14 | huyu kwangu mkisema kwamba alikuwa anawapotosha watu. Sasa
145 Luke 23 19 | 19 Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha
146 Luke 23 25 | yule waliyemtaka, ambaye alikuwa ametiwa gerezani kwa sababu
147 Luke 23 47 | Mungu akisema: "Hakika huyu alikuwa mtu mwema."~
148 Luke 23 50 | Wayahudi kiitwacho Armathaya. Alikuwa mtu mwema anayeheshimika;~
149 Luke 23 51 | 51 Alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme
150 Luke 23 51 | Ufalme wa Mungu. Ingawa alikuwa mmoja wa Baraza kuu la Wayahudi,
151 Luke 24 19 | yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda
152 Luke 24 23 | malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.~
153 John 1 1 | Mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.~
154 John 1 1 | naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.~
155 John 1 2 | 2 Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu.~
156 John 1 4 | 4 Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai
157 John 1 28 | mto Yordani ambako Yohane alikuwa anabatiza.~
158 John 1 33 | nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: `Mtu yule utakayemwona
159 John 1 35 | 35 Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja
160 John 1 40 | Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa
161 John 1 44 | 44 Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji
162 John 2 2 | 2 naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja
163 John 2 21 | 21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo
164 John 2 22 | wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini
165 John 3 23 | 23 Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni,
166 John 3 24 | 24 Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)~
167 John 4 1 | Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi
168 John 4 5 | na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.~
169 John 4 47 | ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika
170 John 4 51 | wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.~
171 John 5 7 | amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu,
172 John 5 14 | aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali
173 John 5 36 | 35 Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka
174 John 6 17 | lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado.~
175 John 6 71 | Simoni Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa
176 John 6 71 | ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili.~ ~ ~~ ~
177 John 7 1 | 1 Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya.
178 John 7 39 | watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu
179 John 7 39 | hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)~
180 John 7 50 | 50 Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali
181 John 7 50 | Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye
182 John 8 27 | Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.~
183 John 8 44 | tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana
184 John 9 8 | wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, "
185 John 9 18 | hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu hapo awali na sasa
186 John 11 1 | Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania
187 John 11 13 | 13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi,
188 John 11 13 | ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha
189 John 11 20 | Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda kumlaki;
190 John 11 30 | 30 Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila
191 John 11 30 | hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha
192 John 11 31 | ghafla, walimfuata. Walidhani alikuwa anakwenda kaburini kuomboleza.~
193 John 11 49 | wao aitwaye Kayafa, ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, "
194 John 11 51 | mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri
195 John 12 1 | alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu.~
196 John 12 2 | akawa anawatumikia. Lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa
197 John 12 6 | maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka hazina, na kwa kuwa
198 John 12 6 | mweka hazina, na kwa kuwa alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba
199 John 12 9 | wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi, wakafika
200 John 12 12 | sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.~
201 John 12 18 | wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo.~
202 John 13 1 | kwa Baba ilikuwa imefika. Alikuwa amewapenda daima watu wake
203 John 13 3 | Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi kila kitu, na
204 John 13 3 | amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu na anarudi
205 John 13 23 | wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa
206 John 13 23 | alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu.~
207 John 13 28 | mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.~
208 John 13 29 | 29 Kwa kuwa Yuda alikuwa na wajibu wa kuutunza mfuko
209 John 13 29 | yao walidhani kwamba Yesu alikuwa amemwambia anunue vilivyohitajiwa
210 John 13 29 | vilivyohitajiwa kwa sikukuu, au kwamba alikuwa amemwambia akatoe chochote
211 John 18 5 | Mimi ndiye." Msaliti Yuda alikuwa amesimama hapo pamoja nao.~
212 John 18 10 | 10 Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa,
213 John 18 13 | kwanza kwa Anasi; Anasi alikuwa baba mkwe wa Kayafa ambaye
214 John 18 13 | baba mkwe wa Kayafa ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo.~
215 John 18 15 | Huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu,
216 John 18 16 | 16 Lakini Petro alikuwa amesimama nje, karibu na
217 John 18 18 | wanaota moto. Naye Petro alikuwa amesimama pamoja nao akiota
218 John 18 25 | 25 Petro alikuwa hapo akiota moto. Basi,
219 John 18 40 | ila Baraba!" Naye Baraba alikuwa mnyang`anyi.~ ~~ ~
220 John 19 38 | kuuchukua mwili wa Yesu. (Yosefu alikuwa mfuasi wa Yesu, lakini kwa
221 John 19 39 | Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu usiku, akaja
222 John 20 11 | 11 Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi,
223 John 20 18 | amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.~
224 John 20 26 | pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa
225 John 21 4 | wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa yeye.~
226 John 21 12 | ni nani?" Maana walijua alikuwa Bwana.~
227 Acts 1 3 | zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea
228 Acts 1 17 | 17 Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana
229 Acts 2 22 | maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa mtu ambaye mamlaka yake
230 Acts 2 30 | 30 Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu
231 Acts 3 11 | Solomoni," ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro
232 Acts 3 14 | 14 Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini
233 Acts 4 22 | 22 Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya
234 Acts 4 37 | 37 Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza;
235 Acts 5 34 | aitwaye Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa Sheria na aliyeheshimika
236 Acts 6 5 | Antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya Kiyahudi.~
237 Acts 7 9 | utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,~
238 Acts 7 20 | Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa
239 Acts 7 38 | aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na babu zetu
240 Acts 8 9 | mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake
241 Acts 8 11 | Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi
242 Acts 8 27 | Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani.
243 Acts 8 27 | kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina
244 Acts 8 27 | Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu
245 Acts 8 27 | Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari
246 Acts 8 28 | 28 Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii
247 Acts 8 32 | aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "Alikuwa kama kondoo anayepelekwa
248 Acts 9 1 | 1 Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali
249 Acts 9 33 | kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu
250 Acts 9 33 | amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza.~
251 Acts 9 36 | yake, Paa). Huyo mwanamke alikuwa akitenda mema na kuwasaidia
252 Acts 9 38 | waliposikia kwamba Petro alikuwa Luda, wakawatuma watu wawili
253 Acts 9 39 | makoti na nguo ambazo Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa
254 Acts 10 2 | 2 Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na
255 Acts 10 2 | yake yote walimcha Mungu; alikuwa anafanya mengi kusaidia
256 Acts 10 2 | kusaidia maskini wa Kiyahudi na alikuwa anasali daima.~
257 Acts 10 7 | mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha Mungu,~
258 Acts 10 19 | 19 Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile
259 Acts 10 24 | Kaisarea na huko Kornelio alikuwa anawangojea pamoja na jamaa
260 Acts 10 38 | Mtakatifu na nguvu. Mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda
261 Acts 11 24 | 24 Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa
262 Acts 12 6 | angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili.
263 Acts 12 6 | amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili,
264 Acts 12 9 | yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.~
265 Acts 12 14 | na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.~
266 Acts 12 16 | 16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi.
267 Acts 12 20 | Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu
268 Acts 13 1 | wa Kurene, Manaeni ambaye alikuwa amelelewa pamoja na mfalme
269 Acts 13 5 | Kiyahudi. Yohane (Marko) alikuwa msaidizi wao.~
270 Acts 13 7 | 7 Huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo,
271 Acts 13 7 | mkuu wa kile kisiwa, ambaye alikuwa mtu mwelewa sana. Sergio
272 Acts 14 8 | mmoja huko Lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa,
273 Acts 14 8 | miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe.~
274 Acts 14 9 | 9 Mtu huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa
275 Acts 14 9 | makini, na alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa,~
276 Acts 16 1 | Timotheo. Mama yake ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa Myahudi;
277 Acts 16 1 | ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa Myahudi; lakini baba yake
278 Acts 16 1 | Myahudi; lakini baba yake alikuwa Mgiriki.~
279 Acts 16 2 | 2 Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale
280 Acts 16 3 | kwamba baba yake Timotheo alikuwa Mgiriki.~
281 Acts 16 14 | mwa wale waliotusikiliza alikuwa mwanamke mmoja mcha Mungu
282 Acts 16 14 | mwenyeji wa Thuatira, ambaye alikuwa mfanyabiashara ya nguo za
283 Acts 16 16 | alikutana nasi. Msichana huyo alikuwa anawapatia matajiri wake
284 Acts 17 13 | walipogundua kwamba Paulo alikuwa anahubiri neno la Mungu
285 Acts 17 17 | katika sunagogi; na kila siku alikuwa na majadiliano sokoni pamoja
286 Acts 17 18 | bwanamaneno?" Kwa kuwa Paulo alikuwa anahubiri juu ya Yesu na
287 Acts 18 2 | kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke
288 Acts 18 17 | wakamkamata Sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga
289 Acts 18 24 | Aleksandria, alifika Efeso. Alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea
290 Acts 18 25 | 25 Alikuwa amefundishwa juu ya hiyo
291 Acts 18 25 | Akafundisha kwa usahihi ingawa alikuwa amepata ubatizo wa Yohane
292 Acts 19 4 | watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani
293 Acts 19 8 | muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi,
294 Acts 19 12 | nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka
295 Acts 19 24 | aitwaye Demetrio, ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu
296 Acts 19 32 | 32 Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili
297 Acts 20 7 | kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho
298 Acts 20 9 | Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati
299 Acts 20 16 | 16 Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na
300 Acts 20 16 | asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu
301 Acts 21 8 | kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa
302 Acts 21 9 | 9 Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa
303 Acts 21 16 | kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa
304 Acts 21 16 | alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku
305 Acts 21 29 | wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.~
306 Acts 22 29 | ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.~ ~ ~~ ~
307 Acts 23 34 | Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,~
308 Acts 24 22 | Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri,
309 Acts 24 24 | na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo
310 Acts 24 26 | 26 Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo
311 Acts 25 25 | Lakini mimi sikuona kuwa alikuwa ametenda chochote kibaya
312 Acts 27 2 | Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.~
313 Acts 28 8 | kwamba baba yake Publio alikuwa amelala kitandani, mgonjwa,
314 Acts 28 31 | 31 Alikuwa akihubiri Ufalme wa Mungu
315 Roma 1 3 | mintarafu ubinadamu wake, alikuwa mzawa wa Daudi;~
316 Roma 3 25 | mwadilifu. Hapo zamani Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali
317 Roma 4 19 | 19 Alikuwa mzee wa karibu miaka mia
318 Roma 4 19 | umekufa, na pia mkewe, Sara, alikuwa tasa.~
319 Roma 5 14 | ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye
320 Roma 9 22 | kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia
321 Roma 15 3 | hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama yasemavyo Maandiko: "
322 1Cor 15 45 | Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini
323 2Cor 8 9 | Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya
324 2Cor 8 17 | alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia,
325 2Cor 11 32 | aliyekuwa chini ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa Damasko
326 2Cor 12 2 | mbingu ya tatu. (Sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho;
327 2Cor 12 3 | peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho;
328 Gala 1 15 | Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa,
329 Gala 2 7 | walitambua kwamba Mungu alikuwa amenituma kuhubiri Habari
330 Gala 2 11 | nilimpinga waziwazi maana alikuwa amekosea.~
331 Gala 2 12 | Yakobo kuwasili hapo, Petro alikuwa akila pamoja na watu wa
332 Gala 4 22 | Matakatifu kwamba Abrahamu alikuwa na watoto wawili: mmoja
333 Ephe 1 5 | 5 Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta
334 Ephe 1 9 | wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa
335 2Tim 4 20 | nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.~
336 Phil 1 11 | yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa
337 Phil 1 18 | 18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa
338 Phil 1 18 | alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai
339 Hebr 3 2 | 2 Yeye alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua
340 Hebr 3 5 | 5 Mose alikuwa mwaminifu katika nyumba
341 Hebr 3 18 | ambako ningewapa pumziko," alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa
342 Hebr 3 18 | alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.~
343 Hebr 5 7 | na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka
344 Hebr 5 8 | 8 Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza
345 Hebr 7 1 | 1 Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani
346 Hebr 7 2 | Uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake
347 Hebr 7 6 | tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.~
348 Hebr 7 10 | amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake,
349 Hebr 7 13 | yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala
350 Hebr 11 5 | Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Maandiko yasema
351 Hebr 11 5 | kuchukuliwa kwake, yeye alikuwa amempendeza Mungu.~
352 Hebr 11 10 | 10 Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi
353 Hebr 11 11 | kuchukua mimba ingawaje alikuwa amepita umri.~
354 Hebr 11 12 | mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea
355 Hebr 11 13 | kupokea mambo ambayo Mungu alikuwa ameahidi, lakini kwa mbali
356 Hebr 11 18 | 18 ingawa Mungu alikuwa amemwambia: "Wazawa wako
357 Hebr 11 26 | wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye.~
358 Hebr 11 27 | wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule
359 Hebr 11 40 | 40 maana Mungu alikuwa ameazimia mpango ulio bora
360 James 5 17| 17 Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba
361 1Pet 1 19 | tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye
362 1Pet 1 20 | 20 Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla
363 Rev 1 13 | kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda
364 Rev 1 16 | Katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani
365 Rev 4 3 | Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri
366 Rev 5 6 | kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba
367 Rev 5 8 | Mwanakondoo. Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu
368 Rev 6 2 | hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji.
369 Rev 6 5 | mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia
370 Rev 10 1 | akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde
371 Rev 12 2 | 2 Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti
372 Rev 12 6 | akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa
373 Rev 13 1 | mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe
374 Rev 13 2 | Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa
375 Rev 13 11 | mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe
376 Rev 13 12 | 12 Alikuwa na mamlaka kamili kutoka
377 Rev 13 12 | mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa
378 Rev 14 14 | kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani,
379 Rev 17 3 | mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina
380 Rev 17 3 | mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe
381 Rev 17 4 | 4 Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya
382 Rev 17 4 | ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu,
383 Rev 17 5 | 5 Alikuwa ameandikwa juu ya paji la
384 Rev 17 8 | 8 Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa
385 Rev 17 11 | 11 Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini
386 Rev 18 1 | akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia
387 Rev 19 2 | yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi
388 Rev 19 12 | ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani.
389 Rev 19 12 | amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna
390 Rev 19 13 | 13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa
391 Rev 19 16 | lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: "Mfalme
392 Rev 19 20 | yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa
393 Rev 21 15 | malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha
|