Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 1 | 1 Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea,
2 Matt 4 2 | 2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku,
3 Matt 6 34 | inayo yake. Matatizo ya siku moja yanawatosheni kwa siku
4 Matt 6 34 | siku moja yanawatosheni kwa siku hiyo.~ ~~ ~
5 Matt 7 22 | 22 Wengi wataniambia Siku ile ya hukumu: `Bwana, Bwana!
6 Matt 10 15 | 15 Kweli nawaambieni, Siku ya hukumu mji huo utapata
7 Matt 11 22 | Hata hivyo nawaambieni, Siku ya hukumu, ninyi mtapata
8 Matt 11 24 | 24 Lakini nawaambieni, Siku ya hukumu itakuwa nafuu
9 Matt 12 1 | katika mashamba ya ngano siku ya Sabato. Basi, wanafunzi
10 Matt 12 2 | wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato."~
11 Matt 12 5 | katika Sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja
12 Matt 12 10 | ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?" Walimwuliza
13 Matt 12 11 | hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?~
14 Matt 12 12 | ni halali kutenda mema siku ya Sabato."~
15 Matt 12 36 | 36 "Basi, nawaambieni, Siku ya hukumu watu watapaswa
16 Matt 12 40 | 40 Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni
17 Matt 12 40 | atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu kutwa kucha.~
18 Matt 12 41 | Watu wa Ninewi watatokea siku ya hukumu, nao watakihukumu
19 Matt 13 1 | 1 Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika
20 Matt 15 32 | hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala
21 Matt 16 21 | wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."~
22 Matt 17 1 | 1 Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,
23 Matt 17 23 | 23 Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa." Wanafunzi
24 Matt 20 2 | kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika
25 Matt 20 19 | viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."~
26 Matt 22 23 | 23 Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo
27 Matt 22 28 | 28 Je, siku wafu watakapofufuka mama
28 Matt 22 46 | aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo ~hakuna aliyethubutu
29 Matt 24 19 | wazito na wanaonyonyesha siku hizo!~
30 Matt 24 20 | ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!~
31 Matt 24 20 | kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!~
32 Matt 24 22 | 22 Kama siku hizo hazingalipunguzwa,
33 Matt 24 22 | ambaye angeokoka; lakini siku hizo zitapunguzwa kwa ajili
34 Matt 24 23 | Basi, mtu akiwaambieni siku hizo: `Kristo yuko hapa`
35 Matt 24 29 | Mara baada ya dhiki ya siku hizo, jua litatiwa giza,
36 Matt 24 36 | 36 "Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu
37 Matt 24 42 | kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.~
38 Matt 24 43 | kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha,
39 Matt 24 50 | 50 bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.~
40 Matt 25 13 | Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.~
41 Matt 26 2 | Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu
42 Matt 26 17 | 17 Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu
43 Matt 26 29 | tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja
44 Matt 26 55 | mimi ni mnyang`anyi? Kila siku nilikuwa Hekaluni nikifundisha,
45 Matt 26 61 | Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu."`~
46 Matt 27 40 | Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe.
47 Matt 27 62 | 62 Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio,
48 Matt 27 63 | kabla ya kufa ati, `Baada ya siku tatu nitafufuka.`~
49 Matt 27 64 | amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake
50 Matt 28 1 | karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene
51 Matt 28 20 | Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho
52 Mark 1 9 | 9 Siku hizo, Yesu alifika kutoka
53 Mark 1 13 | 13 akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na
54 Mark 2 1 | 1 Baada ya siku kadhaa, Yesu alirudi Kafarnaumu,
55 Mark 2 23 | 23 Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa
56 Mark 3 2 | walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.~
57 Mark 3 4 | akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo
58 Mark 4 35 | 35 Jioni, siku hiyohiyo, Yesu aliwaambia
59 Mark 6 2 | 2 Siku ya Sabato ilipofika, alianza
60 Mark 8 2 | wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.~
61 Mark 8 31 | Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka."~
62 Mark 9 2 | 2 Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,
63 Mark 9 31 | watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa
64 Mark 10 34 | mijeledi na kumwua. Na baada ya siku tatu atafufuka."~
65 Mark 12 23 | 23 Basi, siku watu watakapofufuka, mama
66 Mark 12 40 | wakijisingizia kusali sala ndefu. Siku ya hukumu watapata adhabu
67 Mark 13 17 | wazito na wanaonyonyesha siku hizo!~
68 Mark 13 20 | Kama Bwana asingepunguza siku hizo, hakuna binadamu ambaye
69 Mark 13 20 | wake, Bwana amezipunguza siku hizo.~
70 Mark 13 24 | 24 "Basi, siku hizo baada ya dhiki hiyo,
71 Mark 13 32 | Lakini hakuna mtu ajuaye siku au saa hiyo itakuja lini;
72 Mark 14 1 | 1 Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu
73 Mark 14 12 | 12 Siku ya kwanza ya sikukuu ya
74 Mark 14 25 | tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika
75 Mark 14 49 | 49 Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha
76 Mark 14 58 | lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa
77 Mark 15 29 | Hekalu na kulijenga kwa siku tatu!~
78 Mark 15 42 | umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku
79 Mark 15 42 | siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.~
80 Mark 16 1 | 1 Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene,
81 Mark 16 2 | Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza
82 Luke 1 8 | 8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake
83 Luke 1 39 | 39 Siku kadhaa baadaye, Maria alifunga
84 Luke 1 59 | 59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri
85 Luke 1 75 | na uadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu.~
86 Luke 2 1 | 1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa
87 Luke 2 6 | 6 Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,~
88 Luke 2 21 | 21 Siku nane baadaye, wakati wa
89 Luke 2 22 | 22 Siku zilipotimia za Yosefu na
90 Luke 2 46 | 46 Siku ya tatu walimkuta Hekaluni
91 Luke 4 2 | alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote
92 Luke 4 2 | hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.~
93 Luke 4 16 | mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika
94 Luke 4 31 | akawa anawafundisha watu siku ya Sabato.~
95 Luke 5 1 | 1 Siku moja Yesu alikuwa amesimama
96 Luke 5 17 | 17 Siku moja Yesu alikuwa akifundisha.
97 Luke 6 1 | 1 Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa
98 Luke 6 2 | mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?"~
99 Luke 6 6 | 6 Siku nyingine ya Sabato, Yesu
100 Luke 6 7 | waone kama angemponya mtu siku ya Sabato.~
101 Luke 6 9 | Nawaulizeni, je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo
102 Luke 6 12 | 12 Siku moja Yesu alikwenda mlimani
103 Luke 8 22 | 22 Siku moja, Yesu alipanda mashua
104 Luke 9 18 | 18 Siku moja, Yesu alikuwa anasali
105 Luke 9 22 | Sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa."~
106 Luke 9 23 | auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.~
107 Luke 9 28 | 28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo,
108 Luke 10 12 | 12 Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu
109 Luke 10 14 | 14 Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata
110 Luke 11 1 | 1 Siku moja, Yesu alikuwa mahali
111 Luke 11 3 | daima chakula chetu cha kila siku.~
112 Luke 11 14 | 14 Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza
113 Luke 12 46 | 46 bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua;
114 Luke 13 10 | akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.~
115 Luke 13 14 | sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia
116 Luke 13 14 | walikusanyika pale, "Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi,
117 Luke 13 14 | kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa
118 Luke 13 14 | magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato."~
119 Luke 13 15 | ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato?~
120 Luke 13 16 | kumfungulia vifungo vyake siku ya Sabato?"~
121 Luke 13 32 | na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi
122 Luke 14 1 | 1 Siku moja ya Sabato, Yesu alikwenda
123 Luke 14 3 | halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"~
124 Luke 14 5 | hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?"~
125 Luke 15 1 | 1 Siku moja, watoza ushuru na wahalifu
126 Luke 15 13 | 13 Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza
127 Luke 15 31 | Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho
128 Luke 16 19 | na kufanya sherehe kila siku.~
129 Luke 17 4 | akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako
130 Luke 17 22 | akawaambia wanafunzi wake, "Siku zinakuja ambapo mtatamani
131 Luke 17 22 | mtatamani kuona mojawapo ya siku za Mwana wa Mtu, lakini
132 Luke 17 24 | Mwana wa Mtu atakavyokuwa siku yake.~
133 Luke 17 26 | ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu.~
134 Luke 17 29 | 29 Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma,
135 Luke 17 30 | 30 Ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Mtu atakapofunuliwa.~
136 Luke 17 31 | 31 "Siku hiyo, yeyote atakayekuwa
137 Luke 17 34 | 34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa
138 Luke 18 33 | mijeledi, watamuua; lakini siku ya tatu atafufuka."~
139 Luke 19 43 | 43 Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia
140 Luke 19 47 | Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu,
141 Luke 20 1 | 1 Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha
142 Luke 20 33 | 33 Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke
143 Luke 21 6 | yote mnayoyaona - zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe
144 Luke 21 22 | 22 Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu,
145 Luke 21 22 | 22 Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa
146 Luke 21 23 | waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa
147 Luke 21 34 | za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.~
148 Luke 21 37 | 37 Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha
149 Luke 22 7 | 7 Basi, siku ya Mikate Isiyotiwa chachu
150 Luke 22 7 | chachu ikafika. Hiyo ndiyo siku ambayo mwana kondoo wa Pasaka
151 Luke 22 53 | Nilipokuwa pamoja nanyi kila siku Hekaluni hamkunitia nguvuni.
152 Luke 23 12 | awali walikuwa maadui, tangu siku hiyo wakawa marafiki.~
153 Luke 23 29 | 29 Maana, hakika siku zitakuja ambapo watasema: `
154 Luke 23 54 | 54 Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na
155 Luke 23 54 | Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.~
156 Luke 23 56 | kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama
157 Luke 24 7 | nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka."`~
158 Luke 24 13 | 13 Siku hiyohiyo, wawili kati ya
159 Luke 24 18 | ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?"~
160 Luke 24 21 | Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo
161 Luke 24 46 | kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka
162 John 1 39 | anakaa, wakashinda naye siku hiyo. Ilikuwa yapata saa
163 John 2 1 | 1 Siku ya tatu kulikuwa na arusi
164 John 2 12 | Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache.~
165 John 2 19 | hili, nami nitalijenga kwa siku tatu."~
166 John 2 20 | Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?"~
167 John 3 2 | 2 Siku moja alimwendea Yesu usiku,
168 John 4 40 | akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.~
169 John 4 43 | 43 Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo,
170 John 5 10 | Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.~
171 John 5 17 | Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza
172 John 6 39 | alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.~
173 John 6 40 | milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho."~
174 John 6 44 | nami nitamfufua mtu huyo Siku ya mwisho.~
175 John 6 54 | wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho.~
176 John 7 22 | ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.~
177 John 7 23 | basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria
178 John 7 23 | nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?~
179 John 7 37 | 37 Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo
180 John 7 37 | ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama,
181 John 8 56 | yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi."~
182 John 9 14 | 14 Siku hiyo Yesu alipofanya tope
183 John 9 14 | macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.~
184 John 11 6 | mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.~
185 John 11 17 | amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.~
186 John 11 24 | atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho."~
187 John 11 39 | kunuka; amekaa kaburini siku nne!"~
188 John 11 53 | 53 Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi
189 John 12 1 | 1 Siku sita kabla ya sikukuu ya
190 John 12 7 | Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.~
191 John 12 8 | 8 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami
192 John 12 8 | zote, lakini hamtakuwa nami siku zote." ic~
193 John 12 48 | nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho.~
194 John 14 20 | 20 Siku ile itakapofika mtajua kwamba
195 John 16 23 | 23 Siku hiyo hamtaniomba chochote.
196 John 16 26 | 26 Siku hiyo mtaomba kwa jina langu,
197 John 19 14 | yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka.
198 John 19 31 | 31 Ilikuwa Ijumaa, siku ya Maandalio. Kwa hiyo,
199 John 19 31 | kusudi miili isikae msalabani siku ya Sabato, maana siku hiyo
200 John 19 31 | msalabani siku ya Sabato, maana siku hiyo ya Sabato ilikuwa siku
201 John 19 31 | siku hiyo ya Sabato ilikuwa siku kubwa, Wayahudi walimwomba
202 John 20 19 | 19 Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi
203 John 20 26 | 26 Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa
204 Acts 1 2 | 2 mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni.
205 Acts 1 3 | 3 Kwa muda wa siku arobaini baada ya kifo chake
206 Acts 1 5 | kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa
207 Acts 1 15 | 15 Siku chache baadaye, kulikuwa
208 Acts 1 21 | alipokuwa anabatiza mpaka siku ile Yesu alipochukuliwa
209 Acts 2 1 | 1 Siku ya Pentekoste ilipofika,
210 Acts 2 17 | 17 `Katika siku zile za mwisho, asema Bwana,
211 Acts 2 18 | nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe
212 Acts 2 20 | damu, kabla ya kutokea ile siku kuu na tukufu ya Bwana.~
213 Acts 2 41 | wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo.~
214 Acts 2 46 | Waliendelea kukutana pamoja kila siku Hekaluni. Lakini wakati
215 Acts 2 47 | wakapendwa na watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi
216 Acts 3 1 | 1 Siku moja, saa tisa alasiri,
217 Acts 3 2 | walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe
218 Acts 3 24 | ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi.~
219 Acts 5 42 | 42 Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari
220 Acts 6 1 | ugawaji wa mahitaji ya kila siku.~
221 Acts 7 8 | alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa.
222 Acts 7 51 | Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.~
223 Acts 8 1 | kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu
224 Acts 9 9 | 9 Saulo alikaa siku tatu bila kuona, na wakati
225 Acts 9 19 | zikamrudia. Saulo alikaa siku chache pamoja na wafuasi
226 Acts 9 23 | 23 Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi
227 Acts 9 43 | 43 Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi
228 Acts 10 24 | 24 Siku ya pili yake, walifika Kaisarea
229 Acts 10 30 | 30 Kornelio akasema, "Siku tatu zilizopita saa kama
230 Acts 10 40 | 40 lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane~
231 Acts 10 48 | wakamwomba akae nao kwa siku chache.~ ~ ~~ ~
232 Acts 11 5 | 5 "Siku moja nikiwa nasali mjini
233 Acts 12 6 | 6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa
234 Acts 12 21 | 21 Siku moja iliyochaguliwa, Herode
235 Acts 13 14 | mjini Antiokia Pisidia. Siku ya Sabato waliingia ndani
236 Acts 13 31 | 31 Naye, kwa siku nyingi aliwatokea wale waliofuatana
237 Acts 13 42 | watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee
238 Acts 13 44 | 44 Siku ya Sabato iliyofuata, karibu
239 Acts 15 21 | katika masunagogi yote kila siku ya Sabato." ic~
240 Acts 15 36 | 36 Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia
241 Acts 16 5 | waumini ikaongezeka kila siku.~
242 Acts 16 12 | Tulikaa katika mji huo siku kadhaa.~
243 Acts 16 13 | 13 Siku ya Sabato tulitoka nje ya
244 Acts 16 16 | 16 Siku moja, tulipokuwa tunakwenda
245 Acts 16 18 | Akawa anafanya hivyo kwa siku nyingi hata siku moja Paulo
246 Acts 16 18 | hivyo kwa siku nyingi hata siku moja Paulo alikasirika,
247 Acts 17 11 | Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema
248 Acts 17 17 | katika sunagogi; na kila siku alikuwa na majadiliano sokoni
249 Acts 17 31 | Kwa maana amekwisha weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu
250 Acts 18 2 | walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari
251 Acts 18 9 | 9 Siku moja usiku, Bwana alimwambia
252 Acts 18 18 | ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. Kisha aliwaaga,
253 Acts 19 9 | akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la masomo la
254 Acts 20 6 | kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa.
255 Acts 20 15 | tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo
256 Acts 20 18 | wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika
257 Acts 21 7 | ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.~
258 Acts 21 10 | 10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye
259 Acts 21 16 | alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.~
260 Acts 21 26 | taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu
261 Acts 21 27 | 27 Wakati siku hizo saba zilipokaribia
262 Acts 24 1 | 1 Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania
263 Acts 24 11 | kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita
264 Acts 24 24 | 24 Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja
265 Acts 24 25 | kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi
266 Acts 25 1 | 1 Siku tatu baada ya kufika mkoani,
267 Acts 25 6 | Festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au kumi hivi, kisha
268 Acts 25 13 | 13 Siku chache baadaye, mfalme Agripa
269 Acts 25 14 | 14 Walikuwa huko siku kadhaa naye Festo akamweleza
270 Acts 26 22 | alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya leo nimesimama imara
271 Acts 27 7 | 7 Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole,
272 Acts 27 9 | ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha
273 Acts 27 19 | 19 Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa
274 Acts 27 20 | 20 Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona
275 Acts 27 27 | 27 Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa
276 Acts 27 33 | wote wale chakula: "Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa
277 Acts 28 7 | tukawa wageni wake kwa siku tatu.~
278 Acts 28 12 | Sirakusa, tukakaa hapo kwa siku tatu.~
279 Acts 28 13 | na kufika Regio. Baada ya siku moja, upepo ulianza kuvuma
280 Acts 28 13 | kutoka kusini, na baada ya siku mbili tulifika bandari ya
281 Acts 28 17 | 17 Baada ya siku tatu, Paulo aliwaita pamoja
282 Acts 28 23 | 23 Basi, walipanga naye siku kamili ya kukutana, na wengi
283 Roma 2 5 | unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu
284 Roma 2 6 | 6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila
285 Roma 6 21 | Sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale
286 Roma 14 5 | 5 Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi
287 Roma 14 5 | mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja
288 Roma 14 6 | 6 Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku
289 Roma 14 6 | siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza
290 1Cor 1 8 | mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.~
291 1Cor 3 13 | mmoja utaonekana wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua.
292 1Cor 3 13 | Kristo itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea na moto, na
293 1Cor 5 5 | roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.~
294 1Cor 6 3 | mambo ya kawaida ya kila siku, tutawahukumu hata malaika?~
295 1Cor 10 8 | walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu
296 1Cor 13 8 | Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya
297 1Cor 15 4 | kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa;~
298 1Cor 15 31 | mimi nakikabili kifo kila siku! Fahari niliyo nayo juu
299 1Cor 16 8 | nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.~
300 2Cor 1 14 | Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea
301 2Cor 4 16 | kwa ndani tunafanywa wapya siku kwa siku.~
302 2Cor 4 16 | tunafanywa wapya siku kwa siku.~
303 2Cor 6 2 | wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku ya wokovu!~
304 2Cor 11 28 | licha ya mengine mengi, kila siku nakabiliwa na shughuli za
305 Gala 1 18 | kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.~
306 Gala 3 15 | kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba
307 Gala 4 10 | 10 Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka!~
308 Gala 4 29 | 29 Lakini kama vile siku zile yule mtoto aliyezaliwa
309 Gala 4 29 | wa Mungu, vivyo hivyo na siku hizi.~
310 Ephe 4 30 | wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.~
311 Ephe 5 16 | vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.~
312 Ephe 6 13 | vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika muweze kuyapinga
313 Colo 1 6 | ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema
314 Colo 2 16 | kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi
315 1The 2 16 | dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira
316 1The 5 2 | ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi
317 1The 5 4 | ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni
318 2The 1 10 | 10 wakati atakapokuja Siku ile kupokea utukufu kutoka
319 2The 2 2 | kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika.
320 2The 2 3 | namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza
321 2The 3 16 | amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana
322 1Tim 4 1 | Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine
323 1Tim 6 14 | kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu
324 2Tim 1 12 | kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile. ~
325 2Tim 1 18 | Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua vizuri mengi
326 2Tim 3 1 | 1 Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati
327 2Tim 4 8 | Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu,
328 Titus 2 13| 13 tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia,
329 Hebr 1 2 | 2 lakini siku hizi za mwisho, amesema
330 Hebr 3 8 | Mungu; kama walivyokuwa siku ile kule jangwani,~
331 Hebr 4 4 | yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: "Mungu alipumzika
332 Hebr 4 4 | saba: "Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake
333 Hebr 4 7 | wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa "
334 Hebr 4 7 | Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika
335 Hebr 4 8 | hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.~
336 Hebr 4 9 | kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.~
337 Hebr 7 27 | haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi
338 Hebr 8 8 | aliwalaumu watu wake aliposema: "Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo
339 Hebr 8 9 | nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono
340 Hebr 8 10 | nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka
341 Hebr 9 6 | kwa makuhani kuingia kila siku katika hema ya nje kutoa
342 Hebr 10 11 | Myahudi humhudumia Mungu kila siku, akitoa dhabibu zilezile
343 Hebr 10 16 | nitakalofanya nao, katika siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka
344 Hebr 10 25 | kusaidiana kwani, kama mwonavyo, Siku ile ya Bwana inakaribia.~
345 Hebr 10 32 | 32 Kumbukeni yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa
346 Hebr 10 32 | mwanga wa Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso
347 Hebr 11 28 | 28 Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru damu
348 Hebr 11 30 | walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba.~
349 James 5 3 | mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!~
350 James 5 5 | Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.~
351 James 5 8 | imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia.~
352 1Pet 1 7 | sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.~
353 1Pet 1 20 | ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili
354 1Pet 2 12 | na hivyo wamtukuze Mungu Siku ya kuja kwake.~
355 1Pet 3 10 | kufurahia maisha, na kuona siku za fanaka, anapaswa kuacha
356 2Pet 1 19 | mahali penye giza mpaka Siku ile itakapopambazuka na
357 2Pet 2 4 | ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu.~
358 2Pet 2 8 | miongoni mwa watu hao, na kwa siku nyingi moyo wake ulikuwa
359 2Pet 2 9 | waovu katika adhabu hadi Siku ile ya hukumu,~
360 2Pet 3 3 | Awali ya yote jueni kwamba siku za mwisho watakuja watu
361 2Pet 3 7 | Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha
362 2Pet 3 8 | hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu; kwake
363 2Pet 3 10 | 10 Siku ya Bwana itakuja kama mwizi.
364 2Pet 3 10 | Bwana itakuja kama mwizi. Siku hiyo, mbingu zitatoweka
365 2Pet 3 12 | 12 mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya
366 2Pet 3 12 | na kuifanya ije upesi - Siku ambayo mbingu zitateketezwa
367 2Pet 3 14 | wapenzi wangu, mkiwa mnangojea Siku ile, fanyeni bidii kuwa
368 1Joh 2 28 | sababu ya kujificha kwa aibu Siku ya kuja kwake.~
369 1Joh 4 17 | kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha
370 Jude 1 6 | minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.~
371 Jude 1 18 | 18 Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika,
372 Rev 1 10 | 10 Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na
373 Rev 2 10 | mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Muwe waaminifu hata
374 Rev 2 13 | hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu
375 Rev 6 17 | 17 Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika.
376 Rev 9 15 | kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo, wa mwaka huohuo,
377 Rev 11 3 | wa Mungu kwa muda huo wa siku elfu moja mia mbili na sitini
378 Rev 11 9 | wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu
379 Rev 11 11 | 11 Lakini baada ya zile siku tatu na nusu pumzi ya uhai
380 Rev 12 6 | angehifadhiwa kwa muda wa siku elfu moja mia mbili na sitini.~
381 Rev 12 12 | kwa sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache."~
382 Rev 16 14 | pamoja kwa ajili ya vita kuu Siku ile ya Mungu Mwenye Uwezo.~
383 Rev 18 8 | mabaa yake yatampata kwa siku moja: ugonjwa, huzuni na
|