Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
baadhi 78
baalamu 1
baali 1
baba 378
babu 29
babuloni 12
badala 27
Frequency    [«  »]
391 tena
384 yule
383 siku
378 baba
377 yeye
372 cha
371 mambo

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

baba

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 22 | mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. 2 Matt 3 9 | mtaweza kujitetea kwa kusema, `Baba yetu ni Abrahamu!` Nawaambieni 3 Matt 4 21 | ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza 4 Matt 4 22 | wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.~ 5 Matt 5 16 | matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni."~ 6 Matt 5 45 | ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa 7 Matt 5 48 | Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo 8 Matt 6 1 | mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni 9 Matt 6 4 | msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, 10 Matt 6 6 | funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye 11 Matt 6 6 | yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, 12 Matt 6 8 | 8 Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji 13 Matt 6 9 | ndivyo mnavyopaswa kusali: `Baba yetu uliye mbinguni: Jina 14 Matt 6 14 | mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe 15 Matt 6 15 | msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi 16 Matt 6 18 | unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye 17 Matt 6 18 | yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika 18 Matt 6 26 | ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. 19 Matt 6 32 | na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu wa mbinguni anajua 20 Matt 7 11 | wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya 21 Matt 7 21 | tu anayetimiza mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.~ 22 Matt 8 21 | kwanza niende nikamzike baba yangu."~ 23 Matt 10 20 | mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.~ 24 Matt 10 21 | atamsaliti ndugu yake auawe, na baba atamsaliti mwanawe, nao 25 Matt 10 29 | haanguki chini bila kibali cha Baba yenu.~ 26 Matt 10 32 | mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~ 27 Matt 10 33 | nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~ 28 Matt 10 35 | mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama 29 Matt 10 37 | 37 "Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo 30 Matt 11 25 | alisema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, 31 Matt 11 26 | 26 Naam Baba, ndivyo ilivyokupendeza.~ 32 Matt 11 27 | 27 "Baba yangu amenikabidhi vitu 33 Matt 11 27 | Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, 34 Matt 11 27 | Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule 35 Matt 12 50 | yeyote anayefanya anavyotaka Baba yangu aliye mbinguni, huyo 36 Matt 13 43 | kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni basi, kama 37 Matt 15 4 | Mungu amesema: `Waheshimu baba yako na mama yako,` na ` 38 Matt 15 4 | yako,` na `Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima 39 Matt 15 5 | angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: ` 40 Matt 15 6 | hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau 41 Matt 15 13 | akawajibu, "Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, 42 Matt 16 17 | aliyekufunulia ukweli huu, ila Baba yangu aliye mbinguni.~ 43 Matt 16 27 | atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika wake, 44 Matt 18 10 | mbinguni wako daima mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.*fh*~ 45 Matt 18 14 | 14 Hali kadhalika, Baba yenu wa mbinguni hapendi 46 Matt 18 19 | jambo lolote la kuomba, Baba yangu wa mbinguni atawafanyia 47 Matt 18 35 | 35 Na baba yangu aliye mbinguni atawafanyieni 48 Matt 19 5 | hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana 49 Matt 19 19 | 19 waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende 50 Matt 19 29 | nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au 51 Matt 20 23 | wale waliowekewa tayari na Baba yangu."~ 52 Matt 21 30 | 30 Yule baba akamwambia mtoto wake wa 53 Matt 21 30 | hivyo, naye akamjibu, `Naam baba!` Lakini hakwenda kazini.~ 54 Matt 21 31 | wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "Yule 55 Matt 23 9 | Wala msimwite mtu yeyote <Baba> hapa duniani, maana Baba 56 Matt 23 9 | Baba> hapa duniani, maana Baba yenu ni ~mmoja tu aliye 57 Matt 24 36 | mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake ndiye ajuaye.~ 58 Matt 25 34 | Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa 59 Matt 26 29 | pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu."~ 60 Matt 26 39 | akaanguka kifudifudi, akasali: "Baba yangu, kama inawezekana, 61 Matt 26 42 | tena mara ya pili akasali: "Baba yangu, kama haiwezekani 62 Matt 26 53 | kwamba ningeweza kumwomba Baba yangu naye mara angeniletea 63 Matt 28 19 | mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho 64 Mark 1 20 | akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua 65 Mark 5 40 | akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana 66 Mark 7 10 | Mose aliamuru: `Waheshimu baba yako na mama yako,` na, ` 67 Mark 7 10 | yako,` na, `Anayemlaani baba au mama, lazima afe.`~ 68 Mark 7 11 | angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema 69 Mark 8 38 | atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu."~ ~~ ~ 70 Mark 9 20 | kinywani. Yesu akamwuliza baba yake huyo mtoto,~ 71 Mark 9 24 | 24 Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, "Naamini! 72 Mark 10 7 | Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana 73 Mark 10 19 | Usidanganye; Waheshimu baba na mama yako."`~ 74 Mark 10 29 | ndugu, au dada, au mama, au baba, au watoto au mashamba kwa 75 Mark 11 10 | Ubarikiwe Ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!"~ 76 Mark 11 25 | aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe 77 Mark 11 25 | ninyi makosa yenu.*fg* hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe 78 Mark 13 12 | atamsaliti ndugu yake auawe; baba atamsaliti mwanae; watoto 79 Mark 13 32 | wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.~ 80 Mark 14 36 | 36 Akasema, "Baba yangu, kwako mambo yote 81 Mark 15 21 | wa Kurene. Yeye alikuwa baba wa Aleksanda na Rufo, na 82 Luke 1 17 | Eliya. Atawapatanisha kina baba na watoto wao; atawafanya 83 Luke 1 59 | wakataka kumpa jina la baba yake, Zakariya.~ 84 Luke 1 62 | 62 Basi, wakamwashiria baba yake wapate kujua alitaka 85 Luke 1 67 | 67 Zakariya, baba yake mtoto, akajazwa Roho 86 Luke 1 73 | Kiapo alichomwapia Abrahamu baba yetu, ni kwamba atatujalia 87 Luke 2 33 | 33 Baba na mama yake Yesu walikuwa 88 Luke 2 48 | kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta 89 Luke 2 49 | inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"~ 90 Luke 6 36 | 36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.~ 91 Luke 9 26 | katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu.~ 92 Luke 9 42 | mtoto na kumkabidhi kwa baba yake.~ 93 Luke 9 59 | niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu."~ 94 Luke 10 21 | akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, 95 Luke 10 21 | ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."~ 96 Luke 10 22 | 22 Kisha akasema, "Baba yangu ameweka yote mikononi 97 Luke 10 22 | amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani 98 Luke 10 22 | nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote 99 Luke 11 2 | akawaambia, "Mnaposali, semeni: `Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme 100 Luke 11 11 | 11 Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa 101 Luke 11 13 | wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya 102 Luke 12 13 | tugawane urithi aliotuachia baba."~ 103 Luke 12 30 | na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji 104 Luke 12 32 | enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.~ 105 Luke 12 53 | 53 Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, 106 Luke 12 53 | mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, 107 Luke 14 26 | akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, 108 Luke 15 12 | 12 Yule mdogo, alimwambia baba yake: `Baba, nipe urithi 109 Luke 15 12 | alimwambia baba yake: `Baba, nipe urithi wangu.` Naye 110 Luke 15 17 | kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, 111 Luke 15 18 | 18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, 112 Luke 15 18 | baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea 113 Luke 15 20 | akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu 114 Luke 15 20 | Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo 115 Luke 15 21 | 21 "Mwanawe akamwambia: `Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea 116 Luke 15 22 | 22 Lakini baba yake akawaambia watumishi 117 Luke 15 27 | yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono 118 Luke 15 28 | akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi 119 Luke 15 31 | 31 Baba yake akamjibu: `Mwanangu, 120 Luke 16 24 | Basi, akaita kwa sauti: `Baba Abrahamu, nionee huruma; 121 Luke 16 27 | aliyekuwa tajiri akasema: `Basi baba, nakuomba umtume aende nyumbani 122 Luke 16 27 | umtume aende nyumbani kwa baba yangu,~ 123 Luke 16 30 | Lakini yeye akasema: `Sivyo baba Abrahamu, ila kama mtu atafufuka 124 Luke 18 20 | ushahidi wa uongo; waheshimu baba yako na mama yako."`~ 125 Luke 22 29 | 29 na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi Ufalme, 126 Luke 22 42 | 42 "Baba, kama wapenda, ukiondoe 127 Luke 23 34 | 34 Yesu akasema, "Baba, uwasamehe kwa maana hawajui 128 Luke 23 46 | akalia kwa sauti kubwa: "Baba, naiweka roho yangu mikononi 129 Luke 24 49 | nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini 130 John 1 13 | bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao.~ 131 John 1 14 | aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli.~ 132 John 1 18 | Mungu ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari 133 John 2 16 | hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!"~ 134 John 3 6 | Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa 135 John 3 35 | 35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi 136 John 4 21 | unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule 137 John 4 23 | wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu 138 John 4 23 | wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.~ 139 John 4 53 | 53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa 140 John 5 18 | Basi, Yesu akawaambia, "Baba yangu anafanya kazi daima, 141 John 5 19 | alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya 142 John 5 20 | kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya 143 John 5 20 | Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.~ 144 John 5 21 | 20 Baba ampenda Mwana, na humwonyesha 145 John 5 22 | 21 Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa 146 John 5 23 | 22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli 147 John 5 24 | kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu 148 John 5 24 | Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.~ 149 John 5 27 | 26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo 150 John 5 31 | ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya 151 John 5 37 | ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia 152 John 5 37 | zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.~ 153 John 5 38 | 37 Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. 154 John 5 44 | nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; 155 John 5 46 | kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia 156 John 6 27 | milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni 157 John 6 32 | hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi 158 John 6 37 | 37 Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa 159 John 6 40 | 40 Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila 160 John 6 42 | mwana wa Yosefu? Tunawajua baba yake na mama yake! Basi, 161 John 6 44 | mtu awezaye kuja kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; 162 John 6 45 | Mungu.` Kila mtu anayemsikia Baba na kujifunza kutoka kwake, 163 John 6 46 | kwamba yupo mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yule aliyetoka 164 John 6 46 | Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba.~ 165 John 6 57 | 57 Baba aliye hai alinituma, nami 166 John 6 65 | kwangu asipowezeshwa na Baba yangu."~ 167 John 8 16 | sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja 168 John 8 18 | najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia 169 John 8 19 | 19 Hapo wakamwuliza, "Baba yako yuko wapi?" Yesu akawajibu " 170 John 8 19 | hamnijui mimi wala hamumjui Baba. Kama mngenijua mimi, mngemjua 171 John 8 19 | mngenijua mimi, mngemjua na Baba yangu pia."~ 172 John 8 27 | alikuwa akisema nao juu ya Baba.~ 173 John 8 28 | mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.~ 174 John 8 38 | nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya yale 175 John 8 38 | mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu."~ 176 John 8 39 | 39 Wao wakamjibu, "Baba yetu ni Abrahamu!" Yesu 177 John 8 41 | si watoto haramu! Tunaye baba mmoja tu, yaani Mungu."~ 178 John 8 42 | akawaambia, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, 179 John 8 44 | 44 Ninyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka 180 John 8 44 | mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji 181 John 8 44 | maana yeye ni mwongo na baba wa uongo.~ 182 John 8 49 | sina pepo; mimi namheshimu Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu.~ 183 John 8 53 | unajifanya mkuu zaidi kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa? 184 John 8 54 | utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema 185 John 8 54 | ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.~ 186 John 8 56 | 56 Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione 187 John 10 15 | 15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo 188 John 10 15 | anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu 189 John 10 17 | 17 "Baba ananipenda kwani nautoa 190 John 10 18 | kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye."~ 191 John 10 25 | ninazozifanya mimi kwa jina la Baba yangu zinanishuhudia.~ 192 John 10 29 | 29 Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa 193 John 10 29 | awezaye kuwatoa mikononi mwake Baba.~ 194 John 10 30 | 30 Mimi na Baba, tu mmoja."~ 195 John 10 32 | Nimewaonyesheni kazi nyingi kutoka kwa Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya 196 John 10 36 | 36 Je, yeye ambaye Baba alimweka wakfu na kumtuma 197 John 10 37 | 37 Kama sifanyi kazi za Baba yangu msiniamini.~ 198 John 10 38 | kujua na kutambua kwamba Baba yuko ndani yangu, nami niko 199 John 11 41 | mbinguni, akasema, "Nakushukuru Baba kwa kuwa wewe wanisikiliza.~ 200 John 12 26 | Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima.~ 201 John 12 27 | niseme nini? Je, niseme: `Baba, usiruhusu saa hii inifikie`? 202 John 12 28 | 28 Baba, ulitukuze jina lako." Hapo 203 John 12 49 | mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru 204 John 12 50 | Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme."~ ~ ~~ ~ 205 John 13 1 | ulimwenguni na kwenda kwa Baba ilikuwa imefika. Alikuwa 206 John 13 3 | 3 Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi kila 207 John 14 2 | 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la 208 John 14 6 | Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.~ 209 John 14 7 | mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, 210 John 14 8 | akamwambia, "Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka."~ 211 John 14 9 | Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: ` 212 John 14 9 | basi, kusema: `Tuonyeshe Baba?`~ 213 John 14 10 | kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? 214 John 14 10 | niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno 215 John 14 10 | siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya 216 John 14 11 | kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. 217 John 14 11 | niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, 218 John 14 12 | zaidi, maana nakwenda kwa Baba.~ 219 John 14 13 | jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.~ 220 John 14 16 | 16 Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi 221 John 14 20 | kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, 222 John 14 21 | anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na 223 John 14 23 | atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja 224 John 14 24 | mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.~ 225 John 14 26 | Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, 226 John 14 28 | kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko 227 John 14 31 | unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya 228 John 14 31 | maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, 229 John 15 1 | ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.~ 230 John 15 8 | 8 Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa 231 John 15 9 | nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni 232 John 15 10 | nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo 233 John 15 15 | ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.~ 234 John 15 16 | matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote 235 John 15 23 | Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.~ 236 John 15 24 | wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.~ 237 John 15 26 | nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye 238 John 15 26 | Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.~ 239 John 16 3 | hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.~ 240 John 16 10 | sababu naenda zangu kwa Baba, nanyi hamtaniona tena;~ 241 John 16 15 | 15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema 242 John 16 17 | Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"`~ 243 John 16 23 | chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu, atawapeni.~ 244 John 16 25 | nitawaambieni waziwazi juu ya Baba.~ 245 John 16 26 | siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu;~ 246 John 16 28 | 28 Mimi nilitoka kwa Baba, nikaja ulimwenguni; na 247 John 16 28 | ulimwengu na kurudi kwa Baba."~ 248 John 16 32 | mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami.~ 249 John 17 1 | juu mbinguni, akasema, "Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao 250 John 17 5 | 5 Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa 251 John 17 11 | lakini wao wamo ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya 252 John 17 21 | ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu 253 John 17 24 | 24 "Baba! Nataka wao ulionipa wawe 254 John 17 25 | 25 Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, 255 John 18 11 | nisinywe kikombe alichonipa Baba?"~ 256 John 18 13 | kwa Anasi; Anasi alikuwa baba mkwe wa Kayafa ambaye alikuwa 257 John 20 17 | sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu 258 John 20 17 | uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu 259 John 20 17 | nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu 260 John 20 21 | Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami 261 Acts 1 4 | ngojeeni ile zawadi aliyoahidi Baba, zawadi ambayo mlikwisha 262 Acts 1 7 | viko chini ya mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu 263 Acts 2 33 | Mungu, akapokea kutoka kwa Baba ile zawadi aliyoahidi yaani 264 Acts 3 13 | Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi 265 Acts 7 2 | akasema, "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea 266 Acts 7 2 | nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa 267 Acts 7 4 | Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa tena 268 Acts 7 14 | Yosefu alituma ujumbe kwa baba yake na jamaa yote, jumla 269 Acts 7 32 | 32 `Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, 270 Acts 7 51 | wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga 271 Acts 7 52 | yuko nabii yeyote ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua 272 Acts 13 32 | Mwanangu, mimi leo nimekuwa baba yako.`~ 273 Acts 16 1 | alikuwa Myahudi; lakini baba yake alikuwa Mgiriki.~ 274 Acts 16 3 | sehemu hizo walijua kwamba baba yake Timotheo alikuwa Mgiriki.~ 275 Acts 22 1 | 1 "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea 276 Acts 28 8 | 8 Basi, ikawa kwamba baba yake Publio alikuwa amelala 277 Roma 1 7 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.~ 278 Roma 4 1 | nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?~ 279 Roma 4 11 | Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa 280 Roma 4 12 | 12 Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini 281 Roma 4 12 | wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata 282 Roma 4 16 | imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote.~ 283 Roma 4 17 | yasemavyo: "Nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi." Ahadi 284 Roma 4 18 | matumaini, na hivyo amekuwa baba wa mataifa mengi kama Maandiko 285 Roma 6 4 | kwa kitendo kitukufu cha Baba, sisi pia tuweze kuishi 286 Roma 8 15 | kumwita Mungu, "Aba," yaani "Baba!"~ 287 Roma 9 10 | naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu 288 Roma 11 28 | rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao.~ 289 Roma 15 6 | sauti moja, mumtukuze Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 290 1Cor 1 3 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu 291 1Cor 4 15 | maisha yenu ya Kikristo, baba yenu ni mmoja tu, kwani 292 1Cor 5 1 | mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!~ 293 1Cor 8 6 | sisi yuko Mungu mmoja tu: Baba, Muumba wa vyote, ambaye 294 1Cor 15 24 | Kristo atamkabidhi Mungu Baba Utawala, baada ya kufutilia 295 2Cor 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.~ 296 2Cor 1 3 | 3 Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, 297 2Cor 1 3 | Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye 298 2Cor 6 18 | 18 Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa watoto 299 2Cor 11 31 | 31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu - jina lake 300 Gala 1 2 | Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka 301 Gala 1 3 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana 302 Gala 1 4 | mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika 303 Gala 4 2 | wakati ule uliowekwa na baba yake.~ 304 Gala 4 6 | ambaye hulia "Aba," yaani "Baba."~ 305 Ephe 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.~ 306 Ephe 1 3 | 3 Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! 307 Ephe 1 17 | wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho 308 Ephe 2 18 | mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.~ 309 Ephe 3 14 | sababu hiyo, nampigia magoti Baba,~ 310 Ephe 4 6 | 6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu 311 Ephe 5 20 | 20 Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, 312 Ephe 5 31 | hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana 313 Ephe 6 2 | 2 "Waheshimu Baba na mama yako," hii ndiyo 314 Ephe 6 4 | 4 Nanyi akina baba, msiwachukize watoto wenu 315 Ephe 6 23 | na imani kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Bwana Yesu 316 Colo 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.~ 317 Colo 1 3 | Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, 318 Colo 1 12 | Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa 319 Colo 3 17 | Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.~ 320 1The 1 1 | ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.~ 321 1The 1 3 | 3 Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha 322 1The 2 11 | kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake 323 1The 3 11 | 11 Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana 324 1The 3 13 | watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu 325 2The 1 1 | ambao ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo.~ 326 2The 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.~ 327 2The 2 16 | Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, 328 1Tim 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana 329 1Tim 1 9 | kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote 330 1Tim 5 1 | msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama 331 2Tim 1 2 | na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu. ~ 332 Titus 1 4 | na amani kutoka kwa Mungu Baba, na kutoka kwa Kristo Yesu, 333 Phil 1 3 | na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu 334 Phil 1 10 | katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.~ 335 Hebr 1 5 | Mwanangu; Mimi leo nimekuwa Baba yako." Wala hakusema juu 336 Hebr 1 5 | malaika yeyote: "Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu."~ 337 Hebr 2 11 | waliotakaswa, wote wanaye Baba mmoja. Ndiyo maana Yesu 338 Hebr 5 5 | Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako."~ 339 Hebr 7 3 | 3 Baba yake na mama yake hawatajwi, 340 Hebr 7 4 | huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja 341 Hebr 7 10 | alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki 342 Hebr 12 7 | mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?~ 343 Hebr 12 9 | tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate 344 James 1 17| hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye 345 James 1 27| hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima 346 James 2 21| 21 Je, Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika 347 James 3 9 | sisi twamshukuru Bwana na Baba yetu. Kwa ulimi huohuo twawalaani 348 1Pet 1 1 | nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi 349 1Pet 1 2 | 2 Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana 350 1Pet 1 3 | 3 Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! 351 1Pet 1 17 | Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye 352 1Pet 1 23 | upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba 353 1Pet 1 23 | baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.~ 354 2Pet 1 17 | heshima na kutukuzwa na Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia 355 1Joh 1 2 | huo wa milele uliokuwa kwa Baba na uliodhihirishwa kwetu.~ 356 1Joh 1 3 | katika umoja tulio nao na Baba na Mwanae Yesu Kristo.~ 357 1Joh 2 1 | mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye 358 1Joh 2 13 | Nawaandikieni ninyi kina baba kwani mnamjua yeye ambaye 359 1Joh 2 14 | watoto, kwa sababu mnamjua Baba. Nawaandikieni ninyi kina 360 1Joh 2 14 | Nawaandikieni ninyi kina baba, kwa kuwa mnamjua yeye ambaye 361 1Joh 2 15 | anayeupenda ulimwengu, upendo wa Baba hauwezi kuwamo ndani yake.~ 362 1Joh 2 16 | mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.~ 363 1Joh 2 22 | adui wa Kristo - anamkana Baba na Mwana.~ 364 1Joh 2 23 | anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali 365 1Joh 2 23 | anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.~ 366 1Joh 2 24 | katika umoja na Mwana na Baba.~ 367 1Joh 3 1 | 1 Oneni basi, jinsi Baba alivyotupenda mno hata tunaitwa 368 1Joh 4 14 | kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi 369 2Joh 1 3 | amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwana 370 2Joh 1 3 | kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika 371 2Joh 1 4 | wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru.~ 372 2Joh 1 9 | katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana.~ 373 Jude 1 1 | mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu 374 Rev 1 6 | makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo 375 Rev 2 26 | uwezo uleule nilioupokea kwa Baba: yaani, watayatawala mataifa 376 Rev 3 5 | kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika 377 Rev 3 21 | nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake 378 Rev 14 1 | la Mwanakondoo na jina la Baba yake.~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License