Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
robo 1
roda 1
rodo 1
roho 351
rohoni 11
roma 20
romans 1
Frequency    [«  »]
372 cha
371 mambo
354 yenu
351 roho
348 yao
345 sasa
341 yote

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

roho

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 18 | kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.~ 2 Matt 1 20 | amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.~ 3 Matt 3 11 | Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.~ 4 Matt 3 16 | mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa 5 Matt 4 1 | 1 Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani 6 Matt 10 20 | ninyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani 7 Matt 10 28 | mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa 8 Matt 10 28 | kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu.~ 9 Matt 12 18 | anipendezaye moyoni. Nitaiweka Roho yangu juu yake, naye atatangaza 10 Matt 12 28 | ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba 11 Matt 12 31 | hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.~ 12 Matt 12 32 | asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, 13 Matt 22 37 | kwa moyo wako wote, kwa ~roho yako yote na kwa akili yako 14 Matt 22 43 | inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho ~Mtakatifu Daudi anamwita 15 Matt 26 41 | mkaingia katika majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni 16 Matt 27 50 | kwa sauti kubwa, akakata roho.~ 17 Matt 28 19 | Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.~ 18 Mark 1 8 | lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu."~ 19 Mark 1 10 | mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.~ 20 Mark 1 12 | 12 Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,~ 21 Mark 3 29 | anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa 22 Mark 12 30 | kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako 23 Mark 12 36 | Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema: `Bwana 24 Mark 13 11 | si ninyi mtakaosema, bali Roho Mtakatifu.~ 25 Mark 14 38 | mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni 26 Mark 15 37 | akapaaza sauti kubwa, akakata roho.~ 27 Mark 15 39 | alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "Kweli mtu huyu 28 Luke 1 15 | divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni 29 Luke 1 17 | Bwana akiongozwa na nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha 30 Luke 1 35 | 35 Malaika akamjibu, "Roho Mtakatifu atakushukia, na 31 Luke 1 41 | Naye Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifiu,~ 32 Luke 1 47 | Moyo wangu wamtukuza Bwana, roho yangu inafurahi kwa sababu 33 Luke 1 67 | baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka ujumbe 34 Luke 2 25 | hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja 35 Luke 2 26 | 26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia 36 Luke 2 27 | 27 Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia 37 Luke 3 16 | Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.~ 38 Luke 3 22 | 22 na Roho Mtakatifu akamshukia akiwa 39 Luke 4 1 | mto Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na 40 Luke 4 1 | Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani.~ 41 Luke 4 14 | Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake 42 Luke 4 18 | 18 "Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani 43 Luke 4 33 | mtu aliyekuwa amepagawa na roho ya pepo mchafu; akapiga 44 Luke 8 55 | 55 Roho yake ikamrudia, akaamka 45 Luke 10 21 | Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru 46 Luke 10 27 | kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako 47 Luke 11 13 | atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba."~ 48 Luke 12 10 | atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.~ 49 Luke 12 12 | 12 Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni 50 Luke 12 19 | 19 Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba 51 Luke 12 20 | Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu 52 Luke 23 46 | sauti kubwa: "Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako." Alipokwisha 53 Luke 23 46 | Alipokwisha sema hayo, akakata roho. ic~ 54 John 1 32 | Yohane alioutoa: "Nilimwona Roho akishuka kama njiwa kutoka 55 John 1 33 | Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni 56 John 1 33 | huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.`~ 57 John 3 5 | asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika 58 John 3 6 | lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.~ 59 John 3 8 | kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho."~ 60 John 3 34 | Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo.~ 61 John 4 23 | watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo 62 John 4 24 | 24 Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu 63 John 4 24 | kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."~ 64 John 6 63 | 63 Roho ndiye atiaye uzima; binadamu 65 John 6 63 | Maneno niliyowaambieni ni Roho, ni uzima.~ 66 John 7 39 | 39 Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini 67 John 7 39 | yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu 68 John 12 27 | 27 "Sasa roho yangu imefadhaika, na niseme 69 John 14 17 | 17 Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi 70 John 14 26 | 26 lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma 71 John 15 26 | kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, 72 John 16 13 | Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye 73 John 16 15 | maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni yale 74 John 19 30 | akainama kichwa, akatoa roho.~ 75 John 20 22 | akawapulizia na kuwaambia, "Pokeeni Roho Mtakatifu.~ 76 Acts 1 2 | aliwapa maagizo kwa njia ya Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.~ 77 Acts 1 5 | chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu."~ 78 Acts 1 8 | 8 Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni 79 Acts 1 16 | Matakatifu itimie, sehemu ambayo Roho Mtakatifu, kwa maneno ya 80 Acts 2 4 | 4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema 81 Acts 2 4 | lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.~ 82 Acts 2 17 | nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume 83 Acts 2 18 | wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza 84 Acts 2 27 | 27 kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala 85 Acts 2 33 | zawadi aliyoahidi yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona 86 Acts 2 33 | kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho.~ 87 Acts 2 38 | na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu.~ 88 Acts 4 8 | Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, " 89 Acts 4 25 | Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: `Kwa nini mataifa 90 Acts 4 31 | pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza 91 Acts 4 32 | waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja 92 Acts 5 3 | na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea 93 Acts 5 9 | mmekula njama kumjaribu Roho wa Bwana? Sikiliza! Wale 94 Acts 5 32 | mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa 95 Acts 6 3 | sifa njema, waliojawa na Roho na wenye hekima; nasi tutawakabidhi 96 Acts 6 5 | kubwa na mwenye kujawa na Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, 97 Acts 6 10 | yake na kwa sababu ya yule Roho aliyeongoza maneno yake.~ 98 Acts 7 51 | zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.~ 99 Acts 7 55 | Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu 100 Acts 7 59 | anasali: "Bwana Yesu, ipokee roho yangu!"~ 101 Acts 8 15 | hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;~ 102 Acts 8 16 | 16 maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia 103 Acts 8 17 | waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.~ 104 Acts 8 18 | mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa 105 Acts 8 19 | nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu."~ 106 Acts 8 29 | 29 Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, " 107 Acts 8 39 | 39 Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo 108 Acts 9 17 | upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu."~ 109 Acts 9 31 | kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.~ 110 Acts 10 19 | kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, "Sikiliza! kuna 111 Acts 10 38 | alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu. Mungu 112 Acts 10 44 | bado anasema maneno hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote 113 Acts 10 45 | Mungu aliwamiminia zawadi ya Roho Mtakatifu watu wa mataifa 114 Acts 10 47 | 47 "Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe 115 Acts 11 12 | 12 Roho aliniambia niende pamoja 116 Acts 11 15 | Na nilipoanza tu kuongea, Roho Mtakatifu aliwashukia kama 117 Acts 11 16 | lakini ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.`~ 118 Acts 11 24 | mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi 119 Acts 11 28 | alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa 120 Acts 13 2 | yao kwa Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema: "Niteulieni 121 Acts 13 4 | Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi 122 Acts 13 9 | pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho 123 Acts 13 52 | walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.~ ~ ~~ ~ 124 Acts 15 8 | amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa 125 Acts 15 28 | 28 Basi, Roho Mtakatifu na sisi tumekubali 126 Acts 16 6 | Frugia na Galatia kwani Roho Mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri 127 Acts 16 7 | mkoani Bithunia, lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.~ 128 Acts 19 2 | mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?" Nao wakamjibu, " 129 Acts 19 2 | Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."~ 130 Acts 19 6 | Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza 131 Acts 20 22 | sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila 132 Acts 20 23 | Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia 133 Acts 20 28 | lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi 134 Acts 21 4 | wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende 135 Acts 21 11 | mikono na miguu, akasema "Roho Mtakatifu asema hivi: `Wayahudi 136 Acts 23 8 | hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo 137 Acts 23 9 | huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye."~ 138 Acts 28 25 | ni sawa yale aliyoyanena Roho Mtakatifu kwa wazee wenu 139 Roma 2 29 | moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi 140 Roma 5 5 | upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.~ 141 Roma 7 6 | kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali 142 Roma 8 2 | 2 Maana, sheria ya Roho iletayo uzima kwa kuungana 143 Roma 8 4 | kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.~ 144 Roma 8 5 | kufuatana na matakwa ya Roho Mtakatifu, hutawaliwa na 145 Roma 8 5 | hutawaliwa na fikira za Roho.~ 146 Roma 8 6 | mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.~ 147 Roma 8 9 | kufuatana na matakwa ya Roho, ikiwa Roho wa Mungu anaishi 148 Roma 8 9 | na matakwa ya Roho, ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu. 149 Roma 8 9 | ndani yenu. Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake 150 Roma 8 10 | sababu ya dhambi, kwenu Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa 151 Roma 8 11 | 11 Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo 152 Roma 8 11 | atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.~ 153 Roma 8 13 | Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, 154 Roma 8 14 | 14 Wote wanaoongozwa na Roho wa MUngu ni watoto wa Mungu.~ 155 Roma 8 15 | 15 Kwa maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye 156 Roma 8 15 | maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi watumwa 157 Roma 8 15 | hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi watoto 158 Roma 8 15 | Mungu, na kwa nguvu ya huyo Roho, sisi tunaweza kumwita Mungu, " 159 Roma 8 16 | 16 Naye Roho mwenyewe anajiunga na roho 160 Roma 8 16 | Roho mwenyewe anajiunga na roho zetu na kuthibitisha kwamba 161 Roma 8 23 | hata sisi tulio na huyo Roho, aliye wa kwanza wa zawadi 162 Roma 8 26 | 26 Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu 163 Roma 8 26 | inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa 164 Roma 8 27 | watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea 165 Roma 8 27 | ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu 166 Roma 9 1 | Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia 167 Roma 14 17 | amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.~ 168 Roma 15 13 | kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.~ 169 Roma 15 16 | dhabihu iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.~ 170 Roma 15 19 | maajabu, na kwa nguvu ya Roho wa Mungu. Basi, kwa kusafiri 171 Roma 15 30 | ajili ya upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea 172 1Cor 2 4 | uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.~ 173 1Cor 2 10 | aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza 174 1Cor 2 10 | njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata 175 1Cor 2 11 | ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, 176 1Cor 2 11 | mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.~ 177 1Cor 2 12 | 12 Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea 178 1Cor 2 12 | ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe 179 1Cor 2 13 | maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho 180 1Cor 2 13 | kiroho kwa walio na huyo Roho.~ 181 1Cor 2 14 | kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo 182 1Cor 2 14 | kutambuliwa kwa msaada wa Roho.~ 183 1Cor 2 15 | Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora 184 1Cor 3 1 | nanyi kama watu mlio na huyo Roho. Nilipaswa kusema nanyi 185 1Cor 3 16 | hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?~ 186 1Cor 5 3 | mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: 187 1Cor 5 4 | nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana 188 1Cor 5 5 | mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku 189 1Cor 6 11 | Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.~ 190 1Cor 6 17 | aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.~ 191 1Cor 6 19 | miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, 192 1Cor 7 34 | apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke 193 1Cor 7 40 | nafikiri mimi pia ninaye Roho wa Mungu.~ ~ ~~ ~ 194 1Cor 12 3 | mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: " 195 1Cor 12 3 | Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.~ 196 1Cor 12 4 | vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.~ 197 1Cor 12 7 | Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.~ 198 1Cor 12 8 | 8 Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, 199 1Cor 12 8 | ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.~ 200 1Cor 12 9 | 9 Roho huyohuyo humpa mmoja imani, 201 1Cor 12 10 | kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa 202 1Cor 12 10 | kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha 203 1Cor 12 11 | 11 Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa 204 1Cor 12 13 | huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; 205 1Cor 12 13 | mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.~ 206 1Cor 14 2 | Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.~ 207 1Cor 14 12 | hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia 208 1Cor 14 14 | nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini 209 1Cor 14 15 | nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa 210 1Cor 14 15 | akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa 211 1Cor 14 16 | 16 Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa 212 1Cor 14 37 | kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia 213 1Cor 15 45 | lakini adamu wa mwisho ni Roho awapaye watu uzima.~ 214 1Cor 16 18 | 18 Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo 215 2Cor 1 22 | mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana 216 2Cor 3 3 | imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa 217 2Cor 3 6 | iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa 218 2Cor 3 6 | iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.~ 219 2Cor 3 8 | 8 basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.~ 220 2Cor 3 17 | 17 Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana 221 2Cor 3 17 | ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.~ 222 2Cor 3 18 | zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.~ ~ ~~ ~ 223 2Cor 5 5 | mabadiliko hayo, naye ametupa Roho wake awe dhamana ya yote 224 2Cor 6 6 | uvumilivu na wema; kwa Roho Mtakatifu, kwa upendo usio 225 2Cor 7 1 | kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe watakatifu kabisa, 226 2Cor 11 4 | mikono miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti 227 2Cor 12 2 | alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)~ 228 2Cor 12 3 | alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)~ 229 2Cor 12 15 | mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. Je, mtanipenda kidogo 230 2Cor 12 18 | tumekuwa tukiongozwa na roho yuleyule, na mwenendo wetu 231 2Cor 13 13 | upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote.~ 232 Gala 3 2 | kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza 233 Gala 3 3 | mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza 234 Gala 3 5 | 5 Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati 235 Gala 3 14 | kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.~ 236 Gala 4 6 | ni wana, Mungu amemtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwenu, 237 Gala 4 6 | wa Mwanae mioyoni mwenu, Roho ambaye hulia "Aba," yaani " 238 Gala 4 29 | aliyezaliwa kwa uwezo wa Roho wa Mungu, vivyo hivyo na 239 Gala 5 5 | tunatumaini kwamba kwa nguvu ya Roho tunakubaliwa kuwa waadilifu 240 Gala 5 16 | mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa 241 Gala 5 17 | hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana 242 Gala 5 17 | matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na tamaa za kidunia. 243 Gala 5 18 | 18 Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini 244 Gala 5 22 | matokeo ya kuongozwa na Roho ni mapendo, furaha, amani, 245 Gala 5 25 | 25 Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.~ 246 Gala 6 1 | basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; 247 Gala 6 8 | lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho 248 Gala 6 8 | Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele.~ 249 Ephe 1 13 | mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.~ 250 Ephe 1 14 | 14 Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote 251 Ephe 1 17 | Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima 252 Ephe 2 18 | tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.~ 253 Ephe 2 22 | makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.~ ~ ~~ ~ 254 Ephe 3 5 | wake watakatifu kwa njia ya Roho.~ 255 Ephe 3 16 | awajalieni kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara 256 Ephe 4 3 | kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo 257 Ephe 4 4 | 4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini 258 Ephe 4 30 | 30 Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana 259 Ephe 4 30 | Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu 260 Ephe 5 18 | itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.~ 261 Ephe 6 12 | jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, 262 Ephe 6 17 | kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.~ 263 Ephe 6 18 | kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali 264 Colo 1 8 | upendo wenu mliojaliwa na Roho.~ 265 Colo 1 9 | yote na elimu iletwayo na Roho wake.~ 266 Colo 2 5 | lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti 267 1The 1 5 | bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika 268 1The 1 6 | huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.~ 269 1The 2 17 | kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, 270 1The 4 8 | Mungu mwenyewe anayewapeni Roho wake Mtakatifu.~ 271 1The 5 19 | 19 Msimpinge Roho Mtakatifu;~ 272 1The 5 23 | na kuzilinda nafsi zenu - roho, mioyo na miili yenu - mbali 273 2The 2 13 | mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu 274 1Tim 3 16 | kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana 275 1Tim 4 1 | 1 Roho asema waziwazi kwamba siku 276 1Tim 4 1 | wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho 277 2Tim 1 7 | Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, 278 2Tim 1 7 | tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo 279 2Tim 1 14 | ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi ndani 280 Titus 3 5 | huruma yake, kwa njia ya Roho Mtakatifu anayetujalia tuzaliwe 281 Titus 3 6 | 6 Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa 282 Hebr 1 14 | 14 Malaika ni roho tu wanaomtumikia Mungu, 283 Hebr 2 4 | kuwagawia watu vipaji vya Roho Mtakatifu kadiri ya mapenzi 284 Hebr 3 7 | hiyo, basi, kama asemavyo Roho Mtakatifu: "Kama mkisikia 285 Hebr 4 12 | mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo 286 Hebr 6 4 | mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;~ 287 Hebr 9 8 | Kutokana na taratibu hizo Roho Mtakatifu anafundisha wazi 288 Hebr 9 14 | hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo alijitolea 289 Hebr 10 15 | 15 Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi 290 Hebr 10 29 | iliyomtakasa, mtu anayemtukana Roho wa Mungu, anastahili kupata 291 Hebr 12 23 | hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu waliofanywa 292 Hebr 13 9 | Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti 293 Hebr 13 17 | kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na 294 James 2 26| Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani 295 James 4 5 | maneno ya bure, yanaposema: "Roho ambaye Mungu amemweka ndani 296 James 5 20| yake ya upotovu, ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi 297 1Pet 1 2 | mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo 298 1Pet 1 9 | sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani 299 1Pet 1 11 | yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani 300 1Pet 1 12 | Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka 301 1Pet 1 22 | ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu 302 1Pet 2 11 | mwili ambazo hupingana na roho.~ 303 1Pet 2 25 | mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu.~ ~~ ~ 304 1Pet 3 4 | usioharibika wa wema na utulivu wa roho, ambao ni wa thamani kubwa 305 1Pet 3 19 | alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.~ 306 1Pet 4 14 | jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, 307 1Pet 4 14 | kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu.~ 308 2Pet 1 21 | wa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.~~ ~ 309 1Joh 2 20 | lakini, mlipata kumiminiwa Roho Mtakatifu na Kristo, na 310 1Joh 2 27 | ninyi, Kristo aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea 311 1Joh 2 27 | kufundishwa na mtu yeyote. Maana Roho wake anawafundisheni kila 312 1Joh 2 27 | shikeni mafundisho ya huyo Roho na kubaki katika muungano 313 1Joh 3 24 | muungano naye. Kwa njia ya Roho ambaye Mungu ametujalia, 314 1Joh 4 1 | kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni 315 1Joh 4 1 | kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii 316 1Joh 4 2 | kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri 317 1Joh 4 2 | binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.~ 318 1Joh 4 3 | Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo 319 1Joh 4 3 | kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; 320 1Joh 4 4 | manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu 321 1Joh 4 4 | yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio 322 1Joh 4 6 | kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.~ 323 1Joh 4 6 | kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.~ 324 1Joh 4 13 | nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.~ 325 1Joh 5 6 | kwa maji na kwa damu. Naye Roho anashuhudia kwamba ni kweli, 326 1Joh 5 6 | anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli.~ 327 1Joh 5 8 | 8 Roho, maji na damu; na ushahidi 328 Jude 1 19 | za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.~ 329 Jude 1 20 | takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,~ 330 Rev 1 4 | anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti 331 Rev 1 10 | ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia nyuma yangu sauti 332 Rev 2 7 | masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! " 333 Rev 2 11 | masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! " 334 Rev 2 17 | masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! " 335 Rev 2 29 | basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!~ ~ ~~ ~ 336 Rev 3 1 | kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. 337 Rev 3 6 | basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!~ 338 Rev 3 13 | basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!~ 339 Rev 3 22 | basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!"~ ~~ ~ 340 Rev 4 2 | 2 Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna 341 Rev 4 5 | kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.~ 342 Rev 5 6 | na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa 343 Rev 6 9 | madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu 344 Rev 14 13 | wameungana na Bwana." Naye Roho asema, "Naam! Watapumzika 345 Rev 16 14 | 14 Hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. 346 Rev 16 16 | 16 Basi, roho hao wakawakusanya hao wafalme 347 Rev 17 3 | 3 Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza 348 Rev 20 4 | mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa 349 Rev 21 10 | 10 Basi, Roho akanikumba, naye malaika 350 Rev 22 6 | Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake 351 Rev 22 17 | 17 Roho na Bibiarusi waseme, "Njoo!"


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License