Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
ndogo 9
ndoto 9
ndovu 1
ndugu 338
nduguye 4
neapoli 1
neema 116
Frequency    [«  »]
348 yao
345 sasa
341 yote
338 ndugu
337 si
334 je
332 pia

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

ndugu

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 2 | Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake,~ 2 Matt 1 11 | Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati 3 Matt 4 18 | ziwa Galilaya, aliwaona ndugu wawili wavuvi; Simoni (aitwae 4 Matt 4 18 | aitwae Petro) na Andrea, ndugu yake; walikuwa wakivua samaki 5 Matt 4 21 | Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine wawili: Yakobo na 6 Matt 5 22 | yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. 7 Matt 5 22 | ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. 8 Matt 5 22 | atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: `Pumbavu` atastahili 9 Matt 5 23 | na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe,~ 10 Matt 5 24 | nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi ukatoe 11 Matt 5 47 | 47 Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu 12 Matt 7 3 | kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni 13 Matt 7 4 | 4 Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, `Ndugu, ngoja nikuondoe 14 Matt 7 4 | wawezaje kumwambia ndugu yako, `Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi 15 Matt 7 5 | kibanzi kilichoko jichoni mwa ndugu yako.~ 16 Matt 10 2 | aitwae Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo mwana wa Zebedayo, 17 Matt 10 2 | mwana wa Zebedayo, na Yohane ndugu yake;~ 18 Matt 10 21 | 21 "Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe, 19 Matt 10 21 | 21 "Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe, na baba atamsaliti 20 Matt 12 46 | watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama 21 Matt 12 47 | akamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka 22 Matt 12 48 | Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni kina nani?"~ 23 Matt 12 49 | Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!~ 24 Matt 12 50 | aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama 25 Matt 13 55 | yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, 26 Matt 14 3 | Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake. Sababu hasa ni~ 27 Matt 18 15 | 15 "Ndugu yako akikukosea, mwendee 28 Matt 18 15 | Akikusikia utakuwa umempata ndugu yako.~ 29 Matt 18 21 | akamwendea Yesu, akamwuliza, "Je, ndugu yangu akinikosea, nimsamehe 30 Matt 18 35 | kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kwa moyo wake wote."~ ~~ ~ 31 Matt 19 29 | kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, 32 Matt 20 24 | hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.~ 33 Matt 22 24 | bila ~kuacha watoto, lazima ndugu yake amwoe huyo mama mjane, 34 Matt 22 24 | huyo mama mjane, amzalie ndugu ~yake watoto. ~ 35 Matt 22 25 | Sasa, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha ~ 36 Matt 22 25 | kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane. ~ 37 Matt 22 26 | 26 Ikawa vivyo hivyo kwa ndugu wa pili, na wa tatu, mpaka 38 Matt 22 27 | 27 Baada ya ndugu hao wote kufa, akafa pia 39 Matt 22 28 | nani ~miongoni mwa wale ndugu saba? Maana Wote saba walimwoa." ~ 40 Matt 23 8 | mmoja ~tu, nanyi nyote ni ndugu. ~ 41 Matt 25 40 | mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea 42 Matt 28 10 | Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na 43 Mark 1 16 | wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa 44 Mark 3 17 | Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana 45 Mark 3 31 | 31 Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama 46 Mark 3 32 | wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka 47 Mark 3 33 | akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"~ 48 Mark 3 34 | Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.~ 49 Mark 6 3 | seremala mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda 50 Mark 6 17 | ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake.~ 51 Mark 6 18 | halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako."~ 52 Mark 10 29 | mtu aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au mama, au baba, 53 Mark 10 30 | wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba 54 Mark 12 19 | na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo 55 Mark 12 19 | mama mjane amzalie watoto ndugu yake marehemu.`~ 56 Mark 12 20 | 20 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa 57 Mark 12 21 | 21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, 58 Mark 12 21 | akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.~ 59 Mark 13 12 | 12 Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe; 60 Mark 13 12 | 12 Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe; baba atamsaliti 61 Luke 3 1 | wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, alikuwa mkuu wa mikoa 62 Luke 3 19 | amemchukua Herodia, mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; 63 Luke 6 14 | alimpa jina Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo na Yohane, 64 Luke 6 42 | unawezaje kumwambia mwenzako, `Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi 65 Luke 6 42 | kilicho katika jicho la ndugu yako.~ 66 Luke 8 19 | 19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini 67 Luke 8 20 | akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka 68 Luke 8 21 | watu wote, "Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia 69 Luke 12 13 | akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia 70 Luke 14 26 | yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata 71 Luke 15 27 | Huyo mtumishi akamwambia: `Ndugu yako amerudi nyumbani, na 72 Luke 15 32 | kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe 73 Luke 16 28 | 28 maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije 74 Luke 16 29 | Lakini Abrahamu akamwambia: `Ndugu zako wanao Mose na manabii; 75 Luke 17 3 | 3 Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; 76 Luke 20 28 | alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha 77 Luke 20 28 | wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama 78 Luke 20 28 | mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu.~ 79 Luke 20 29 | wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa 80 Luke 20 30 | 30 Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, 81 Luke 20 31 | 31 na ndugu wa tatu vilevile. Mambo 82 Luke 21 16 | 16 Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti 83 Luke 22 32 | utakaponirudia, watie moyo ndugu zako."~ 84 John 1 41 | alimkuta kwanza Simoni, ndugu yake, akamwambia, "Tumemwona 85 John 2 12 | alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, 86 John 7 3 | 3 Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka 87 John 7 5 | 5 Hata ndugu zake hawakumwamini!)~ 88 John 7 10 | 10 Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, 89 John 20 17 | kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda 90 John 21 23 | ikaenea miongoni mwa wale ndugu kwamba mwanafunzi huyo hafi. 91 Acts 1 1 | 1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu 92 Acts 1 14 | Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.~ 93 Acts 1 16 | 16 akasema, "Ndugu zangu, ilikuwa lazima ile 94 Acts 2 14 | kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa 95 Acts 2 29 | 29 "Ndugu zangu, napenda kuwaambieni 96 Acts 2 37 | na wale mitume wenzake: "Ndugu zetu, tufanye nini?"~ 97 Acts 3 17 | 17 "Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi 98 Acts 6 3 | 3 Hivyo, ndugu zetu, chagueni miongoni 99 Acts 7 2 | 2 Naye Stefano akasema, "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! 100 Acts 7 13 | Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu 101 Acts 7 23 | arobaini aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli.~ 102 Acts 7 26 | kuwapatanisha, akisema: `Ninyi ni ndugu; kwa nini basi, kutendeana 103 Acts 7 37 | kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe.`~ 104 Acts 9 17 | juu ya Saulo, akasema, "Ndugu Saulo, Bwana ambaye ndiye 105 Acts 9 30 | 30 Wale ndugu walipogundua jambo hilo 106 Acts 10 23 | pamoja nao, na baadhi ya ndugu wa huko Yopa walifuatana 107 Acts 11 1 | 1 Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba 108 Acts 11 12 | pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita waliandamana nami pia 109 Acts 11 29 | chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.~ 110 Acts 12 2 | Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane.~ 111 Acts 12 17 | hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka 112 Acts 13 15 | waliwapelekea ujumbe huu: "Ndugu, kama mnalo jambo la kuwaambia 113 Acts 13 26 | 26 "Ndugu, ninyi mlio watoto wa ukoo 114 Acts 13 38 | 38 Jueni wazi, ndugu zangu, kwamba ujumbe kuhusu 115 Acts 14 2 | mengine ili wawapinge hao ndugu.~ 116 Acts 14 15 | 15 "Ndugu, kwa nini mnafanya mambo 117 Acts 15 1 | wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, "Kama hamtatahiriwa 118 Acts 15 3 | hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.~ 119 Acts 15 7 | Petro alisimama, akasema, "Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba 120 Acts 15 13 | Yakobo alianza kusema: "Ndugu zangu, nisikilizeni!~ 121 Acts 15 22 | wanajulikana zaidi kati ya ndugu.~ 122 Acts 15 32 | manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia 123 Acts 15 33 | kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia 124 Acts 15 36 | Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri 125 Acts 15 40 | akamchagua Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini 126 Acts 16 2 | sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio.~ 127 Acts 16 40 | Ludia. Huko walionana na ndugu waumini na baada ya kuwatia 128 Acts 17 6 | walimburuta Yasoni pamoja na ndugu wengine mpaka kwa wakuu 129 Acts 17 10 | 10 Usiku, wale ndugu waliwahimiza Paulo na Sila 130 Acts 17 14 | 14 Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende 131 Acts 17 15 | 15 Wale ndugu waliomsindikiza Paulo walikwenda 132 Acts 18 18 | Paulo alikaa bado na wale ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. 133 Acts 18 27 | alipoamua kwenda Akaya, wale ndugu walimtia moyo kwa kuwaandikia 134 Acts 18 27 | Mungu, kuwasaidia sana wale ndugu waliopata kuwa waumini;~ 135 Acts 21 7 | Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.~ 136 Acts 21 17 | 17 Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri 137 Acts 21 20 | Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna 138 Acts 22 1 | 1 "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni 139 Acts 22 5 | barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko 140 Acts 22 13 | akasimama karibu nami, akasema: `Ndugu Saulo! Ona tena.` Papo hapo 141 Acts 23 1 | halafu akaanza kusema, "Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa 142 Acts 23 5 | 5 Paulo akajibu, "Ndugu zangu, sikujua kama yeye 143 Acts 23 6 | sauti yake mbele ya Baraza: "Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, 144 Acts 28 14 | 14 Huko tuliwakuta ndugu kadhaa ambao walituomba 145 Acts 28 15 | 15 Ndugu wa kule Roma walipopata 146 Acts 28 21 | kutoka Yudea, wala hakuna ndugu yeyote aliyefika hapa na 147 Roma 1 13 | 13 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba 148 Roma 7 1 | 1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa 149 Roma 7 4 | 4 Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa 150 Roma 8 12 | 12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini 151 Roma 8 29 | awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.~ 152 Roma 9 11 | kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza 153 Roma 10 1 | 1 Ndugu zangu, ninataka na kutazamia 154 Roma 11 25 | 25 Ndugu zangu, napenda mjue ukweli 155 Roma 12 1 | 1 Kwa hiyo, ndugu zangu, maadam Mungu ni mwenye 156 Roma 14 10 | nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau 157 Roma 14 10 | Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama 158 Roma 14 13 | kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke 159 Roma 14 15 | 15 Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula 160 Roma 14 21 | ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.~ 161 Roma 15 14 | 14 Ndugu zangu, mimi binafsi nina 162 Roma 15 30 | 30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa kwa 163 Roma 16 14 | Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.~ 164 Roma 16 17 | 17 Ndugu zangu, nawasihi muwafichue 165 1Cor 1 1 | kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,~ 166 1Cor 1 10 | 10 Ndugu, ninawasihi kwa jina la 167 1Cor 1 11 | 11 Ndugu zangu, habari nilizopata 168 1Cor 1 26 | 26 Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: 169 1Cor 2 1 | 1 Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria 170 1Cor 3 1 | 1 Ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi 171 1Cor 3 9 | 9 Maana sisi ni ndugu, wafanyakazi pamoja na Mungu; 172 1Cor 4 6 | 6 Ndugu, hayo yote niliyosema juu 173 1Cor 5 11 | ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, 174 1Cor 6 1 | Anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama 175 1Cor 6 5 | kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?~ 176 1Cor 6 6 | yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, 177 1Cor 6 6 | imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele 178 1Cor 6 8 | tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu!~ 179 1Cor 7 24 | 24 Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, 180 1Cor 7 29 | 29 Ndugu, nataka kusema hivi: muda 181 1Cor 8 11 | 11 Hivyo, huyo ndugu yako dhaifu ambaye Kristo 182 1Cor 8 12 | 12 Kama mkiwakosesha ndugu zenu jinsi hiyo na kuzijeruhi 183 1Cor 8 13 | husababisha kuanguka kwa ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, 184 1Cor 8 13 | kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi.~ ~~ ~ 185 1Cor 9 5 | wafanyavyo mitume wengine, ndugu zake Bwana, na pia Kefa?~ 186 1Cor 10 1 | 1 Ndugu, nataka mjue kwamba babu 187 1Cor 11 33 | 33 Kwa hiyo, ndugu zangu, mnapokutana kula 188 1Cor 12 1 | 1 Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, 189 1Cor 14 6 | 6 Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu 190 1Cor 14 20 | 20 Ndugu, msiwe kama watoto katika 191 1Cor 14 26 | 26 Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana 192 1Cor 14 39 | 39 Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na 193 1Cor 15 1 | 1 Sasa ndugu, napenda kuwakumbusha ile 194 1Cor 15 6 | 6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara 195 1Cor 15 31 | 31 Ndugu, mimi nakikabili kifo kila 196 1Cor 15 50 | 50 Basi, ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa 197 1Cor 15 58 | 58 Basi, ndugu zangu wapenzi, simameni 198 1Cor 16 11 | mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.~ 199 1Cor 16 12 | 12 Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje 200 1Cor 16 12 | sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei 201 1Cor 16 15 | 15 Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; 202 1Cor 16 15 | Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu,~ 203 1Cor 16 20 | 20 Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi 204 2Cor 1 1 | kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia 205 2Cor 1 8 | 8 Ndugu, tunataka kuwajulisheni 206 2Cor 2 13 | nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu Tito. Ndiyo maana niliwaaga 207 2Cor 6 11 | 11 Ndugu Wakorintho, tumezungumza 208 2Cor 8 1 | 1 Ndugu, tunapenda kuwapa habari 209 2Cor 8 18 | 18 Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika 210 2Cor 8 22 | 22 Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu 211 2Cor 8 22 | na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara 212 2Cor 8 23 | yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja 213 2Cor 9 2 | Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari 214 2Cor 9 3 | 3 Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu 215 2Cor 9 5 | ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, 216 2Cor 11 9 | yeyote nilipohitaji fedha; ndugu waliotoka Makedonia waliniletea 217 2Cor 11 26 | baharini, hatari kutoka kwa ndugu wa uongo~ 218 2Cor 12 18 | Tito, nikamtuma kwenu na ndugu yetu mwingine. Je, Tito 219 2Cor 13 11 | 11 Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, 220 Gala 1 2 | 2 na ndugu wote walio pamoja nami, 221 Gala 1 11 | 11 Ndugu, napenda mfahamu kwamba 222 Gala 1 19 | wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.~ 223 Gala 2 4 | 4 ingawa kulikuwa na ndugu wengine wa uongo waliotaka 224 Gala 2 13 | 13 Hata ndugu wengine Wayahudi walimuunga 225 Gala 3 15 | 15 Ndugu, nitawapeni mfano kutoka 226 Gala 4 12 | 12 Ndugu, nawasihi muwe kama mimi, 227 Gala 4 28 | 28 Sasa, basi, ndugu zangu, ninyi ni watoto wa 228 Gala 4 31 | 31 Kwa hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa 229 Gala 5 11 | 11 Na kwa upande wangu, ndugu zangu, kama bado ninahubiri 230 Gala 5 13 | 13 Ninyi, ndugu, mliitwa muwe watu huru. 231 Gala 6 1 | 1 Ndugu, kama mkimwona mtu fulani 232 Gala 6 10 | watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.~ 233 Gala 6 18 | 18 Ndugu, nawatakieni ninyi nyote 234 Ephe 6 21 | 21 Tukiko, ndugu yetu mpenzi na mtumishi 235 Ephe 6 23 | 23 Ninawatakieni ninyi ndugu amani, upendo na imani kutoka 236 Colo 1 1 | kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo,~ 237 Colo 1 2 | watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana 238 Colo 4 7 | 7 Ndugu yetu mpenzi Tukiko, mfanyakazi 239 Colo 4 9 | Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpenzi na mwaminifu, 240 Colo 4 15 | 15 Salamu zetu kwa ndugu zetu wa Laodikea; msalimuni 241 1The 1 4 | 4 Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda 242 1The 2 1 | 1 Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu 243 1The 2 9 | 9 Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya 244 1The 2 14 | 14 Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo 245 1The 2 17 | 17 Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa 246 1The 3 2 | 2 na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni 247 1The 4 1 | 1 Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka 248 1The 4 9 | kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Ninyi wenyewe 249 1The 4 10 | mmekuwa mkiwatendea hivyo ndugu zenu wote kila mahali katika 250 1The 4 10 | katika Makedonia. Basi, ndugu tunawaombeni mfanye hata 251 1The 4 13 | 13 Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu 252 1The 5 1 | 1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni 253 1The 5 4 | 4 Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo 254 1The 5 12 | 12 Ndugu, tunawaombeni muwastahi 255 1The 5 14 | 14 Ndugu, tunawahimizeni muwaonye 256 1The 5 25 | 25 Ndugu, tuombeeni na sisi pia.~ 257 1The 5 26 | 26 Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.~ 258 1The 5 27 | jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.~ 259 2The 1 3 | 3 Ndugu, tunapaswa kushukuru Mungu 260 2The 2 1 | kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana~ 261 2The 2 13 | daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, 262 2The 2 15 | 15 Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni 263 2The 3 1 | 1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa 264 2The 3 6 | 6 Ndugu, tunawaamuru kwa jina la 265 2The 3 6 | Yesu Kristo, mjiepushe na ndugu wote walio wavivu na ambao 266 2The 3 13 | 13 Lakini ninyi ndugu, msichoke kutenda mema.~ 267 2The 3 15 | adui, bali mwonyeni kama ndugu.~ 268 1Tim 4 6 | 6 Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa 269 1Tim 5 1 | yako. Watendee vijana kama ndugu zako,~ 270 1Tim 6 2 | Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa 271 2Tim 4 21 | Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.~ 272 Phil 1 1 | ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia 273 Phil 1 7 | 7 Ndugu, upendo wako yameniletea 274 Phil 1 8 | kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru 275 Phil 1 16 | zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana 276 Phil 1 16 | zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.~ 277 Phil 1 20 | 20 Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo 278 Phil 1 20 | burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.~ 279 Hebr 2 11 | Yesu haoni aibu kuwaita hao ndugu zake;~ 280 Hebr 2 12 | Ee Mungu, nitawatangazia ndugu zangu matendo yako. Nitakusifu 281 Hebr 2 17 | maana ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili 282 Hebr 3 1 | 1 Ndugu zangu watu wa Mungu ambao 283 Hebr 3 12 | 12 Basi ndugu, jihadharini asije akawako 284 Hebr 7 5 | kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto 285 Hebr 8 11 | mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: `Mjue Bwana.` Maana 286 Hebr 10 19 | 19 Basi, ndugu, kwa damu ya Yesu tunapewa 287 Hebr 13 22 | 22 Basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu 288 Hebr 13 23 | Napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha 289 Hebr 13 24 | pamoja na watu wa Mungu! Ndugu wa Italia wanawasalimuni.~ 290 James 1 2 | 2 Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa 291 James 1 9 | 9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi 292 James 1 16| 16 Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!~ 293 James 1 19| 19 Ndugu zangu wapenzi, kumbukeni 294 James 2 1 | 1 Ndugu zangu, mkiwa mnamwamini 295 James 2 5 | 5 Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni! 296 James 2 14| 14 Ndugu zangu, kuna faida gani mtu 297 James 3 1 | 1 Ndugu zangu, wengi wenu msiwe 298 James 3 10| hutoka katika kinywa kimoja. Ndugu zangu, mambo haya hayapaswi 299 James 3 12| 12 Ndugu zangu, je, mti wa mtini 300 James 4 11| 11 Ndugu, msilaumiane ninyi kwa ninyi. 301 James 4 11| ninyi kwa ninyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo 302 James 5 7 | 7 Basi, ndugu zangu, muwe na subira mpaka 303 James 5 9 | 9 Ndugu zangu, msinung`unikiane 304 James 5 10| 10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa 305 James 5 12| 12 Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, 306 James 5 19| 19 Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka 307 1Pet 2 17 | Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, 308 1Pet 5 9 | kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa 309 1Pet 5 12 | fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. 310 2Pet 1 10 | 10 Kwa hiyo basi, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi 311 2Pet 3 15 | mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia 312 1Joh 2 9 | mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo 313 1Joh 2 10 | 10 Yeyote ampendaye ndugu yake, yuko katika mwanga, 314 1Joh 2 11 | 11 Lakini anayemchukia ndugu yake, yumo gizani; anatembea 315 1Joh 3 10 | maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa Mungu. 316 1Joh 3 12 | kuongozwa na yule Mwovu, alimuua ndugu yake. Na, kwa nini alimuua? 317 1Joh 3 12 | yalikuwa maovu, lakini yale ya ndugu yake yalikuwa mema!~ 318 1Joh 3 13 | 13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu 319 1Joh 3 14 | uzima kwa sababu tunawapenda ndugu zetu. Mtu asiye na upendo 320 1Joh 3 15 | 15 Kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua 321 1Joh 3 16 | maisha yetu kwa ajili ya ndugu zetu.~ 322 1Joh 3 17 | duniani, halafu akamwona ndugu yake ana shida, lakini akawa 323 1Joh 4 20 | anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana 324 1Joh 4 20 | mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi 325 1Joh 4 21 | Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.~~ ~ 326 1Joh 5 16 | 16 Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka 327 3Joh 1 3 | 3 Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, 328 3Joh 1 5 | kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.~ 329 3Joh 1 6 | 6 Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa 330 3Joh 1 10 | hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata 331 Jude 1 1 | mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia 332 Jude 1 3 | 3 Ndugu wapenzi, wakati nimo katika 333 Rev 1 9 | 9 Mimi ni Yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na 334 Rev 6 11 | idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao 335 Rev 12 10 | Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama mbele 336 Rev 12 11 | 11 Ndugu zetu wameshinda kwa damu 337 Rev 19 10 | mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia 338 Rev 22 9 | mtumishi tu kama wewe na ndugu zako manabii na wote wanaoyatii


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License