Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 6 | Yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi
2 Matt 6 25 | au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?~
3 Matt 6 26 | mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko hao?~
4 Matt 7 21 | 21 "Si kila aniambiaye, `Bwana,
5 Matt 9 13 | haya: `Nataka huruma, wala si dhabihu.` Sikuja kuwaita
6 Matt 10 20 | 20 Maana si ninyi mtakaosema, bali ni
7 Matt 10 24 | 24 "Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake,
8 Matt 10 24 | mwalimu wake, wala mtumishi si mkuu kuliko bwana wake.~
9 Matt 12 2 | wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato."~
10 Matt 12 7 | haya: `Nataka huruma wala si dhabihu`, hamngewahukumu
11 Matt 13 55 | 55 Je, huyu si yule mwana wa seremala?
12 Matt 13 55 | seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu
13 Matt 13 55 | anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni
14 Matt 13 56 | 56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi?
15 Matt 14 4 | alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kuishi na huyo
16 Matt 14 16 | 16 Yesu akawaambia, "Si lazima waende, wapeni ninyi
17 Matt 15 11 | Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani,
18 Matt 15 26 | 26 Yesu akamjibu, "Si sawa kuchukua chakula cha
19 Matt 16 17 | mwana wa Yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia
20 Matt 16 23 | kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"~
21 Matt 19 6 | 6 Kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili
22 Matt 19 11 | 11 Yesu akawaambia, "Si wote wanaoweza kulipokea
23 Matt 20 23 | kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo
24 Matt 21 21 | kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata
25 Matt 22 16 | yeyote, ~maana cheo cha mtu si kitu kwako. ~
26 Matt 22 32 | na Yakobo!> Basi, ~yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu
27 Matt 23 16 | kwa ~Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa
28 Matt 23 18 | mtu akiapa kwa madhabahu si kitu; lakini akiapa ~kwa
29 Matt 27 40 | 40 "Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu
30 Mark 2 24 | nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa
31 Mark 2 27 | kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato!~
32 Mark 6 3 | 3 Je, huyu si yule seremala mwana wa Maria,
33 Mark 6 3 | na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?"
34 Mark 6 18 | alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kumchukua mke
35 Mark 7 27 | watoto washibe; kwa maana si vizuri kuchukua chakula
36 Mark 8 33 | yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!"~
37 Mark 9 38 | kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu."~
38 Mark 10 8 | mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.~
39 Mark 10 27 | haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo
40 Mark 10 40 | kulia au kushoto kwangu si wajibu wangu kupanga, bali
41 Mark 12 14 | yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha
42 Mark 12 27 | 27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu
43 Mark 13 11 | chochote mtakachopewa, maana si ninyi mtakaosema, bali Roho
44 Mark 13 14 | limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue
45 Luke 4 22 | aliyosema. Wakanena, "Je, huyu si mwana wa Yosefu?"~
46 Luke 6 2 | Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?"~
47 Luke 8 14 | wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao,
48 Luke 9 49 | kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu."~
49 Luke 11 40 | Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani
50 Luke 12 21 | ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu."~
51 Luke 12 51 | amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.~
52 Luke 13 33 | safari yangu, kwa sababu si sawa nabii auawe nje ya
53 Luke 16 11 | 11 Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya
54 Luke 17 17 | Hapo Yesu akasema, "Je, si watu kumi walitakaswa? Wale
55 Luke 18 11 | nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi,
56 Luke 18 11 | Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru.~
57 Luke 19 11 | wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)~
58 Luke 20 38 | 38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu
59 Luke 22 58 | Petro akajibu "Bwana we; si mimi!"~
60 Luke 23 15 | 15 Wala si mimi tu, bali hata Herode
61 Luke 23 39 | alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba wewe ndiwe
62 John 1 13 | wamekuwa watoto wa Mungu si kwa uwezo wa kibinadamu,
63 John 1 25 | wakamwuliza Yohane, "Kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala
64 John 4 18 | huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema
65 John 5 11 | aliyeponywa, "Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako."~
66 John 5 19 | kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria
67 John 5 31 | yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe,
68 John 5 35 | 34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi
69 John 5 42 | 41 "Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.~
70 John 6 26 | nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara,
71 John 6 38 | nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa
72 John 6 42 | 42 Wakasema, "Je, huyu si mwana wa Yosefu? Tunawajua
73 John 6 58 | ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu
74 John 7 16 | Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye
75 John 7 22 | ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka
76 John 7 25 | mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?~
77 John 8 13 | kwa hiyo ushahidi wako si halali."~
78 John 8 23 | ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.~
79 John 8 41 | Wao wakamwambia, "Sisi si watoto haramu! Tunaye baba
80 John 8 47 | hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu."~
81 John 8 54 | mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye
82 John 10 12 | Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo
83 John 10 12 | mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa
84 John 10 21 | Wengine wakasema, "Haya si maneno ya mwenye pepo. Je,
85 John 10 26 | hamsadiki kwa sababu ninyi si kondoo wangu.~
86 John 11 9 | akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu
87 John 11 52 | 52 na wala si kwa ajili yao tu, bali pia
88 John 12 6 | 6 Alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote
89 John 12 9 | Bethania. Basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona
90 John 13 9 | akamwambia, "Bwana, nioshe, si miguu tu, bali na mikono
91 John 13 10 | Ninyi mmetakata, lakini si nyote."~
92 John 13 11 | Ninyi mmetakata, lakini si nyote.")~
93 John 13 16 | Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana
94 John 13 16 | kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu zaidi kuliko yule aliyemtuma.~
95 John 14 22 | 22 Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, "
96 John 14 22 | kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?"~
97 John 14 24 | yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba
98 John 15 19 | wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni
99 John 15 20 | niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana
100 John 17 14 | ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami
101 John 17 16 | 16 Wao si wa ulimwengu, kama vile
102 John 18 17 | huyu?" Petro akamwambia, "Si mimi!"~
103 John 18 25 | wakamwuliza, "Je, nawe pia si mmoja wa wanafunzi wake?"
104 John 18 25 | Yeye akakana na kusema, "Si mimi!"~
105 John 18 36 | akamjibu, "Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme
106 John 18 36 | Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa."~
107 John 18 40 | Hapo wakapiga kelele: "La! Si huyu ila Baraba!" Naye Baraba
108 John 19 12 | Ukimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila
109 Acts 1 7 | mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu kujua yatakuwa
110 Acts 2 7 | tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?~
111 Acts 6 2 | ya wanafunzi, wakasema, "Si vizuri sisi tuache kulihubiri
112 Acts 7 42 | Enyi watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu
113 Acts 9 21 | wakasema, "Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale
114 Acts 9 38 | 38 Yopa si mbali sana na Luda; kwa
115 Acts 10 41 | 41 si kwa watu wote ila kwa wale
116 Acts 12 22 | Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu."~
117 Acts 13 25 | Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yule mnayemtazamia. Huyo
118 Acts 19 26 | mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, ila pia kote
119 Acts 19 26 | iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.~
120 Acts 19 27 | yetu itakuwa na jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo
121 Acts 19 27 | nyumba ya mungu Artemi kuwa si kitu cha maana. Hatimaye
122 Acts 21 38 | 38 Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi
123 Acts 24 11 | Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili
124 Acts 25 16 | Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa
125 Acts 26 29 | kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia
126 Acts 27 10 | ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu,
127 Roma 2 28 | 28 Ndiyo kusema, si kila anayeonekana kwa nje
128 Roma 2 29 | Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya Sheria.
129 Roma 2 29 | namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka
130 Roma 3 28 | mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa ya
131 Roma 4 4 | mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.~
132 Roma 4 10 | Kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.~
133 Roma 4 12 | wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali
134 Roma 4 14 | yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu.~
135 Roma 4 16 | hiyo ni kwa ajili ya wote: si kwa wale tu wanaoishika
136 Roma 5 3 | 3 Naam, si hayo tu, bali tunafurahi
137 Roma 5 7 | 7 Si rahisi mtu kufa kwa ajili
138 Roma 5 11 | 11 Wala si hayo tu, ila tunafurahi
139 Roma 5 15 | tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana,
140 Roma 7 3 | mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.~
141 Roma 7 6 | maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya
142 Roma 7 17 | 17 Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu
143 Roma 7 20 | hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali
144 Roma 8 4 | yetu sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu,
145 Roma 8 9 | na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo.~
146 Roma 8 12 | zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile
147 Roma 8 15 | maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi
148 Roma 8 18 | mateso ya wakati huu wa sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha
149 Roma 8 20 | hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, ila vilifanywa
150 Roma 8 23 | 23 Wala si hivyo viumbe peke yake,
151 Roma 9 6 | Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni
152 Roma 9 7 | 7 Wala, si wazawa wote wa Abrahamu
153 Roma 9 10 | 10 Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye
154 Roma 9 12 | jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.~
155 Roma 9 16 | hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.~
156 Roma 9 24 | sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi
157 Roma 9 25 | Hosea: "Wale waliokuwa `Si watu wangu` nitawaita: `
158 Roma 9 26 | pale walipoambiwa: `Ninyi si wangu` hapo wataitwa: `Watoto
159 Roma 10 19 | mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe
160 Roma 11 6 | unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao.
161 Roma 11 18 | kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi,
162 Roma 11 24 | mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa
163 Roma 13 5 | lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa
164 Roma 14 17 | 17 Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa,
165 Roma 16 4 | yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia
166 1Cor 2 5 | kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.~
167 1Cor 2 6 | kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si
168 1Cor 2 6 | si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii
169 1Cor 2 13 | 13 Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa
170 1Cor 3 2 | kuwalisheni kwa maziwa, na si kwa chakula kigumu, kwani
171 1Cor 3 3 | mu watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko wivu
172 1Cor 3 7 | 7 Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au
173 1Cor 4 3 | 3 Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi,
174 1Cor 4 20 | 20 Maana Utawala wa Mungu si shauri la maneno matupu,
175 1Cor 5 8 | Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale,
176 1Cor 6 12 | ni halali." Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali
177 1Cor 6 13 | vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali
178 1Cor 6 19 | kutoka kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.~
179 1Cor 7 6 | Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.~
180 1Cor 7 10 | waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana:
181 1Cor 7 12 | wengine, (mimi binafsi, si Bwana) nasema hivi: Ikiwa
182 1Cor 7 14 | Vinginevyo watoto wao wangekuwa si wa Mungu; kumbe sasa ni
183 1Cor 7 19 | kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni
184 1Cor 7 35 | haya kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuio.
185 1Cor 8 4 | sanamu, twajua kwamba sanamu si kitu duniani; twajua kwamba
186 1Cor 8 7 | 7 Lakini, si kila mtu anao ujuzi huu.
187 1Cor 9 1 | 1 Je, mimi si mtu huru? Je, mimi si mtume?
188 1Cor 9 1 | mimi si mtu huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona
189 1Cor 9 1 | Yesu Bwana wetu? Je, ninyi si matokeo ya kazi yangu kwa
190 1Cor 9 2 | kama kwa watu wengine mimi si mtume, lakini walau kwenu
191 1Cor 9 16 | ninaihubiri Habari Njema, hilo si jambo la kujivunia; hilo
192 1Cor 9 19 | 19 Kwa hiyo, ingawa mimi si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya
193 1Cor 9 26 | ndivyo ninavyopigana, na si kama bondia anayetupa ngumi
194 1Cor 10 23 | vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote
195 1Cor 10 23 | Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.~
196 1Cor 10 27 | 27 Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi
197 1Cor 10 29 | kwa ajili ya dhamiri," si dhamiri yenu, bali dhamiri
198 1Cor 11 11 | mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye
199 1Cor 11 11 | mwanamume, naye mwanamume si kitu bila mwanamke.~
200 1Cor 11 20 | Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula chakula
201 1Cor 11 22 | nini? Niwasifu? La hasha! Si kuhusu jambo hili.~
202 1Cor 12 15 | ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali
203 1Cor 12 15 | mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma
204 1Cor 12 16 | lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali
205 1Cor 12 16 | mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa
206 1Cor 13 2 | lakini kama sina upendo mimi si kitu.~
207 1Cor 13 9 | 9 Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu
208 1Cor 13 9 | kutangaza neno la Mungu si kamili.~
209 1Cor 14 22 | kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye
210 1Cor 14 22 | ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini.~
211 1Cor 14 27 | waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja;
212 1Cor 14 33 | 33 Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.~
213 1Cor 15 10 | nimefanya kazi kuliko wote; si mimi hasa, ila ni neema
214 1Cor 15 37 | ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea
215 1Cor 15 39 | 39 Miili ya viumbe vyote si sawa. Miili ya binadamu
216 1Cor 15 46 | Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila
217 2Cor 1 18 | kile tulichowaambia ninyi si jambo la "Ndiyo" na "Siyo".~
218 2Cor 2 17 | 17 Sisi si kama wengine ambao hufanya
219 2Cor 3 3 | Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho
220 2Cor 3 3 | wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe,
221 2Cor 3 5 | 5 Si kwamba sisi tunaweza kufanya
222 2Cor 3 6 | kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa,
223 2Cor 4 7 | kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.~
224 2Cor 4 18 | Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali
225 2Cor 5 4 | tunalia kwa kukandamizwa; si kwamba tunataka kuuvua mwili
226 2Cor 5 7 | Maana tunaishi kwa imani, na si kwa kuona.~
227 2Cor 5 12 | 12 Si kwamba tunajaribu tena kujipendekeza
228 2Cor 5 16 | Kristo kibinadamu, sasa si hivyo tena.~
229 2Cor 6 12 | kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu.~
230 2Cor 7 7 | 7 Si tu kwa kule kuja kwake Tito,
231 2Cor 7 9 | 9 Sasa nafurahi, si kwa sababu mmehuzunika,
232 2Cor 8 17 | 17 Si tu kwamba alikubali ombi
233 2Cor 8 21 | Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini
234 2Cor 9 1 | 1 Si lazima kuandika zaidi kuhusu
235 2Cor 9 3 | juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba
236 2Cor 9 5 | iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.~
237 2Cor 9 7 | alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa,
238 2Cor 9 12 | hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji
239 2Cor 10 4 | tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni
240 2Cor 10 10 | anapoongea maneno yake ni kama si kitu."~
241 2Cor 10 18 | 18 Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe,
242 2Cor 11 14 | 14 Wala si ajabu, maana hata Shetani
243 2Cor 11 15 | 15 Kwa hiyo si jambo la kushangaza ikiwa
244 2Cor 11 17 | 17 Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana;
245 2Cor 12 5 | ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi,
246 2Cor 12 11 | kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi
247 2Cor 12 11 | kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo zaidi kuliko hao "
248 2Cor 12 14 | sitawasumbua. Maana ninachotafuta si mali zenu, bali ni ninyi
249 2Cor 12 14 | kuwawekea watoto wao akiba, na si watoto kuwawekea wazazi
250 2Cor 13 3 | ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake
251 2Cor 13 7 | msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu
252 2Cor 13 10 | naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa.~
253 Gala 1 2 | Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu,
254 Gala 1 2 | mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa
255 Gala 1 11 | Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.~
256 Gala 2 6 | walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu
257 Gala 2 14 | watu wa mataifa mengine na si kama Myahudi! Unawezaje,
258 Gala 2 15 | kwa asili ni Wayahudi, na si watu wa mataifa mengine
259 Gala 2 16 | imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.~
260 Gala 2 20 | 20 na sasa naishi, lakini si mimi tena, bali Kristo anaishi
261 Gala 3 25 | kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.~
262 Gala 4 7 | 7 Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana.
263 Gala 4 17 | wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha
264 Gala 4 18 | wengine katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja
265 Gala 4 31 | hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa
266 Gala 5 8 | Aliyesababisha hali hiyo si Mungu ambaye amewaiteni.~
267 Gala 6 3 | akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya
268 Gala 6 15 | Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa
269 Ephe 2 8 | njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu,
270 Ephe 2 19 | 19 Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu
271 Ephe 2 19 | ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia
272 Ephe 6 6 | 6 Fanyeni hivyo si tu wakati wanapowatazama
273 Ephe 6 7 | kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.~
274 Ephe 6 9 | mbinguni, kwake cheo cha mtu si kitu.~
275 Ephe 6 12 | 12 Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu,
276 Colo 2 8 | ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!~
277 Colo 2 11 | ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na
278 Colo 3 22 | kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama
279 Colo 3 23 | kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.~
280 1The 1 8 | ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya,
281 1The 2 3 | Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo
282 1The 2 4 | akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu
283 1The 2 8 | tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu,
284 1The 2 13 | ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu,
285 1The 2 17 | kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi
286 1The 4 5 | 5 na si kwa tamaa mbaya kama watu
287 1The 5 5 | mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.~
288 2The 3 2 | wapotovu na waovu, maana si wote wanaoamini ujumbe huu.~
289 2The 3 9 | 9 Tulifanya hivyo si kwa kuwa hatuna haki ya
290 1Tim 2 9 | mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya
291 1Tim 2 14 | 14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali
292 1Tim 5 16 | yeye anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo
293 1Tim 5 25 | waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi kufichika.~ ~~ ~
294 2Tim 1 9 | watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu
295 2Tim 4 8 | atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote
296 Titus 3 5 | 5 alituokoa. alituokoa si kwa sababu ya jambo lolote
297 Phil 1 14 | hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.~
298 Phil 1 16 | 16 Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi
299 Hebr 4 15 | 15 Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga
300 Hebr 5 3 | anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali
301 Hebr 5 11 | kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.~
302 Hebr 7 11 | ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.~
303 Hebr 7 24 | 24 Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele;
304 Hebr 7 27 | 27 Yeye si kama wale makuhani wakuu
305 Hebr 9 28 | Atakapotokea mara ya pili si kwa ajili ya kupambana na
306 Hebr 10 1 | 1 Sheria ya Wayahudi si picha kamili ya mambo yale
307 Hebr 12 8 | wana wengine, basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu.~
308 Hebr 12 11 | 11 Kuadhibiwa si jambo la kufurahisha bali
309 Hebr 12 26 | Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu."~
310 Hebr 13 9 | inayoimarisha roho zetu na wala si masharti juu ya chakula;
311 James 1 25| anayeendelea kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau
312 James 2 4 | 4 je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na
313 James 2 6 | watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni
314 James 2 7 | 7 Je, si haohao wanaolitukana hilo
315 James 2 24| mwadilifu kwa matendo yake na si kwa imani peke yake.~
316 1Pet 1 18 | mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika:
317 1Pet 1 23 | Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye
318 1Pet 3 21 | unaowaokoa ninyi sasa. Ubatizo si shauri la kuondoa uchafu
319 1Pet 4 2 | kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu.~
320 1Pet 5 2 | mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa
321 1Pet 5 2 | Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali
322 1Joh 2 2 | iondoayo dhambi zetu; wala si dhambi zetu sisi tu, bali
323 1Joh 2 7 | amri hii ninayowaandikieni si amri mpya; ni amri ileile
324 1Joh 2 21 | 21 Basi, nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli,
325 1Joh 2 27 | mafundisho yake ni ya kweli, si ya uongo. Basi shikeni mafundisho
326 1Joh 3 10 | asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa Mungu. Hiyo ndiyo
327 1Joh 4 10 | Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda
328 1Joh 5 3 | amri zake. Na, amri zake si ngumu,~
329 1Joh 5 16 | waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi
330 2Joh 1 1 | ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda, bali
331 2Joh 1 5 | kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri
332 Rev 2 9 | wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali
333 Rev 3 15 | yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali
334 Rev 3 15 | kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa
335 Rev 3 16 | kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!~
336 Rev 3 16 | vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!~
337 Rev 18 7 | hapa; mimi ni malkia. Mimi si mjane, wala sitapatwa na
|