Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
jaribuni 2
jasho 4
jazeni 1
je 334
jehanamu 13
jekundu 5
jema 25
Frequency    [«  »]
341 yote
338 ndugu
337 si
334 je
332 pia
330 hapo
327 yangu

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

je

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 14 | alijaribu kumzuia akisema, "Je, wewe unakuja kwangu? Mimi 2 Matt 5 46 | 46 Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda 3 Matt 5 47 | mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha 4 Matt 6 25 | kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au 5 Matt 6 25 | chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?~ 6 Matt 6 26 | yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko 7 Matt 6 30 | na kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? 8 Matt 7 9 | 9 Je, kuna yeyote miongoni mwenu 9 Matt 7 10 | 10 Au je, akimwomba samaki, atampa 10 Matt 7 16 | Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika 11 Matt 8 29 | nasi, wewe Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla 12 Matt 9 15 | 15 Yesu akawajibu, "Je, walioalikwa arusini wanaweza 13 Matt 9 28 | wakamwendea, naye akawauliza, "Je, mnaamini kwamba naweza 14 Matt 10 25 | mkubwa wa jamaa Beelzebuli, je hawatawaita watu wengine 15 Matt 11 3 | 3 wamwulize: "Je, wewe ni yule anayekuja, 16 Matt 11 7 | kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa 17 Matt 11 23 | 23 Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? 18 Matt 12 3 | 3 Yesu akawajibu, "Je, hamjasoma alivyofanya Daudi 19 Matt 12 5 | 5 Au je, hamjasoma katika Sheria 20 Matt 12 10 | watu wakamwuliza Yesu, "Je, ni halali kumponya mtu 21 Matt 12 11 | ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo 22 Matt 12 23 | watu ulishangaa ukasema, "Je, huenda ikawa huyu ndiye 23 Matt 12 27 | kwa uwezo wa Beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza 24 Matt 13 28 | watumishi wake wakamwuliza, `Je, unataka twende tukayang` 25 Matt 13 51 | 51 Yesu akawauliza, "Je, mmeelewa mambo haya yote?" 26 Matt 13 55 | 55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? 27 Matt 13 55 | yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, 28 Matt 13 56 | 56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja 29 Matt 15 12 | wakamwendea, wakamwambia, "Je, unajua kwamba Mafarisayo 30 Matt 15 17 | 17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia 31 Matt 16 9 | 9 Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki 32 Matt 16 9 | 9 Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega 33 Matt 16 9 | ya wale watu elfu tano? Je, mlijaza vikapu vingapi 34 Matt 16 10 | waliyogawiwa wale watu elfu nne, je, mlikusanya vikapu vingapi 35 Matt 16 15 | Yesu akawauliza, "Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?"~ 36 Matt 16 26 | ajili yangu, atayapata. Je, mtu atafaidi nini akiupata 37 Matt 17 24 | walimwendea Petro, wakamwuliza, "Je, mwalimu wenu hulipa fedha 38 Matt 18 21 | akamwendea Yesu, akamwuliza, "Je, ndugu yangu akinikosea, 39 Matt 18 33 | 33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia 40 Matt 19 3 | wakamwuliza kwa kumtega, "Je, ni halali mume kumpa talaka 41 Matt 19 4 | 4 Yesu akawajibu, "Je, hamkusoma katika Maandiko 42 Matt 19 27 | Petro akasema, "Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; 43 Matt 20 13 | Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara 44 Matt 20 15 | 15 Je, sina haki ya kufanya na 45 Matt 20 15 | na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa 46 Matt 20 22 | akajibu, "Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe 47 Matt 21 16 | 16 Hivyo wakamwambia, "Je, husikii wanachosema?" Yesu 48 Matt 21 16 | akawajibu, "Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya 49 Matt 21 25 | 25 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza 50 Matt 21 25 | kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa 51 Matt 21 31 | 31 Je, ni nani kati ya hawa wawili 52 Matt 21 42 | 42 Hapo Yesu akawaambia, "Je, hamkusoma jambo hili katika 53 Matt 22 17 | Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa 54 Matt 22 28 | 28 Je, siku wafu watakapofufuka 55 Matt 22 42 | mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?" ~Wakamjibu, " 56 Matt 26 22 | kuuliza mmojammoja, "Bwana! Je, ni mimi?"~ 57 Matt 26 25 | kumsaliti, akamwuliza, "Mwalimu! Je, ni mimi?" Yesu akamjibu, " 58 Matt 26 45 | wanafunzi, akawaambia, "Je, mngali mmelala na kupumzika? 59 Matt 26 53 | 53 Je, hamjui kwamba ningeweza 60 Matt 26 55 | waliokuja kumtia nguvuni, "Je, mmekuja kunikamata kwa 61 Matt 26 62 | akasimama, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa 62 Matt 27 11 | mkuu wa mkoa akamwuliza, "Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?" 63 Matt 27 13 | Hivyo Pilato akamwuliza, "Je, husikii mashtaka hayo yote 64 Mark 1 24 | wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua 65 Mark 1 27 | wakaulizana, "Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu 66 Mark 2 25 | 25 Yesu akawajibu, "Je, hamjapata kusoma juu ya 67 Mark 3 4 | 4 Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato 68 Mark 4 13 | Basi, Yesu akawauliza, "Je, ninyi hamwelewi mfano huu? 69 Mark 4 21 | Yesu akaendelea kuwaambia, "Je, watu huwasha taa wakaileta 70 Mark 4 38 | na kumwambia, "Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?"~ 71 Mark 4 40 | wanafunzi wake, "Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?"~ 72 Mark 6 2 | walishangaa, wakasema, "Je, ameyapata wapi mambo haya? 73 Mark 6 3 | 3 Je, huyu si yule seremala mwana 74 Mark 6 3 | Yakobo, Yose, Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa 75 Mark 6 37 | chakula." Nao wakamwuliza, "Je, twende kununua mikate kwa 76 Mark 7 18 | 18 Naye akawaambia, "Je, hata ninyi hamwelewi? Je, 77 Mark 7 18 | Je, hata ninyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia 78 Mark 8 17 | juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala 79 Mark 8 17 | hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?~ 80 Mark 8 18 | 18 Je, Mnayo macho na hamwoni? 81 Mark 8 18 | Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki~ 82 Mark 8 23 | akamwekea mikono, akamwuliza, "Je, unaweza kuona kitu?"~ 83 Mark 8 29 | Naye akawauliza, "Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?" 84 Mark 8 36 | 36 Je, kuna faida gani mtu kuupata 85 Mark 10 2 | kumjaribu wakamwuliza, "Je, ni halali mtu kumpa talaka 86 Mark 10 28 | Petro akamwambia, "Na sisi je? Tumeacha yote, tukakufuata!"~ 87 Mark 10 38 | akawaambia, "Hamjui mnachoomba! Je, mnaweza kunywa kikombe 88 Mark 11 30 | 30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza 89 Mark 12 10 | 10 Je, hamjasoma Maandiko haya? ` 90 Mark 12 14 | ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa 91 Mark 12 26 | kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose 92 Mark 13 2 | 2 Yesu akamwambia, "Je, unayaona majengo haya makubwa? 93 Mark 14 19 | wakamwuliza mmojammoja, "Je, ni mimi?"~ 94 Mark 14 37 | akamwuliza Petro, "Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha 95 Mark 14 48 | 48 Yesu akawaambia, "Je, mmekuja na mapanga na marungu 96 Mark 14 60 | katikati yao, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa 97 Mark 14 61 | Kuhani Mkuu akamwuliza tena, "Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana 98 Mark 15 2 | Pilato akamwuliza Yesu, "Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?" 99 Mark 15 4 | Pilato akamwuliza tena Yesu, "Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa 100 Mark 15 9 | 9 Pilato akawauliza, "Je, mwataka niwafungulieni 101 Luke 4 22 | mazuri aliyosema. Wakanena, "Je, huyu si mwana wa Yosefu?"~ 102 Luke 4 34 | Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu 103 Luke 5 34 | 34 Yesu akawajibu, "Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa 104 Luke 6 3 | 3 Yesu akawajibu, "Je, hamjasoma jinsi alivyofanya 105 Luke 6 9 | akawaambia, "Nawaulizeni, je, ni halali siku ya Sabato 106 Luke 6 32 | wale wanaowapenda ninyi, je, mtapata tuzo gani? Hakuna! 107 Luke 6 34 | mnaotumaini watawalipeni, je, mtapata tuzo gani? Hata 108 Luke 6 39 | 39 Akawaambia mfano huu: "Je, kipofu anaweza kumwongoza 109 Luke 9 20 | Hapo akawauliza, "Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?" 110 Luke 9 25 | 25 Je, kuna faida gani mtu kuupata 111 Luke 11 11 | akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya 112 Luke 11 12 | 12 Na kama akimwomba yai, je, atampa ng`e?~ 113 Luke 11 40 | 40 Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye 114 Luke 12 28 | na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? 115 Luke 13 16 | wa miaka kumi na minane. Je, haikuwa vizuri kumfungulia 116 Luke 13 23 | 23 Mtu mmoja akamwuliza, "Je, Mwalimu, watu watakaookoka 117 Luke 14 3 | wa Sheria na Mafarisayo, "Je, ni halali au la kumponya 118 Luke 17 7 | shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, 119 Luke 17 9 | 9 Je utamshukuru huyo mtumishi 120 Luke 17 17 | 17 Hapo Yesu akasema, "Je, si watu kumi walitakaswa? 121 Luke 18 7 | 7 Je, ndio kusema Mungu hatawatetea 122 Luke 18 7 | wanamlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwasikiliza?~ 123 Luke 18 8 | atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani 124 Luke 18 28 | Petro akamwuliza, "Na sisi je? Tumeacha vitu vyote tukakufuata!"~ 125 Luke 20 24 | 24 "Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?"~ 126 Luke 20 33 | 33 Je, siku wafu watakapofufuliwa, 127 Luke 22 48 | Yesu akamwambia, "Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu 128 Luke 22 52 | wazee waliokuja kumkamata: "Je, mmekuja na mapanga na marungu 129 Luke 22 67 | Nao wakamwambia, "Twambie! Je, wewe ndiwe Kristo?" Lakini 130 Luke 22 71 | 71 Nao wakasema, "Je, tunahitaji ushahidi mwingine? 131 Luke 23 6 | aliposikia hayo, akauliza, "Je, mtu huyu ni mwenyeji wa 132 Luke 23 39 | msalabani, alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba wewe ndiwe 133 Luke 24 18 | aitwaye Kleopa, akamjibu, "Je, wewe ni mgeni peke yako 134 Luke 24 26 | 26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, 135 Luke 24 32 | 32 Basi, wakaambiana, "Je, mioyo yetu haikuwa inawaka 136 John 1 21 | wakamwuliza, "Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Yohane 137 John 1 21 | mimi siye." Wakamwuliza, "Je, wewe ni yule nabii?" Yohane 138 John 1 46 | Nathanieli akamwuliza Filipo, "Je, kitu chema chaweza kutoka 139 John 1 50 | 50 Yesu akamwambia, "Je, umeamini kwa kuwa nimekwambia 140 John 2 20 | miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku 141 John 3 10 | 10 Yesu akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika 142 John 4 29 | mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye 143 John 4 33 | Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"~ 144 John 5 7 | muda mrefu, akamwuliza, "Je, wataka kupona?"~ 145 John 6 42 | 42 Wakasema, "Je, huyu si mwana wa Yosefu? 146 John 6 61 | jambo hilo, akawauliza, "Je, jambo hili linawafanya 147 John 6 67 | akawauliza wale kumi na wawili, "Je, nanyi pia mwataka kwenda 148 John 6 70 | 70 Yesu akawaambia, "Je, sikuwachagua ninyi kumi 149 John 7 19 | 19 Je, Mose hakuwapeni Sheria? 150 John 7 25 | wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta 151 John 7 26 | anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi 152 John 7 31 | walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara 153 John 7 41 | Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka 154 John 7 47 | Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?~ 155 John 7 48 | 48 Je, mmekwisha mwona hata mmoja 156 John 7 51 | 51 "Je, Sheria yetu humhukumu mtu 157 John 7 52 | 52 Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? 158 John 8 10 | mwanamke, "Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"~ 159 John 8 22 | viongozi wa Wayahudi wakasema, "Je, atajiua? Mbona anasema: ` 160 John 8 48 | 48 Wayahudi wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba 161 John 8 53 | 53 Je, unajifanya mkuu zaidi kuliko 162 John 9 8 | maskini mwombaji, wakasema, "Je, huyu siye yule maskini 163 John 9 19 | wakawauliza hao wazazi, "Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye 164 John 9 27 | nini mwataka kusikia tena? Je, ninyi pia mnataka kuwa 165 John 9 35 | alipomkuta akamwuliza, "Je, wewe unamwamini Mwana wa 166 John 9 40 | maneno hayo, wakamwuliza, "Je, sisi pia ni vipofu?"~ 167 John 10 21 | si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua 168 John 10 34 | 34 Yesu akawajibu, "Je, haikuandikwa katika Sheria 169 John 10 36 | 36 Je, yeye ambaye Baba alimweka 170 John 11 9 | 9 Yesu akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na 171 John 11 26 | kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?"~ 172 John 11 37 | Lakini baadhi yao wakasema, "Je, huyu aliyemfumbua macho 173 John 11 40 | 40 Yesu akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini 174 John 11 50 | 50 Je, hamwoni kwamba ni afadhali 175 John 12 27 | imefadhaika, na niseme nini? Je, niseme: `Baba, usiruhusu 176 John 13 12 | aliketi mezani, akawaambia, "Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni?~ 177 John 13 38 | 38 Yesu akajibu, "Je, uko tayari kweli kufa kwa 178 John 14 10 | 10 Je, huamini kwamba mimi niko 179 John 16 19 | kumwuliza, basi akawaambia, "Je, mnaulizana juu ya yale 180 John 16 31 | 31 Yesu akawajibu, "Je, mnaamini sasa?~ 181 John 18 11 | Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe alichonipa 182 John 18 17 | mlango akamwuliza Petro, "Je, nawe pia ni mmoja wa wanafunzi 183 John 18 22 | akampiga kofi akisema, "Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani 184 John 18 25 | moto. Basi, wakamwuliza, "Je, nawe pia si mmoja wa wanafunzi 185 John 18 26 | sikio na Petro, akamwuliza, "Je, mimi sikukuona wewe bustanini 186 John 18 34 | 34 Yesu akamjibu, "Je, hayo ni maneno yako au 187 John 18 35 | 35 Pilato akamjibu, "Je, ni Myahudi mimi? Taifa 188 John 19 10 | akamwambia, "Husemi nami? Je, hujui kwamba ninayo mamlaka 189 John 20 29 | 29 Yesu akamwambia, "Je, unaamini kwa kuwa umeniona? 190 John 21 15 | Simoni, mwana wa Yohane! Je, wanipenda mimi zaidi kuliko 191 John 21 16 | Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?" Petro akamjibu, " 192 John 21 17 | Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?" Hapo Petro 193 John 21 21 | akamwuliza Yesu, "Bwana, na huyu je?"~ 194 Acts 1 6 | pamoja na Yesu, walimwuliza, "Je Bwana, wakati huu ndipo 195 Acts 2 7 | na kushangaa, wakisema, "Je, hawa wote tunaowasikia 196 Acts 5 8 | Petro akamwambia, "Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho 197 Acts 7 1 | Kuhani Mkuu akamwuliza, "Je, mambo haya ni kweli?"~ 198 Acts 7 28 | 28 Je, unataka kuniua kama ulivyomuua 199 Acts 7 52 | 52 Je, yuko nabii yeyote ambaye 200 Acts 8 30 | Hapo Filipo akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"~ 201 Acts 8 36 | Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia 202 Acts 9 21 | walishangaa, wakasema, "Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua 203 Acts 10 18 | 18 Wakaita kwa sauti: "Je, kuna mgeni humu aitwaye 204 Acts 10 47 | sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna yeyote atakayeweza 205 Acts 11 17 | tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu 206 Acts 19 2 | 2 Akauliza, "Je, mlipopata kuwa waumini 207 Acts 21 37 | mkuu wa jeshi akamjibu, "Je unajua Kigiriki?~ 208 Acts 22 25 | mmoja aliyesimama hapo, "Je, ni halali kwenu kumpiga 209 Acts 22 27 | Paulo, akamwambia, "Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?" 210 Acts 25 9 | hivyo akamwuliza Paulo, "Je, ungependa kwenda Yerusalemu 211 Acts 26 27 | 27 Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua 212 Roma 2 3 | bali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu 213 Roma 2 17 | 17 Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita 214 Roma 2 23 | ati unayo Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja 215 Roma 3 3 | yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu 216 Roma 3 5 | kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa 217 Roma 3 9 | 9 Tuseme nini, basi? Je, sisi Wayahudi ni bora zaidi 218 Roma 3 27 | nini? Hakuna! Kwa nini? Je, kwa sababu ya kutimiza 219 Roma 3 29 | 29 Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi 220 Roma 3 31 | 31 Je, tunaitumia imani kuibatilisha 221 Roma 4 9 | 9 Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa 222 Roma 4 10 | 10 Je, Abrahamu alikubaliwa kabla 223 Roma 6 1 | 1 Tuseme nini basi? Je, twendelee kubaki katika 224 Roma 6 15 | 15 Basi, tuseme nini? Je, tutende dhambi ati kwa 225 Roma 7 7 | 7 Je, tuseme basi, kwamba Sheria 226 Roma 7 13 | 13 Je, hii inamaanisha kwamba 227 Roma 8 32 | sote. Ikiwa amefanya hivyo, je, hatatujalia pia mema yote?~ 228 Roma 8 35 | kututenga na mapendo ya Kristo? Je, ni taabu, au dhiki, au 229 Roma 9 14 | 14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata 230 Roma 9 20 | uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza 231 Roma 10 18 | 18 Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? 232 Roma 10 19 | 19 Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu 233 Roma 11 1 | 1 Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? 234 Roma 11 4 | 4 Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: " 235 Roma 11 7 | 7 Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata 236 Roma 11 11 | 11 Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata 237 Roma 11 21 | ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?~ 238 1Cor 1 13 | 13 Je, Kristo amegawanyika? Je, 239 1Cor 1 13 | Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa 240 1Cor 1 13 | aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la 241 1Cor 3 3 | bado mu watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko 242 1Cor 3 4 | mwingine, "Mimi ni wa Apolo", je, hiyo haionyeshi kwamba 243 1Cor 3 16 | 16 Je, hamjui kwamba ninyi ni 244 1Cor 5 6 | 6 Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo 245 1Cor 5 12 | 12 Je, ni shauri langu kuwahukumu 246 1Cor 5 12 | Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu 247 1Cor 6 2 | 2 Je, hamjui kwamba watu wa Mungu 248 1Cor 6 3 | 3 Je, hamjui kwamba, licha ya 249 1Cor 6 4 | juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu 250 1Cor 6 7 | kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora zaidi 251 1Cor 6 9 | 9 Au je, hamjui kwamba watu wabaya 252 1Cor 6 15 | 15 Je, hamjui kwamba miili yenu 253 1Cor 6 15 | viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani naweza kuchukua 254 1Cor 6 19 | 19 Je, hamjui kwamba miili yenu 255 1Cor 7 21 | 21 Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati 256 1Cor 7 27 | 27 Je, umeoa? Basi, usitake kuachana 257 1Cor 8 10 | ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula 258 1Cor 9 1 | 1 Je, mimi si mtu huru? Je, mimi 259 1Cor 9 1 | 1 Je, mimi si mtu huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi 260 1Cor 9 1 | huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu Bwana 261 1Cor 9 1 | sikumwona Yesu Bwana wetu? Je, ninyi si matokeo ya kazi 262 1Cor 9 4 | 4 Je, hatuna haki ya kula na 263 1Cor 9 5 | 5 Je, hatuna ruhusa kumchukua 264 1Cor 9 7 | 7 Je, mwanajeshi gani anayelipia 265 1Cor 9 8 | 8 Je, nasema mambo haya kibinadamu 266 1Cor 9 8 | mambo haya kibinadamu tu? Je, Sheria nayo haisemi hivyo?~ 267 1Cor 9 9 | ombe anapoliwata nafaka." Je, ndio kusema Mungu anajishughulisha 268 1Cor 9 10 | 10 Je, hakuwa anatufikiria sisi 269 1Cor 9 11 | mbegu ya kiroho kati yenu, je, ni jambo kubwa tukichuma 270 1Cor 9 12 | kutazamia hayo kutoka kwenu, je, sisi hatuna haki zaidi 271 1Cor 9 13 | 13 Je, hamjui kwamba wanaotumikia 272 1Cor 9 24 | 24 Je, hamjui kwamba katika uwanja 273 1Cor 10 16 | kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya 274 1Cor 10 16 | Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili 275 1Cor 10 19 | chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya 276 1Cor 10 22 | 22 Au je, tunataka kumfanya Bwana 277 1Cor 11 13 | 13 Amueni wenyewe: Je, inafaa mwanamke kumwomba 278 1Cor 11 22 | 22 Je, hamwezi kula na kunywa 279 1Cor 11 22 | kunywa nyumbani kwenu! Au je, mnalidharau kanisa la Mungu 280 1Cor 12 15 | mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya 281 1Cor 12 16 | mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma 282 1Cor 12 29 | 29 Je, wote ni mitume? Wote ni 283 1Cor 12 30 | 30 Je, wote ni wenye kipaji cha 284 1Cor 12 30 | cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?~ 285 1Cor 14 7 | vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua 286 1Cor 14 23 | wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi 287 1Cor 14 36 | 36 Je, mnadhani neno la Mungu 288 1Cor 15 29 | 29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa 289 2Cor 1 17 | 17 Je, mnadhani nilipopanga hivyo 290 2Cor 1 17 | kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya 291 2Cor 3 1 | 1 Je, tunaanza tena kujipendekeza? 292 2Cor 3 1 | tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho 293 2Cor 6 14 | Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana 294 2Cor 10 7 | hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote anayedhani 295 2Cor 11 7 | nipate kuwakweza ninyi. Je, nilifanya vibaya?~ 296 2Cor 11 22 | 22 Je, wao ni Waebrania? Hata 297 2Cor 11 22 | ni Waebrania? Hata mimi. Je, wao ni Waisraeli? Hata 298 2Cor 12 13 | 13 Je, mlipungukiwa nini zaidi 299 2Cor 12 15 | kwa faida ya roho zenu. Je, mtanipenda kidogo ati kwa 300 2Cor 12 17 | 17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa 301 2Cor 12 18 | na ndugu yetu mwingine. Je, Tito aliwanyonyeni? Je, 302 2Cor 12 18 | Je, Tito aliwanyonyeni? Je, hamjui kwamba sisi tumekuwa 303 2Cor 13 5 | Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu 304 Gala 1 10 | binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? 305 Gala 2 17 | tunaonekana kuwa wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba 306 Gala 3 2 | kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu 307 Gala 3 3 | 3 Je, mu wajinga kiasi hicho? 308 Gala 3 3 | yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa 309 Gala 3 4 | 4 Je, mambo yale yote yaliyowapata 310 Gala 3 5 | 5 Je, Mungu huwajalia Roho na 311 Gala 3 21 | 21 Je, Sheria inapingana na ahadi 312 Gala 4 16 | 16 Je, sasa nimekuwa adui yenu 313 Gala 4 21 | mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo Sheria?~ 314 1The 2 19 | 19 Je, tutakaposimama mbele ya 315 2The 2 5 | 5 Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni 316 Hebr 10 29 | 29 Je, mtu yule anayempuuza Mwana 317 Hebr 12 5 | 5 Je, mmesahau yale maneno ya 318 James 2 4 | 4 je, huo si ubaguzi kati yenu? 319 James 2 4 | huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana 320 James 2 6 | mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni 321 James 2 7 | 7 Je, si haohao wanaolitukana 322 James 2 14| lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa?~ 323 James 2 19| 19 Je, wewe unaamini kwamba yuko 324 James 2 20| 20 Mpumbavu wee! Je, wataka kuonyeshwa kwamba 325 James 2 21| 21 Je, Abrahamu baba yetu alipataje 326 James 3 11| 11 Je, chemchemi moja yaweza kutoa 327 James 3 12| 12 Ndugu zangu, je, mti wa mtini waweza kuzaa 328 James 3 13| 13 Je, ni nani mwenye hekima na 329 James 4 4 | na uaminifu kama wazinzi. Je, hamjui kwamba kuwa rafiki 330 James 5 13| 13 Je, pana mtu yeyote miongoni 331 James 5 13| shida? Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa 332 James 5 14| 14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? 333 2Pet 3 4 | Aliahidi kwamba atakuja! Je, sasa yuko wapi? Mambo ni 334 2Pet 3 11 | kitaharibiwa namna hiyo, je, ninyi mnapaswa kuwa watu


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License