Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 5 | 5 Nao wakamjibu, "Mjini Bethlehemu,
2 Matt 4 16 | gizani wameona mwanga mkubwa. Nao walioishi katika nchi ya
3 Matt 4 22 | 22 nao mara wakaiacha mashua pamoja
4 Matt 5 47 | Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo.~
5 Matt 6 1 | ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye
6 Matt 8 11 | mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja
7 Matt 8 29 | 29 Nao wakaanza kupiga kelele, "
8 Matt 9 15 | bwana arusi yupo pamoja nao? La hasha! Lakini wakati
9 Matt 9 24 | huyu hakufa, amelala tu." Nao wakamcheka.~
10 Matt 9 28 | kuwafanyia jambo hilo?" Nao wakamjibu, "Naam, Mheshimiwa."~
11 Matt 10 13 | amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawaipokei,
12 Matt 10 21 | baba atamsaliti mwanawe, nao watoto watawashambulia wazazi
13 Matt 11 18 | na wala hakunywa divai, nao wakasema: `Amepagawa na
14 Matt 11 19 | akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: `Mtazameni huyu,
15 Matt 12 13 | mkono wako." Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama
16 Matt 12 41 | watatokea siku ya hukumu, nao watakihukumu kizazi hiki
17 Matt 13 13 | 13 Ndiyo maana ninasema nao kwa mifano, kwa sababu wanatazama
18 Matt 14 19 | akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.~
19 Matt 14 27 | 27 Mara, Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"~
20 Matt 15 36 | akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu.~
21 Matt 17 1 | Yohane nduguye, akaenda nao peke yao juu ya mlima mrefu.~
22 Matt 17 12 | nawaambieni, Eliya amekwisha kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea
23 Matt 17 20 | Toka hapa uende pale,` nao utakwenda. Hakuna chochote
24 Matt 19 5 | ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?`~
25 Matt 20 2 | 2 Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa
26 Matt 20 18 | wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe.~
27 Matt 22 1 | 1 Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano: ~
28 Matt 22 19 | fedha ya kulipia kodi." Nao wakamtolea sarafu ya ~fedha.
29 Matt 23 30 | wetu ~hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!> ~
30 Matt 24 5 | wakisema: `Mimi ndiye Kristo,` nao watawapotosha watu wengi.~
31 Matt 24 31 | tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake
32 Matt 25 44 | 44 "Hapo nao watajibu, `Bwana, ni lini
33 Matt 26 36 | Kisha Yesu akaenda pamoja nao bustanini Gethsemane, akawaambia
34 Matt 26 47 | Yesu alipokuwa bado anasema nao, mara akaja Yuda, mmoja
35 Matt 27 30 | wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.~
36 Matt 27 53 | 53 nao, baada ya kufufuka kwake,
37 Matt 28 9 | 9 Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: "Salamu."
38 Mark 1 13 | pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.~
39 Mark 1 19 | Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua
40 Mark 1 20 | 20 Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo
41 Mark 1 27 | kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!"~
42 Mark 1 29 | Yohane walikwenda pamoja nao.~
43 Mark 2 19 | bwana harusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja
44 Mark 3 22 | 22 Nao walimu wa Sheria waliokuwa
45 Mark 4 19 | na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda.~
46 Mark 4 33 | ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.~
47 Mark 4 34 | 34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano;
48 Mark 4 41 | 41 Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, "
49 Mark 6 37 | Wapeni ninyi chakula." Nao wakamwuliza, "Je, twende
50 Mark 6 40 | 40 Nao wakaketi makundimakundi
51 Mark 6 44 | 44 Nao waliokula hiyo mikate walikuwa
52 Mark 6 50 | sana. Mara Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"~
53 Mark 6 51 | walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana.~
54 Mark 6 56 | walau pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona.~ ~~ ~
55 Mark 8 5 | Mnayo mikate mingapi?" Nao wakamjibu, "Saba."~
56 Mark 8 6 | wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.~
57 Mark 8 9 | 9 Nao waliokula walikuwa watu
58 Mark 9 8 | ila Yesu peke yake pamoja nao.~
59 Mark 9 13 | nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka
60 Mark 9 14 | Sheria walikuwa wanajadiliana nao.~
61 Mark 9 16 | akawauliza, "Mnajadiliana nini nao?"~
62 Mark 10 4 | 4 Nao wakasema, "Mose aliagiza
63 Mark 10 8 | 8 nao wawili watakuwa mwili mmoja.
64 Mark 10 33 | wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe na kumkabidhi
65 Mark 10 34 | 34 Nao watamdhihaki; watamtemea
66 Mark 11 6 | Yesu alivyokuwa amewaambia; nao wakawaacha waende zao.~
67 Mark 11 14 | yeyote asile matunda kwako." Nao wanafunzi wake walisikia
68 Mark 12 1 | 1 Yesu alianza kusema nao kwa mifano: "Mtu mmoja alilima
69 Mark 13 6 | wakisema, `Mimi ndiye!` nao watawapotosha watu wengi.~
70 Mark 13 11 | 11 Nao watakapowatieni nguvuni
71 Mark 14 23 | akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe
72 Mark 14 27 | yasema: `Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.`~
73 Mark 14 51 | Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata.~
74 Mark 15 31 | 31 Nao makuhani wakuu pamoja na
75 Mark 15 47 | 47 Nao Maria Magdalene na Maria
76 Mark 16 3 | 3 Nao wakawa wanaambiana, "Nani
77 Mark 16 13 | 13 Nao pia wakaenda wakawaambia
78 Mark 16 18 | Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona."~
79 Mark 16 19 | Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni,
80 Mark 16 20 | Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo
81 Mark 16 20 | kwa ishara zilizoandamana nao.]*fi*~
82 Luke 1 7 | Elisabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa wazee
83 Luke 1 22 | Alipotoka nje, hakuweza kusema nao. Ikawa dhahiri kwao kwamba
84 Luke 2 14 | duniani kwa watu aliopendezwa nao!"~
85 Luke 2 51 | 51 Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii.
86 Luke 3 12 | 12 Nao watoza ushuru wakaja pia
87 Luke 3 14 | 14 Nao askari wakamwuliza, "Na
88 Luke 4 32 | Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.~
89 Luke 4 36 | anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!"~
90 Luke 5 29 | walikuwa wameketi pamoja nao.~
91 Luke 5 34 | bwana arusi yuko pamoja nao?~
92 Luke 7 6 | Basi, Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu kufika
93 Luke 8 33 | wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule
94 Luke 8 53 | 53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua
95 Luke 9 19 | 19 Nao wakamjibu, "Wengine wanasema
96 Luke 9 28 | Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali.~
97 Luke 9 30 | wakaonekana wakizungumza naye, nao ni Mose na Eliya,~
98 Luke 9 45 | limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu
99 Luke 9 52 | akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji
100 Luke 12 58 | hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.~
101 Luke 14 6 | 6 Nao hawakuweza kumjibu swali
102 Luke 14 12 | zako walio matajiri, wasije nao wakakualika nawe ukawa umelipwa
103 Luke 15 2 | dhambi, na tena anakula nao."~
104 Luke 16 9 | zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele.~
105 Luke 17 6 | ukajipandikize baharini`, nao ungewatii.~
106 Luke 18 32 | atakabidhiwa kwa watu wa mataifa nao watamtendea vibaya na kumtemea
107 Luke 19 25 | 25 Nao wakamwambia: `Lakini Mheshimiwa,
108 Luke 19 34 | 34 Nao wakawajibu, "Bwana anamhitaji."~
109 Luke 20 25 | 25 Nao wakamjibu, "Ni vya Kaisari."
110 Luke 22 5 | 5 Nao wakafurahi na kupatana naye
111 Luke 22 9 | 9 Nao wakamwuliza, "Unataka tuiandae
112 Luke 22 25 | huwatawala watu wao kwa mabavu, nao huitwa wafadhili wa watu.~
113 Luke 22 38 | 38 Nao wakasema, "Bwana, tazama;
114 Luke 22 55 | umewashwa katikati ya ua, nao wakawa wameketi pamoja Petro
115 Luke 22 67 | 67 Nao wakamwambia, "Twambie! Je,
116 Luke 22 71 | 71 Nao wakasema, "Je, tunahitaji
117 Luke 23 20 | kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;~
118 Luke 23 35 | wamesimama pale wakitazama. Nao viongozi wakamdhihaki wakisema: "
119 Luke 23 36 | 36 Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea
120 Luke 23 51 | Wayahudi, hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao.~
121 Luke 24 4 | sana, wakasimama karibu nao.~
122 Luke 24 7 | atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku
123 Luke 24 10 | wanawake wengine walioandamana nao.~
124 Luke 24 15 | akatokea, akatembea pamoja nao.~
125 Luke 24 17 | Mnazungumza nini huku mnatembea?" Nao wakasimama kimya, nyuso
126 Luke 24 29 | kijijini, akakaa pamoja nao.~
127 Luke 24 30 | Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki,
128 Luke 24 33 | wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika~
129 John 1 11 | katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.~
130 John 1 22 | 22 Nao wakamwuliza, "Basi, wewe
131 John 1 38 | akawauliza, "Mnatafuta nini?" Nao wakamjibu, "Rabi (yaani
132 John 2 7 | Ijazeni mitungi hiyo maji." Nao wakaijaza mpaka juu.~
133 John 2 11 | akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.~
134 John 2 24 | Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote.~
135 John 3 22 | wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.~
136 John 4 40 | walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.~
137 John 4 45 | wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu
138 John 4 52 | saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba
139 John 5 5 | ugonjwa wowote aliokuwa nao.~
140 John 5 13 | 12 Nao wakamwuliza, "Huyo mtu aliyekwambia: `
141 John 5 26 | sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.~
142 John 5 30 | 29 nao watafufuka: wale waliotenda
143 John 7 45 | makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"~
144 John 7 52 | 52 Nao wakamjibu, "Je, wewe pia
145 John 8 12 | 12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "Mimi
146 John 8 25 | 25 Nao wakamwuliza, "Wewe ni nani?"
147 John 8 27 | kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.~
148 John 8 32 | 32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."~
149 John 8 33 | 33 Nao wakamjibu, "Sisi ni wazawa
150 John 10 4 | watoa nje huwatangulia mbele nao kondoo humfuata, kwani wanaijua
151 John 10 8 | ni wezi na wanyang`anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.~
152 John 10 14 | mwema. Nawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi,~
153 John 10 16 | Inanibidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia sauti yangu,
154 John 10 27 | sauti yangu; mimi nawajua, nao hunifuata.~
155 John 10 28 | nawapa uzima wa milele; nao hawatapotea milele, wala
156 John 11 48 | tu watu wote watamwamini, nao Waroma watakuja kuliharibu
157 John 11 56 | wakawa wanamtafuta Yesu; nao walipokusanyika pamoja Hekaluni
158 John 12 8 | 8 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa
159 John 12 22 | akaenda akamwambia Andrea, nao wawili wakaenda kumwambia
160 John 12 36 | zake na kujificha mbali nao.~
161 John 14 19 | 19 Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena,
162 John 15 22 | nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia;
163 John 17 5 | kwa ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.~
164 John 17 6 | nawe ukanipa wawe wangu; nao wamelishika neno lako.~
165 John 17 8 | nimewapa ule ujumbe ulionipa nao wameupokea; wanajua kwamba
166 John 17 12 | 12 Nilipokuwa nao, mimi niliwaweka salama
167 John 17 14 | Mimi nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa
168 John 17 19 | mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika
169 John 17 25 | lakini mimi nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma.~
170 John 17 26 | kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe ndani yao, nami
171 John 18 3 | wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa,
172 John 18 5 | 5 Nao wakamjibu, "Yesu wa Nazareti!"
173 John 18 5 | alikuwa amesimama hapo pamoja nao.~
174 John 18 18 | alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.~
175 John 18 28 | ikulu. Ilikuwa alfajiri, nao ili waweze kula Pasaka,
176 John 19 2 | 2 Nao askari wakasokota taji ya
177 John 20 24 | aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.~
178 John 20 26 | na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa,
179 John 21 3 | Nakwenda kuvua samaki." Nao wakamwambia, "Nasi tutafuatana
180 Acts 1 3 | Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu.~
181 Acts 1 10 | nyeupe walisimama karibu nao,~
182 Acts 1 13 | ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa Petro, Yohane,
183 Acts 2 18 | nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.~
184 Acts 3 8 | Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka
185 Acts 4 14 | aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.~
186 Acts 4 15 | waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza
187 Acts 4 31 | wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu.
188 Acts 5 13 | mwamini hakuthubutu kujiunga nao. Hata hivyo, watu wengine
189 Acts 5 16 | waliokuwa na pepo wachafu, nao wote wakaponywa.~
190 Acts 6 6 | Wakawaweka mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea
191 Acts 6 9 | Sunagogi la Watu Huru", nao walitoka Kurene na Aleksandria;
192 Acts 7 38 | aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na
193 Acts 8 14 | kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu,
194 Acts 8 17 | wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.~
195 Acts 9 28 | Basi, Saulo alikaa pamoja nao, akatembelea Yerusalemu
196 Acts 9 39 | Basi, Petro akaenda pamoja nao. Alipofika alipelekwa ghorofani
197 Acts 10 20 | wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma."~
198 Acts 10 23 | Petro alianza safari pamoja nao, na baadhi ya ndugu wa huko
199 Acts 10 48 | Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.~ ~ ~~ ~
200 Acts 11 3 | wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!~
201 Acts 11 12 | aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu
202 Acts 11 26 | Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile
203 Acts 12 10 | mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea
204 Acts 12 15 | akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "Huyo ni malaika
205 Acts 12 20 | wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata
206 Acts 13 43 | Barnaba. Hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee
207 Acts 14 19 | wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na
208 Acts 14 27 | Mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia
209 Acts 15 2 | Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba
210 Acts 15 3 | Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia Foinike
211 Acts 15 4 | kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya
212 Acts 15 4 | Mungu aliyoyafanya pamoja nao.~
213 Acts 15 8 | kwamba amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa
214 Acts 15 32 | 32 Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza
215 Acts 16 22 | Kundi la watu likajiunga nao, likawashambulia. Wale mahakimu
216 Acts 16 38 | mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo
217 Acts 17 2 | 2 Paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi
218 Acts 17 2 | desturi yake akajadiliana nao Sabato tatu mfululizo, akatumia
219 Acts 17 4 | tabaka la juu, walijiunga nao.~
220 Acts 18 3 | alivyokuwa yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi.~
221 Acts 18 17 | 17 Nao wote wakamkamata Sosthene
222 Acts 18 20 | 20 Walimwomba akae nao muda mrefu zaidi, lakini
223 Acts 19 2 | mlipokea Roho Mtakatifu?" Nao wakamjibu, "La! Hata kusikia
224 Acts 19 9 | Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua pembeni wale
225 Acts 19 9 | wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la
226 Acts 19 12 | wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao;
227 Acts 19 29 | wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye ukumbi wa michezo.~
228 Acts 20 7 | watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.~
229 Acts 20 36 | Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.~
230 Acts 21 1 | 1 Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda
231 Acts 21 4 | waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini
232 Acts 21 6 | tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.~
233 Acts 21 7 | tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.~
234 Acts 21 24 | 24 Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa,
235 Acts 21 26 | ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni
236 Acts 21 32 | akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi
237 Acts 21 40 | walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania.~ ~ ~~ ~
238 Acts 22 2 | 2 Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa
239 Acts 24 9 | 9 Nao Wayahudi waliunga mkono
240 Acts 25 6 | 6 Festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au
241 Acts 26 10 | wengi wa watu wa Mungu. Nao walipohukumiwa kuuawa, nilipiga
242 Acts 26 30 | wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama.~
243 Acts 27 13 | wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo
244 Acts 27 36 | Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.~
245 Acts 28 14 | kadhaa ambao walituomba tukae nao kwa juma moja. Hivi ndivyo
246 Roma 1 27 | 27 Nao wanaume hali kadhalika,
247 Roma 9 4 | akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani
248 Roma 10 8 | kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.~
249 Roma 11 3 | tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?"~
250 Roma 11 23 | 23 Nao Wayahudi, hali kadhalika;
251 Roma 11 27 | ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi
252 Roma 11 31 | wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma
253 Roma 13 1 | mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa
254 Roma 13 2 | anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea
255 Roma 15 9 | 9 ili nao watu wa mataifa mengine
256 Roma 15 12 | atawatawala watu wa mataifa; nao watamtumainia."~
257 Roma 15 21 | hawakuambiwa habari zote wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia,
258 Roma 15 27 | kiroho za Wayahudi, wanapaswa nao pia kuwahudumia Wayahudi
259 Roma 16 14 | ndugu wote walio pamoja nao.~
260 Roma 16 15 | wote wa Mungu walio pamoja nao.~
261 1Cor 6 16 | naye - kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja."~
262 1Cor 7 3 | Mume atimize wajibu alio nao kwa mkewe, naye mke atimize
263 1Cor 7 3 | mke atimize wajibu alio nao kwa mumewe.~
264 1Cor 7 31 | 31 nao wenye shughuli na dunia
265 1Cor 16 9 | muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi.~
266 1Cor 16 16 | kazi na kutumikia pamoja nao.~
267 2Cor 6 16 | yao; Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu."~
268 2Cor 6 17 | Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi, nami
269 2Cor 8 14 | kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada,
270 2Cor 8 23 | wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa,
271 2Cor 13 8 | kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.~
272 Gala 2 4 | kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika kuungana na Kristo
273 Gala 2 5 | 5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa
274 Gala 4 26 | mbinguni ni mji ulio huru, nao ni mama yetu.~
275 Ephe 5 7 | 7 Basi, msishirikiane nao.~
276 Ephe 5 16 | Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.~
277 Ephe 5 31 | yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."~
278 Colo 2 5 | uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu
279 Colo 2 19 | viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.~
280 Colo 4 11 | ajili ya Utawala wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu.~
281 1The 4 17 | huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana
282 1Tim 3 15 | mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu,
283 Titus 2 9 | mambo yote. Wasibishane nao,~
284 Phil 1 24 | 24 Nao akina Marko, Aristarko,
285 Hebr 7 5 | yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.~
286 Hebr 8 10 | Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.~
287 Hebr 10 16 | ndilo agano nitakalofanya nao, katika siku zijazo, asema
288 Hebr 13 3 | kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni wale wanaoteseka
289 James 5 14| kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta
290 1Pet 3 7 | muwatendee kwa heshima; maana nao pia watapokea pamoja nanyi
291 1Pet 4 4 | wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi
292 1Joh 1 3 | nasi katika umoja tulio nao na Baba na Mwanae Yesu Kristo.~
293 1Joh 4 5 | husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani
294 1Joh 4 16 | na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu
295 Rev 5 10 | makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani."~
296 Rev 7 9 | taifa, ukoo, jamaa na lugha. Nao walikuwa wamesimama mbele
297 Rev 11 7 | shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.~
298 Rev 11 11 | kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona
299 Rev 11 12 | ikiwaambia, "Njoni hapa juu!" Nao wakapanda juu mbinguni katika
300 Rev 14 4 | kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata
301 Rev 16 21 | moja, ikawanyeshea watu. Nao wakamtukana Mungu kwa sababu
302 Rev 18 3 | divai kali ya uzinzi wake, nao wafalme wa dunia wamefanya
303 Rev 18 3 | dunia wamefanya uzinzi naye. Nao wafanyabiashara wa dunia
304 Rev 20 8 | pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga
305 Rev 20 10 | na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku,
306 Rev 21 3 | ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye
307 Rev 21 17 | akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa
308 Rev 22 5 | Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele.~
|