Book, Chapter, Verse
1 Matt 4 21 | 21 Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine
2 Matt 5 16 | lazima mwanga wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo
3 Matt 5 23 | Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka
4 Matt 5 24 | 24 iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza
5 Matt 6 1 | mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane
6 Matt 7 23 | Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.`~
7 Matt 10 18 | 18 Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa
8 Matt 10 32 | wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~
9 Matt 10 33 | hadharani, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~
10 Matt 12 4 | wakala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Yeye wala hao
11 Matt 14 6 | binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,~
12 Matt 15 25 | mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, "Mheshimiwa,
13 Matt 15 30 | waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu
14 Matt 16 23 | akamwambia Petro, "Ondoka mbele yangu Shetani! Wewe ni kikwazo
15 Matt 18 10 | huko mbinguni wako daima mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.*
16 Matt 18 26 | mtumishi akapiga magoti mbele yake, akasema, `Unisubiri
17 Matt 20 20 | na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.~
18 Matt 21 2 | Nendeni hadi kijiji kilicho mbele yenu na mtamkuta punda amefungwa
19 Matt 23 13 | mlango wa Ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. Ninyi
20 Matt 25 32 | mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha
21 Matt 25 41 | wake wa kushoto, `Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa!
22 Matt 26 36 | Kaeni hapa nami niende pale mbele kusali."~
23 Matt 26 39 | 39 Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi,
24 Matt 26 70 | 70 Petro akakana mbele ya wote akisema, "Sijui
25 Matt 27 11 | 11 Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu
26 Matt 27 24 | alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "
27 Matt 27 29 | wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "
28 Matt 27 60 | akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda
29 Matt 28 9 | wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake.~
30 Mark 1 19 | 19 Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo
31 Mark 2 26 | akala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Jambo hili lilifanyika
32 Mark 3 11 | walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "
33 Mark 5 21 | mkubwa wa watu ukakusanyika mbele yake, naye akawa amesimama
34 Mark 5 22 | Alipomwona Yesu, akajitupa mbele ya miguu yake,~
35 Mark 5 33 | kwa hofu, akajitupa chini mbele ya Yesu na kusema ukweli
36 Mark 6 30 | walirudi, wakakusanyika mbele ya Yesu wakamwarifu yote
37 Mark 7 1 | Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.~
38 Mark 7 25 | Basi, akaja akajitupa chini mbele ya miguu yake.~
39 Mark 8 33 | akamkemea Petro akisema, "Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako
40 Mark 9 2 | Huko, Yesu akageuka sura mbele yao,~
41 Mark 9 25 | wa watu unaongezeka upesi mbele yake, alimkemea yule pepo
42 Mark 10 17 | alimjia mbio, akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu
43 Mark 11 2 | Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia
44 Mark 13 9 | katika masunagogi. Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa
45 Mark 14 35 | 35 Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini
46 Mark 15 39 | mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi Yesu alivyolia
47 Mark 15 46 | akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.~
48 Luke 1 6 | wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata
49 Luke 1 8 | kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu,~
50 Luke 1 15 | 15 Atakuwa mkuu mbele ya Bwana. Hatakunywa divai
51 Luke 1 19 | ni Gabrieli, nisimamaye mbele ya Mungu, na nimetumwa niseme
52 Luke 1 25 | kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele ya watu."~
53 Luke 1 75 | 75 kwa unyofu na uadilifu mbele yake, siku zote za maisha
54 Luke 2 22 | naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.~
55 Luke 2 31 | 31 ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:~
56 Luke 2 38 | Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza
57 Luke 5 8 | alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, "Ondoka
58 Luke 5 8 | ya Yesu akisema, "Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa
59 Luke 5 18 | kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.~
60 Luke 5 19 | kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.~
61 Luke 5 25 | mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda
62 Luke 6 4 | akachukua ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu, akala na kuwapa
63 Luke 8 28 | kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti
64 Luke 8 47 | akitetemeka kwa hofu, akajitupa mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele
65 Luke 8 47 | mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele ya wote kisa cha kumgusa
66 Luke 11 43 | kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika
67 Luke 12 6 | senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata
68 Luke 12 8 | Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba
69 Luke 12 9 | mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele
70 Luke 12 9 | mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.~
71 Luke 12 11 | Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya
72 Luke 12 11 | ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe
73 Luke 12 21 | mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu."~
74 Luke 12 58 | njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa
75 Luke 13 27 | ninyi mmetoka wapi; ondokeni mbele yangu, enyi nyote watenda
76 Luke 14 2 | 2 Mbele yake Yesu palikuwa na mtu
77 Luke 14 9 | nafasi.` Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika kwenda
78 Luke 14 10 | akwambie: `Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi.` Hapo
79 Luke 14 10 | Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja
80 Luke 16 15 | Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini Mungu anaijua
81 Luke 16 15 | kinachoonekana kuwa kitukufu mbele ya watu, Mungu anakiona
82 Luke 17 16 | 16 Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru.
83 Luke 18 40 | alisimama, akaamuru wamlete mbele yake. Yule kipofu alipofika
84 Luke 19 27 | hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu."`~
85 Luke 19 28 | hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.~
86 Luke 19 30 | Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia
87 Luke 20 26 | kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa
88 Luke 20 45 | aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,~
89 Luke 21 12 | kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa
90 Luke 21 36 | yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu."~
91 Luke 22 66 | wa Sheria. Yesu akaletwa mbele ya Baraza hilo.~
92 Luke 23 1 | wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato.~
93 Luke 23 10 | walimu wa Sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa
94 Luke 23 14 | ya kuchunguza jambo hilo mbele yenu, sikumpata na kosa
95 Luke 24 19 | wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu
96 Luke 24 19 | kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote.~
97 John 9 24 | wakamwambia, "Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba
98 John 10 4 | Akisha watoa nje huwatangulia mbele nao kondoo humfuata, kwani
99 John 12 37 | alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.~
100 John 17 5 | 5 Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa
101 John 19 3 | 3 Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: "Shikamoo,
102 John 20 30 | 30 Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara
103 Acts 1 15 | ishirini. Petro alisimama mbele yao,~
104 Acts 2 25 | yake hivi: `Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande
105 Acts 3 13 | mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya
106 Acts 4 7 | 7 Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi
107 Acts 4 10 | kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa,
108 Acts 4 19 | ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko
109 Acts 5 10 | 10 Mara Safira akaanguka mbele ya miguu ya Petro, akafa.
110 Acts 5 27 | wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya Baraza. Kuhani Mkuu akawaambia,~
111 Acts 5 34 | Sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama
112 Acts 5 34 | ya watu wote, alisimama mbele ya lile Baraza, akataka
113 Acts 6 6 | 6 Wakawaweka mbele ya mitume, nao wakawaombea
114 Acts 6 12 | wakamkamata na kumleta mbele ya Baraza kuu.~
115 Acts 7 10 | alimjalia fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri,
116 Acts 7 45 | ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka
117 Acts 8 21 | maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.~
118 Acts 10 22 | Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma.
119 Acts 10 25 | kumlaki, akapiga magoti mbele yake na kuinama chini kabisa.~
120 Acts 10 30 | yenye kun`gaa alisimama mbele yangu,~
121 Acts 10 33 | vyema kuja. Sasa, sisi tuko mbele ya Mungu, kusikiliza chochote
122 Acts 14 13 | fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, na
123 Acts 16 19 | wakawaburuta mpaka hadharani, mbele ya wakuu.~
124 Acts 16 29 | alikimbilia ndani, akajitupa mbele ya miguu ya Paulo na Sila
125 Acts 17 22 | 22 Basi, Paulo alisimama mbele ya baraza la Areopago, akasema, "
126 Acts 18 6 | aliyakung`uta mavazi yake mbele yao akisema, "Mkipotea ni
127 Acts 18 17 | sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. Lakini Galio
128 Acts 19 19 | vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama
129 Acts 19 33 | walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika ule
130 Acts 19 33 | mkono akitaka kujitetea mbele ya ule umati wa watu.~
131 Acts 22 1 | nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!"~
132 Acts 22 12 | yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi
133 Acts 23 1 | nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu."~
134 Acts 23 6 | Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: "Ndugu zangu,
135 Acts 23 28 | 28 Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka
136 Acts 23 30 | wake walete mashtaka yao mbele yako."~
137 Acts 24 9 | akaamuru washtaki wake waje mbele yako.~
138 Acts 24 10 | akasema, "Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa
139 Acts 24 14 | 14 Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu
140 Acts 24 16 | daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.~
141 Acts 24 16 | njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.~
142 Acts 24 19 | ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao
143 Acts 24 20 | kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu,~
144 Acts 24 21 | niliyosema niliposimama mbele yao: `Mnanihukumu leo hii
145 Acts 25 9 | Yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"~
146 Acts 25 10 | Paulo akajibu, "Nasimama mbele ya mahakama ya Kaisari na
147 Acts 25 24 | mlioko hapa pamoja nasi! Hapa mbele yenu yuko mtu ambaye jumuiya
148 Acts 25 26 | Ndiyo maana nimemleta hapa mbele yenu na mbele yako mfalme
149 Acts 25 26 | nimemleta hapa mbele yenu na mbele yako mfalme Agripa, ili
150 Acts 26 2 | mwenye bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka
151 Acts 26 26 | ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba
152 Acts 27 4 | unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa
153 Acts 27 7 | unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia
154 Acts 27 24 | usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu,
155 Acts 27 30 | kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.~
156 Acts 27 35 | mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza
157 Acts 27 40 | kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea
158 Acts 27 41 | meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani
159 Roma 2 13 | hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuisikia
160 Roma 3 20 | anayekubaliwa kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuishika
161 Roma 4 2 | anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.~
162 Roma 4 17 | mengi." Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu
163 Roma 12 17 | ovu. Zingatieni mambo mema mbele ya wote.~
164 Roma 14 10 | yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.~
165 Roma 14 12 | mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.~
166 1Cor 1 29 | awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.~
167 1Cor 3 19 | hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko
168 1Cor 4 9 | maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele
169 1Cor 4 9 | mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na watu.~
170 1Cor 6 1 | kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua
171 1Cor 6 1 | Mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa Mungu?~
172 1Cor 6 6 | ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.~
173 1Cor 11 11 | 11 Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu
174 1Cor 15 15 | tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema
175 2Cor 2 10 | cha kusamehe - nasamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu,~
176 2Cor 2 17 | sisi tunahubiri kwa unyofu mbele ya Mungu, kama watu tuliotumwa
177 2Cor 4 2 | uamuzi wa dhamiri za watu mbele ya Mungu.~
178 2Cor 4 14 | pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.~
179 2Cor 5 3 | hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.~
180 2Cor 5 10 | sote ni lazima tusimame mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,
181 2Cor 7 12 | Niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya Mungu jinsi mlivyo na
182 2Cor 7 14 | 14 Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo
183 2Cor 7 14 | na kule kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la
184 2Cor 8 21 | yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele
185 2Cor 8 21 | mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.~
186 2Cor 9 2 | juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "
187 2Cor 12 19 | tumekuwa tukijitetea wenyewe mbele yenu! Lakini, tunasema mambo
188 2Cor 12 19 | Lakini, tunasema mambo haya mbele ya Mungu, tukiwa tumeungana
189 2Cor 12 21 | wangu atanifanya niaibike mbele yenu, nami nitaomboleza
190 Gala 2 14 | umenyooka, nikamwambia Kefa mbele ya watu wote: "Ingawa wewe
191 Gala 3 1 | Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu.~
192 Ephe 1 4 | watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo
193 Colo 1 22 | amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi
194 Colo 1 28 | tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa
195 1The 1 3 | 3 Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka
196 1The 2 19 | 19 Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja,
197 1The 3 9 | Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.~
198 1The 3 13 | wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati
199 1Tim 5 4 | hilo ni jambo la kupendeza mbele ya Mungu.~
200 1Tim 5 21 | 21 Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo
201 1Tim 5 21 | Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu, na mbele
202 1Tim 5 21 | mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika watakatifu uyazingatie
203 1Tim 6 12 | wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.~
204 1Tim 6 13 | 13 Mbele ya Mungu anayevipa vitu
205 1Tim 6 13 | anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa
206 1Tim 6 13 | ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,~
207 2Tim 2 2 | uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi
208 2Tim 2 14 | mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu
209 2Tim 2 15 | Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi
210 2Tim 4 1 | 1 Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo
211 2Tim 4 1 | Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu
212 Hebr 4 13 | chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa
213 Hebr 4 13 | kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi
214 Hebr 6 1 | 1 Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na
215 Hebr 6 3 | 3 tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu
216 Hebr 6 18 | imara tumaini lililowekwa mbele yetu.~
217 Hebr 9 24 | kwenyewe ambako sasa anasimama mbele ya Mungu kwa ajili yetu.~
218 Hebr 9 27 | moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,~
219 Hebr 12 1 | hili kubwa la mashahidi mbele yetu. Kwa hiyo tuondoe kila
220 Hebr 12 1 | katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.~
221 Hebr 12 23 | yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu aliye hakimu wa
222 Hebr 12 23 | aliye hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu
223 Hebr 13 17 | watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii
224 James 1 27| safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia
225 James 2 21| yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu? Kwa matendo
226 James 4 10| 10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.~
227 1Pet 2 4 | lililokataliwa na watu; lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule,
228 1Pet 3 4 | ambao ni wa thamani kubwa mbele ya Mungu.~
229 1Pet 4 5 | kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari
230 2Pet 2 11 | hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana.~
231 2Pet 3 8 | wangu, msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti
232 2Pet 3 14 | kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani
233 1Joh 3 19 | na hatutakuwa na wasiwasi mbele ya Mungu.~
234 1Joh 3 21 | twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,~
235 1Joh 5 14 | 14 Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika
236 Jude 1 24 | kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,~
237 Rev 1 4 | kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,~
238 Rev 1 17 | nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti.
239 Rev 3 2 | yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.~
240 Rev 3 5 | nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya
241 Rev 3 5 | wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake.~
242 Rev 3 8 | yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna
243 Rev 3 9 | kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba
244 Rev 4 5 | za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi.
245 Rev 4 6 | 6 Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa
246 Rev 4 6 | hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.~
247 Rev 4 10 | ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya
248 Rev 4 10 | milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema:~
249 Rev 5 8 | wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja,
250 Rev 7 9 | Nao walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele
251 Rev 7 9 | mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo, wakiwa wamevaa
252 Rev 7 11 | vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu
253 Rev 7 15 | 15 Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.
254 Rev 8 2 | malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu wamepewa tarumbeta
255 Rev 8 3 | chetezo cha dhahabu, akasimama mbele ya madhabahu ya kufukizia
256 Rev 8 3 | madhabahu ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi.~
257 Rev 8 4 | mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu.~
258 Rev 9 13 | madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.~
259 Rev 11 4 | na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia.~
260 Rev 11 16 | ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao
261 Rev 12 4 | duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu
262 Rev 12 10 | ndugu zetu, aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku
263 Rev 13 12 | na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha
264 Rev 13 13 | mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.~
265 Rev 13 14 | hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia
266 Rev 14 3 | Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele
267 Rev 14 3 | mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne
268 Rev 14 10 | ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na
269 Rev 14 10 | ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo.~
270 Rev 16 15 | akaenda uchi huko na huko mbele ya watu."~
271 Rev 19 10 | mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu.
272 Rev 19 20 | aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo,
273 Rev 20 11 | Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana
274 Rev 20 12 | wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu
275 Rev 22 8 | na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika
|