Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
iliyowekwa 4
ilizidi 1
iluriko 1
imani 254
imara 34
imarisha 1
imarisheni 1
Frequency    [«  »]
259 wengine
255 akawaambia
255 chapter
254 imani
253 14
251 kitu
246 15

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

imani

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 6 30 | kwenu ninyi? Enyi watu wenye imani haba!~ 2 Matt 8 10 | katika Israeli aliye na imani kama hii.~ 3 Matt 8 26 | akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?" Basi, 4 Matt 9 2 | ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu 5 Matt 9 22 | akamwambia, "Binti, jipe moyo! Imani yako imekuponya." Mama huyo 6 Matt 14 31 | na kumwambia, "Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?"~ 7 Matt 15 28 | Hapo Yesu akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe 8 Matt 16 8 | akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba! Mbona mnajadiliana 9 Matt 17 17 | Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa 10 Matt 17 20 | akawajibu, "Kwa sababu ya imani yenu haba. Nawaambieni kweli, 11 Matt 17 20 | kweli, kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu 12 Matt 21 21 | nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza 13 Matt 21 22 | 22 Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika 14 Matt 23 23 | kama vile haki, huruma na imani. Haya ~ndiyo hasa mliyopaswa 15 Matt 24 10 | 10 Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana.~ 16 Mark 2 5 | 5 Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu 17 Mark 4 40 | mnaogopa? Je, bado hamna imani?"~ 18 Mark 5 34 | Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa 19 Mark 9 19 | Enyi kizazi kisicho na imani! Nitakaa nanyi mpaka lini? 20 Mark 9 23 | yanawezekana kwa mtu aliye na imani."~ 21 Mark 9 24 | sauti, "Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!"~ 22 Mark 10 52 | Yesu akamwambia, "Nenda, imani yako imekuponya." Mara huyo 23 Luke 5 20 | alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, " 24 Luke 7 9 | unamfuata, akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata katika 25 Luke 7 50 | akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa 26 Luke 8 25 | Kisha akawaambia, "Iko wapi imani yenu?" Lakini wao walishangaa 27 Luke 8 48 | Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa 28 Luke 9 41 | Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa 29 Luke 12 28 | ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!~ 30 Luke 17 5 | wakamwambia Bwana, "Utuongezee imani."~ 31 Luke 17 6 | Naye Bwana akajibu, "Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata 32 Luke 17 19 | mtu, "Simama, uende zako; imani yako imekuponya."~ 33 Luke 18 8 | hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa 34 Luke 18 42 | 42 Yesu akamwambia, "Ona! Imani yako imekuponya."~ 35 Luke 22 32 | Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, 36 John 2 24 | 24 Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua 37 John 16 1 | Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.~ 38 Acts 3 16 | 16 Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo 39 Acts 3 16 | mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya 40 Acts 5 13 | watu wengine wasiokuwa wa imani hiyo waliwasifu.~ 41 Acts 6 5 | Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na 42 Acts 6 7 | kubwa la makuhani wakaipokea imani.~ 43 Acts 11 24 | kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa 44 Acts 13 8 | kisiwa asije akaigeukia imani ya Kikristo.~ 45 Acts 14 9 | alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa,~ 46 Acts 14 22 | moyo wabaki imara katika imani. Wakawaambia, "Ni lazima 47 Acts 14 27 | mlango wa kuingia katika imani.~ 48 Acts 15 9 | aliitakasa mioyo yao kwa imani.~ 49 Acts 16 5 | yalizidi kuwa imara katika imani, na idadi ya waumini ikaongezeka 50 Acts 26 11 | nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa 51 Acts 26 27 | 27 Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua kwamba 52 Roma 1 8 | ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inasikika duniani kote.~ 53 Roma 1 12 | kusema, tutaimarishana: imani yenu itaniimarisha mimi, 54 Roma 1 17 | jambo hili hufanyika kwa imani, tangu mwanzo mpaka mwisho. 55 Roma 1 17 | ilivyoandikwa: "Mwadilifu*fa* kwa imani ataishi."~ 56 Roma 3 22 | kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu 57 Roma 3 25 | kuwaondolea watu dhambi zao kwa imani yao kwake. Alifanya hivyo 58 Roma 3 28 | hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa 59 Roma 3 30 | Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa 60 Roma 3 30 | mataifa mengine pia kwa imani yao.~ 61 Roma 3 31 | 31 Je, tunaitumia imani kuibatilisha Sheria? Hata 62 Roma 4 5 | waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, na hivi humkubali 63 Roma 4 11 | mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla 64 Roma 4 12 | wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata 65 Roma 4 14 | wanaoitii Sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo 66 Roma 4 16 | hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo 67 Roma 4 16 | pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba 68 Roma 4 19 | karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua 69 Roma 4 20 | alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.~ 70 Roma 5 1 | tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu 71 Roma 5 2 | 2 Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika 72 Roma 9 4 | nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.~ 73 Roma 9 30 | kuwa waadilifu kwa njia ya imani,~ 74 Roma 9 32 | yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe 75 Roma 10 6 | kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: "Usiseme 76 Roma 10 8 | moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.~ 77 Roma 10 17 | 17 Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza 78 Roma 11 20 | Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa 79 Roma 11 20 | bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; 80 Roma 11 23 | kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana 81 Roma 12 3 | kufuatana na kipimo cha imani Mungu aliyomgawia kila mmoja.~ 82 Roma 12 6 | unabii na akitumie kadiri ya imani yake.~ 83 Roma 14 2 | Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila 84 Roma 14 2 | lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu 85 Roma 14 23 | kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na 86 Roma 14 23 | kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.~ ~ ~~ ~ 87 Roma 15 1 | Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale 88 Roma 15 2 | huyo apate kujijenga katika imani.~ 89 Roma 15 13 | yote na amani kutokana na imani yenu; tumaini lenu lipate 90 1Cor 2 5 | 5 Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu 91 1Cor 3 5 | ambao tuliwaleteeni ninyi imani. Kila mmoja wetu anafanya 92 1Cor 8 9 | wenu usiwafanye walio na imani dhaifu waanguke katika dhambi.~ 93 1Cor 12 9 | Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji 94 1Cor 13 2 | kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha 95 1Cor 13 13 | Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini 96 1Cor 14 22 | kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale 97 1Cor 15 14 | mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.~ 98 1Cor 15 17 | Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali 99 1Cor 16 13 | Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.~ 100 1Cor 16 15 | wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, 101 2Cor 1 24 | Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika 102 2Cor 1 24 | ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya 103 2Cor 4 13 | tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu 104 2Cor 5 7 | 7 Maana tunaishi kwa imani, na si kwa kuona.~ 105 2Cor 7 4 | 4 Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; 106 2Cor 8 7 | 7 Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; 107 2Cor 8 22 | moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.~ 108 2Cor 10 15 | ila tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu 109 2Cor 13 5 | mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. 110 Gala 1 23 | hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu 111 Gala 2 16 | kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa 112 Gala 2 20 | ninayoishi sasa naishi kwa imani, imani katika Mwana wa Mungu 113 Gala 2 20 | ninayoishi sasa naishi kwa imani, imani katika Mwana wa Mungu aliyenipenda 114 Gala 3 8 | kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu 115 Gala 3 9 | 9 Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu 116 Gala 3 11 | Matakatifu yasema: "Mwadilifu kwa imani ataishi."~ 117 Gala 3 12 | Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: "Mwenye 118 Gala 3 14 | njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye 119 Gala 3 23 | 23 Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa 120 Gala 3 23 | ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe.~ 121 Gala 3 24 | Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.~ 122 Gala 3 25 | 25 Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.~ 123 Gala 3 26 | 26 Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto 124 Gala 5 5 | kuwa waadilifu kwa njia ya imani.~ 125 Gala 5 6 | hakuna maana; cha maana ni imani ifanyayo kazi kwa mapendo. 126 Gala 6 10 | wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.~ 127 Ephe 1 15 | tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo 128 Ephe 2 8 | mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya 129 Ephe 3 12 | na Kristo, na kwa njia ya imani katika Kristo, sisi tunathubutu 130 Ephe 3 17 | Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na 131 Ephe 4 5 | 5 Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;~ 132 Ephe 4 13 | hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; 133 Ephe 6 16 | 16 Zaidi ya hayo yote, imani iwe daima kama ngao mikononi 134 Ephe 6 23 | ninyi ndugu amani, upendo na imani kutoka kwa Mungu Baba na 135 Colo 1 4 | 4 Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu 136 Colo 1 5 | linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea 137 Colo 1 23 | imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa 138 Colo 2 5 | mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.~ 139 Colo 2 7 | yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. 140 Colo 2 12 | mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu 141 Colo 4 11 | Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio 142 1The 1 3 | twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi 143 1The 1 8 | Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. 144 1The 3 3 | 3 kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu 145 1The 3 5 | nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda 146 1The 3 6 | habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu 147 1The 3 7 | 7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika 148 1The 3 10 | chochote kilichopungua katika imani yenu.~ 149 1The 5 8 | na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga 150 2The 1 3 | kwetu kufanya hivyo kwani imani yenu inakua sana na kupendana 151 2The 1 11 | kukamilisha kazi yenu ya imani.~ 152 2The 2 13 | watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.~ 153 1Tim 1 2 | Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma 154 1Tim 1 4 | katika mpango ujulikanao kwa imani.~ 155 1Tim 1 5 | safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.~ 156 1Tim 1 13 | huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa 157 1Tim 1 14 | yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana 158 1Tim 1 19 | 19 na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu 159 1Tim 1 19 | zao na hivyo wakaiharibu imani yao.~ 160 1Tim 2 7 | mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; 161 1Tim 2 15 | watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu.~ ~ ~~ ~ 162 1Tim 3 6 | ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi 163 1Tim 3 9 | njema ukweli wa ndani wa imani.~ 164 1Tim 3 13 | kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.~ 165 1Tim 4 1 | wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu 166 1Tim 4 6 | ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, 167 1Tim 4 12 | mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.~ 168 1Tim 5 8 | basi, mtu huyo ameikana imani, na ni mbaya zaidi kuliko 169 1Tim 6 10 | wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao 170 1Tim 6 11 | uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu.~ 171 1Tim 6 12 | katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima 172 1Tim 6 12 | uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi 173 1Tim 6 21 | matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema!~ 174 2Tim 1 5 | 5 Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa 175 2Tim 1 5 | Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako 176 2Tim 1 13 | niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika 177 2Tim 2 18 | mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi 178 2Tim 2 22 | za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na 179 2Tim 3 10 | makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, 180 2Tim 3 15 | iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.~ 181 2Tim 4 7 | nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.~ 182 Titus 1 1 | Mimi nimechaguliwa kuijenga imani ya wateule wa Mungu na kuwaongoza 183 Titus 1 4 | mwanangu wa kweli katika imani tunayoshiriki. Nakutakia 184 Titus 1 13| kuwakaripia vikali, ili wawe na imani kamilifu.~ 185 Titus 2 2 | wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.~ 186 Titus 3 15| Wasalimu rafiki zetu katika imani. Nawatakieni nyote neema 187 Phil 1 5 | maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu 188 Phil 1 6 | 6 Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja 189 Hebr 3 1 | alimtuma awe Kuhani Mkuu wa imani tunayoiungama.~ 190 Hebr 4 2 | lakini hawakuupokea kwa imani.~ 191 Hebr 4 11 | sababu ya ukosefu wao wa imani.~ 192 Hebr 4 14 | kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye 193 Hebr 6 4 | 4 Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha 194 Hebr 6 6 | 6 kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha 195 Hebr 10 22 | Mungu kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa 196 Hebr 11 1 | 1 Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo 197 Hebr 11 2 | cha Mungu kwa sababu ya imani yao.~ 198 Hebr 11 3 | 3 Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu 199 Hebr 11 4 | 4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu 200 Hebr 11 4 | kuliko ile ya Kaini. Kwa imani yake alikubaliwa na Mungu 201 Hebr 11 4 | alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa, bado 202 Hebr 11 5 | 5 Kwa imani Henoki alichukuliwa na Mungu, 203 Hebr 11 6 | 6 Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. 204 Hebr 11 7 | 7 Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu 205 Hebr 11 7 | akapokea uadilifu unaotokana na imani.~ 206 Hebr 11 8 | 8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa 207 Hebr 11 9 | 9 Kwa imani aliishi kama mgeni katika 208 Hebr 11 11 | 11 Kwa imani hata Sara aliamini kwamba 209 Hebr 11 13 | wote walikufa wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea 210 Hebr 11 17 | 17 Kwa imani, Abrahamu alimtoa mwanae 211 Hebr 11 20 | 20 Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo 212 Hebr 11 21 | 21 Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu 213 Hebr 11 22 | 22 Kwa imani Yosefu alipokuwa karibu 214 Hebr 11 23 | 23 Kwa imani wazazi wa Mose walimficha 215 Hebr 11 24 | 24 Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, 216 Hebr 11 27 | 27 Kwa imani Mose alihama kutoka nchi 217 Hebr 11 28 | 28 Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, 218 Hebr 11 29 | 29 Kwa imani watu wa Israeli walivuka 219 Hebr 11 30 | 30 Kwa imani kuta za mji wa Yeriko zilianguka 220 Hebr 11 31 | 31 Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya 221 Hebr 11 33 | 33 Kwa imani hawa wote walipigana vita 222 Hebr 11 39 | kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea 223 Hebr 12 2 | ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. 224 Hebr 13 7 | ya mwenendo wao, mkaige imani yao.~ 225 James 1 3 | 3 kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni 226 James 1 6 | Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu 227 James 2 5 | wapate kuwa matajiri katika imani na kupokea Utawala aliowaahidia 228 James 2 14| faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? 229 James 2 14| haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa?~ 230 James 2 17| 17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.~ 231 James 2 18| anaweza kusema: "Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!" Haya! 232 James 2 18| jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha 233 James 2 18| matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.~ 234 James 2 20| wataka kuonyeshwa kwamba imani bila matendo imekufa?~ 235 James 2 22| 22 Waona basi, kwamba imani yake iliandamana na matendo 236 James 2 22| iliandamana na matendo yake; imani yake ilikamilishwa kwa matendo 237 James 2 23| alimwamini Mungu na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu 238 James 2 24| kwa matendo yake na si kwa imani peke yake.~ 239 James 2 26| roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.~ ~~ ~ 240 James 5 15| 15 Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana 241 1Pet 1 5 | zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu 242 1Pet 1 7 | Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe 243 1Pet 1 7 | moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani 244 1Pet 1 9 | roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.~ 245 1Pet 1 21 | kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa 246 1Pet 5 9 | 9 Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba 247 2Pet 1 1 | Mwokozi Yesu Kristo, mmejaliwa imani ileile ya thamani kuu tuliyojaliwa 248 2Pet 1 5 | kuongeza fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika 249 1Joh 5 4 | tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.~ 250 Jude 1 3 | mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia 251 Jude 1 20 | kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa 252 Rev 2 13 | unashikilia jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile 253 Rev 2 19 | yote. Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu 254 Rev 13 10 | Mungu wawe na uvumilivu na imani."~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License