Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 8 | Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. Mkisha mpata
2 Matt 2 8 | Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."~
3 Matt 4 23 | katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu.
4 Matt 4 24 | 24 Habari zake zikaenea katika mkoa
5 Matt 8 33 | wakaenda mjini. Huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata
6 Matt 9 26 | 26 Habari hiyo ikavuma sana katika
7 Matt 9 31 | wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile
8 Matt 9 35 | masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu,
9 Matt 10 18 | sababu yangu, mpate kutangaza Habari Njema kwao na kwa mataifa.~
10 Matt 11 2 | mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo.
11 Matt 11 5 | na maskini wanahubiriwa Habari Njema.~
12 Matt 11 7 | kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: "Mlikwenda kutazama
13 Matt 12 16 | akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,~
14 Matt 14 12 | Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.~
15 Matt 14 13 | 13 Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale
16 Matt 14 13 | yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka
17 Matt 14 35 | walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo.
18 Matt 18 31 | sana, wakaenda kumpasha habari bwana wao juu ya mambo hayo
19 Matt 24 14 | kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya Ufalme wa Mungu
20 Matt 26 13 | kweli, popote ambapo hii Habari Njema itahubiriwa ulimwenguni,
21 Matt 28 15 | wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi
22 Mark 1 1 | 1 Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana
23 Mark 1 14 | alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema,~
24 Mark 1 15 | umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!"~
25 Mark 1 28 | 28 Habari za Yesu zikaenea upesi kila
26 Mark 1 45 | akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema
27 Mark 2 1 | Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani.~
28 Mark 3 21 | wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua
29 Mark 5 27 | 27 Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya
30 Mark 6 16 | Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, "Huyu ni Yohane!
31 Mark 6 29 | Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakachukua mwili
32 Mark 7 25 | alikuwa na pepo, alisikia habari za Yesu. Basi, akaja akajitupa
33 Mark 7 36 | ndivyo walivyozidi kutangaza habari hiyo.~
34 Mark 8 30 | akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.~
35 Mark 8 35 | ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.~
36 Mark 10 29 | ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema,~
37 Mark 13 10 | 10 Lakini lazima kwanza Habari Njema ihubiriwe kwa mataifa
38 Mark 14 9 | kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo
39 Mark 14 11 | Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi
40 Mark 14 71 | simjui mtu huyu mnayesema habari zake."~
41 Mark 16 15 | ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu.~
42 Luke 1 19 | niseme nawe, nikuletee hii habari njema.~
43 Luke 1 58 | wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma
44 Luke 1 65 | ikawaingia jirani wote, na habari hizo zikaenea kila mahali
45 Luke 2 10 | Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa
46 Luke 2 17 | huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu
47 Luke 2 18 | hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.~
48 Luke 2 38 | akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote
49 Luke 2 43 | bila wazazi wake kuwa na habari.~
50 Luke 3 18 | aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.~
51 Luke 4 14 | nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu
52 Luke 4 18 | mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie
53 Luke 4 37 | 37 Habari zake zikaenea mahali pote
54 Luke 4 43 | akawaambia, "Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu
55 Luke 5 15 | 15 Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea
56 Luke 7 3 | Yule jemadari aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee
57 Luke 7 17 | 17 Habari hizo zikaenea kote katika
58 Luke 7 18 | Wanafunzi wa Yohane walimpa habari Yohane juu ya mambo hayo
59 Luke 7 22 | na maskini wanahubiriwa Habari njema.~
60 Luke 7 37 | maisha mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani
61 Luke 8 1 | miji na vijiji akitangaza Habari Njema za Ufalme wa Mungu.
62 Luke 8 20 | 20 Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake
63 Luke 8 34 | walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari, mjini na mashambani.~
64 Luke 8 49 | akiongea, Yairo akaletewa habari kutoka nyumbani: "Binti
65 Luke 9 6 | wakapitia vijijini wakihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa
66 Luke 9 7 | mtawala Herode, alipata habari za mambo yote yaliyokuwa
67 Luke 9 9 | ni nani huyu ninayesikia habari zake?" Akawa na hamu ya
68 Luke 9 21 | akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.~
69 Luke 20 1 | Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na
70 Luke 21 9 | 9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike;
71 Luke 21 13 | itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.~
72 Luke 23 8 | Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia
73 Luke 24 9 | kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote.~
74 Luke 24 10 | 10 Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria
75 John 1 15 | 15 Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "
76 John 1 18 | Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu.~
77 John 1 23 | ambaye nabii Isaya alisema habari zake: `Sauti ya mtu imesikika
78 John 1 45 | ambaye manabii waliandika habari zake, yaani Yesu Mwana wa
79 John 7 13 | mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa
80 John 11 6 | 6 Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa,
81 John 12 41 | utukufu wa Yesu, akasema habari zake.~
82 John 18 34 | yako au wengine wamekwambia habari zangu?"~
83 John 19 35 | aliyeona tukio hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini.
84 John 20 18 | Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona
85 John 21 23 | 23 Basi, habari hiyo ikaenea miongoni mwa
86 Acts 1 16 | maneno ya Daudi, alibashiri habari za Yuda ambaye aliwaongoza
87 Acts 1 19 | katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo,
88 Acts 3 24 | waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa
89 Acts 4 24 | 24 Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika
90 Acts 5 5 | akafa. Watu wote waliosikia habari ya tukio hilo waliogopa
91 Acts 5 11 | pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa
92 Acts 5 24 | makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi,
93 Acts 5 42 | siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo, Hekaluni
94 Acts 7 12 | 12 Basi, Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa
95 Acts 8 12 | ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu
96 Acts 8 14 | kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria
97 Acts 8 25 | Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi
98 Acts 8 35 | Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.~
99 Acts 8 40 | katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.
100 Acts 9 13 | akajibu, "Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu
101 Acts 9 24 | 24 Lakini Saulo alipata habari ya mpango huo. Usiku na
102 Acts 9 42 | 42 Habari ya tukio hili ilienea kila
103 Acts 10 36 | watu wa Israeli, akitangaza Habari Njema iletayo amani kwa
104 Acts 10 42 | 42 Alituamuru kuihubiri Habari Njema kwa watu wote na kushuhudia
105 Acts 11 20 | mengine wakiwahubiria ile Habari Njema juu ya Bwana Yesu.~
106 Acts 11 22 | 22 Habari ya jambo hilo ikasikika
107 Acts 13 32 | tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu
108 Acts 14 7 | 7 wakawa wanahubiri Habari Njema huko.~
109 Acts 14 14 | Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi
110 Acts 14 15 | tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi
111 Acts 14 21 | Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe na kupata
112 Acts 15 3 | mengine yalivyomgeukia Mungu. Habari hizo zikawafurahisha sana
113 Acts 15 7 | miongoni mwenu niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa
114 Acts 16 10 | Mungu ametuita tuwapelekee Habari Njema.~
115 Acts 16 36 | askari wa gereza alimpasha habari Paulo: "Mahakimu wametuma
116 Acts 16 38 | Hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo,
117 Acts 17 21 | kuhadithiana na kusikiliza habari mpyampya. ic~
118 Acts 18 25 | motomoto, aliongea juu ya habari za Yesu. Akafundisha kwa
119 Acts 20 24 | niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu.~
120 Acts 21 21 | 21 Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha
121 Acts 21 22 | Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili
122 Acts 21 24 | watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako
123 Acts 21 31 | Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi
124 Acts 22 26 | aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "
125 Acts 23 15 | mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko
126 Acts 23 20 | Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.~
127 Acts 23 22 | yeyote kwamba amemletea habari hizo.~
128 Acts 25 2 | viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa
129 Acts 25 26 | 26 Kwa upande wangu sina habari kamili ambayo naweza kumwandikia
130 Acts 26 4 | 4 "Wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto,
131 Acts 28 15 | wa kule Roma walipopata habari zetu, wakaja kutulaki kwenye
132 Acts 28 21 | aliyefika hapa na kutoa habari rasmi au kusema chochote
133 Acts 28 23 | akijaribu kuwafanya wakubali habari juu ya Yesu kwa kutumia
134 Roma 1 1 | kuitwa kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema ya Mungu.~
135 Roma 1 2 | Mungu aliwaahidia watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii
136 Roma 1 3 | 3 Hii Habari Njema inamhusu Mwana wa
137 Roma 1 9 | wangu wote katika kuhubiri Habari Njema ya Mwanae, ni shahidi
138 Roma 1 15 | ninatamani pia kuihubiri Habari Njema kwenu ninyi mlioko
139 Roma 1 16 | 16 Sioni aibu kutangaza Habari Njema; yenyewe ni nguvu
140 Roma 1 17 | 17 Kwa maana Habari Njema inaonyesha wazi jinsi
141 Roma 2 16 | Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo
142 Roma 10 14 | kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari
143 Roma 10 14 | habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?~
144 Roma 10 15 | kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!"~
145 Roma 10 16 | Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: "
146 Roma 10 20 | nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu."~
147 Roma 11 28 | 28 Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa
148 Roma 15 16 | langu la kikuhani kuihubiri Habari Njema ya Mungu ili watu
149 Roma 15 19 | nimeihubiri kikamilifu Habari Njema ya Kristo.~
150 Roma 15 20 | imekuwa daima kuihubiri Habari Njema popote pale ambapo
151 Roma 15 21 | wote ambao hawakuambiwa habari zote wataona; nao wale ambao
152 Roma 16 25 | kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya
153 1Cor 1 11 | 11 Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu
154 1Cor 1 17 | kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila
155 1Cor 4 15 | niliyewazaeni kwa kuihubiri Habari Njema.~
156 1Cor 5 1 | 1 Ziko habari za kuaminika kwamba kuna
157 1Cor 9 12 | tusiiwekee kizuizi chochote Habari Njema ya Kristo.~
158 1Cor 9 14 | vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao
159 1Cor 9 16 | 16 Ikiwa ninaihubiri Habari Njema, hilo si jambo la
160 1Cor 9 16 | ole wangu kama sitaihubiri Habari Njema!~
161 1Cor 9 18 | wangu ni fursa ya kuihubiri Habari Njema bure, bila kudai haki
162 1Cor 9 23 | Nafanya haya yote kwa ajili ya Habari Njema, nipate kushiriki
163 1Cor 15 1 | napenda kuwakumbusha ile Habari Njema niliyowahubirieni
164 2Cor 2 12 | Nilipofika Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo, nilikuta
165 2Cor 4 3 | 3 Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika,
166 2Cor 4 4 | wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo,
167 2Cor 8 1 | Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu
168 2Cor 8 18 | sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa
169 2Cor 9 13 | sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama,
170 2Cor 10 14 | tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo.~
171 2Cor 10 16 | Hapo tutaweza kuihubiri Habari Njema katika nchi nyingine,
172 2Cor 11 4 | miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti kabisa na
173 2Cor 11 7 | 7 Mimi niliihubiri kwenu Habari Njema ya Mungu bila kudai
174 Gala 1 6 | neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.~
175 Gala 1 7 | 7 Lakini hakuna "Habari Njema" nyingine. Ukweli
176 Gala 1 7 | watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.~
177 Gala 1 8 | mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni
178 Gala 1 9 | mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine,
179 Gala 1 11 | napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe
180 Gala 1 16 | Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa
181 Gala 2 2 | niliwaeleza hao viongozi ujumbe wa Habari Njema niliohubiri kwa watu
182 Gala 2 5 | hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki nanyi daima.~
183 Gala 2 6 | kitu cha kuongeza katika Habari hii Njema kama niihubirivyo.~
184 Gala 2 7 | alikuwa amenituma kuhubiri Habari Njema kwa watu wa mataifa
185 Gala 2 14 | msimamo wao kuhusu ukweli wa Habari Njema haukuwa umenyooka,
186 Gala 3 1 | kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake
187 Gala 3 2 | ya kuisikia na kuiamini Habari Njema?~
188 Gala 3 5 | ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini?~
189 Gala 3 6 | 6 Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini
190 Gala 3 8 | yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: "Katika wewe mataifa
191 Gala 4 13 | ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza.~
192 Ephe 1 13 | mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu,
193 Ephe 2 17 | Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi
194 Ephe 3 6 | yenyewe ni hii: kwa njia ya Habari Njema watu wa mataifa mengine
195 Ephe 3 7 | nimefanywa kuwa mtumishi wa Habari Njema kwa neema ya pekee
196 Ephe 4 11 | manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji
197 Ephe 4 21 | kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake
198 Ephe 6 15 | 15 na hamu ya kutangaza Habari Njema ya amani iwe kama
199 Ephe 6 19 | kuwajulisha watu fumbo la Habari Njema kwa uthabiti.~
200 Ephe 6 20 | Mimi ni balozi kwa ajili ya Habari Njema hiyo ingawa sasa niko
201 Ephe 6 21 | mwaminifu wa Bwana, atawapeni habari zangu zote mpate kujua ninachofanya.~
202 Ephe 6 22 | 22 Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo.~
203 Colo 1 5 | ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa
204 Colo 1 6 | 6 Habari Njema inazidi kuzaa matunda
205 Colo 1 8 | 8 Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa
206 Colo 1 9 | tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni
207 Colo 1 23 | mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa
208 Colo 1 23 | nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa
209 Colo 4 7 | kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu zote.~
210 Colo 4 8 | mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu.~
211 Colo 4 9 | mwananchi mwenzenu. Watawapeni habari za mambo yote yanayofanyika
212 1The 1 5 | wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno
213 1The 2 2 | uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.~
214 1The 2 4 | tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza
215 1The 2 8 | tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia
216 1The 2 9 | kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya
217 1The 3 2 | ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma
218 1The 3 5 | na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa
219 1The 3 6 | amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani
220 1The 3 7 | 7 Basi, habari za imani yenu zimetutia
221 2The 1 8 | wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu.~
222 2The 2 14 | aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni;
223 1Tim 1 11 | Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa
224 1Tim 1 11 | nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na
225 2Tim 1 8 | katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa
226 2Tim 1 10 | za kifo, na kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima
227 2Tim 1 11 | mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema, ~
228 2Tim 2 8 | wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri.~
229 2Tim 2 9 | Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa
230 2Tim 4 5 | fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu
231 Phil 1 5 | 5 maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana
232 Phil 1 13 | kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.~
233 Hebr 2 5 | ulimwengu ule tunaoongea habari zake.~
234 Hebr 4 2 | 2 Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu
235 Hebr 4 6 | waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko
236 James 5 11| sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na
237 1Pet 1 12 | wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho
238 1Pet 1 25 | milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.~~ ~
239 1Pet 4 6 | kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha
240 1Pet 4 17 | gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu?~
241 1Joh 1 1 | 1 Habari hii ya yahusu Neno la uzima
242 1Joh 1 2 | tuliuona na sasa tunasema habari zake na kuwaambieni juu
243 1Joh 1 5 | 5 Basi, habari tuliyoisikia kwake Yesu
244 3Joh 1 6 | wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali
245 Rev 1 1 | 1 Hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa
246 Rev 14 6 | anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu,
|