Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 8 | matendo, kwamba mmetubu kweli.~
2 Matt 5 18 | 18 Kweli nawaambieni, mpaka hapo
3 Matt 5 26 | 26 Kweli nakwambia, hutatoka humo
4 Matt 5 37 | ukisema `Siyo`, basi iwe kweli `Siyo`. Chochote kinachozidi
5 Matt 6 2 | njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha
6 Matt 6 5 | za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha
7 Matt 8 10 | watu waliokuwa wanamfuata, "Kweli nawaambieni, sijapata kumwona
8 Matt 10 15 | 15 Kweli nawaambieni, Siku ya hukumu
9 Matt 10 23 | kimbilieni mji mwingine. Kweli nawaambieni, hamtamaliza
10 Matt 10 42 | 42 Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa
11 Matt 11 11 | 11 Kweli nawaambieni, miongoni mwa
12 Matt 13 17 | 17 Kweli nawaambieni, manabii na
13 Matt 14 28 | akamwambia, "Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji
14 Matt 15 27 | 27 Huyo mama akajibu, "Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata
15 Matt 16 28 | 28 Kweli nawaambieni, wako wengine
16 Matt 17 11 | 11 Yesu akawajibu, "Kweli, Eliya atakuja kutayarisha
17 Matt 17 20 | imani yenu haba. Nawaambieni kweli, kama tu mkiwa na imani,
18 Matt 18 3 | kisha akasema, "Nawaambieni kweli, msipogeuka na kuwa kama
19 Matt 18 13 | 13 Akimpata, nawaambieni kweli, humfurahia huyo kuliko
20 Matt 18 18 | 18 "Nawaambieni kweli, mtakachofunga duniani kitafungwa
21 Matt 19 23 | akawaambia wanafunzi wake, "Kweli nawaambieni, itakuwa vigumu
22 Matt 19 28 | akawaambia, "Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi
23 Matt 20 23 | 23 Yesu akawaambia, "Kweli mtakunywa kikombe changu,
24 Matt 21 21 | 21 Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kama mkiwa
25 Matt 21 31 | Basi, Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, watoza ushuru
26 Matt 22 8 | Karamu ya arusi iko tayari ~kweli, lakini walioalikwa hawakustahili. ~
27 Matt 22 29 | 29 Yesu akawajibu, "Kweli mmekosea kwa sababu hamjui
28 Matt 23 36 | 36 Nawaambieni kweli, kizazi hiki kitapata adhabu
29 Matt 23 39 | 39 Nakwambia kweli, hutaniona tena mpaka wakati
30 Matt 24 2 | mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata
31 Matt 24 34 | 34 Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita
32 Matt 24 47 | 47 Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi
33 Matt 25 12 | akawajibu, `Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."`~
34 Matt 25 40 | 40 Mfalme atawajibu, `Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea
35 Matt 25 45 | atawajibu, `Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea
36 Matt 26 13 | 13 Nawaambieni kweli, popote ambapo hii Habari
37 Matt 26 21 | Yesu akasema, "Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti."~
38 Matt 26 34 | 34 Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu kabla
39 Mark 3 28 | 28 "Kweli nawaambieni, watu watasamehewa
40 Mark 4 12 | 12 ili, `Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie
41 Mark 4 12 | lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo,
42 Mark 8 12 | kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki
43 Mark 9 1 | Yesu akaendelea kuwaambia, "Kweli nawaambieni, wako wengine
44 Mark 10 15 | 15 Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea
45 Mark 10 29 | 29 Yesu akasema, "Kweli nawaambieni, kila mtu aliyeacha
46 Mark 10 39 | nitakachokunywa mtakinywa kweli, na mtabatizwa kama nitakavyobatizwa.~
47 Mark 11 23 | 23 Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: `
48 Mark 11 32 | waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.)~
49 Mark 12 32 | Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu
50 Mark 12 43 | wanafunzi wake, akawaambia, "Kweli nawaambieni, huyu mama mjane
51 Mark 13 30 | 30 Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita
52 Mark 14 9 | 9 Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari
53 Mark 14 18 | mezani wakila, Yesu alisema, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu
54 Mark 14 21 | 21 Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake
55 Mark 14 25 | 25 Kweli nawaambieni, sitakunywa
56 Mark 14 30 | 30 Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu, kabla
57 Mark 15 39 | na kukata roho, akasema, "Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa
58 Luke 4 25 | 25 Lakini, sikilizeni! Kweli kulikuwa na wajane wengi
59 Luke 7 39 | Kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke
60 Luke 9 27 | 27 Nawaambieni kweli, kuna wengine papa hapa
61 Luke 9 33 | kimoja cha Eliya."--Kwa kweli hakujua anasema nini.~
62 Luke 12 8 | 8 "Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani
63 Luke 12 54 | mwasema: `Mvua itanyesha`, na kweli hunyesha.~
64 Luke 16 11 | atakayewakabidhi zile mali za kweli?~
65 Luke 17 21 | hapa`, au `Uko pale`. Kwa kweli Ufalme wa Mungu uko kati
66 Luke 18 17 | 17 Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea
67 Luke 18 29 | 29 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, mtu yeyote
68 Luke 20 21 | unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna
69 Luke 21 3 | Basi, akasema, "Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia
70 Luke 22 22 | 22 Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa
71 Luke 23 37 | 37 wakisema: "Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi,
72 Luke 23 39 | alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo?
73 John 1 17 | ya Mose, lakini neema na kweli vimekuja kwa njia ya Kristo.~
74 John 1 51 | akaendelea kusema, "Nawaambieni kweli, mtaona mbingu zinafunguka
75 John 3 3 | 3 Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa
76 John 3 5 | 5 Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa
77 John 3 11 | 11 Kweli nakwambia, sisi twasema
78 John 3 33 | anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.~
79 John 4 17 | Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.~
80 John 4 18 | mume wako. Hapo umesema kweli."~
81 John 4 23 | fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu
82 John 4 24 | watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."~
83 John 4 37 | sababu hiyo msemo huu ni kweli: `Mmoja hupanda na mwingine
84 John 4 42 | tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."~
85 John 5 20 | 19 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mwana hawezi
86 John 5 25 | 24 "Kweli nawaambieni, anayesikia
87 John 5 26 | 25 Kweli nawaambieni, wakati unakuja,
88 John 5 32 | hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.~
89 John 5 33 | anayosema juu yangu ni ya kweli.~
90 John 5 47 | 46 Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini
91 John 6 26 | 26 Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, mnanitafuta
92 John 6 32 | 32 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni
93 John 6 47 | 47 Kweli, nawaambieni, anayeamini
94 John 6 53 | 53 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, msipokula mwili
95 John 6 55 | mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji
96 John 6 55 | damu yangu ni kinywaji cha kweli.~
97 John 7 26 | kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?~
98 John 7 28 | yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.~
99 John 7 40 | maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"~
100 John 8 14 | mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli kwa sababu mimi najua nilikotoka
101 John 8 26 | Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu
102 John 8 31 | mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.~
103 John 8 34 | 34 Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda
104 John 8 36 | akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.~
105 John 8 48 | wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria,
106 John 8 51 | 51 Kweli nawaambieni, anayeuzingatia
107 John 8 52 | wakasema, "Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu!
108 John 8 58 | 58 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu
109 John 10 1 | 1 Yesu alisema "Kweli nawaambieni, yeyote yule
110 John 10 7 | 7 Basi, akasema tena, "Kweli nawaambieni, mimi ni mlango
111 John 10 41 | aliyosema juu ya mtu huyu ni kweli kabisa."~
112 John 12 24 | 24 Kweli nawaambieni, punje ya ngano
113 John 13 16 | 16 Kweli nawaambieni, mtumishi si
114 John 13 20 | 20 Kweli nawaambieni anayempokea
115 John 13 21 | sana rohoni, akasema wazi, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu
116 John 13 38 | akajibu, "Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli
117 John 13 38 | kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakwambia, kabla jogoo hajawika
118 John 14 12 | 12 Kweli nawaambieni, anayeniamini
119 John 14 17 | 17 Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea
120 John 15 1 | 1 "Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.~
121 John 15 26 | kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia
122 John 16 13 | atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli
123 John 16 20 | 20 Nawaambieni kweli, ninyi mtalia na kuomboleza,
124 John 16 23 | hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba
125 John 17 3 | uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.~
126 John 17 8 | wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na wanaamini
127 John 21 18 | 18 Kweli nakwambia, ulipokuwa kijana
128 John 21 24 | twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.~
129 Acts 7 1 | akamwuliza, "Je, mambo haya ni kweli?"~
130 Acts 12 9 | huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota
131 Acts 12 15 | akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "Huyo
132 Acts 13 10 | chochote kile kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu
133 Acts 13 34 | Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi.`~
134 Acts 16 15 | alitualika akisema, "Kama kweli mmeona kwamba mimi namwamini
135 Acts 17 11 | waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.~
136 Acts 18 14 | Sikilizeni enyi Wayahudi! Kama kweli jambo hili lingekuwa juu
137 Acts 24 9 | kwamba hayo yote yalikuwa kweli. jeshi, aliingilia kati,
138 Acts 26 9 | 9 Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini
139 Acts 28 25 | Paulo alisema jambo hili, "Kweli ni sawa yale aliyoyanena
140 Roma 2 28 | kuwa Myahudi ni Myahudi wa kweli, wala mtu hawi Myahudi wa
141 Roma 2 28 | wala mtu hawi Myahudi wa kweli ati kwa kuwa ametahiriwa
142 Roma 2 29 | 29 Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa
143 Roma 4 17 | mataifa mengi." Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu
144 Roma 5 17 | 17 Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja
145 Roma 6 16 | na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake mtu huyo -
146 Roma 9 4 | akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.~
147 Roma 9 7 | Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko
148 Roma 10 2 | haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.~
149 Roma 13 4 | budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye
150 Roma 15 27 | kufanya hivyo; lakini, kwa kweli, hilo ni jukumu lao kwa
151 1Cor 3 3 | watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko wivu na
152 1Cor 3 18 | apate kuwa na hekima ya kweli.~
153 1Cor 4 8 | sisi! Naam, laiti mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze
154 1Cor 5 8 | chachu, mkate wa usafi na kweli.~
155 1Cor 6 6 | 6 Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka
156 1Cor 6 7 | 7 Kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe
157 1Cor 8 2 | kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.~
158 1Cor 10 19 | hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu?~
159 1Cor 11 20 | 20 Kweli mnakutana, lakini si kwa
160 1Cor 14 17 | yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine
161 1Cor 14 25 | kumwabudu Mungu akisema: "Kweli Mungu yupo pamoja nanyi."~
162 1Cor 15 15 | yeye hakumfufua - kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.~
163 1Cor 15 16 | 16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki,
164 2Cor 2 10 | Maana ninaposamehe - kama kweli ninacho cha kusamehe - nasamehe
165 2Cor 6 4 | yake, tunajionyesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila
166 2Cor 6 7 | 7 kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu
167 2Cor 6 8 | kuwa waongo, kumbe twasema kweli;~
168 2Cor 6 14 | wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje
169 2Cor 8 8 | jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.~
170 2Cor 8 24 | wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona
171 2Cor 9 5 | mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa
172 2Cor 10 3 | 3 Kweli tunaishi duniani, lakini
173 2Cor 11 3 | mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo.~
174 2Cor 13 5 | wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni
175 Gala 2 6 | kuwa ni viongozi - kama kweli walikuwa hivyo au sivyo,
176 Gala 2 15 | 15 Kweli, sisi kwa asili ni Wayahudi,
177 Gala 3 1 | Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari
178 Gala 4 8 | mkatumikia miungu isiyo miungu kweli.~
179 Gala 4 18 | 18 Kwa kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia
180 Ephe 1 13 | mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea
181 Ephe 4 24 | hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.~
182 Colo 1 5 | 5 Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni
183 Colo 1 6 | Mungu na kuitambua ilivyo kweli.~
184 Colo 2 2 | mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu
185 Colo 2 23 | 23 Kweli, masharti hayo yaonekana
186 Colo 2 23 | mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia
187 1The 1 5 | kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi
188 1The 1 9 | mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,~
189 1The 2 13 | kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu
190 1The 3 8 | 8 kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara
191 1The 4 1 | ili kumpendeza Mungu. Na kweli mmekuwa mnaishi hivyo. Sasa
192 1Tim 1 5 | dhamiri njema, na imani ya kweli.~
193 1Tim 1 10 | kinyume cha mafundisho ya kweli.~
194 1Tim 2 8 | wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua
195 1Tim 3 1 | 1 Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi
196 1Tim 4 6 | ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.~
197 1Tim 5 3 | wanawake wajane walio wajane kweli.~
198 1Tim 5 5 | 5 Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia,
199 1Tim 6 3 | hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo
200 1Tim 6 6 | 6 Kweli dini humfanya mtu awe tajiri
201 1Tim 6 19 | uzima ambao ni uzima wa kweli.~
202 2Tim 1 5 | Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya
203 2Tim 1 13 | makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki
204 2Tim 2 11 | 11 Usemi huu ni wa kweli: "Ikiwa tulikufa pamoja
205 2Tim 2 15 | hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.~
206 2Tim 4 3 | hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao
207 Titus 1 4 | Ninakuandikia wewe Tito, mwanangu wa kweli katika imani tunayoshiriki.
208 Titus 1 9 | wengine moyo kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya
209 Titus 3 8 | 8 Jambo hili ni kweli. Ninakutaka uyatilie mkazo
210 Titus 3 14| wasaidie katika mahitaji ya kweli, na maisha yao yawe ya kufaa.~
211 Hebr 2 2 | malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye
212 Hebr 2 3 | walituthibitishia kwamba ni kweli.~
213 Hebr 8 2 | yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo
214 Hebr 10 2 | wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa
215 Hebr 11 19 | wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae
216 Hebr 12 29 | 29 maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.~ ~~ ~
217 1Pet 3 4 | hali ya ndani ya utu wa kweli, uzuri usioharibika wa wema
218 1Pet 5 12 | jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema
219 1Joh 2 19 | kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana
220 1Joh 2 27 | na mafundisho yake ni ya kweli, si ya uongo. Basi shikeni
221 1Joh 3 1 | tunaitwa watoto wa Mungu! Na kweli, ndivyo tulivyo. Ndiyo maana
222 1Joh 3 18 | matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.~
223 1Joh 5 6 | Roho anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli.~
224 1Joh 5 20 | elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi katika muungano
225 1Joh 5 20 | katika muungano na Mungu wa kweli - katika muungano na Mwanae,
226 1Joh 5 20 | Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio uzima wa milele.~
227 2Joh 1 1 | watoto wako ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda,
228 3Joh 1 1 | rafiki yangu, ninayekupenda kweli.~
229 3Joh 1 12 | wajua kwamba tunachosema ni kweli.~
230 Rev 2 9 | umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa
231 Rev 2 9 | Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani.~
232 Rev 3 7 | yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo
233 Rev 3 9 | yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe.~
234 Rev 3 14 | shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe
235 Rev 3 18 | kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia
236 Rev 15 3 | njia zako ni za haki na za kweli!~
237 Rev 16 7 | Uwezo! Hukumu zako ni za kweli na haki!"~
238 Rev 19 2 | Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule
239 Rev 19 9 | akaniambia, "Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu."~
240 Rev 19 11 | aliitwa "Mwaminifu" na "Kweli". Huyo huhukumu na kupigana
241 Rev 21 5 | haya ni ya kuaminika na ya kweli!"~
242 Rev 22 6 | akaniambia, "Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu
|