Book, Chapter, Verse
1 Matt 6 29 | nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata
2 Matt 7 4 | jichoni mwako`, wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako?~
3 Matt 8 17 | nabii Isaya yatimie: "Yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua
4 Matt 12 26 | anamfukuza Shetani, anajipinga mwenyewe. Basi, ufalme wake utasimamaje?~
5 Matt 16 24 | wangu, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake,
6 Matt 16 25 | anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;~
7 Matt 19 19 | yako kama unavyojipenda mwenyewe."~
8 Matt 22 39 | kama unavyojipenda ~wewe mwenyewe.> ~
9 Matt 27 40 | kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu,
10 Matt 27 42 | wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme
11 Mark 6 17 | 17 Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane
12 Mark 8 34 | mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake,
13 Mark 8 35 | anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu
14 Mark 12 31 | yako kama unavyojipenda mwenyewe.` Hakuna amri nyingine iliyo
15 Mark 12 33 | yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi
16 Mark 12 36 | 36 Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu
17 Mark 12 37 | 37 "Daudi mwenyewe anamwita Kristo Bwana. Basi,
18 Mark 15 30 | shuka msalabani ujiokoe mwenyewe!"~
19 Mark 15 31 | wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi!~
20 Luke 1 4 | ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.~
21 Luke 2 35 | wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga
22 Luke 4 23 | msemo huu: `Mganga jiponye mwenyewe`, na pia mtasema: `Yote
23 Luke 6 41 | iliyo katika jicho lako mwenyewe?~
24 Luke 6 42 | iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza
25 Luke 9 24 | anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; lakini atakayeyapoteza
26 Luke 9 25 | kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe?~
27 Luke 10 1 | kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.~
28 Luke 10 27 | yako kama unavyojipenda mwenyewe."~
29 Luke 11 18 | Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje?
30 Luke 12 21 | anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele
31 Luke 12 27 | nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata
32 Luke 13 35 | 35 Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika
33 Luke 14 26 | naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi
34 Luke 20 42 | 42 Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: `
35 Luke 21 15 | 15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno
36 Luke 22 71 | tumesikia akisema kwa mdomo wake mwenyewe."sw4323~ ~ ~~ ~
37 Luke 23 8 | mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa
38 Luke 23 35 | wengine; sasa na ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye Kristo,
39 Luke 23 37 | Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe."~
40 Luke 23 39 | ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia."~
41 Luke 24 15 | wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja
42 Luke 24 36 | walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "
43 Luke 24 39 | yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana
44 Luke 24 49 | 49 Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye
45 John 1 11 | Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.~
46 John 1 13 | mapenzi ya mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao.~
47 John 1 22 | nani? Wasema nini juu yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee
48 John 1 31 | 31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja
49 John 4 12 | sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake
50 John 4 44 | 44 Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "
51 John 5 21 | kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo
52 John 5 31 | kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia
53 John 5 31 | yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.~
54 John 5 32 | 31 Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi
55 John 5 44 | mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.~
56 John 6 6 | kumjaribu Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.)~
57 John 7 17 | Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.~
58 John 7 18 | 18 Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe;
59 John 7 18 | mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa
60 John 7 28 | sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi
61 John 8 13 | wakamwambia, "Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako
62 John 8 14 | Hata kama ninajishuhudia mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli
63 John 8 18 | 18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma,
64 John 8 28 | kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba
65 John 8 42 | Sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.~
66 John 8 50 | sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta
67 John 8 54 | akawajibu, "Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu.
68 John 9 21 | aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima, anaweza
69 John 9 21 | mzima, anaweza kujitetea mwenyewe."~
70 John 10 18 | na nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na
71 John 11 51 | hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani
72 John 12 49 | sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye
73 John 13 32 | utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.~
74 John 16 13 | hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote
75 John 16 27 | 27 maana yeye mwenyewe anawapenda ninyi, kwa sababu
76 John 17 19 | 19 na kwa ajili yao mimi mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia
77 John 19 5 | akawaambia, "Tazameni! Mtu mwenyewe ni huyo."~
78 Acts 1 25 | Yuda akaenda mahali pake mwenyewe."~
79 Acts 2 6 | wakisema kwa lugha yake mwenyewe.~
80 Acts 2 8 | wakisema kwa lugha yake mwenyewe?~
81 Acts 2 23 | Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba
82 Acts 2 34 | 34 Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni;
83 Acts 8 34 | mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?"~
84 Acts 9 16 | 16 Mimi mwenyewe nitamwonyesha mengi yatakayomlazimu
85 Acts 9 17 | Bwana ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani
86 Acts 13 36 | 36 Sasa, Daudi mwenyewe alitimiza mapenzi ya Mungu
87 Acts 16 28 | sauti kubwa: "Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko
88 Acts 17 25 | chochote kile, kwa maana yeye mwenyewe ndiye anayewapa watu uhai,
89 Acts 19 30 | 30 Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati
90 Acts 20 34 | nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji
91 Acts 20 35 | tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: `Heri zaidi kutoa kuliko
92 Acts 22 14 | mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.~
93 Acts 23 3 | Paulo akamwambia, "Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye
94 Acts 23 3 | unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru
95 Acts 24 6 | nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo
96 Acts 24 22 | 22 Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo
97 Acts 25 22 | Ningependa kumsikia mtu huyu mimi mwenyewe." Festo akamwambia, "Utamsikia
98 Acts 25 25 | Lakini, kwa vile Paulo mwenyewe alikata rufani kwa Kaisari,
99 Acts 26 3 | 3 Hasa kwa vile wewe mwenyewe ni mtaalamu wa desturi za
100 Acts 26 9 | 9 Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu
101 Acts 28 22 | inafaa tusikie kutoka kwako mwenyewe mambo yaliyo kichwani mwako.
102 Acts 28 30 | nyumba aliyoipanga yeye mwenyewe; akawa anawakaribisha wote
103 Roma 1 19 | ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhirisha.~
104 Roma 1 25 | kiumbe badala ya Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye
105 Roma 2 1 | wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya
106 Roma 2 17 | 17 Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia
107 Roma 2 21 | kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe,
108 Roma 2 21 | wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba.~
109 Roma 3 26 | wake. Kwa namna hiyo Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni
110 Roma 4 5 | asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye
111 Roma 4 23 | haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.~
112 Roma 8 16 | 16 Naye Roho mwenyewe anajiunga na roho zetu na
113 Roma 8 26 | inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa
114 Roma 8 33 | wateule wa Mungu? Mungu mwenyewe huwaondolea hatia!~
115 Roma 9 12 | unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.~
116 Roma 10 19 | Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: "Nitawafanyeni
117 Roma 13 9 | yako kama unavyojipenda mwenyewe."~
118 Roma 14 7 | mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa
119 Roma 14 7 | anayekufa kwa ajili yake mwenyewe~
120 Roma 15 3 | Maana Kristo hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama yasemavyo
121 1Cor 1 30 | 30 Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi
122 1Cor 2 15 | ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.~
123 1Cor 3 8 | kufuatana na jitihada yake mwenyewe.~
124 1Cor 3 15 | atapoteza tuzo lake; lakini yeye mwenyewe ataokolewa kana kwamba ameponyoka
125 1Cor 4 19 | hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza
126 1Cor 6 18 | dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.~
127 1Cor 7 2 | mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na
128 1Cor 7 2 | mwanamke awe na mume wake mwenyewe.~
129 1Cor 9 27 | nidhamu kamili, nisije mimi mwenyewe nikakataliwa baada ya kuwahubiria
130 1Cor 10 4 | mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe.~
131 1Cor 10 24 | Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.~
132 1Cor 10 33 | bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate
133 1Cor 11 14 | nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;~
134 1Cor 11 21 | hukikalia chakula chake mwenyewe, hata hutokea kwamba baadhi
135 1Cor 11 28 | Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate
136 1Cor 11 29 | kunywa hukumu yake yeye mwenyewe.~
137 1Cor 12 11 | tofauti, kama apendavyo mwenyewe.~
138 1Cor 12 24 | havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango,
139 1Cor 14 4 | kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha
140 1Cor 14 24 | yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu.~
141 1Cor 14 28 | mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.~
142 1Cor 15 38 | hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili
143 1Cor 16 21 | nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe.~
144 2Cor 1 21 | 21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha
145 2Cor 5 5 | 5 Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko
146 2Cor 5 20 | tunamwakilisha Kristo, naye Mungu mwenyewe anatutumia sisi kuwasihi
147 2Cor 6 16 | Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: "Nitafanya makao
148 2Cor 8 17 | hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.~
149 2Cor 10 1 | 1 Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana kuwa mpole
150 2Cor 10 10 | maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa pamoja nasi ni
151 2Cor 10 18 | Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na
152 2Cor 11 14 | ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika
153 2Cor 12 15 | na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho
154 Gala 1 4 | 4 Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu
155 Gala 1 12 | sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.~
156 Gala 4 14 | vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe.~
157 Gala 5 14 | yako kama unavyojipenda mwenyewe."~
158 Gala 6 3 | kitu, huyo anajidanganya mwenyewe.~
159 Gala 6 4 | aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza
160 Gala 6 5 | kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.~
161 Gala 6 11 | herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.~
162 Ephe 2 14 | 14 Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya
163 Ephe 2 14 | moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha
164 Ephe 2 20 | na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.~
165 Ephe 4 13 | kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.~
166 Ephe 5 2 | kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu
167 Ephe 5 23 | juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili
168 Ephe 5 25 | alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake.~
169 Ephe 5 33 | ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi
170 Colo 2 2 | ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.~
171 Colo 2 8 | watawala, na wala si Kristo mwenyewe!~
172 Colo 2 11 | bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na
173 Colo 4 18 | Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe: Salamu kutoka kwangu, mimi
174 1The 2 11 | anavyowatendea watoto wake mwenyewe.~
175 1The 3 11 | Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie
176 1The 4 8 | mtu, bali amdharau Mungu mwenyewe anayewapeni Roho wake Mtakatifu.~
177 1The 4 11 | ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono
178 1The 4 11 | afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale
179 1The 4 16 | tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni.
180 2The 2 16 | Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye
181 2The 3 16 | 16 Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha amani,
182 2The 3 17 | 17 Kwa mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka
183 1Tim 2 6 | 6 ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo
184 1Tim 4 16 | Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea
185 1Tim 4 16 | ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.~ ~ ~~ ~
186 2Tim 1 9 | akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo
187 2Tim 2 13 | maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."~
188 Titus 2 7 | 7 Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo
189 Titus 2 14| 14 Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe
190 Titus 2 14| watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda
191 Phil 1 12 | ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.~
192 Phil 1 14 | kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.~
193 Phil 1 17 | kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.~
194 Phil 1 19 | jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: yako.)~
195 Hebr 1 3 | kamili wa hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu
196 Hebr 2 3 | mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu,
197 Hebr 2 14 | wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki
198 Hebr 4 14 | aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe - Yesu, Mwana wa Mungu.~
199 Hebr 5 2 | 2 Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea
200 Hebr 5 3 | 3 Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea
201 Hebr 5 4 | Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu.
202 Hebr 5 5 | naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu,
203 Hebr 6 13 | ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu
204 Hebr 7 27 | kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi
205 Hebr 7 27 | tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati
206 Hebr 9 7 | anamtolea Mungu kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi ambazo
207 Hebr 9 12 | aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa
208 Hebr 9 14 | milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu.
209 Hebr 9 25 | hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,~
210 Hebr 9 26 | dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu.~
211 Hebr 10 20 | yaani kwa njia ya mwili wake mwenyewe.~
212 Hebr 11 4 | Mungu kuwa mwadilifu; Mungu mwenyewe alizikubali sadaka zake.
213 Hebr 11 10 | misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na
214 Hebr 11 16 | Mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.~
215 Hebr 13 5 | vitu mlivyo navyo. Mungu mwenyewe amesema: "Sitakuacha kamwe,
216 Hebr 13 12 | kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya
217 Hebr 13 21 | Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele
218 James 1 18| 18 Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la
219 James 1 23| anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.~
220 James 1 24| 24 Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara
221 James 1 26| haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.~
222 James 1 27| shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu
223 James 2 8 | kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema
224 1Pet 2 9 | takatifu; watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo
225 1Pet 2 21 | mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka kwa ajili yenu,
226 1Pet 2 24 | 24 Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika
227 1Pet 3 18 | 18 Kwa maana Kristo mwenyewe alikufa kwa ajili ya dhambi
228 1Pet 4 17 | inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia
229 1Pet 5 1 | kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu
230 1Pet 5 10 | kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni
231 2Pet 1 3 | utukufu na wema wake yeye mwenyewe.~
232 2Pet 1 20 | yeyote awezaye kufafanua mwenyewe unabii ulio katika Maandiko
233 2Pet 2 22 | huyarudia matapishi yake mwenyewe," na nyingine isemayo: "
234 1Joh 5 9 | ushahidi alioutoa Mungu mwenyewe juu ya Mwanae.~
235 Jude 1 9 | matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."~
236 Rev 3 21 | cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja
237 Rev 14 10 | 10 yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu
238 Rev 19 12 | alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.~
|