Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 2 | Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia."~
2 Matt 3 17 | 17 Sauti kutoka mbinguni ikasema, "Huyu ndiye Mwanangu
3 Matt 4 17 | Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia!"~
4 Matt 5 3 | rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao.~
5 Matt 5 10 | atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao.~
6 Matt 5 12 | maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu
7 Matt 5 16 | wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni."~
8 Matt 5 19 | mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.~
9 Matt 5 20 | hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~
10 Matt 5 45 | watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia
11 Matt 5 48 | wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.~ ~~ ~
12 Matt 6 1 | La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.~
13 Matt 6 9 | kusali: `Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.~
14 Matt 6 10 | Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.~
15 Matt 6 14 | makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.~
16 Matt 6 20 | 20 Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi
17 Matt 6 26 | Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si
18 Matt 6 32 | wasiomjua Mungu. Baba yenu wa mbinguni anajua kwamba mnahitaji
19 Matt 7 11 | vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: atawapa
20 Matt 7 21 | ataingia katika Ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza
21 Matt 7 21 | mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.~
22 Matt 8 11 | Yakobo katika Ufalme wa mbinguni.~
23 Matt 10 7 | hubirini hivi: `Ufalme wa mbinguni umekaribia.`~
24 Matt 10 32 | mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~
25 Matt 10 33 | mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.~
26 Matt 11 11 | kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa kuliko yeye.~
27 Matt 11 12 | mpaka leo hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na
28 Matt 11 23 | Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu!
29 Matt 12 50 | anavyotaka Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu,
30 Matt 13 11 | kuzijua siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa.~
31 Matt 13 24 | mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda
32 Matt 13 31 | mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali
33 Matt 13 33 | mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa
34 Matt 13 44 | 44 "Ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika
35 Matt 13 45 | 45 "Tena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mfanyabiashara
36 Matt 13 47 | 47 "Tena, Ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa
37 Matt 13 52 | mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba
38 Matt 14 19 | samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu. Halafu
39 Matt 15 13 | mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang`olewa.~
40 Matt 16 1 | wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni.~
41 Matt 16 17 | huu, ila Baba yangu aliye mbinguni.~
42 Matt 16 19 | Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; kila utakachofunga duniani,
43 Matt 16 19 | duniani, kitafungwa pia mbinguni; kila utakachofungua duniani,
44 Matt 16 19 | duniani, kitafunguliwa pia mbinguni."~
45 Matt 18 1 | aliye mkuu katika Ufalme wa mbinguni?"~
46 Matt 18 3 | hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~
47 Matt 18 4 | mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.~
48 Matt 18 10 | Nawaambieni, malaika wao huko mbinguni wako daima mbele ya Baba
49 Matt 18 10 | mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.*fh*~
50 Matt 18 14 | kadhalika, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmoja wa hawa
51 Matt 18 18 | mtakachofunga duniani kitafungwa mbinguni, na mtakachofungua duniani
52 Matt 18 18 | mtakachofungua duniani kitafunguliwa mbinguni.~
53 Matt 18 19 | la kuomba, Baba yangu wa mbinguni atawafanyia jambo hilo.~
54 Matt 18 23 | 23 Ndiyo maana Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja
55 Matt 18 35 | 35 Na baba yangu aliye mbinguni atawafanyieni vivyo hivyo
56 Matt 19 12 | kutooa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho
57 Matt 19 14 | msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto
58 Matt 19 21 | nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate."~
59 Matt 19 23 | kuingia katika Ufalme wa mbinguni.~
60 Matt 19 24 | kuingia katika Ufalme wa mbinguni."~
61 Matt 20 1 | 1 "Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye
62 Matt 21 9 | Bwana! Hosana Mungu juu mbinguni!"~
63 Matt 21 25 | yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?" Lakini wakajadiliana
64 Matt 21 25 | hivi: "Tukisema, `Yalitoka mbinguni`, atatuuliza, `Basi, mbona
65 Matt 22 2 | 2 "Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia
66 Matt 22 30 | watakuwa kama ~malaika mbinguni. ~
67 Matt 23 9 | yenu ni ~mmoja tu aliye mbinguni. ~
68 Matt 23 13 | Mnaufunga ~mlango wa Ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu.
69 Matt 24 36 | itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke
70 Matt 25 1 | 1 "Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi
71 Matt 26 64 | akija juu ya mawingu ya mbinguni."~
72 Matt 28 2 | wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe,
73 Matt 28 18 | Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.~
74 Mark 1 11 | 11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ni Mwanangu mpendwa,
75 Mark 6 41 | samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akaimega
76 Mark 7 34 | 34 Kisha akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, "
77 Mark 8 11 | kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.~
78 Mark 10 21 | nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate."~
79 Mark 11 10 | baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!"~
80 Mark 11 25 | chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu.*
81 Mark 11 25 | fg* hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa
82 Mark 11 30 | Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni."~
83 Mark 11 31 | kujadiliana, "Tukisema, `Yalitoka mbinguni`, atatuuliza, `Basi, mbona
84 Mark 12 25 | watakuwa kama malaika wa mbinguni.~
85 Mark 13 32 | itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake
86 Mark 14 62 | akija katika mawingu ya mbinguni."~
87 Mark 16 19 | alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia
88 Luke 2 13 | kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika,
89 Luke 2 14 | 14 "Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu
90 Luke 2 15 | malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "
91 Luke 3 22 | Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ndiwe Mwanangu mpendwa,
92 Luke 6 23 | hakika tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Kwa maana wazee wao waliwatendea
93 Luke 9 16 | samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akavimega,
94 Luke 9 51 | ambapo Yesu angechukuliwa juu mbinguni, yeye alikata shauri kwenda
95 Luke 9 54 | tuamuru moto ushuke kutoka mbinguni uwateketeze?"~
96 Luke 10 15 | unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka
97 Luke 10 18 | anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.~
98 Luke 10 20 | majina yenu yameandikwa mbinguni." ic~
99 Luke 11 13 | vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa
100 Luke 11 16 | alikuwa na idhini kutoka mbinguni.~
101 Luke 12 33 | isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko
102 Luke 15 7 | kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa
103 Luke 17 29 | vikanyesha kama mvua kutoka mbinguni na kuwaangamiza wote.~
104 Luke 18 13 | bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua
105 Luke 18 22 | hivyo utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate."~
106 Luke 19 38 | kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!"~
107 Luke 19 38 | mbinguni, na utukufu juu mbinguni!"~
108 Luke 20 5 | hivi: "Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: `Mbona
109 Luke 22 43 | 43 Hapo, malaika kutoka mbinguni, akamtokea ili kumtia moyo.~
110 Luke 24 51 | akawaacha; akachukuliwa mbinguni.~
111 John 1 32 | akishuka kama njiwa kutoka mbinguni na kutua juu yake.~
112 John 1 33 | utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo
113 John 3 12 | kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni?~
114 John 3 13 | mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye
115 John 3 13 | Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni.~
116 John 3 31 | Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote.~
117 John 6 31 | Aliwalisha mkate kutoka mbinguni."`~
118 John 6 32 | hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye
119 John 6 32 | ninyi mkate halisi kutoka mbinguni.~
120 John 6 33 | ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima."~
121 John 6 38 | 38 kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya
122 John 6 41 | ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni."~
123 John 6 42 | kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?"~
124 John 6 50 | 50 Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.~
125 John 6 51 | mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate
126 John 6 58 | ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula
127 John 11 41 | jiwe. Yesu akatazama juu mbinguni, akasema, "Nakushukuru Baba
128 John 12 28 | Hapo sauti ikasema kutoka mbinguni, "Nimelitukuza, na nitalitukuza
129 John 17 1 | sema hayo, alitazama juu mbinguni, akasema, "Baba, saa imefika!
130 Acts 1 2 | siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni
131 Acts 1 2 | mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni aliwapa maagizo kwa njia
132 Acts 1 9 | wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone
133 Acts 1 11 | amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo
134 Acts 1 11 | hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni."~
135 Acts 1 21 | alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda mbinguni."~
136 Acts 2 34 | mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: `Bwana
137 Acts 3 21 | Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati
138 Acts 7 55 | Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu
139 Acts 10 16 | ile shuka ikarudishwa juu mbinguni.~
140 Acts 11 5 | likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe
141 Acts 11 9 | sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: `Usiviite najisi vitu ambavyo
142 Acts 11 10 | mwishowe vyote vilirudishwa juu mbinguni.~
143 Acts 19 35 | sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni.~
144 Acts 22 6 | mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia
145 Acts 26 13 | wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale
146 Acts 26 19 | mkaidi kwa maono hilo la mbinguni.~
147 Roma 1 18 | Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi na uovu wote
148 Roma 8 38 | malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa,
149 Roma 10 6 | mwako: `Nani atapanda mpaka mbinguni?` (yaani, kumleta Kristo
150 1Cor 8 5 | viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu
151 1Cor 15 40 | 40 Iko miili ya mbinguni na miili ya duniani; uzuri
152 1Cor 15 40 | duniani; uzuri wa miili ya mbinguni ni mwingine, na na uzuri
153 1Cor 15 47 | ardhini; mtu wa pili alitoka mbinguni.~
154 1Cor 15 48 | kwa udongo; wale walio wa mbinguni wako kama yule aliyetoka
155 1Cor 15 48 | wako kama yule aliyetoka mbinguni.~
156 1Cor 15 49 | tutafanana na huyohuyo aliyetoka mbinguni.~
157 2Cor 5 1 | Mungu atatupa makao mengine mbinguni, nyumba ya milele isiyotengenezwa
158 2Cor 5 2 | kuvikwa makao yetu yaliyo mbinguni.~
159 Gala 1 8 | mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema
160 Gala 4 26 | Lakini Yerusalemu ya juu mbinguni ni mji ulio huru, nao ni
161 Ephe 1 3 | kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.~
162 Ephe 1 10 | viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.~
163 Ephe 1 20 | akamketisha kulia kwake mbinguni.~
164 Ephe 2 6 | tukatawale pamoja naye mbinguni.~
165 Ephe 3 10 | wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima
166 Ephe 3 15 | ya jamaa zote duniani na mbinguni.~
167 Ephe 4 8 | yasemavyo Maandiko: "Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka;
168 Ephe 6 9 | wao, mnaye Bwana yuleyule mbinguni, kwake cheo cha mtu si kitu.~
169 Colo 1 5 | ambalo mmewekewa salama mbinguni.~
170 Colo 1 16 | vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na
171 Colo 1 20 | vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani
172 Colo 4 1 | kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni.~
173 1The 1 10 | mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua
174 1The 4 16 | mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa
175 2The 1 7 | Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake na
176 1Tim 3 16 | ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.~ ~ ~~ ~
177 2Tim 4 18 | mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele
178 Hebr 1 3 | dhambi zao, aliketi huko juu mbinguni, upande wa kulia wa Mungu
179 Hebr 6 4 | walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;~
180 Hebr 6 19 | lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.~
181 Hebr 7 26 | na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.~
182 Hebr 8 1 | enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni.~
183 Hebr 8 5 | kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa
184 Hebr 9 23 | mfano tu wa mambo halisi ya mbinguni, vililazimika kutakaswa
185 Hebr 9 23 | namna hiyo. Lakini vitu vya mbinguni huhitaji dhabihu iliyo bora
186 Hebr 9 24 | kilicho halisi. yeye aliingia mbinguni kwenyewe ambako sasa anasimama
187 Hebr 11 12 | wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.~
188 Hebr 11 16 | bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Ndiyo maana Mungu haoni
189 Hebr 12 22 | Mmefika Yerusalemu, mji wa mbinguni, ambapo wamekusanyika malaika
190 Hebr 12 23 | ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu
191 Hebr 12 25 | yule anayetuonya kutoka mbinguni?~
192 James 1 17| kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba
193 James 3 15| ya namna hiyo haitoki juu mbinguni; hekima hiyo ni ya ulimwengu,
194 James 3 17| Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda
195 1Pet 1 4 | amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au
196 1Pet 1 12 | Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa
197 1Pet 3 22 | 22 ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa
198 2Pet 1 18 | tulisikia sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja
199 Rev 3 12 | ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika
200 Rev 4 1 | nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia
201 Rev 4 2 | nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu
202 Rev 5 3 | hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini
203 Rev 5 13 | 13 Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni
204 Rev 8 1 | mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.~
205 Rev 8 10 | la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi
206 Rev 9 1 | imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa
207 Rev 10 1 | mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu,
208 Rev 10 4 | Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: "Maneno ya ngurumo hizo
209 Rev 10 5 | mkono wake wa kulia juu mbinguni,~
210 Rev 10 8 | niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami
211 Rev 11 12 | wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, "Njoni hapa
212 Rev 11 12 | juu!" Nao wakapanda juu mbinguni katika wingu, maadui wao
213 Rev 11 13 | sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.~
214 Rev 11 15 | Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, "Sasa utawala
215 Rev 11 19 | 19 Hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na Sanduku
216 Rev 12 1 | ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke
217 Rev 12 3 | Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye
218 Rev 12 7 | 7 Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake
219 Rev 12 8 | hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika
220 Rev 12 10 | nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: "Sasa ukombozi
221 Rev 13 6 | makao yake, na wote wakaao mbinguni.~
222 Rev 13 13 | akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya
223 Rev 14 2 | nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti
224 Rev 14 13 | Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, "Andika! Heri watu
225 Rev 14 17 | mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.~
226 Rev 15 1 | nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza.
227 Rev 15 5 | nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo
228 Rev 16 11 | 11 wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao
229 Rev 18 1 | mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu,
230 Rev 18 4 | nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema, "Watu wangu, ondokeni
231 Rev 18 5 | mno, zimelundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu
232 Rev 19 1 | kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, "Haleluya! Ukombozi,
233 Rev 19 14 | 14 Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda
234 Rev 20 1 | malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu
235 Rev 20 9 | Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.~
236 Rev 21 2 | ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri
237 Rev 21 10 | ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni,~
|