Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
yakitoka 1
yakitokea 1
yakiwa 1
yako 236
yakobo 67
yakuhusu 2
yakung 1
Frequency    [«  »]
238 mwenyewe
237 mbinguni
236 akamwambia
236 yako
230 17
228 bali
227 huko

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

yako

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 4 6 | atawaamuru malaika wake kwa ajili yako; watakuchukua mikononi mwao, 2 Matt 5 23 | 23 Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo 3 Matt 5 23 | ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe,~ 4 Matt 5 24 | 24 iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda 5 Matt 5 24 | kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi ukatoe sadaka 6 Matt 5 24 | ndipo urudi ukatoe sadaka yako.~ 7 Matt 5 43 | ilisemwa: `Mpende jirani yako na kumchukia adui yako.`~ 8 Matt 5 43 | jirani yako na kumchukia adui yako.`~ 9 Matt 6 3 | hivyo kwamba hata rafiki yako asijue ufanyalo.~ 10 Matt 6 4 | msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.~ 11 Matt 6 6 | mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye Baba 12 Matt 6 6 | asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.~ 13 Matt 6 18 | ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba 14 Matt 6 18 | asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza.~ 15 Matt 6 21 | Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo 16 Matt 6 23 | ikiwa mwanga ulioko ndani yako ni giza, basi, hilo ni giza 17 Matt 7 3 | kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti 18 Matt 7 4 | wawezaje kumwambia ndugu yako, `Ndugu, ngoja nikuondoe 19 Matt 7 5 | kilichoko jichoni mwa ndugu yako.~ 20 Matt 9 22 | Binti, jipe moyo! Imani yako imekuponya." Mama huyo akapona 21 Matt 11 10 | akutangulie na kukutayarishia njia yako.`~ 22 Matt 12 37 | 37 Maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, 23 Matt 12 37 | mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia."~ 24 Matt 12 47 | mmoja akamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, 25 Matt 15 4 | amesema: `Waheshimu baba yako na mama yako,` na `Anayemkashifu 26 Matt 15 4 | Waheshimu baba yako na mama yako,` na `Anayemkashifu baba 27 Matt 15 12 | walichukizwa waliposikia maneno yako?"~ 28 Matt 15 28 | Yesu akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe 29 Matt 16 23 | ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"~ 30 Matt 17 27 | ajili yangu na kwa ajili yako."~ ~~ ~ 31 Matt 18 8 | na mikono miwili na miguu yako miwili.~ 32 Matt 18 9 | Jehanamu ukiwa na macho yako yote mawili.~ 33 Matt 18 15 | 15 "Ndugu yako akikukosea, mwendee ukamwonye 34 Matt 18 15 | Akikusikia utakuwa umempata ndugu yako.~ 35 Matt 19 19 | 19 waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende 36 Matt 19 19 | waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako 37 Matt 19 19 | yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."~ 38 Matt 19 21 | mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo fedha, 39 Matt 20 14 | 14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa 40 Matt 22 17 | 17 Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa 41 Matt 22 37 | moyo wako wote, kwa ~roho yako yote na kwa akili yako yote.> ~ 42 Matt 22 37 | roho yako yote na kwa akili yako yote.> ~ 43 Matt 22 39 | na hiyo: <Mpende jirani yako kama unavyojipenda ~wewe 44 Matt 22 44 | adui zako chini ya miguu yako.> ~\m ~ 45 Matt 23 38 | 38 Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame. ~ 46 Matt 25 25 | Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi 47 Matt 25 25 | ardhi. Chukua basi mali yako.`~ 48 Matt 26 42 | kukinywa, basi, mapenzi yako yafanyike."~ 49 Matt 26 62 | wanashuhudia nini dhidi yako?"~ 50 Matt 27 13 | hayo yote wanayotoa juu yako?"~ 51 Mark 1 2 | yeye atakutayarishia njia yako.~ 52 Mark 3 32 | Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, 53 Mark 5 19 | Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana 54 Mark 5 23 | tafadhali, ukamwekee mikono yako, apate kupona na kuishi."~ 55 Mark 5 34 | akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, 56 Mark 5 35 | sunagogi, wakamwambia, "Binti yako amekwisha kufa. Ya nini 57 Mark 6 18 | kwako kumchukua mke wa ndugu yako."~ 58 Mark 7 10 | aliamuru: `Waheshimu baba yako na mama yako,` na, `Anayemlaani 59 Mark 7 10 | Waheshimu baba yako na mama yako,` na, `Anayemlaani baba 60 Mark 7 29 | nenda. Pepo amemtoka binti yako!"~ 61 Mark 9 47 | tu, kuliko kuwa na macho yako yote mawili na kutupwa katika 62 Mark 10 19 | Waheshimu baba na mama yako."`~ 63 Mark 10 52 | akamwambia, "Nenda, imani yako imekuponya." Mara huyo kipofu 64 Mark 12 30 | moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote 65 Mark 12 30 | roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.`~ 66 Mark 12 31 | ndiyo hii: `Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.` 67 Mark 12 36 | adui zako chini ya miguu yako."`~ 68 Mark 14 60 | wanashuhudia nini dhidi yako?"~ 69 Mark 15 4 | wanavyotoa mashtaka mengi juu yako."~ 70 Luke 1 13 | usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti 71 Luke 1 36 | kwamba hata Elisabeti, jamaa yako, naye amepata mimba ingawa 72 Luke 1 44 | mara tu niliposikia sauti yako, mtoto mchanga tumboni mwangu 73 Luke 1 45 | 45 Heri yako wewe uliyesadiki kwamba 74 Luke 2 29 | Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi 75 Luke 2 48 | nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta 76 Luke 4 7 | Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."~ 77 Luke 6 30 | mtu akikunyang`anya mali yako usimtake akurudishie.~ 78 Luke 6 42 | kilicho katika jicho la ndugu yako.~ 79 Luke 7 50 | akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani."~ ~ ~~ ~ 80 Luke 8 48 | akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani."~ 81 Luke 8 49 | kutoka nyumbani: "Binti yako ameshakufa, ya nini kumsumbua 82 Luke 10 27 | moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote 83 Luke 10 27 | nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani 84 Luke 10 27 | yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."~ 85 Luke 11 35 | mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.~ 86 Luke 11 45 | akamwambia, "Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia."~ 87 Luke 12 20 | Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile 88 Luke 12 34 | 34 Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo 89 Luke 13 35 | utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika nawaambieni, 90 Luke 15 27 | mtumishi akamwambia: `Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba 91 Luke 15 27 | amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono 92 Luke 15 29 | nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa 93 Luke 15 30 | wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara 94 Luke 15 32 | kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu 95 Luke 16 2 | gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na 96 Luke 16 6 | akamwambia: `Chukua hati yako ya deni, keti haraka, andika 97 Luke 16 7 | akamwambia: `Chukua hati yako ya deni, andika themanini.`~ 98 Luke 16 25 | mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro 99 Luke 17 3 | Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, 100 Luke 17 19 | Simama, uende zako; imani yako imekuponya."~ 101 Luke 18 20 | wa uongo; waheshimu baba yako na mama yako."`~ 102 Luke 18 20 | waheshimu baba yako na mama yako."`~ 103 Luke 18 22 | hivyo utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate."~ 104 Luke 18 42 | akamwambia, "Ona! Imani yako imekuponya."~ 105 Luke 19 20 | akasema: `Chukua fedha yako; niliificha salama katika 106 Luke 19 21 | mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.`~ 107 Luke 20 43 | kama kiti cha kuwekea miguu yako.`~ 108 Luke 22 32 | mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, 109 Luke 22 42 | hiki; hata hivyo, mapenzi yako yatimizwe, wala siyo yangu."~ 110 Luke 24 18 | Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui 111 John 1 22 | ni nani? Wasema nini juu yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee 112 John 2 17 | Upendo wangu kwa nyumba yako waniua."~ 113 John 4 35 | yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.~ 114 John 4 42 | tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, 115 John 8 19 | Hapo wakamwuliza, "Baba yako yuko wapi?" Yesu akawajibu " 116 John 9 10 | wakamwuliza, "Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?"~ 117 John 9 26 | nini? Alikufumbuaje macho yako?"~ 118 John 11 3 | kwa Yesu: "Bwana, rafiki yako ni mgonjwa!"~ 119 John 11 23 | 23 Yesu akamwambia, "Kaka yako atafufuka."~ 120 John 13 37 | Niko tayari kufa kwa ajili yako!"~ 121 John 17 3 | kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua 122 John 17 5 | Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa 123 John 17 10 | 10 Yote niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu 124 John 17 10 | niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu wangu 125 John 17 21 | ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja 126 John 18 34 | akamjibu, "Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekwambia habari 127 John 19 27 | Tazama, huyo ndiye mama yako." Na tangu saa ile huyo 128 John 21 18 | utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako, na mtu mwingine atakufunga 129 Acts 2 35 | kibao cha kukanyagia miguu yako.`~ 130 Acts 4 28 | kwa uwezo wako na mapenzi yako.~ 131 Acts 5 4 | ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado 132 Acts 7 3 | alimwambia: `Ondoka katika nchi yako; waache watu wa ukoo wako; 133 Acts 10 31 | akasema: `Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini 134 Acts 11 14 | ambayo kwayo wewe na jamaa yako yote mtaokolewa.`~ 135 Acts 13 32 | mimi leo nimekuwa baba yako.`~ 136 Acts 14 10 | Simama wima kwa miguu yako!" Huyo mtu aliyelemaa akainuka 137 Acts 16 31 | utaokolewa pamoja na jamaa yako yote."~ 138 Acts 21 24 | habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na 139 Acts 23 30 | walete mashtaka yao mbele yako."~ 140 Acts 23 35 | akasema, "Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika." 141 Acts 24 9 | washtaki wake waje mbele yako.~ 142 Acts 24 10 | Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu 143 Acts 24 14 | 14 Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu 144 Acts 24 19 | wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama 145 Acts 25 26 | hapa mbele yenu na mbele yako mfalme Agripa, ili baada 146 Acts 26 2 | bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka yote 147 Acts 26 26 | kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio 148 Acts 28 21 | kusema chochote kibaya juu yako.~ 149 Roma 3 4 | yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, 150 Roma 8 36 | Matakatifu yasemavyo: "Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa 151 Roma 9 17 | Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, 152 Roma 9 19 | utaniuliza: "Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu 153 Roma 11 3 | wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, 154 Roma 11 20 | wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe 155 Roma 12 20 | Maandiko yasema: "Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; 156 Roma 13 4 | anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, 157 Roma 13 9 | hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."~ 158 Roma 14 10 | basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau 159 Roma 14 10 | kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele 160 Roma 14 15 | Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, 161 Roma 14 21 | chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.~ 162 Roma 14 22 | shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu 163 1Cor 8 11 | 11 Hivyo, huyo ndugu yako dhaifu ambaye Kristo alikufa 164 1Cor 14 16 | Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida 165 1Cor 14 16 | katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: " 166 1Cor 14 17 | 17 Sala yako ya shukrani yaweza kweli 167 2Cor 12 9 | yangu inatosha kwa ajili yako; maana uwezo wangu hukamilishwa 168 Gala 5 14 | hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."~ 169 Ephe 6 2 | Waheshimu Baba na mama yako," hii ndiyo amri ya kwanza 170 1Tim 1 18 | unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe 171 1Tim 1 18 | maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,~ 172 1Tim 1 19 | 19 na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine 173 1Tim 4 13 | Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani 174 1Tim 4 14 | kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya 175 1Tim 4 15 | kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.~ 176 1Tim 4 16 | 16 Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho 177 1Tim 4 16 | mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana 178 1Tim 5 1 | kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu 179 1Tim 5 2 | wanawake wazee kama mama yako, na wasichana kama dada 180 1Tim 6 12 | uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.~ 181 1Tim 6 14 | nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu 182 2Tim 1 4 | 4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana 183 2Tim 1 5 | 5 Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa 184 2Tim 1 5 | imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako 185 2Tim 1 5 | yako Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba 186 2Tim 4 3 | yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.~ 187 Titus 2 7 | uzito katika mafundisho yako.~ 188 Titus 2 8 | 8 Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote 189 Titus 2 15| mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya 190 Phil 1 5 | nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo 191 Phil 1 8 | uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru 192 Phil 1 13 | nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni 193 Phil 1 14 | unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa 194 Phil 1 19 | kwa mkono wangu mwenyewe: yako.)~ 195 Hebr 1 5 | Mimi leo nimekuwa Baba yako." Wala hakusema juu ya malaika 196 Hebr 1 10 | mbingu ni kazi ya mikono yako.~ 197 Hebr 1 12 | yuleyule daima, na maisha yako hayatakoma."~ 198 Hebr 1 13 | adui zako chini ya miguu yako."~ 199 Hebr 2 12 | nitawatangazia ndugu zangu matendo yako. Nitakusifu katika kusanyiko 200 Hebr 5 5 | mimi leo nimekuwa baba yako."~ 201 Hebr 10 7 | tayari kufanya mapenzi yako kama ilivyoandikwa juu yangu 202 Hebr 10 9 | tayari kufanya mapenzi yako." Hivyo Mungu alibatilisha 203 1Pet 1 21 | imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.~ 204 2Joh 1 13 | 13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu.~ 205 Rev 2 2 | 2 Najua mambo yako yote; najua bidii yako na 206 Rev 2 2 | mambo yako yote; najua bidii yako na uvumilivu wako. Najua 207 Rev 2 4 | Lakini ninayo hoja moja juu yako: wewe hunipendi tena sasa 208 Rev 2 5 | kuanguka, ukayaache madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya 209 Rev 2 13 | jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa 210 Rev 2 14 | Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi 211 Rev 2 16 | Basi, achana na madhambi yako. La sivyo, nitakuja kwako 212 Rev 2 19 | 19 Najua mambo yako yote. Najua upendo wako, 213 Rev 2 19 | Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu 214 Rev 2 20 | Lakini nina hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke 215 Rev 3 1 | nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana 216 Rev 3 2 | sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele 217 Rev 3 3 | ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia 218 Rev 3 8 | 8 Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele 219 Rev 3 8 | Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu 220 Rev 3 9 | kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli 221 Rev 3 11 | anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi.~ 222 Rev 3 15 | 15 Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe 223 Rev 3 16 | 16 Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala 224 Rev 4 11 | vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai 225 Rev 5 9 | umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka 226 Rev 11 17 | Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala!~ 227 Rev 11 18 | maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu 228 Rev 15 3 | Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme 229 Rev 15 4 | asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote 230 Rev 15 4 | kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote."~ 231 Rev 18 10 | muda wa saa moja tu adhabu yako imekupata."~ 232 Rev 18 22 | hazitasikika tena ndani yako. Hakuna fundi wa namna yoyote 233 Rev 18 22 | atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti ya jiwe la kusagia 234 Rev 18 22 | kusagia haitasikika tena ndani yako.~ 235 Rev 18 23 | hautaonekana tena ndani yako; sauti za bwana arusi na 236 Rev 18 23 | hazitasikika tena ndani yako. Wafanyabiashara wako walikuwa


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License