Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 17 | manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.~
2 Matt 5 33 | Usivunje kiapo chako, bali ni lazima utimize kiapo
3 Matt 6 33 | 33 Bali, zingatieni kwanza Ufalme
4 Matt 7 29 | kama walimu wao wa Sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.~ ~~ ~
5 Matt 9 13 | Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi."~
6 Matt 10 20 | Maana si ninyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye
7 Matt 10 34 | duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.~
8 Matt 15 11 | kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani.
9 Matt 16 12 | siyo na chachu ya mikate, bali na mafundisho ya Mafarisayo
10 Matt 16 23 | Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"~
11 Matt 17 12 | kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea jinsi walivyotaka.
12 Matt 18 22 | akamjibu, "Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.~
13 Matt 18 30 | 30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo
14 Matt 19 6 | hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha
15 Matt 20 28 | wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha
16 Matt 21 21 | mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: `
17 Matt 22 32 | yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai." ~
18 Mark 1 22 | kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.~
19 Mark 3 26 | vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.~
20 Mark 5 26 | yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.~
21 Mark 7 5 | tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono
22 Mark 9 37 | mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule aliyenituma."~
23 Mark 10 8 | hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.~
24 Mark 10 40 | si wajibu wangu kupanga, bali nafasi hizo watapewa wale
25 Mark 12 27 | yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Ninyi
26 Mark 13 11 | maana si ninyi mtakaosema, bali Roho Mtakatifu.~
27 Mark 14 36 | isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe." ic\is Bustani
28 Luke 1 60 | yake akasema, "La, sivyo, bali ataitwa Yohane."~
29 Luke 5 14 | Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani,
30 Luke 5 32 | Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate
31 Luke 8 27 | hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.~
32 Luke 8 38 | Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,~
33 Luke 9 56 | kuyaangamiza maisha ya watu, bali kuyaokoa."~
34 Luke 9 60 | Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze Ufalme
35 Luke 10 20 | kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina
36 Luke 11 33 | na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili
37 Luke 12 51 | duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.~
38 Luke 14 10 | 10 Bali ukialikwa kwenye karamu,
39 Luke 20 38 | yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai;
40 Luke 22 26 | Lakini isiwe hivyo kati yenu; bali, yule aliye mkuu kati yenu
41 Luke 23 15 | 15 Wala si mimi tu, bali hata Herode hakuona kosa
42 John 1 13 | wala kwa mapenzi ya mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba
43 John 1 20 | hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, "Mimi
44 John 3 16 | kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.~
45 John 3 17 | ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.~
46 John 3 36 | hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki
47 John 5 19 | aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba
48 John 5 25 | milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo
49 John 5 31 | kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.~
50 John 5 44 | yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka
51 John 6 26 | kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate
52 John 7 10 | lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.~
53 John 7 16 | ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.~
54 John 7 22 | desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa
55 John 8 12 | mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima."~
56 John 10 1 | kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia
57 John 10 5 | hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui
58 John 11 51 | kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani
59 John 11 52 | wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja
60 John 11 54 | hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali
61 John 12 6 | chochote juu ya maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka
62 John 12 47 | sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.~
63 John 13 9 | Bwana, nioshe, si miguu tu, bali na mikono yangu na kichwa
64 John 14 24 | neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.~
65 John 16 13 | kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia,
66 John 16 25 | tena nanyi kwa mafumbo, bali nitawaambieni waziwazi juu
67 John 17 15 | Siombi uwatoe ulimwenguni, bali naomba uwakinge na yule
68 John 17 20 | 20 "Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini
69 John 20 7 | hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa
70 Acts 1 4 | Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi
71 Acts 5 39 | kwamba hamtaweza kuwashinda, bali mtajikuta mnapigana na Mungu."
72 Acts 15 20 | 20 Bali tuwapelekee barua kuwaambia
73 Acts 18 21 | 21 Bali alipokuwa anaondoka, alisema, "
74 Acts 19 27 | jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo hilo linaweza
75 Acts 26 29 | mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia leo wapate
76 Acts 27 10 | kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu."~
77 Roma 1 32 | mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale wanaofanya
78 Roma 2 3 | wanaofanya mambo kama hayo bali wewe pia unayafanya, je
79 Roma 2 13 | Mungu kwa kuisikia Sheria, bali kwa kuitii Sheria.~
80 Roma 2 29 | sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu.~ ~ ~~ ~
81 Roma 3 27 | ya kutimiza Sheria? La! Bali kwa sababu tunaamini.~
82 Roma 3 31 | kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria thamani yake
83 Roma 4 4 | mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.~
84 Roma 4 5 | asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye
85 Roma 4 12 | si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia
86 Roma 4 13 | Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa
87 Roma 4 16 | wale tu wanaoishika Sheria, bali pia kwa wale waishio kwa
88 Roma 5 3 | 3 Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu
89 Roma 6 14 | kwani hamko chini ya Sheria, bali chini ya neema.~
90 Roma 6 15 | sababu hatuko chini ya Sheria bali chini ya neema? Hata kidogo!~
91 Roma 7 15 | kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho
92 Roma 7 17 | ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.~
93 Roma 7 20 | si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani
94 Roma 8 4 | kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.~
95 Roma 8 9 | kufuatana na matakwa ya mwili, bali kufuatana na matakwa ya
96 Roma 8 15 | kuwatia tena hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya
97 Roma 8 23 | hivyo viumbe peke yake, bali hata sisi tulio na huyo
98 Roma 8 32 | hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi
99 Roma 9 8 | kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana
100 Roma 9 24 | kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa
101 Roma 11 18 | ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza
102 Roma 11 20 | sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani
103 Roma 12 2 | mitindo ya ulimwengu huu, bali Mungu afanye mabadiliko
104 Roma 12 16 | kila mtu. Msijitakie makuu, bali jishugulisheni na watu wadogo.
105 Roma 12 19 | wangu, msilipize kisasi, bali mwachieni Mungu jambo hilo;
106 Roma 12 21 | Usikubali kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.~ ~ ~~ ~
107 Roma 13 5 | kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai
108 Roma 14 13 | Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe
109 Roma 14 17 | shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu,
110 Roma 16 4 | shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa
111 Roma 16 18 | hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao
112 1Cor 1 17 | Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena,
113 1Cor 2 4 | ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na
114 1Cor 2 12 | hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa
115 1Cor 2 13 | kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa
116 1Cor 4 14 | ajili ya kuwaaibisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni
117 1Cor 4 19 | kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.~
118 1Cor 4 20 | shauri la maneno matupu, bali ni nguvu.~
119 1Cor 5 8 | chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu,
120 1Cor 6 13 | mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia
121 1Cor 7 4 | mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika
122 1Cor 7 4 | mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo.~
123 1Cor 10 29 | dhamiri," si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni.
124 1Cor 12 14 | hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.~
125 1Cor 12 25 | na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.~
126 1Cor 13 6 | 6 hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.~
127 1Cor 14 2 | lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena
128 1Cor 14 22 | ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini;
129 2Cor 1 12 | na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.~
130 2Cor 1 19 | mtu wa "Ndiyo" na "Siyo"; bali yeye daima ni "Ndiyo" ya
131 2Cor 2 4 | ya kuwahuzunisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwaonyesheni
132 2Cor 3 3 | imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa
133 2Cor 3 3 | juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.~
134 2Cor 3 6 | la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria
135 2Cor 4 2 | kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa
136 2Cor 4 18 | si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana
137 2Cor 5 15 | wasiishi kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa,
138 2Cor 7 7 | kwa kule kuja kwake Tito, bali pia kwa sababu ya moyo mliompa
139 2Cor 9 12 | mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi
140 2Cor 10 18 | yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana.~ ~ ~~ ~
141 2Cor 12 14 | ninachotafuta si mali zenu, bali ni ninyi wenyewe. Ni kawaida
142 2Cor 13 3 | Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi
143 2Cor 13 7 | watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata
144 Gala 1 2 | wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo
145 Gala 2 16 | mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo.
146 Gala 2 20 | naishi, lakini si mimi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu.
147 Gala 3 16 | wazawa wake," yaani wengi, bali yasema, "Na mzawa wake,"
148 Gala 4 7 | Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana. Na ikiwa ni mwana,
149 Gala 4 31 | sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru.~ ~ ~~ ~
150 Ephe 2 8 | matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.~
151 Ephe 4 28 | Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema
152 Ephe 5 11 | matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni.~
153 Ephe 5 15 | Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.~
154 Ephe 5 17 | Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya
155 Ephe 5 18 | maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.~
156 Ephe 6 6 | wanapowatazama ili mjipendekeze kwao, bali tumikieni kwa moyo kama
157 Ephe 6 12 | vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu
158 Colo 2 11 | tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe,
159 1The 1 5 | Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho
160 1The 1 8 | huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea
161 1The 2 4 | kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu
162 1The 2 8 | tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo
163 1The 2 13 | vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na
164 1The 4 7 | tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.~
165 1The 4 8 | mafundisho hayo hamdharau mtu, bali amdharau Mungu mwenyewe
166 1The 5 9 | tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia
167 2The 3 15 | msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.~
168 1Tim 1 9 | kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na
169 1Tim 2 10 | 10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo
170 1Tim 2 14 | si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa,
171 1Tim 3 3 | mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani;
172 1Tim 4 4 | kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala
173 1Tim 5 1 | 1 Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa
174 1Tim 5 23 | 23 Usinywe maji tu, bali unywe divai kidogo kwa ajili
175 1Tim 6 17 | mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye
176 2Tim 1 7 | wa kutufanya tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia
177 2Tim 1 9 | ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake
178 Titus 3 2 | wasimtukane mtu yeyote; bali waishi kwa amani na masikizano,
179 Titus 3 5 | lolote jema tulilotenda sisi, bali alituokoa kwa sababu ya
180 Hebr 2 16 | ajili ya kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko; "
181 Hebr 5 3 | si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi
182 Hebr 5 5 | heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: "Wewe
183 Hebr 6 12 | 12 Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini
184 Hebr 7 10 | Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili
185 Hebr 7 16 | na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao
186 Hebr 9 12 | damu ya mbuzi wala ng`ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye
187 Hebr 9 28 | ya kupambana na dhambi, bali ni kwa ajili ya kuwaokoa
188 Hebr 10 25 | vile wengine wanavyofanya. Bali tunapaswa kusaidiana kwani,
189 Hebr 12 8 | basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu.~
190 Hebr 12 11 | si jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale
191 Hebr 12 13 | kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.~
192 Hebr 12 26 | tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu."~
193 James 1 22| kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo.~
194 James 1 25| tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa
195 James 4 11| basi, wewe huitii Sheria, bali waihukumu.~
196 1Pet 1 12 | haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo
197 1Pet 1 15 | 15 Bali mnapaswa kuwa watakatifu
198 1Pet 1 19 | 19 bali mlikombolewa kwa damu tukufu
199 1Pet 1 23 | watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.~
200 1Pet 2 16 | uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa
201 1Pet 2 23 | alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali aliyaweka matumaini yake
202 1Pet 3 4 | 4 Bali, uzuri wenu unapaswa kutokana
203 1Pet 3 9 | kwa ovu, au tusi kwa tusi; bali watakieni baraka, maana
204 1Pet 3 21 | kuondoa uchafu mwilini, bali ni ahadi kwa Mungu inayofanyika
205 1Pet 4 16 | Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu
206 1Pet 5 2 | mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo
207 1Pet 5 2 | hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.~
208 1Pet 5 3 | waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.~
209 2Pet 1 21 | na matakwa ya binadamu, bali watu walinena ujumbe wa
210 2Pet 2 4 | dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa
211 2Pet 2 5 | hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu
212 2Pet 2 13 | nanyi katika karamu zenu, bali wakifurahia njia zao za
213 2Pet 3 9 | hata mmoja wenu apotee, bali huwavuta wote wapate kutubu.~
214 1Joh 2 2 | si dhambi zetu sisi tu, bali pia dhambi za ulimwengu
215 1Joh 2 16 | hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.~
216 1Joh 2 21 | kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu mnaujua; na pia
217 1Joh 3 18 | wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa
218 1Joh 4 1 | kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama
219 1Joh 4 10 | tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata
220 1Joh 5 6 | chake. Hakuja kwa maji tu, bali kwa maji na kwa damu. Naye
221 2Joh 1 1 | si mimi tu ninayewapenda, bali pia wote wanaoujua ule ukweli
222 2Joh 1 5 | Ombi hili si amri mpya, bali ni amri ileile tuliyokuwa
223 2Joh 1 8 | kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.~
224 2Joh 1 9 | katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu.
225 3Joh 1 11 | wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye
226 Rev 2 9 | lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani.~
227 Rev 9 4 | majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao
228 Rev 9 20 | kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo,
|