Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
patmo 1
pato 2
patroba 1
paulo 226
pazia 6
pazuri 3
peke 62
Frequency    [«  »]
230 17
228 bali
227 huko
226 paulo
224 yeyote
223 18
223 wangu

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

paulo

    Book, Chapter, Verse
1 Acts 13 7 | alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mkuu wa kile kisiwa, ambaye 2 Acts 13 7 | mtu mwelewa sana. Sergio Paulo aliwaita Barnaba na Saulo 3 Acts 13 9 | Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, 4 Acts 13 13| 13 Kutoka Pafo, Paulo na wenzake walipanda meli 5 Acts 13 16| 16 Basi, Paulo alisimama, akatoa ishara 6 Acts 13 42| 42 Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka 7 Acts 13 43| ya Kiyahudi waliwafuata Paulo na Barnaba. Hao mitume waliongea 8 Acts 13 45| wakapinga alichokuwa anasema Paulo na kumtukana.~ 9 Acts 13 46| 46 Hata hivyo, Paulo na Barnaba waliongea kwa 10 Acts 13 50| mji huo. Wakaanza kuwatesa Paulo na Barnaba, wakawafukuza 11 Acts 14 1 | yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika 12 Acts 14 3 | 3 Paulo na Barnaba waliendelea kukaa 13 Acts 14 9 | huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo 14 Acts 14 9 | Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo alimtazama kwa makini, na 15 Acts 14 11| watu walipoona alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa 16 Acts 14 12| Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa 17 Acts 14 14| 14 Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua 18 Acts 14 19| wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya 19 Acts 14 21| 21 Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari 20 Acts 15 2 | ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, 21 Acts 15 2 | kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini 22 Acts 15 12| kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu 23 Acts 15 22| kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Basi, wakamchagua 24 Acts 15 25| wapenzi wetu Barnaba na Paulo,~ 25 Acts 15 35| 35 Paulo na Barnaba walibaki huko 26 Acts 15 36| 36 Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, "Turudi 27 Acts 15 38| 38 Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, 28 Acts 15 40| 40 Naye Paulo akamchagua Sila, na baada 29 Acts 16 1 | 1 Paulo alifika Derbe na Lustra, 30 Acts 16 3 | 3 Paulo alitaka Timotheo aandamane 31 Acts 16 9 | 9 Usiku huo, Paulo aliona ono ambalo alimwona 32 Acts 16 10| 10 Mara baada ya Paulo kuona ono hilo, tulijitayarisha 33 Acts 16 14| hata akayapokea yale maneno Paulo aliyokuwa anasema.~ 34 Acts 16 17| huyo msichana alimfuata Paulo na sisi, akipiga kelele 35 Acts 16 18| siku nyingi hata siku moja Paulo alikasirika, akamgeukia 36 Acts 16 19| limekwisha, waliwakamata Paulo na Sila, wakawaburuta mpaka 37 Acts 16 22| Wale mahakimu wakawatatulia Paulo na Sila mavazi yao, wakaamuru 38 Acts 16 25| Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali 39 Acts 16 28| 28 Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: " 40 Acts 16 29| akajitupa mbele ya miguu ya Paulo na Sila huku akitetemeka 41 Acts 16 34| 34 Halafu akawachukua Paulo na Sila nyumbani kwake, 42 Acts 16 36| gereza alimpasha habari Paulo: "Mahakimu wametuma ujumbe 43 Acts 16 37| 37 Lakini Paulo alimjibu, "Ati nini? Ingawa 44 Acts 16 38| nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia wa 45 Acts 16 40| 40 Paulo na Sila walitoka gerezani, 46 Acts 17 2 | 2 Paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa 47 Acts 17 4 | walikubali wakajiunga na Paulo na Sila. Kadhalika, idadi 48 Acts 17 5 | wakitumaini kuwapata humo Paulo na Sila ili wawalete hadharani.~ 49 Acts 17 10| wale ndugu waliwahimiza Paulo na Sila waende Berea. Mara 50 Acts 17 11| kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.~ 51 Acts 17 13| Thesalonika walipogundua kwamba Paulo alikuwa anahubiri neno la 52 Acts 17 15| Wale ndugu waliomsindikiza Paulo walikwenda pamoja naye mpaka 53 Acts 17 15| pamoja na maagizo kutoka kwa Paulo kwamba Sila na Timotheo 54 Acts 17 16| 16 Paulo alipokuwa anawasubiri Sila 55 Acts 17 18| huyu bwanamaneno?" Kwa kuwa Paulo alikuwa anahubiri juu ya 56 Acts 17 19| 19 Hivyo walimchukua Paulo, wakampeleka Areopago, wakasema, " 57 Acts 17 22| 22 Basi, Paulo alisimama mbele ya baraza 58 Acts 17 32| 32 Walipomsikia Paulo anasema juu ya jambo la 59 Acts 17 33| 33 Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.~ 60 Acts 18 1 | 1 Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda 61 Acts 18 2 | Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona,~ 62 Acts 18 3 | mahema kama alivyokuwa yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi.~ 63 Acts 18 5 | kuwasili kutoka Makedonia, Paulo alianza kutumia wakati wake 64 Acts 18 9 | usiku, Bwana alimwambia Paulo katika maono: "Usiogope, 65 Acts 18 11| 11 Basi, Paulo alikaa huko akifundisha 66 Acts 18 12| Akaya, Wayahudi walimvamia Paulo kwa pamoja na kumpeleka 67 Acts 18 14| 14 Kabla tu Paulo hajaanza kusema, Galio aliwaambia 68 Acts 18 18| 18 Paulo alikaa bado na wale ndugu 69 Acts 18 19| 19 Walifika Efeso na hapo Paulo aliwaacha Priskila na Akula, 70 Acts 18 22| ilitia nanga Kaisarea, naye Paulo akaenda Yerusalemu kulisalimia 71 Acts 19 1 | Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, 72 Acts 19 4 | 4 Naye Paulo akasema, "Ubatizo wa Yohane 73 Acts 19 6 | 6 Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho 74 Acts 19 8 | Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi, 75 Acts 19 9 | juu ya Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua 76 Acts 19 11| miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo.~ 77 Acts 19 12| nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka 78 Acts 19 13| kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri."~ 79 Acts 19 15| Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?"~ 80 Acts 19 21| 21 Baada ya mambo hayo, Paulo aliamua kwenda Yerusalemu 81 Acts 19 26| na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, 82 Acts 19 29| walikuwa wasafiri wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye 83 Acts 19 30| 30 Paulo mwenyewe alitaka kuukabili 84 Acts 19 31| rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe 85 Acts 20 1 | Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, 86 Acts 20 7 | ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka 87 Acts 20 9 | ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. 88 Acts 20 10| 10 Lakini Paulo alishuka chini, akainama, 89 Acts 20 13| Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana 90 Acts 20 16| 16 Paulo alikuwa amekusudia kuendelea 91 Acts 20 17| 17 Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee 92 Acts 20 36| 36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao 93 Acts 21 4 | nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.~ 94 Acts 21 11| Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, 95 Acts 21 12| waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.~ 96 Acts 21 18| 18 Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia 97 Acts 21 19| 19 Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu 98 Acts 21 20| Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba 99 Acts 21 26| 26 Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya 100 Acts 21 27| katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira 101 Acts 21 29| wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba 102 Acts 21 29| mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.~ 103 Acts 21 30| pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje 104 Acts 21 32| askari, wakaacha kumpiga Paulo.~ 105 Acts 21 33| Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru 106 Acts 21 34| aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome.~ 107 Acts 21 35| 35 Paulo alipofika kwenye ngazi, 108 Acts 21 37| wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi 109 Acts 21 39| 39 Paulo akajibu, "Mimi ni Myahudi, 110 Acts 21 40| jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, 111 Acts 22 2 | kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,~ 112 Acts 22 24| aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia 113 Acts 22 25| mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja 114 Acts 22 27| mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, "Niambie; je, 115 Acts 22 27| wewe ni raia wa Roma?" Paulo akamjibu, "Naam."~ 116 Acts 22 28| kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini mimi ni 117 Acts 22 29| walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule 118 Acts 22 29| aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba 119 Acts 23 1 | 1 Paulo aliwakodolea macho wale 120 Acts 23 2 | waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.~ 121 Acts 23 3 | 3 Basi, Paulo akamwambia, "Mungu mwenyewe 122 Acts 23 4 | wamesimama pale wakamwambia Paulo, "Unamtukana Kuhani Mkuu 123 Acts 23 5 | 5 Paulo akajibu, "Ndugu zangu, sikujua 124 Acts 23 6 | 6 Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba 125 Acts 23 10| wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. 126 Acts 23 10| kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.~ 127 Acts 23 11| Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, "Jipe moyo! 128 Acts 23 12| tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo."~ 129 Acts 23 14| hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo.~ 130 Acts 23 15| mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba 131 Acts 23 16| mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; 132 Acts 23 16| ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.~ 133 Acts 23 17| 17 Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, 134 Acts 23 18| akasema, "Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete 135 Acts 23 20| wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia 136 Acts 23 24| farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, 137 Acts 23 31| hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka 138 Acts 23 32| waendelee na safari pamoja na Paulo.~ 139 Acts 23 33| mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.~ 140 Acts 23 34| alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa 141 Acts 23 35| kufika." Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani 142 Acts 24 1 | wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.~ 143 Acts 24 2 | 2 Paulo aliitwa na Tertulo akafungua 144 Acts 24 10| mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, " 145 Acts 24 10| alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, "Nafurahi kujitetea 146 Acts 24 23| akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na 147 Acts 24 24| alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea 148 Acts 24 25| 25 Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya 149 Acts 24 26| alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu 150 Acts 24 26| Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza 151 Acts 24 27| Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini.~ ~~ ~ 152 Acts 25 2 | mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo~ 153 Acts 25 3 | awafanyie fadhili kwa kumleta Paulo Yerusalemu; walikuwa wamekula 154 Acts 25 4 | 4 Lakini Festo alijibu, "Paulo atabaki kizuizini kule Kaisarea 155 Acts 25 6 | alikwenda barazani, akaamuru Paulo aletwe ndani.~ 156 Acts 25 7 | 7 Wakati Paulo alipofika, Wayahudi waliokuwa 157 Acts 25 8 | 8 Kwa kujitetea, Paulo alisema, "Mimi sikufanya 158 Acts 25 9 | Wayahudi na hivyo akamwuliza Paulo, "Je, ungependa kwenda Yerusalemu 159 Acts 25 10| 10 Paulo akajibu, "Nasimama mbele 160 Acts 25 12| washauri wake, akamwambia Paulo, "Umekata rufani kwa Kaisari, 161 Acts 25 14| akamweleza mfalme kesi ya Paulo: "Kuna mtu mmoja hapa ambaye 162 Acts 25 19| Yesu ambaye alikufa, lakini Paulo anashikilia kwamba yu hai.~ 163 Acts 25 20| hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani 164 Acts 25 21| 21 Lakini Paulo alikata rufani, akaomba 165 Acts 25 23| viongozi wa mji. Festo aliamuru Paulo aletwe ndani,~ 166 Acts 25 25| ya kifo. Lakini, kwa vile Paulo mwenyewe alikata rufani 167 Acts 26 1 | Basi, Agripa akamwambia Paulo, "Unaruhusiwa kujitetea." 168 Acts 26 1 | Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea 169 Acts 26 24| 24 Paulo alipofika hapa katika kujitetea 170 Acts 26 24| alisema kwa sauti kubwa, "Paulo! Una wazimu! Kusoma kwako 171 Acts 26 25| 25 Lakini Paulo akasema, "Sina wazimu mheshimiwa 172 Acts 26 28| 28 Agripa akamjibu Paulo, "Kidogo tu utanifanya Mkristo!"~ 173 Acts 26 29| 29 Paulo akamjibu, "Namwomba Mungu 174 Acts 27 1 | mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine 175 Acts 27 3 | Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone 176 Acts 27 9 | kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:~ 177 Acts 27 11| meli kuliko yale aliyosema Paulo.~ 178 Acts 27 21| mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, " 179 Acts 27 24| 24 akaniambia: `Paulo usiogope! Ni lazima utasimama 180 Acts 27 31| 31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa 181 Acts 27 33| 33 Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: " 182 Acts 27 35| 35 Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru 183 Acts 27 43| ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. 184 Acts 28 3 | 3 Paulo aliokota mzigo mdogo wa 185 Acts 28 3 | akatoka katika kuni akamnasa Paulo mkononi na kujishikilia 186 Acts 28 5 | 5 Lakini Paulo alikikung`utia kile kiumbe 187 Acts 28 6 | mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo lolote 188 Acts 28 8 | mgonjwa, ana homa na kuhara. Paulo alikwenda kumwona na baada 189 Acts 28 15| Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo alipowaona alimshukuru Mungu, 190 Acts 28 16| 16 Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake 191 Acts 28 17| 17 Baada ya siku tatu, Paulo aliwaita pamoja viongozi 192 Acts 28 17| mahali hapo. Walipokusanyika, Paulo aliwaambia, "Wananchi wenzangu, 193 Acts 28 23| Tangu asubuhi mpaka jioni Paulo aliwaeleza na kuwafafanulia 194 Acts 28 25| Walipokuwa wanakwenda zao, Paulo alisema jambo hili, "Kweli 195 Acts 28 28| 28 Halafu Paulo akamaliza na kusema, "Jueni 196 Acts 28 30| muda wa miaka miwili mizima Paulo aliishi katika nyumba aliyoipanga 197 Roma 1 1 | 1 Kutoka kwangu mimi Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, 198 1Cor 1 1 | 1 Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa 199 1Cor 1 12| mmoja husema, "Mimi ni wa Paulo," mwingine: "Mimi ni wa 200 1Cor 1 13| Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa 201 1Cor 1 13| mlibatizwa kwa jina la Paulo?~ 202 1Cor 3 4 | wenu anaposema, "Mimi ni wa Paulo", na mwingine, "Mimi ni 203 1Cor 3 5 | 5 Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Sisi ni watumishi 204 1Cor 3 22| 22 Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, 205 1Cor 16 21| 21 Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika 206 2Cor 1 1 | 1 Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa 207 2Cor 10 1 | 1 Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana 208 2Cor 10 10| anaweza kusema: "Barua za Paulo ni kali na zenye maneno 209 2Cor 12 16| mwingine atasema: "Kwa vile Paulo ni mwerevu, amewafanyieni 210 Gala 1 1 | 1 Mimi Paulo mtume,~ 211 Gala 5 2 | 2 Sikilizeni! Ni mimi Paulo ninayesema nanyi! Kama mkikubali 212 Ephe 1 1 | 1 Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa 213 Ephe 3 1 | 1 Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu 214 Colo 1 1 | 1 Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa 215 Colo 1 23| mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo 216 Colo 4 18| Salamu kutoka kwangu, mimi Paulo. Kumbukeni kwamba niko kifungoni. 217 1The 1 1 | 1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia 218 1The 2 18| kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi 219 2The 1 1 | 1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia 220 2The 3 17| hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo ninavyotia 221 1Tim 1 1 | 1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa 222 2Tim 1 1 | 1 Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe 223 Titus 1 1| 1 Mimi Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume 224 Phil 1 1 | 1 Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo 225 Phil 1 9 | Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, 226 2Pet 3 15| anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License