Book, Chapter, Verse
1 Matt 9 34 | wanasema, "Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya."~
2 Matt 11 12 | wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.~
3 Matt 12 28 | ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni
4 Matt 12 29 | kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang`anya mali yake,
5 Matt 12 29 | kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza
6 Matt 13 6 | kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.~
7 Matt 14 2 | kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi
8 Matt 22 29 | Maandiko ~Matakatifu wala nguvu ya Mungu! ~
9 Matt 22 43 | inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho ~Mtakatifu Daudi
10 Matt 24 29 | zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.~
11 Matt 24 30 | mawingu ya angani mwenye nguvu na utukufu mwingi.~
12 Mark 3 22 | Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."~
13 Mark 3 27 | kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang`anya mali yake,
14 Mark 3 27 | amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza
15 Mark 4 6 | kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.~
16 Mark 5 30 | Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia
17 Mark 6 14 | kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi
18 Mark 12 24 | Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu.~
19 Mark 12 30 | kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.`~
20 Mark 12 33 | kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani
21 Mark 13 25 | zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.~
22 Mark 13 26 | akija katika mawingu kwa nguvu nyingi na utukufu.~
23 Luke 1 17 | Atamtangulia Bwana akiongozwa na nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha
24 Luke 1 52 | 52 amewashusha wenye nguvu kutoka vitu vyao vya enzi,
25 Luke 1 66 | namna gani?" Maana, hakika nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja
26 Luke 1 80 | 80 Mtoto akakua, akapata nguvu rohoni. Alikaa jangwani
27 Luke 2 40 | Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema
28 Luke 3 14 | vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa
29 Luke 4 14 | alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari
30 Luke 4 36 | ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu
31 Luke 5 17 | walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja
32 Luke 6 19 | walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake
33 Luke 8 46 | aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka."~
34 Luke 10 19 | na ng`e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna
35 Luke 10 27 | kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako
36 Luke 11 21 | 21 "Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa
37 Luke 11 22 | 22 Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda,
38 Luke 16 16 | kila mmoja anauingia kwa nguvu.~
39 Luke 21 26 | yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.~
40 Luke 21 27 | akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.~
41 Luke 21 36 | daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika
42 Luke 23 10 | wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.~
43 Luke 23 23 | wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima
44 Luke 24 49 | mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu."~
45 John 1 13 | wa kibinadamu, wala kwa nguvu za kimwili, wala kwa mapenzi
46 John 4 23 | kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu
47 John 4 24 | wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."~
48 John 9 3 | ila alizaliwa kipofu ili nguvu ya Mungu ionekane ikifanya
49 John 17 11 | ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa,
50 John 17 12 | mimi niliwaweka salama kwa nguvu ya jina lako ulilonipa.
51 John 20 31 | mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.~ ~~ ~
52 Acts 1 8 | atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu
53 Acts 3 7 | na magoti yake yakapata nguvu.~
54 Acts 3 12 | macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi
55 Acts 3 16 | jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu.
56 Acts 4 7 | mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"~
57 Acts 4 10 | yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti
58 Acts 4 25 | babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: `Kwa
59 Acts 4 33 | Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana
60 Acts 5 26 | hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba
61 Acts 6 8 | Stefano neema tele, akampa nguvu nyingi hata akawa anatenda
62 Acts 8 10 | wakisema, "Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa `Nguvu
63 Acts 8 10 | nguvu ya kimungu inayoitwa `Nguvu Kubwa."`~
64 Acts 9 19 | Na baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. Saulo alikaa
65 Acts 9 22 | 22 Saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha
66 Acts 10 38 | kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu. Mungu alikuwa pamoja naye;
67 Acts 19 16 | kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa
68 Acts 19 20 | lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.~
69 Acts 21 4 | Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo
70 Acts 23 9 | kutoa malalamiko yao kwa nguvu: "Hatuoni chochote kilicho
71 Acts 24 9 | aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu. 8
72 Acts 27 17 | meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza
73 Acts 27 41 | vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.~
74 Roma 1 16 | Habari Njema; yenyewe ni nguvu ya Mungu inayowaokoa wote
75 Roma 4 20 | ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza
76 Roma 6 7 | amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.~
77 Roma 6 10 | mara moja tu - dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi
78 Roma 8 4 | sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa
79 Roma 8 4 | za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.~
80 Roma 8 15 | watoto wa Mungu, na kwa nguvu ya huyo Roho, sisi tunaweza
81 Roma 8 38 | wala uhai; wala malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala
82 Roma 9 29 | awali: "Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya
83 Roma 11 17 | mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini.~
84 Roma 15 13 | lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.~
85 Roma 15 19 | 19 kwa nguvu ya miujiza na maajabu, na
86 Roma 15 19 | miujiza na maajabu, na kwa nguvu ya Roho wa Mungu. Basi,
87 1Cor 1 17 | ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani
88 1Cor 1 18 | ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.~
89 1Cor 1 24 | kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.~
90 1Cor 1 25 | ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.~
91 1Cor 1 25 | kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.~
92 1Cor 1 26 | binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.~
93 1Cor 1 27 | dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.~
94 1Cor 2 4 | kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.~
95 1Cor 2 5 | imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya
96 1Cor 4 10 | ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi
97 1Cor 4 20 | la maneno matupu, bali ni nguvu.~
98 1Cor 6 14 | atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.~
99 1Cor 10 13 | hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu,
100 1Cor 10 13 | majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya
101 1Cor 10 22 | awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?~
102 1Cor 14 2 | na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.~
103 1Cor 15 24 | kila tawala na mamlaka na nguvu.~
104 1Cor 15 43 | hufufuliwa ukiwa wenye nguvu.~
105 1Cor 15 56 | dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika Sheria.~
106 1Cor 16 13 | imani, muwe hodari na wenye nguvu.~
107 2Cor 1 6 | na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale
108 2Cor 1 9 | wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.~
109 2Cor 3 5 | tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo
110 2Cor 4 7 | ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu
111 2Cor 6 7 | kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu ndiyo
112 2Cor 8 3 | walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari
113 2Cor 10 4 | silaha za kidunia, ila ni nguvu za Mungu zenye kuharibu
114 2Cor 12 10 | dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.~
115 2Cor 13 3 | Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni
116 2Cor 13 9 | dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate
117 Gala 1 2 | ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa
118 Gala 3 3 | mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?~
119 Gala 5 5 | sisi tunatumaini kwamba kwa nguvu ya Roho tunakubaliwa kuwa
120 Ephe 1 19 | kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno~
121 Ephe 2 2 | mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala
122 Ephe 3 16 | kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu,~
123 Ephe 3 20 | 20 Kwake yeye ambaye kwa nguvu yake ifanyayo kazi ndani
124 Ephe 6 10 | na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.~
125 Ephe 6 12 | watawala, wakuu na wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu
126 Ephe 6 18 | Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka
127 Colo 1 11 | 11 Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili
128 Colo 1 13 | 13 Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama
129 Colo 1 29 | na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi
130 Colo 2 12 | naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua
131 Colo 2 15 | msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na
132 Colo 2 20 | Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu.
133 1The 1 5 | maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa
134 2The 2 9 | 9 Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila
135 2The 2 11 | Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.~
136 2The 2 13 | mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake
137 1Tim 1 12 | wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu.
138 1Tim 5 11 | maumbile zikizidi kuwa na nguvu zaidi kuliko kujitolea kwao
139 2Tim 1 7 | alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo na nidhamu. ~
140 2Tim 1 8 | Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu. ~
141 2Tim 1 10 | Kristo. Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya
142 2Tim 1 14 | ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi
143 2Tim 2 1 | Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata
144 2Tim 3 5 | Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na
145 2Tim 4 17 | alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza
146 Hebr 1 3 | ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu
147 Hebr 4 12 | la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga
148 Hebr 6 5 | wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,~
149 Hebr 7 16 | ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.~
150 Hebr 9 10 | maagizo ya njenje tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu
151 Hebr 9 14 | makuu zaidi hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo
152 Hebr 11 34 | Walikuwa dhaifu lakini walipata nguvu. Walikuwa hodari katika
153 James 4 6 | tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: "
154 James 5 4 | masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.~
155 James 5 16| kuponywa. Sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi.~
156 1Pet 1 5 | imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu
157 1Pet 1 12 | waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa
158 1Pet 2 2 | halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa.~
159 1Pet 4 11 | anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili
160 1Pet 4 11 | Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele!
161 1Pet 5 10 | atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara.~
162 2Pet 2 11 | malaika, ambao wana uwezo na nguvu zaidi kuliko hao walimu
163 1Joh 2 14 | ninyi vijana kwa sababu mna nguvu; neno la Mungu limo ndani
164 1Joh 4 4 | Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye
165 Jude 1 20 | yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,~
166 Jude 1 25 | wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo
167 Rev 1 6 | Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina.~
168 Rev 3 8 | najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika
169 Rev 4 11 | unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu
170 Rev 5 2 | nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: "
171 Rev 5 12 | uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa."~
172 Rev 6 15 | majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru,
173 Rev 7 12 | shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele
174 Rev 9 3 | wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng`e.~
175 Rev 9 10 | mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda
176 Rev 9 19 | 19 maana nguvu ya farasi hao ilikuwa vinywani
177 Rev 10 1 | malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni.
178 Rev 11 17 | Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala!~
179 Rev 12 10 | utokao kwa Mungu umefika! Nguvu na Utawala wa Mungu wetu
180 Rev 12 11 | damu ya Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza;
181 Rev 13 2 | joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi
182 Rev 15 8 | uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu
183 Rev 16 8 | juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto
184 Rev 17 13 | na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.~
185 Rev 18 2 | Basi, akapaaza sauti kwa nguvu akisema, "Umeanguka; Babuloni
186 Rev 18 10 | Babuloni, mji maarufu na wenye nguvu! Kwa muda wa saa moja tu
187 Rev 18 21 | Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano
188 Rev 19 1 | Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!~
189 Rev 19 18 | majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi
190 Rev 20 6 | Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani
|