Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
wenzao 6
wenzenu 3
wepesi 2
wetu 184
weupe 1
wevi 1
wewe 282
Frequency    [«  »]
188 walikuwa
186 kusema
184 nanyi
184 wetu
183 huyu
183 mahali
183 mwenye

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

wetu

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 8 17 | mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu."~ 2 Matt 15 2 | tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama 3 Matt 23 30 | tungaliishi nyakati za wazee wetu ~hatungalishirikiana nao 4 Matt 27 25 | juu yetu na juu ya watoto wetu!"~ 5 Mark 7 5 | mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono 6 Mark 9 38 | kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu."~ 7 Mark 9 40 | asiyepingana nasi, yuko upande wetu.~ 8 Mark 12 7 | tumuue ili urithi wake uwe wetu!`~ 9 Mark 12 29 | Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana.~ 10 Luke 1 55 | Kama alivyowaahidia wazee wetu Abrahamu na wazawa wake 11 Luke 1 72 | Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake 12 Luke 1 78 | 78 Mungu wetu ni mpole na mwenye huruma. 13 Luke 9 49 | kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu."~ 14 Luke 20 14 | tumwue ili urithi wake uwe wetu.`~ 15 Luke 23 2 | mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa 16 Luke 24 20 | 20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, 17 Luke 24 24 | 24 Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia 18 John 3 11 | lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.~ 19 John 6 31 | 31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, 20 John 9 20 | Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu.~ 21 John 12 38 | nani aliyeuamini ujumbe wetu? Na uwezo wa Bwana umedhihirishwa 22 Acts 2 8 | basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa 23 Acts 2 10 | karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma,~ 24 Acts 2 39 | kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake."~ 25 Acts 3 12 | nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya 26 Acts 7 35 | kuwa kiongozi na mwamuzi wetu?` Kwa njia ya yule malaika 27 Acts 15 25 | kwenu pamoja na wapenzi wetu Barnaba na Paulo,~ 28 Acts 15 26 | kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.~ 29 Acts 16 20 | wanafanya fujo katika mji wetu.~ 30 Acts 17 27 | hayuko mbali na kila mmoja wetu.~ 31 Acts 19 37 | mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.~ 32 Acts 20 21 | Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu.~ 33 Acts 21 5 | 5 Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. 34 Acts 22 3 | uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote 35 Acts 24 14 | ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia 36 Acts 28 17 | kupinga desturi za wazee wetu, nilitiwa nguvuni kule Yerusalemu 37 Roma 1 3 | inamhusu Mwana wa Mungu, Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye mintarafu 38 Roma 3 5 | 5 Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu 39 Roma 4 24 | aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka wafu.~ 40 Roma 5 1 | Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 41 Roma 5 11 | Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha 42 Roma 5 21 | njia ya Yesu Kristo Bwana wetu.~ ~ ~~ ~ 43 Roma 6 6 | 6 Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja 44 Roma 6 23 | kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu.~ ~~ ~ 45 Roma 7 25 | afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo 46 Roma 8 26 | anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa 47 Roma 8 31 | Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?~ 48 Roma 8 39 | njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.~ ~~ ~ 49 Roma 10 16 | ni nani aliyeamini ujumbe wetu?"~ 50 Roma 13 11 | usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko 51 Roma 13 13 | 13 Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili 52 Roma 14 12 | 12 Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya 53 Roma 15 2 | 2 Kila mmoja wetu anapaswa kumpendeza jirani 54 Roma 15 6 | mumtukuze Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 55 Roma 15 30 | nawasihi kwa kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa ajili 56 Roma 16 18 | hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo 57 Roma 16 20 | miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.~ 58 1Cor 1 2 | popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana 59 1Cor 1 2 | Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.~ 60 1Cor 1 3 | Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.~ 61 1Cor 1 7 | mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.~ 62 1Cor 1 8 | hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 63 1Cor 1 9 | Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.~ 64 1Cor 1 10 | ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote 65 1Cor 2 7 | mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu.~ 66 1Cor 3 5 | ninyi imani. Kila mmoja wetu anafanya kazi aliyopewa 67 1Cor 5 4 | basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,~ 68 1Cor 6 11 | Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.~ 69 1Cor 9 1 | mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Je, ninyi si matokeo ya 70 1Cor 13 9 | 9 Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu 71 1Cor 15 31 | kuungana na Kristo Yesu Bwana wetu inanifanya nitangaze jambo 72 1Cor 15 57 | ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 73 2Cor 1 3 | Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye 74 2Cor 1 24 | katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa 75 2Cor 3 5 | zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:~ 76 2Cor 5 1 | hapa duniani, yaani mwili wetu, itakapong`olewa, Mungu 77 2Cor 6 3 | lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu 78 2Cor 6 12 | wenyewe, na si kwa upande wetu.~ 79 2Cor 8 9 | ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa 80 2Cor 8 20 | kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.~ 81 2Cor 12 18 | roho yuleyule, na mwenendo wetu ni mmoja?~ 82 Gala 1 4 | kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa 83 Gala 1 8 | Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, 84 Gala 1 14 | kuyashika mapokeo ya wazee wetu.~ 85 Gala 2 4 | ujanja na kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika kuungana 86 Gala 3 24 | Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, 87 Gala 3 25 | hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.~ 88 Gala 5 5 | 5 Kwa upande wetu, lakini, sisi tunatumaini 89 Gala 6 14 | isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia 90 Gala 6 18 | ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.~ ~ 91 Ephe 1 3 | Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika 92 Ephe 1 17 | 17 ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, 93 Ephe 3 11 | kwa njia ya Kristo Bwana wetu.~ 94 Ephe 4 7 | 7 Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya 95 Ephe 4 25 | ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.~ 96 Ephe 5 20 | yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.~ 97 Ephe 6 24 | Mungu wote wanaompenda Bwana wetu Yesu Kristo kwa mapendo 98 Colo 1 3 | tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.~ 99 Colo 4 14 | 14 Luka, daktari wetu mpenzi, na Dema, wanawasalimuni.~ 100 1The 1 3 | tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.~ 101 1The 1 6 | 6 Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa 102 1The 2 2 | na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni 103 1The 2 8 | Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu!~ 104 1The 2 10 | shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini 105 1The 2 19 | atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni 106 1The 2 20 | 20 Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu!~ ~ ~~ ~ 107 1The 3 9 | twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru 108 1The 3 10 | usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa 109 1The 3 11 | yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia 110 1The 3 13 | na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja 111 1The 5 9 | wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,~ 112 1The 5 23 | wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.~ 113 1The 5 28 | Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~Chapter 2~ 114 2The 1 8 | wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu.~ 115 2The 1 11 | daima. Tunamwomba Mungu wetu awawezeshe muyastahili maisha 116 2The 1 12 | namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka 117 2The 1 12 | kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.~ ~ 118 2The 2 1 | yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa 119 2The 2 14 | katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 120 2The 2 16 | 16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na 121 2The 3 6 | tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe na 122 2The 3 7 | kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa 123 2The 3 12 | 12 Kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru 124 2The 3 18 | Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 125 1Tim 1 1 | kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,~ 126 1Tim 1 2 | yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.~ 127 1Tim 1 12 | 12 Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu 128 1Tim 1 14 | 14 Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa 129 1Tim 2 3 | lampendeza Mungu Mwokozi wetu,~ 130 1Tim 6 3 | maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho 131 1Tim 6 14 | Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.~ 132 2Tim 1 2 | Baba na Kristo Yesu Bwana wetu. ~ 133 2Tim 1 8 | usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu 134 2Tim 1 10 | kwetu kwa kuja kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yeye amekomesha 135 2Tim 1 13 | hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na Kristo 136 2Tim 2 18 | wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.~ 137 2Tim 4 15 | sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.~ 138 Titus 1 3 | na amri ya Mungu, Mwokozi wetu.~ 139 Titus 1 4 | kwa Kristo Yesu, Mkombozi wetu.~ 140 Titus 2 10| mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.~ 141 Titus 2 13| wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.~ 142 Titus 3 4 | upendo wa Mungu, Mwokozi wetu, ulipofunuliwa,~ 143 Titus 3 6 | ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,~ 144 Titus 3 14| 14 Ni lazima watu wetu wajifunze kuutumia wakati 145 Phil 1 5 | za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa 146 Phil 1 25 | ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 147 Hebr 2 2 | Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa 148 Hebr 3 6 | kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika 149 Hebr 3 6 | uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.~ 150 Hebr 4 15 | 15 Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga 151 Hebr 4 15 | kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye 152 Hebr 6 9 | twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu 153 Hebr 7 13 | 13 Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa 154 Hebr 8 3 | dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha 155 Hebr 12 9 | sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. 156 Hebr 12 10 | 10 Wazazi wetu hapa duniani walituadhibu 157 Hebr 12 29 | 29 maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.~ ~~ ~ 158 Hebr 13 20 | 20 Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji 159 1Pet 1 3 | Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma 160 2Pet 1 1 | ambao, kwa wema wake Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo, 161 2Pet 1 2 | kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.~ 162 2Pet 1 8 | faida katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.~ 163 2Pet 1 11 | milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.~ 164 2Pet 1 16 | ukuu wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea 165 2Pet 2 20 | kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kisha wakakubali 166 2Pet 3 18 | neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. 167 1Joh 3 18 | 18 Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali 168 3Joh 1 12 | Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba 169 Jude 1 4 | ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye 170 Jude 1 4 | peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha 171 Jude 1 17 | awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 172 Jude 1 21 | mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima 173 Jude 1 25 | peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu 174 Jude 1 25 | kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na 175 Rev 4 11 | Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima 176 Rev 5 10 | makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani."~ 177 Rev 7 3 | mhuri watumishi wa Mungu wetu katika paji la uso."~ 178 Rev 7 10 | Wakapaaza sauti: "Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye 179 Rev 7 10 | Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye juu ya kiti cha 180 Rev 7 12 | na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele na milele! Amina!"~ 181 Rev 11 15 | ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala 182 Rev 12 10 | Nguvu na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo 183 Rev 19 1 | nguvu ni mali yake Mungu wetu!~ 184 Rev 19 6 | Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License