Book, Chapter, Verse
1 Matt 7 24 | kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba
2 Matt 8 2 | 2 Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia akisema, "
3 Matt 9 38 | 38 Kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani
4 Matt 11 15 | 15 Mwenye masikio na asikie!~
5 Matt 12 10 | 10 Kulikuwa na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza. Basi, watu
6 Matt 12 29 | mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang`anya mali
7 Matt 12 29 | kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza
8 Matt 13 9 | 9 Mwenye masikio na asikie!"~
9 Matt 13 27 | 27 Watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, `
10 Matt 13 45 | na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri.~
11 Matt 13 52 | wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina
12 Matt 14 31 | akamshika na kumwambia, "Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona
13 Matt 19 22 | hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na
14 Matt 20 1 | mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye
15 Matt 20 5 | 5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo
16 Matt 20 8 | 8 "Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza
17 Matt 21 33 | mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la
18 Matt 21 40 | 40 "Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja,
19 Matt 24 30 | juu ya mawingu ya angani mwenye nguvu na utukufu mwingi.~
20 Matt 24 43 | kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi
21 Matt 24 45 | basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake
22 Matt 25 28 | anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.~
23 Matt 25 37 | Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula,
24 Mark 1 7 | akisema, "Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi,
25 Mark 1 22 | wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.~
26 Mark 1 23 | ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,~
27 Mark 1 40 | 40 Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga
28 Mark 3 27 | awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang`anya mali
29 Mark 3 27 | kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza
30 Mark 4 9 | 9 Kisha akawaambia, "Mwenye masikio na asikie!"~
31 Mark 4 23 | 23 Mwenye masikio na asikie!"~
32 Mark 5 25 | Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa damu
33 Mark 12 5 | 5 Mwenye shamba akatuma mtumishi
34 Mark 12 9 | 9 "Basi, mwenye shamba atafanya nini? Atakuja
35 Mark 13 35 | basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda
36 Mark 14 14 | atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, `Mwalimu anasema:
37 Mark 15 29 | vyao na kusema, "Aha! Wewe mwenye kuvunja Hekalu na kulijenga
38 Luke 1 48 | sasa watu wote wataniita mwenye heri.~
39 Luke 1 61 | yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?"~
40 Luke 1 78 | 78 Mungu wetu ni mpole na mwenye huruma. Atasababisha pambazuko
41 Luke 3 16 | kwa maji, lakini anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi
42 Luke 5 8 | Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!"~
43 Luke 5 12 | miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona.
44 Luke 6 8 | mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, "Inuka,
45 Luke 7 39 | namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."~
46 Luke 7 47 | ameonyesha upendo mkubwa. Mwenye kusamehe kidogo, hupenda
47 Luke 8 8 | akapaaza sauti, akasema, "Mwenye masikio na asikie!"~
48 Luke 8 42 | wa pekee, mwana wa pekee mwenye umri wa miaka kumi na miwili,
49 Luke 10 2 | wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani
50 Luke 10 6 | 6 Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu
51 Luke 10 35 | dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, `Muuguze
52 Luke 11 21 | 21 "Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake
53 Luke 11 22 | 22 Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia
54 Luke 12 39 | 39 Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo
55 Luke 12 42 | mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake
56 Luke 13 25 | 25 "Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga
57 Luke 14 21 | bwana wake jambo hilo. Yule mwenye nyumba alikasirika, akamwambia
58 Luke 15 7 | kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa
59 Luke 15 10 | malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu."~
60 Luke 15 11 | Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.~
61 Luke 18 13 | Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.`~
62 Luke 19 7 | Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi."~
63 Luke 20 13 | 13 Yule mwenye shamba akafikiri: `Nitafanya
64 Luke 20 15 | wakamwua." Yesu akauliza, "Yule mwenye shamba atawafanya nini hao
65 Luke 21 27 | Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.~
66 Luke 22 11 | 11 Mwambieni mwenye nyumba: `Mwalimu anakuuliza,
67 Luke 24 19 | Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha
68 John 3 21 | 21 Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja
69 John 8 50 | wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye
70 John 9 16 | Lakini wengine wakasema, "Mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara
71 John 9 24 | tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi."~
72 John 9 25 | 25 Yeye akajibu, "Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini
73 John 9 31 | ila humsikiliza yeyote mwenye kumcha na kutimiza mapenzi
74 John 10 21 | wakasema, "Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua
75 Acts 4 36 | Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").~
76 Acts 6 5 | Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa
77 Acts 6 5 | mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na Roho Mtakatifu,
78 Acts 7 52 | watangaze kuja kwake yule Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti,
79 Acts 10 22 | mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi
80 Acts 11 24 | Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na
81 Acts 16 16 | mmoja aliyekuwa na pepo mwenye uwezo wa kuagua alikutana
82 Acts 18 24 | alifika Efeso. Alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye
83 Acts 18 24 | mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa Maandiko
84 Acts 21 11 | watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi
85 Acts 22 12 | Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika
86 Acts 26 2 | Mfalme Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele
87 Acts 27 11 | na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema
88 Roma 3 7 | singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!"~
89 Roma 8 3 | Mungu alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu
90 Roma 8 7 | 7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za
91 Roma 8 15 | Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi watumwa
92 Roma 8 15 | sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi watoto wa
93 Roma 9 29 | hapo awali: "Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi
94 Roma 12 1 | ndugu zangu, maadam Mungu ni mwenye huruma nyingi, nawasihi
95 Roma 12 6 | kufuatana na neema tuliyopewa. Mwenye kipaji cha unabii na akitumie
96 Roma 12 7 | 7 Mwenye kipaji cha utumishi na atumikie.
97 Roma 12 7 | cha utumishi na atumikie. mwenye kipaji cha kufundisha na
98 Roma 12 8 | 8 Mwenye kipaji cha kuwafariji wengine
99 Roma 12 8 | wengine na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho
100 Roma 12 8 | asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda jambo la huruma
101 Roma 13 3 | Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye
102 Roma 16 27 | Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa
103 1Cor 1 20 | 20 Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu
104 1Cor 1 31 | yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mwenye kutaka kujivuna, basi, na
105 1Cor 3 10 | nimefaulu, kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi ambao
106 1Cor 3 18 | miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa kidunia,
107 1Cor 5 11 | Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi
108 1Cor 6 5 | hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza
109 1Cor 8 10 | ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo
110 1Cor 13 4 | 4 Mwenye upendo huvumilia, hufadhili;
111 1Cor 13 4 | upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai,
112 1Cor 13 5 | 5 Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti
113 1Cor 13 7 | 7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini
114 1Cor 14 2 | 2 Mwenye kunena lugha ngeni hasemi
115 1Cor 14 3 | 3 Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe
116 1Cor 14 4 | 4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga
117 1Cor 14 4 | anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe
118 1Cor 14 5 | ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe
119 1Cor 14 5 | maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa
120 1Cor 14 13 | 13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe
121 1Cor 14 28 | awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze
122 1Cor 14 32 | lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.~
123 1Cor 15 45 | kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho
124 2Cor 1 3 | Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta
125 2Cor 1 3 | Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.~
126 2Cor 1 9 | tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya
127 2Cor 1 21 | 21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi
128 2Cor 4 6 | uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na
129 2Cor 5 18 | 18 Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye
130 2Cor 6 18 | waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Uwezo."~ ~~ ~
131 2Cor 7 6 | 6 Lakini Mungu, mwenye kuwapa shime wanyonge alitupa
132 2Cor 8 22 | mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia;
133 2Cor 9 7 | maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.~
134 2Cor 10 17 | kama yasemavyo Maandiko: "Mwenye kuona fahari na aone fahari
135 2Cor 11 20 | anayewafanya ninyi watumwa, mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza,
136 2Cor 11 20 | mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau
137 2Cor 11 20 | kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau na kuwapiga usoni!~
138 2Cor 12 7 | mwiba, mjumbe wa Shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita
139 Gala 3 12 | imani, ila Maandiko yasema: "Mwenye kutimiza yanayotakiwa na
140 Gala 6 6 | 6 Mwenye kufundishwa neno la Mungu
141 Ephe 2 4 | 4 Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda
142 Ephe 2 21 | 21 Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote
143 Ephe 6 8 | Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa
144 1Tim 1 11 | Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.~
145 1Tim 3 2 | awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu;
146 1Tim 3 7 | 7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu
147 1Tim 5 10 | 10 na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto
148 1Tim 6 15 | ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee,
149 Titus 1 7 | mtu asiye na hatia. Asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira,
150 Titus 1 8 | mwadilifu, mtakatifu na mwenye nidhamu.~
151 Hebr 2 17 | Mkuu wao aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia
152 Hebr 3 6 | ni mwaminifu kama Mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya
153 Hebr 9 17 | wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.~
154 James 1 7 | 7 Mtu wa namna hiyo, mwenye nia mbili na asiye na msimamo
155 James 1 20| 20 Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa
156 James 1 26| mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala
157 James 3 13| 13 Je, ni nani mwenye hekima na akili miongoni
158 James 4 12| 12 Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na kuhukumu.
159 James 5 4 | kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.~
160 James 5 13| Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa kuimba
161 James 5 20| kwamba, huyo anayemrudisha mwenye dhambi kutoka njia yake
162 1Pet 2 23 | matumaini yake kwa Mungu, hakimu mwenye haki.~
163 1Joh 4 18 | hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika
164 Rev 1 8 | Omega," asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, aliyekuwako
165 Rev 3 19 | 19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote
166 Rev 4 8 | mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko
167 Rev 5 2 | 2 Tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti
168 Rev 9 14 | ikamwambia huyo malaika wa sita mwenye tarumbeta, "Wafungulie malaika
169 Rev 10 1 | nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni.
170 Rev 11 17 | 17 wakisema: "Bwana Mungu Mwenye uwezo, uliyeko na uliyekuwako!
171 Rev 13 18 | lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua
172 Rev 14 18 | sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, "Nawe
173 Rev 15 3 | Mwanakondoo: "Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu
174 Rev 16 5 | na uliyekuwako! Wewe ni mwenye haki katika hukumu hii uliyotoa.~
175 Rev 16 7 | ikisema, "Naam, Bwana Mungu Mwenye Uwezo! Hukumu zako ni za
176 Rev 16 14 | vita kuu Siku ile ya Mungu Mwenye Uwezo.~
177 Rev 18 8 | moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ni Mwenye Uwezo."~
178 Rev 18 8 | Mungu mwenye kumhukumu ni Mwenye Uwezo."~
179 Rev 18 21 | 21 Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe
180 Rev 19 6 | Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!~
181 Rev 19 15 | za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.~
182 Rev 21 22 | mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo
183 Rev 22 11 | mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda
|