Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
mahakamani 15
mahakimu 7
mahalaleli 1
mahali 183
mahame 2
mahangaiko 1
maharibifu 1
Frequency    [«  »]
184 nanyi
184 wetu
183 huyu
183 mahali
183 mwenye
182 ambao
180 mwili

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

mahali

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 9 | ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.~ 2 Matt 2 22| alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda 3 Matt 4 23| Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya, akifundisha 4 Matt 8 20| lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia."~ 5 Matt 8 30| 30 Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe 6 Matt 10 11| naye mpaka mtakapoondoka mahali hapo.~ 7 Matt 12 15| alipojua jambo hilo, akatoka mahali pale. Watu wengi walimfuata, 8 Matt 12 43| huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzika asipate.~ 9 Matt 13 53| kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,~ 10 Matt 14 13| alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda 11 Matt 14 13| pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini 12 Matt 14 15| walimwendea wakamwambia, "Mahali hapa ni nyikani, na saa 13 Matt 15 21| 21 Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika 14 Matt 19 15| mikono, kisha akaondoka mahali hapo.~ 15 Matt 24 15| nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na 16 Matt 25 26| Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya 17 Matt 27 7 | shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.~ 18 Matt 27 33| 33 Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana 19 Matt 27 33| paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,"~ 20 Matt 27 39| Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa 21 Matt 27 55| 55 Mahali hapo walikuwapo wanawake 22 Matt 28 6 | alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.~ 23 Mark 1 28| Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.~ 24 Mark 1 35| mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.~ 25 Mark 1 39| 39 Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika 26 Mark 1 45| kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata 27 Mark 1 45| waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, 28 Mark 2 4 | ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha 29 Mark 6 10| humo mpaka mtakapoondoka mahali hapo.~ 30 Mark 6 11| 11 Mahali popote ambapo watu watakataa 31 Mark 6 14| sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa 32 Mark 6 31| akawaambia, "Twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, 33 Mark 6 32| yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.~ 34 Mark 6 55| mikeka yao, wakawapeleka kila mahali waliposikia Yesu yupo.~ 35 Mark 6 56| 56 Kila mahali Yesu alipokwenda, vijijini, 36 Mark 10 47| Nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, " 37 Mark 12 38| heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,~ 38 Mark 13 8 | na utawala mwingine; kila mahali kutakuwa na mitetemeko ya 39 Mark 13 14| Chukizo Haribifu` limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji 40 Mark 15 22| Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha, maana 41 Mark 15 22| palipoitwa Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la Kichwa."~ 42 Mark 15 29| Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana, wakitikisa 43 Mark 16 6 | Amefufuka, hayumo hapa. Tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.~ 44 Mark 16 20| wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja 45 Luke 1 65| habari hizo zikaenea kila mahali katika milima ya Yudea.~ 46 Luke 4 5 | Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa 47 Luke 4 16| Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya 48 Luke 4 17| akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:~ 49 Luke 4 37| 37 Habari zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule.~ 50 Luke 4 42| asubuhi Yesu aliondoka akaenda mahali pa faragha. Watu wakawa 51 Luke 4 42| wanamtafuta, na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia 52 Luke 5 15| Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika 53 Luke 5 16| Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali 54 Luke 6 17| na mitume, Yesu alisimama mahali palipokuwa tambarare. Hapo 55 Luke 8 39| akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote 56 Luke 9 6 | na kuponya wagonjwa kila mahali.~ 57 Luke 9 12| wakajipatie chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa 58 Luke 9 52| Wasamaria ili wamtayarishie mahali.~ 59 Luke 9 58| lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia."~ 60 Luke 10 1 | wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka 61 Luke 10 32| na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.~ 62 Luke 11 1 | Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza 63 Luke 11 24| huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, 64 Luke 11 43| sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, 65 Luke 11 51| walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika 66 Luke 12 17| Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?~ 67 Luke 13 31| wakamwambia, "Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode 68 Luke 14 8 | akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije ikawa amealikwa 69 Luke 14 10| ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji 70 Luke 14 10| Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi.` Hapo utakuwa 71 Luke 19 5 | 5 Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, " 72 Luke 20 46| heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi 73 Luke 21 11| 11 Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa 74 Luke 23 33| 33 Walipofika mahali paitwapo, "Fuvu la Kichwa," 75 John 1 35| yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi 76 John 1 39| wanafunzi wakamfuata, wakaona mahali alipokuwa anakaa, wakashinda 77 John 4 6 | 6 Mahali hapo palikuwa na kisima 78 John 4 20| lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule 79 John 4 46| mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. 80 John 5 14| alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na 81 John 6 10| Palikuwa na nyasi tele mahali hapo. Basi, watu wakaketi, 82 John 6 23| kutoka Tiberia zilifika mahali hapo watu walipokula ile 83 John 6 24| wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, 84 John 7 27| atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua 85 John 7 36| Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi 86 John 8 11| usitende dhambi tena."]*fb* mahali pengine.~ 87 John 10 40| ng`ambo ya mto Yordani, mahali Yohane alipokuwa akibatiza, 88 John 10 42| 42 Watu wengi mahali hapo wakamwamini.~ ~ ~~ ~ 89 John 11 1 | Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, 90 John 11 6 | mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku 91 John 11 30| kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.~ 92 John 11 32| 32 Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, 93 John 11 54| bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika 94 John 11 57| wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi 95 John 18 1 | pamoja na wanafunzi wake. Mahali hapo palikuwa na bustani, 96 John 18 2 | aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu 97 John 18 20| masunagogi na Hekaluni, mahali wakutanikiapo Wayahudi wote; 98 John 19 13| juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo: "Sakafu ya Mawe" ( 99 John 19 17| amejichukulia msalaba wake kwenda mahali paitwapo "Fuvu la Kichwa", ( 100 John 19 20| waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa Yesu 101 John 19 41| 41 Mahali hapo aliposulubiwa Yesu 102 John 20 7 | kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.~ 103 Acts 1 25| kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe."~ 104 Acts 2 30| wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.~ 105 Acts 3 11| mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa "Ukumbi wa Solomoni," 106 Acts 4 31| Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika 107 Acts 5 17| kikundi cha Masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume 108 Acts 6 13| kusema maneno ya kupakashifu mahali hapa patakatifu na Sheria 109 Acts 6 14| Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali 110 Acts 7 7 | hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.`~ 111 Acts 7 33| maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu.~ 112 Acts 7 50| mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika? Vitu 113 Acts 8 4 | waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.~ 114 Acts 8 36| wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa 115 Acts 8 36| na huyo ofisa akasema, "Mahali hapa pana maji; je, kuna 116 Acts 9 32| alipokuwa anasafirisafiri kila mahali alifika pia kwa watu wa 117 Acts 9 42| tukio hili ilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi 118 Acts 10 23| akawaalika ndani, akawapa mahali pa kulala usiku ule. Kesho 119 Acts 12 17| halafu akatoka akaenda mahali pengine.~ 120 Acts 13 49| Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.~ 121 Acts 14 27| walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu 122 Acts 15 40| Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini ya ulinzi 123 Acts 16 13| ambapo tulidhani ya kuwa ni mahali pa kusali. Tuliketi, tukaongea 124 Acts 16 13| wanawake waliokusanyika mahali hapo.~ 125 Acts 16 16| moja, tulipokuwa tunakwenda mahali pa kusali, msichana mmoja 126 Acts 17 30| anaamuru watu wote kila mahali watubu.~ 127 Acts 21 3 | 3 Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, 128 Acts 21 28| anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa 129 Acts 21 28| yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa 130 Acts 21 28| Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu."~ 131 Acts 23 19| kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, " 132 Acts 24 3 | shukrani nyingi kwako kila mahali.~ 133 Acts 24 5 | ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi 134 Acts 24 12| katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji 135 Acts 27 8 | kando yake polepole tukafika mahali paitwapo "Bandari Nzuri", 136 Acts 27 12| kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa 137 Acts 27 41| 41 Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya 138 Acts 28 7 | 7 Karibu na mahali pale palikuwa na mashamba 139 Acts 28 17| viongozi wa Kiyahudi wa mahali hapo. Walipokusanyika, Paulo 140 Acts 28 22| ni kwamba kinapingwa kila mahali."~ 141 Roma 11 17| bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu 142 Roma 11 19| kusudi mimi nipandikizwe mahali pake."~ 143 Roma 11 24| katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. 144 Roma 15 19| Basi, kwa kusafiri kila mahali, tangu kule Yerusalemu mpaka 145 1Cor 4 17| njia ninayofundisha kila mahali katika makanisa yote.~ 146 2Cor 1 1 | watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.~ 147 2Cor 2 14| kama harufu nzuri, kila mahali.~ 148 2Cor 10 16| waliyofanya watu wengine mahali pengine.~ 149 2Cor 11 6 | tumelionyesha wazi kwenu, kila mahali na kila wakati.~ 150 Ephe 1 23| anayekamilisha vitu vyote kila mahali.~ ~~ ~ 151 Colo 1 17| kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.~ 152 1The 4 10| hivyo ndugu zenu wote kila mahali katika Makedonia. Basi, 153 Hebr 2 6 | 6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: " 154 Hebr 4 4 | 4 Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: " 155 Hebr 4 12| kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, 156 Hebr 5 6 | 6 Alisema pia mahali pengine: "Wewe ni kuhani 157 Hebr 7 19| jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo 158 Hebr 8 2 | huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani 159 Hebr 9 1 | taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu pa ibada palipojengwa 160 Hebr 9 2 | sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. Humo mlikuwa 161 Hebr 9 3 | kulikuwa na hema iliyoitwa Mahali Patakatifu Kupita Pote.~ 162 Hebr 9 5 | mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. 163 Hebr 9 8 | imesimama, njia ya kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa.~ 164 Hebr 9 12| 12 Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, 165 Hebr 9 24| 24 Maana Kristo hakuingia Mahali Patakatifu palipojengwa 166 Hebr 9 25| Mkuu wa Wayahudi huingia Mahali Patakatifu kila mwaka akiwa 167 Hebr 10 9 | alibatilisha dhabihu za zamani na mahali pake akaweka dhabihu nyingine 168 Hebr 10 19| moyo thabiti wa kuingia Mahali Patakatifu.~ 169 Hebr 13 11| huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu 170 James 2 3| na kumwambia: "Keti hapa mahali pazuri," na kumwambia yule 171 2Pet 1 19| ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka Siku ile 172 2Pet 2 17| makao yao waliyowekewa ni mahali pa giza kuu.~ 173 Jude 1 13| ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.~ 174 Rev 2 5 | na kukiondoa kinara chako mahali pake.~ 175 Rev 2 13 | mwaminifu, alipouawa pale mahali anapoishi Shetani.~ 176 Rev 5 6 | zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.~ 177 Rev 6 14 | visima vyote vikaondolewa mahali pake.~ 178 Rev 12 6 | Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa usalama ambapo angehifadhiwa 179 Rev 12 14 | sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa 180 Rev 16 16 | wakawakusanya hao wafalme mahali paitwapo kwa Kiebrania Harmagedoni.~ 181 Rev 17 3 | alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa 182 Rev 20 8 | yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. 183 Rev 21 8 | sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License