Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
mwezi 14
mwiba 1
mwigeni 1
mwili 180
mwilini 8
mwimbieni 2
mwingi 14
Frequency    [«  »]
183 mahali
183 mwenye
182 ambao
180 mwili
180 sauti
180 yetu
178 22

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

mwili

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 29 | kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako 2 Matt 5 29 | kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika 3 Matt 5 30 | kupoteza kiungo kimoja cha mwili, kuliko mwili wako wote 4 Matt 5 30 | kimoja cha mwili, kuliko mwili wako wote uende katika moto 5 Matt 6 22 | 22 "Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni zima, 6 Matt 6 22 | Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote utakuwa katika 7 Matt 6 23 | ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote utakuwa katika 8 Matt 6 25 | chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?~ 9 Matt 9 2 | walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. 10 Matt 10 28 | 28 Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. 11 Matt 10 28 | yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto 12 Matt 14 12 | Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda 13 Matt 19 5 | wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?`~ 14 Matt 19 6 | wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha 15 Matt 26 26 | akisema, "Twaeni mle; huu ni mwili wangu."~ 16 Matt 26 41 | majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni dhaifu."~ 17 Matt 27 58 | Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru 18 Matt 27 59 | 59 Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi 19 Mark 6 29 | habari, walikwenda wakachukua mwili wake, wakauzika kaburini.~ 20 Mark 9 18 | akisaga meno na kuwa mkavu mwili wote. Niliwaomba wanafunzi 21 Mark 10 8 | 8 nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si 22 Mark 10 8 | wao si wawili tena bali mwili mmoja.~ 23 Mark 14 8 | amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha 24 Mark 14 22 | akisema, "Twaeni; huu ni mwili wangu."~ 25 Mark 14 38 | majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu."~ 26 Mark 15 43 | bila uoga, akaomba apewe mwili wa Yesu.~ 27 Mark 15 45 | akamruhusu Yosefu auchukue mwili wake.~ 28 Mark 15 46 | akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. Akauweka 29 Mark 16 1 | walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.~ 30 Luke 5 12 | mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu 31 Luke 11 34 | Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili 32 Luke 11 34 | mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika 33 Luke 11 34 | Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika 34 Luke 11 36 | 36 Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila 35 Luke 11 36 | sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang`aa kikamilifu 36 Luke 12 4 | msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine 37 Luke 12 23 | bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.~ 38 Luke 13 11 | amempagaa. Kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika 39 Luke 13 13 | Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa 40 Luke 14 2 | aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.~ 41 Luke 22 19 | akawapa akisema, "Huu ni mwili wangu, unaotolewa kwa ajili 42 Luke 23 52 | kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.~ 43 Luke 23 53 | 53 Kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia 44 Luke 23 55 | wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa~ 45 Luke 23 56 | manukato na marashi kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato 46 Luke 24 3 | Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu.~ 47 Luke 24 23 | 23 wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema 48 Luke 24 39 | mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo."~ 49 John 2 21 | juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.~ 50 John 6 51 | Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili 51 John 6 53 | Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa 52 John 6 54 | 54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu 53 John 6 55 | 55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, 54 John 6 56 | 56 Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, 55 John 13 10 | maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi mmetakata, lakini 56 John 19 38 | Pilato ruhusa ya kuuchukua mwili wa Yesu. (Yosefu alikuwa 57 John 19 38 | Yosefu alikwenda, akauondoa mwili wa Yesu.~ 58 John 19 40 | 40 Basi, waliutwaa mwili wa Yesu, wakaufunga sanda 59 John 20 12 | mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, 60 Acts 2 26 | nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;~ 61 Acts 2 31 | aliposema: `Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.`~ 62 Acts 5 6 | Vijana wakafika wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.~ 63 Acts 9 37 | aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakauzika katika chumba 64 Acts 13 36 | karibu na wazee wake, na mwili wake ukaoza.~ 65 Roma 4 19 | haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, 66 Roma 7 4 | kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa 67 Roma 7 24 | atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?~ 68 Roma 8 3 | alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu sisi 69 Roma 8 3 | aikabili dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi.~ 70 Roma 8 5 | kufuatana na matakwa ya mwili, hutawaliwa na fikira za 71 Roma 8 5 | hutawaliwa na fikira za mwili. Lakini wale wanaoishi kufuatana 72 Roma 8 6 | 6 Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho 73 Roma 8 7 | kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii 74 Roma 8 8 | Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.~ 75 Roma 8 9 | kufuatana na matakwa ya mwili, bali kufuatana na matakwa 76 Roma 12 4 | 4 Mwili una viungo vingi, kila kimoja 77 Roma 12 5 | ingawa sisi ni wengi, tu mwili mmoja kwa kuungana na Kristo, 78 1Cor 5 3 | upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo 79 1Cor 5 5 | mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake 80 1Cor 6 13 | ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi 81 1Cor 6 13 | naye Bwana ni kwa ajili ya mwili.~ 82 1Cor 6 15 | miili yenu ni viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani 83 1Cor 6 15 | naweza kuchukua sehemu ya mwili wa Kristo na kuifanya kuwa 84 1Cor 6 15 | kuifanya kuwa sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo!~ 85 1Cor 6 16 | anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye - kama ilivyoandikwa: " 86 1Cor 6 16 | ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja."~ 87 1Cor 6 18 | nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi 88 1Cor 6 18 | hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.~ 89 1Cor 7 4 | Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; 90 1Cor 7 4 | mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo.~ 91 1Cor 7 34 | ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini 92 1Cor 9 27 | 27 Naupa mwili wangu mazoezi magumu na 93 1Cor 10 16 | mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo?~ 94 1Cor 10 17 | sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki 95 1Cor 11 24 | akaumega, akasema: "Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; 96 1Cor 11 27 | atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya Bwana.~ 97 1Cor 11 29 | kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa 98 1Cor 12 12 | 12 Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo 99 1Cor 12 12 | vyote-ingawaje ni vingi - hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia 100 1Cor 12 13 | tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa 101 1Cor 12 14 | 14 Mwili hauna kiungo kimoja tu, 102 1Cor 12 15 | mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu 103 1Cor 12 15 | ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!~ 104 1Cor 12 16 | jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma 105 1Cor 12 16 | lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!~ 106 1Cor 12 17 | 17 Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio 107 1Cor 12 17 | lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu 108 1Cor 12 18 | sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.~ 109 1Cor 12 19 | zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?~ 110 1Cor 12 20 | Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili 111 1Cor 12 20 | mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.~ 112 1Cor 12 22 | inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu 113 1Cor 12 23 | uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa 114 1Cor 12 24 | Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima 115 1Cor 12 25 | kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.~ 116 1Cor 12 27 | 27 Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu 117 1Cor 12 27 | mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.~ 118 1Cor 13 3 | maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina 119 1Cor 15 35 | watafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja 120 1Cor 15 38 | 38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila 121 1Cor 15 38 | mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.~ 122 1Cor 15 42 | wa wafu. Kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika 123 1Cor 15 44 | 44 Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa 124 1Cor 15 44 | kawaida, unapofufuliwa ni mwili wa kiroho. Kuna mwili wa 125 1Cor 15 44 | ni mwili wa kiroho. Kuna mwili wa kawaida na kutakuwa na 126 1Cor 15 44 | wa kawaida na kutakuwa na mwili wa kiroho.~ 127 1Cor 15 46 | unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili 128 1Cor 15 46 | mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida kisha ule mwili 129 1Cor 15 46 | mwili wa kawaida kisha ule mwili wa kiroho.~ 130 1Cor 15 50 | kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki 131 1Cor 15 53 | kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali 132 1Cor 15 54 | 54 Basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia 133 2Cor 5 1 | sasa hapa duniani, yaani mwili wetu, itakapong`olewa, Mungu 134 2Cor 5 4 | si kwamba tunataka kuuvua mwili huu wa kufa, ila tuna hamu 135 2Cor 5 6 | Tunajua kwamba kuishi katika mwili huu tu ni kukaa mbali na 136 2Cor 12 2 | Sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)~ 137 2Cor 12 3 | sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)~ 138 Gala 6 12 | kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha 139 Ephe 1 23 | 23 Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu 140 Ephe 2 14 | mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa 141 Ephe 2 16 | 16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza 142 Ephe 3 6 | Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi 143 Ephe 4 4 | 4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama 144 Ephe 4 12 | ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,~ 145 Ephe 4 16 | uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili 146 Ephe 4 16 | mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada 147 Ephe 4 16 | kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga 148 Ephe 4 25 | mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.~ 149 Ephe 5 23 | mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake.~ 150 Ephe 5 29 | Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, 151 Ephe 5 30 | maana sisi ni viungo vya mwili wake.)~ 152 Ephe 5 31 | mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."~ 153 Colo 1 18 | 18 Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye 154 Colo 1 18 | ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa 155 Colo 1 24 | mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.~ 156 Colo 2 5 | mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi 157 Colo 2 19 | Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, 158 Colo 2 19 | Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa 159 Colo 2 23 | unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, 160 Colo 2 23 | chochote kuzuia tamaa za mwili.~ ~~ ~ 161 Colo 3 15 | hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na 162 1The 2 17 | kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo 163 1Tim 4 8 | 8 Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini 164 2Tim 2 17 | ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha 165 Hebr 2 14 | awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa 166 Hebr 4 12 | pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua 167 Hebr 7 10 | bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, 168 Hebr 10 5 | lakini umenitayarishia mwili.~ 169 Hebr 10 10 | zetu kwa ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara moja 170 Hebr 10 20 | pazia, yaani kwa njia ya mwili wake mwenyewe.~ 171 James 2 26| 26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo 172 James 3 5 | ingawa ni kiungo kidogo cha mwili, hujisifia makuu sana. ic 173 1Pet 2 11 | duniani! Achaneni na tamaa za mwili ambazo hupingana na roho.~ 174 1Pet 2 24 | alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate 175 2Pet 1 14 | kwamba karibu nitauweka kando mwili huu wenye kufa, kama Bwana 176 2Pet 2 10 | wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu 177 2Pet 2 13 | kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu 178 1Joh 2 16 | ulimwengu-tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona watu 179 3Joh 1 2 | nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni.~ 180 Jude 1 9 | Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License