Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 16| wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa
2 Matt 6 27| mwenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa
3 Matt 8 6 | mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana."~
4 Matt 9 26| 26 Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.~
5 Matt 13 44| akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote
6 Matt 15 30| 30 Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema,
7 Matt 15 31| Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea,
8 Matt 16 3 | yametanda!` Basi, ninyi mnajua sana kusoma majira kwa kuangalia
9 Matt 17 4 | Yesu, "Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda
10 Matt 17 6 | wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.~
11 Matt 17 15| ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka
12 Matt 18 31| jambo hilo walisikitika sana, wakaenda kumpasha habari
13 Matt 18 32| Wewe ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe
14 Matt 18 34| huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe
15 Matt 19 23| nawaambieni, itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika
16 Matt 21 42| jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!`~
17 Matt 24 31| wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule
18 Matt 24 33| jueni kwamba yuko karibu sana.*fk*~
19 Matt 26 22| 22 Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, "
20 Matt 26 75| Basi, akatoka nje akalia sana.~ ~~ ~
21 Matt 27 14| mkuu wa mkoa akashangaa sana.~
22 Matt 27 19| mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu
23 Matt 27 54| mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "Hakika mtu huyu
24 Mark 2 2 | Basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana
25 Mark 4 41| 41 Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, "Huyu
26 Mark 5 24| pamoja naye. Watu wengi sana wakamfuata, wakawa wanamsonga
27 Mark 5 26| alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi.
28 Mark 5 43| 43 Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo hilo.
29 Mark 6 6 | 6 Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini
30 Mark 6 19| Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua,
31 Mark 6 20| kumsikiliza, alifadhaika sana.~
32 Mark 6 22| akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme
33 Mark 6 26| 26 Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo
34 Mark 6 50| wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, "
35 Mark 6 51| ukatulia. Nao wakashangaa sana.~
36 Mark 7 37| 37 Watu walishangaa sana, wakasema, "Amefanya yote
37 Mark 8 15| Yesu akawaonya, "Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya
38 Mark 9 3 | yakang`aa, yakawa meupe sana, jinsi dobi yeyote duniani
39 Mark 9 5 | Yesu, "Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko hapa. Basi,
40 Mark 9 15| ulipomwona, wote walishangaa sana, wakamkimbilia wamsalimu.~
41 Mark 10 24| Watoto wangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa
42 Mark 10 26| Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, "Ni nani basi,
43 Mark 12 11| jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu."`~
44 Mark 12 17| yake Mungu." Wakashangazwa sana naye.~
45 Mark 12 24| akawaambia, "Ninyi mmekosea sana, kwa sababu hamjui Maandiko
46 Mark 12 27| walio hai. Ninyi mmekosea sana!"~
47 Mark 13 29| Mwana wa Mtu yuko karibu sana.~
48 Mark 14 33| Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.~
49 Mark 15 43| Baraza Kuu, aliyeheshimika sana. Yeye pia alikuwa anatazamia
50 Mark 16 5 | upande wa kulia; wakashangaa sana.~
51 Mark 16 14| pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini
52 Luke 1 7 | wote wawili walikuwa wazee sana.~
53 Luke 1 29| maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno haya yanamaanisha
54 Luke 2 9 | ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.~
55 Luke 2 36| nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli,
56 Luke 4 22| 22 Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno
57 Luke 4 28| waliposikia hayo walikasirika sana.~
58 Luke 6 11| Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya
59 Luke 7 2 | mtumishi wake aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa
60 Luke 7 4 | Walipofika kwa Yesu, walimsihi sana, wakasema: "Huyu anastahili
61 Luke 9 29| yakawa meupe na kung`aa sana.~
62 Luke 9 34| wale wanafunzi waliogopa sana.~
63 Luke 9 39| kinywani. Huendelea kumtesa sana, asimwache upesi.~
64 Luke 12 45| kusema: `Bwana wangu amekawia sana kurudi` halafu aanze kuwapiga
65 Luke 12 47| kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana.~
66 Luke 16 14| vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu.~
67 Luke 16 19| anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau, na
68 Luke 17 25| ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi
69 Luke 18 23| aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri
70 Luke 18 23| kwa sababu alikuwa tajiri sana.~
71 Luke 22 15| Akawaambia, "Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi
72 Luke 22 62| Hapo akatoka nje, akalia sana.~
73 Luke 23 8 | 8 Herode alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa
74 Luke 23 10| wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.~
75 Luke 23 23| kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima asulubiwe.
76 Luke 24 4 | waliovaa mavazi yenye kung`aa sana, wakasimama karibu nao.~
77 John 3 29| na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi
78 John 4 27| wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke.
79 John 6 19| anakaribia mashua; wakaogopa sana.~
80 John 13 21| sema hayo, Yesu alifadhaika sana rohoni, akasema wazi, "Kweli
81 John 13 23| ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu
82 John 21 20| cha jioni, alikaa karibu sana na Yesu na kumwuliza: "Bwana
83 Acts 2 6 | lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani kila mmoja wao aliwasikia
84 Acts 4 2 | 2 Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa
85 Acts 5 5 | ya tukio hilo waliogopa sana.~
86 Acts 5 11| ya tukio hilo, waliogopa sana.~
87 Acts 5 34| Sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama
88 Acts 7 20| huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa
89 Acts 7 31| 31 Mose alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea
90 Acts 7 54| waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.~
91 Acts 8 11| 11 Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza
92 Acts 9 38| 38 Yopa si mbali sana na Luda; kwa hiyo wafuasi
93 Acts 12 20| 20 Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni.
94 Acts 13 7 | ambaye alikuwa mtu mwelewa sana. Sergio Paulo aliwaita Barnaba
95 Acts 13 12| akawa muumini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu
96 Acts 15 3 | Habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.~
97 Acts 15 31| yaliwatia moyo, wakafurahi sana.~
98 Acts 16 23| 23 Baada ya kupigwa sana wakatiwa ndani, na askari
99 Acts 17 16| moyo wake ulighadhibika sana alipoona jinsi mji huo ulivyokuwa
100 Acts 17 22| vyovyote, ni watu wa dini sana.~
101 Acts 18 27| neema ya Mungu, kuwasaidia sana wale ndugu waliopata kuwa
102 Acts 19 8 | na majadiliano ya kuvutia sana juu ya Ufalme wa Mungu.~
103 Acts 20 24| uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe
104 Acts 20 29| 29 Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka
105 Acts 21 17| waumini walitupokea vizuri sana.~
106 Acts 22 12| Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa
107 Acts 26 8 | nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua
108 Acts 27 9 | pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi,
109 Acts 27 13| wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.~
110 Acts 27 20| dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya
111 Acts 28 2 | Wenyeji wa hapo walikuwa wema sana kwetu. Mvua ilikuwa inaanza
112 Roma 1 11| 11 Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni
113 Roma 1 30| kiburi na majivuno; hodari sana katika kutenda mabaya, na
114 Roma 9 22| Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao
115 Roma 10 12| ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao.~
116 Roma 11 25| msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa
117 Roma 12 16| Msijione kuwa wenye hekima sana.~
118 Roma 16 2 | maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu
119 Roma 16 7 | pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa
120 Roma 16 13| Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na
121 1Cor 7 31| kama vile hawana shughuli sana nayo. Maana ulimwengu huu,
122 1Cor 12 23| havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,~
123 1Cor 15 3 | niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea:
124 1Cor 16 12| Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu
125 1Cor 16 17| 17 Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato
126 1Cor 16 19| nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana.~
127 2Cor 2 13| 13 Lakini nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu
128 2Cor 7 4 | 4 Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; naona
129 2Cor 7 7 | Jambo hili linanifurahisha sana.~
130 2Cor 7 13| maana sisi tulifarijika sana. Siyo kwamba tulifarijika
131 2Cor 7 14| 14 Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo
132 2Cor 7 16| 16 Nafurahi sana kwamba naweza kuwategemea
133 2Cor 8 2 | Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha
134 2Cor 8 2 | ingawaje walikuwa maskini sana.~
135 2Cor 8 4 | 4 walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki
136 2Cor 8 22| zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.~
137 2Cor 11 9 | nilichohitaji. Nilikuwa mwangalifu sana nisiwe mzigo kwa namna yoyote
138 Gala 1 14| ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee
139 Gala 4 20| juu yenu! Nina wasiwasi sana nanyi!~
140 Colo 2 4 | hata kama ni ya kuvutia sana.~
141 1The 1 6 | kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa
142 1The 2 8 | 8 Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha
143 2The 1 3 | kwani imani yenu inakua sana na kupendana kwenu kunaongezeka
144 2The 1 3 | kupendana kwenu kunaongezeka sana.~
145 2The 2 1 | naye. Ndugu, tunawaombeni sana~
146 1Tim 4 16| 16 Angalia sana mambo yako mwenyewe, na
147 1Tim 6 6 | humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu
148 1Tim 6 10| 10 Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu
149 1Tim 6 10| Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga
150 Phil 1 7 | furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo
151 Phil 1 16| yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa
152 Hebr 7 26| Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye
153 Hebr 8 2 | katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema
154 Hebr 12 15| 15 Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza
155 Hebr 13 19| 19 Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe
156 James 3 4| nazo pia, ingawa ni kubwa sana, na husukumwa na upepo mkali,
157 James 3 4| kugeuzwa kwa usukani mdogo sana, zikaelekea kokote nahodha
158 James 3 5| cha mwili, hujisifia makuu sana. ic Moto mdogo waweza kuteketeza
159 James 4 2| mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati,
160 2Pet 2 7 | mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa watu
161 2Joh 1 4 | 4 Nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto
162 3Joh 1 3 | 3 Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika
163 Rev 3 8 | kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika
164 Rev 4 6 | angavu kama jiwe linga`aalo sana. Katika pande zote za hicho
165 Rev 5 4 | 4 Basi, mimi nikalia sana kwa sababu hakupatikana
166 Rev 5 11 | nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu
167 Rev 11 13 | Watu waliosalia wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.~
168 Rev 12 11 | hawakuyathamini maisha yao kuwa kitu sana, wakawa tayari kufa.~
169 Rev 12 14 | ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali,
170 Rev 13 3 | kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa
171 Rev 16 2 | madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa
172 Rev 16 9 | watu wakaunguzwa vibaya sana; wakamtukana Mungu aliye
173 Rev 17 5 | mambo yote ya kuchukiza sana duniani."~
174 Rev 17 8 | amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni
175 Rev 18 21 | malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe
176 Rev 20 6 | 6 Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki
177 Rev 21 10 | akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu,
|