Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 22 | 22 Basi, haya yote yalitukia ili litimie
2 Matt 3 9 | Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu.~
3 Matt 4 3 | Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate."~
4 Matt 7 26 | anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana
5 Matt 8 32 | 32 Yesu akawaambia, "Haya, nendeni." Hapo wakawatoka
6 Matt 9 13 | kajifunzeni maana ya maneno haya: `Nataka huruma, wala si
7 Matt 10 2 | mitume kumi na wawili ni haya: wa kwanza ni Simoni aitwae
8 Matt 10 5 | wawili na kuwapa maagizo haya: "Msiende kwa watu wa mataifa
9 Matt 11 25 | umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.~
10 Matt 12 7 | mngejua maana ya maneno haya: `Nataka huruma wala si
11 Matt 13 51 | akawauliza, "Je, mmeelewa mambo haya yote?" Wakamjibu, "Naam."~
12 Matt 13 56 | nasi? Basi amepata wapi haya yote?"~
13 Matt 14 29 | 29 Yesu akasema, "Haya, njoo." Basi, Petro akashuka
14 Matt 17 26 | wageni." Yesu akamwambia, "Haya basi, wananchi hawahusiki.~
15 Matt 21 16 | nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? `Kwa vinywa
16 Matt 21 23 | wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa
17 Matt 21 23 | gani? Nani amekupa mamlaka haya?"~
18 Matt 21 24 | nitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.~
19 Matt 21 27 | sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.~
20 Matt 22 17 | 17 Haya, twambie maoni yako. Je,
21 Matt 23 23 | vile haki, huruma na imani. Haya ~ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia
22 Matt 23 32 | 32 Haya, kamilisheni ile kazi wazee
23 Matt 23 36 | adhabu kwa sababu ya ~mambo haya. ~ Jinsi Yesu alivyoupenda
24 Matt 23 38 | 38 Haya basi, nyumba yako itaachwa
25 Matt 24 2 | Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni,
26 Matt 24 3 | wakamwuliza, "Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara
27 Matt 24 33 | kadhalika nanyi mtakapoona mambo haya yote yakitendeka, jueni
28 Matt 25 6 | manane kukawa na kelele: `Haya, haya! Bwana arusi anakuja;
29 Matt 25 6 | kukawa na kelele: `Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni
30 Matt 25 45 | mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo,
31 Matt 26 9 | 9 Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei
32 Matt 26 56 | 56 Lakini haya yote yametendeka ili Maandiko
33 Matt 26 68 | 68 wakasema, "Haya Kristo, tutabirie; ni nani
34 Matt 27 65 | 65 Pilato akawaambia, "Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde
35 Matt 28 7 | Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni."~
36 Mark 1 27 | wakaulizana, "Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya?
37 Mark 6 2 | Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa?
38 Mark 6 2 | Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?~
39 Mark 11 28 | wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa
40 Mark 11 28 | mamlaka ya kufanya mambo haya?"~
41 Mark 11 29 | mamlaka gani ninafanya mambo haya.~
42 Mark 11 33 | sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."~ ~~ ~
43 Mark 12 10 | 10 Je, hamjasoma Maandiko haya? `Jiwe walilokataa waashi
44 Mark 13 1 | Mwalimu, tazama jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo
45 Mark 13 1 | jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo ya ajabu!"~
46 Mark 13 2 | akamwambia, "Je, unayaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe
47 Mark 13 4 | 4 "Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara
48 Mark 13 4 | itakayoonyesha kwamba mambo haya karibu yatimizwe?"~
49 Mark 13 8 | ya ardhi na njaa. Mambo haya ni kama tu maumivu ya kwanza
50 Mark 14 4 | nini kupoteza ovyo marashi haya?~
51 Luke 1 20 | bubu kwa sababu huyasadiki haya maneno yatakayotimia kwa
52 Luke 1 29 | alifadhaika sana, akawaza: maneno haya yanamaanisha nini?~
53 Luke 3 8 | Mungu anaweza kuyageuza mawe haya yawe watoto wa Abrahamu!~
54 Luke 9 44 | masikio, myasikie mambo haya: Mwana wa Mtu anakwenda
55 Luke 10 21 | wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam,
56 Luke 11 42 | upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia
57 Luke 11 51 | kitaadhibiwa kwa matendo haya.~
58 Luke 13 35 | 35 Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba
59 Luke 16 2 | akamwambia: `Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa
60 Luke 20 2 | Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?"~
61 Luke 20 8 | sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."~
62 Luke 20 17 | akawatazama, akawaambia, "Maandiko haya Matakatifu yana maana gani
63 Luke 21 6 | 6 "Haya yote mnayoyaona - zitakuja
64 Luke 21 34 | ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni
65 Luke 21 36 | kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama
66 Luke 22 37 | 37 Maana nawaambieni, haya maneno ya Maandiko Matakatifu: `
67 Luke 23 38 | 38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yameandikwa na
68 Luke 23 41 | mimi tunastahili, maana haya ni malipo ya yale tuliyotenda.
69 John 1 28 | 28 Mambo haya yalifanyika huko Bethania,
70 John 1 50 | Utaona makubwa zaidi kuliko haya."~
71 John 2 18 | unayo haki kufanya mambo haya?"~
72 John 3 9 | Nikodemo akamwuliza, "Mambo haya yanawezekanaje?"~
73 John 3 10 | Israel na huyajui mambo haya?~
74 John 4 13 | Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.~
75 John 5 19 | 18 Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi
76 John 5 21 | atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu.~
77 John 5 35 | wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.~
78 John 6 39 | ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja
79 John 6 60 | waliposikia hayo, wakasema, "Haya ni mambo magumu! Nani awezaye
80 John 7 4 | watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa
81 John 7 52 | wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu
82 John 10 19 | Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.~
83 John 10 21 | 21 Wengine wakasema, "Haya si maneno ya mwenye pepo.
84 John 11 15 | huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni kwake."~
85 John 12 41 | 41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu
86 John 13 18 | 18 "Haya nisemayo hayawahusu ninyi
87 John 13 19 | Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea,
88 John 14 25 | 25 "Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi~
89 John 14 29 | 29 Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea,
90 John 15 11 | 11 Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani
91 John 16 4 | Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika
92 John 16 4 | niliwaambieni. "Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu
93 John 16 33 | 33 Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani
94 John 17 13 | kwako, na nimesema mambo haya ulimwenguni, ili waweze
95 John 18 31 | 31 Pilato akawaambia, "Haya, mchukueni ninyi wenyewe,
96 John 21 24 | yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua
97 Acts 2 22 | Israeli, sikilizeni maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa
98 Acts 3 24 | walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka
99 Acts 5 20 | kila kitu kuhusu maisha haya mapya."~
100 Acts 7 1 | Mkuu akamwuliza, "Je, mambo haya ni kweli?"~
101 Acts 8 34 | juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au
102 Acts 15 16 | 16 `Baada ya mambo haya nitarudi. Nitaijenga tena
103 Acts 15 27 | watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.~
104 Acts 15 28 | tusiwatwike mzigo zaidi ya mambo haya muhimu:~
105 Acts 17 20 | Tungependa kujua mambo haya yana maana gani."~
106 Acts 18 15 | sitaki kuwa hakimu wa mambo haya!"~
107 Acts 19 36 | Hakuna anayeweza kukana mambo haya. Hivyo basi, tulieni; msifanye
108 Acts 22 22 | lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti
109 Acts 24 6 | utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo."*
110 Acts 24 21 | 21 isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama
111 Acts 25 9 | mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"~
112 Acts 26 26 | Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea
113 Roma 6 21 | Maana, matokeo ya mambo haya ni kifo!~
114 Roma 8 37 | 37 Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa
115 1Cor 4 8 | 8 Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha
116 1Cor 4 14 | 14 Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha
117 1Cor 7 35 | 35 Nawaambieni haya kwa faida yenu, na si kwa
118 1Cor 9 8 | 8 Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, Sheria
119 1Cor 9 10 | sisi aliposema hivyo? Naam, haya yaliandikwa kwa ajili yetu;
120 1Cor 9 23 | 23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Habari
121 1Cor 11 17 | Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa
122 1Cor 11 17 | kuwapa ninyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu
123 1Cor 12 1 | napenda mfahamu vizuri mambo haya:~
124 1Cor 13 13 | 13 Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na
125 1Cor 14 37 | cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni
126 1Cor 15 19 | Kristo yanahusu tu maisha haya ya sasa, basi, sisi ni watu
127 2Cor 4 15 | 15 Yote haya ni kwa faida yenu; ili kama
128 2Cor 5 8 | tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana.~
129 2Cor 7 3 | 3 Sisemi mambo haya kwa ajili ya kumhukumu mtu;
130 2Cor 12 7 | 7 Lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye
131 2Cor 12 19 | Lakini, tunasema mambo haya mbele ya Mungu, tukiwa tumeungana
132 Gala 1 20 | 20 Haya ninayowaandikieni, Mungu
133 Gala 2 20 | anaishi ndani yangu. Maisha haya ninayoishi sasa naishi kwa
134 Ephe 5 32 | uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu
135 Colo 3 8 | mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu;
136 Colo 4 18 | 18 Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe:
137 1The 4 18 | farijianeni kwa maneno haya.~1 Thessalonians ~~ ~
138 1The 5 1 | majira yatakapotukia mambo haya.~
139 2The 2 5 | hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja
140 1Tim 4 6 | ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema
141 1Tim 5 7 | 7 Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.~
142 1Tim 5 21 | watakatifu uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala
143 1Tim 6 2 | kufundisha na kuhubiri mambo haya.~
144 1Tim 6 3 | anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na
145 2Tim 1 8 | 8 Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu,
146 2Tim 1 8 | Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu yangu mimi niliye
147 2Tim 1 12 | 12 nami nateseka mambo haya kwa sababu hiyo. Lakini
148 2Tim 1 16 | mara nyingi, wala hakuona haya kwa kuwa nilikuwa kifungoni,
149 2Tim 2 14 | wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu
150 2Tim 2 15 | mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye
151 2Tim 2 19 | yake yameandikwa maneno haya: "Bwana anawafahamu wale
152 Titus 3 8 | Ninakutaka uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini Mungu,
153 Phil 1 20 | 20 Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie
154 Phil 1 21 | kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.~
155 Hebr 9 10 | 10 kwani haya yote yanahusika na vyakula,
156 Hebr 11 16 | Ndiyo maana Mungu haoni haya wakimwita yeye Mungu wao,
157 James 2 18| imani, mimi ninayo matendo!" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza
158 James 3 10| kimoja. Ndugu zangu, mambo haya hayapaswi kuwa hivyo.~
159 2Pet 1 12 | kuwakumbusheni daima mambo haya, ingawa mmekwisha yafahamu,
160 2Pet 1 13 | kuwakumbusheni juu ya mambo haya.~
161 2Pet 1 15 | njia ya kuyakumbuka mambo haya kila wakati, baada ya kufariki
162 2Pet 3 1 | kwa kuwakumbusheni mambo haya.~
163 1Joh 1 4 | Tunawaandikia ninyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.~
164 1Joh 2 1 | wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi.
165 1Joh 2 26 | 26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha
166 Rev 1 3 | umekaribia ambapo mambo haya yatatukia.~
167 Rev 1 11 | ukipeleke kwa makanisa haya saba: Efeso, Smurna, Pergamoni,
168 Rev 1 19 | Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia
169 Rev 19 9 | malaika akaniambia, "Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye
170 Rev 21 5 | Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!"~
171 Rev 22 6 | malaika akaniambia, "Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika.
172 Rev 22 8 | niliyaona na kusikia mambo haya. Nilipokwisha sikia na kuona
173 Rev 22 16 | wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni
174 Rev 22 18 | akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa
175 Rev 22 20 | ushahidi wake juu ya mambo haya asema: "Naam! Naja upesi."
|