Book, Chapter, Verse
1 Matt 7 26 | anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana
2 Matt 10 29 | mmoja wao haanguki chini bila kibali cha Baba yenu.~
3 Matt 12 29 | kumnyang`anya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu
4 Matt 13 19 | asikiaye ujumbe wa ufalme bila kuuelewa, ni kama zile mbegu
5 Matt 13 27 | wakamwambia, `Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri
6 Matt 13 34 | mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,~
7 Matt 14 21 | wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.~
8 Matt 15 20 | najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu
9 Matt 15 32 | Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani."~
10 Matt 15 38 | walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.~
11 Matt 18 8 | kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, kuliko kutupwa
12 Matt 20 6 | mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?`~
13 Matt 21 21 | nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza
14 Matt 22 12 | Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi?> ~Lakini
15 Matt 22 24 | alisema mtu aliyeoa akifa bila ~kuacha watoto, lazima ndugu
16 Matt 22 25 | kwanza alioa kisha ~akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia
17 Matt 23 23 | mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine. ~
18 Matt 25 38 | nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?~
19 Matt 25 44 | njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa,
20 Matt 26 42 | kikombe*fp* hiki kinipite bila mimi kukinywa, basi, mapenzi
21 Mark 4 34 | 34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa
22 Mark 5 36 | 36 Lakini, bila kujali walichosema, Yesu
23 Mark 7 2 | kwa mikono najisi, yaani bila kunawa.~
24 Mark 9 43 | Afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa
25 Mark 9 45 | Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko kuwa
26 Mark 11 13 | lolote. Alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote ila majani
27 Mark 11 23 | oka ukajitose baharini` bila kuona shaka moyoni mwake,
28 Mark 12 19 | Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima
29 Mark 12 20 | Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.~
30 Mark 12 21 | huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu
31 Mark 12 22 | 22 Wote saba walikufa bila kuacha mtoto. Mwishowe yule
32 Mark 15 43 | Basi, alimwendea Pilato bila uoga, akaomba apewe mwili
33 Luke 1 6 | na maagizo yote ya Bwana bila lawama.~
34 Luke 1 74 | zetu, tupate kumtumikia bila hofu,~
35 Luke 2 43 | Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.~
36 Luke 4 23 | 23 Naye akawaambia, "Bila shaka mtaniambia msemo huu: `
37 Luke 4 35 | yule mtu chini, akamtoka bila kumdhuru hata kidogo.~
38 Luke 5 5 | kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa
39 Luke 6 35 | kuwatendea mema; kopesheni bila kutazamia malipo, na tuzo
40 Luke 6 49 | aliyejenga nyumba juu ya udongo, bila msingi. Mafuriko ya mto
41 Luke 11 36 | mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye
42 Luke 11 38 | kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.~
43 Luke 11 42 | iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.~
44 Luke 11 44 | watu hutembea juu yake bila kufahamu."~
45 Luke 12 48 | afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo.
46 Luke 18 1 | kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.~
47 Luke 18 13 | akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni,
48 Luke 20 28 | akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu
49 Luke 20 29 | kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.~
50 Luke 20 31 | wote saba - wote walikufa bila kuacha watoto.~
51 Luke 22 6 | nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.~
52 Luke 22 27 | ama yule anayetumikia? Bila shaka ni yule anayeketi
53 Luke 22 35 | wake, "Wakati nilipowatuma bila mfuko wa fedha wala mkoba
54 John 3 34 | humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo.~
55 John 6 61 | 61 Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi
56 John 15 5 | atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.~
57 John 16 29 | unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.~
58 John 19 23 | imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono.~
59 Acts 4 31 | wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.~
60 Acts 5 7 | saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia,
61 Acts 8 31 | akamjibu, "Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?" Hapo
62 Acts 9 9 | 9 Saulo alikaa siku tatu bila kuona, na wakati huo hakula
63 Acts 9 27 | Saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule Damasko.~
64 Acts 9 28 | akihubiri neno la Bwana bila hofu.~
65 Acts 10 29 | hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni:
66 Acts 10 33 | hiyo nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya
67 Acts 11 12 | aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita
68 Acts 15 24 | Lakini wamefanya hivyo bila ya idhini yoyote kutoka
69 Acts 16 10 | tulijitayarisha kwenda Makedonia bila kukawia, tukiwa na hakika
70 Acts 17 23 | Basi, huyo mnayemwabudu bila kujua, ndiye ninayemhubiri
71 Acts 18 9 | Usiogope, endelea kuhubiri tu bila kufa moyo,~
72 Acts 19 36 | tulieni; msifanye chochote bila hadhari.~
73 Acts 20 16 | kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie
74 Acts 20 22 | Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata
75 Acts 24 4 | 4 Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi,
76 Acts 25 27 | kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili."~ ~ ~~ ~
77 Acts 26 26 | kwa hiyo ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka
78 Acts 26 29 | kama nilivyo mimi, lakini bila hii minyororo."~
79 Acts 27 21 | Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama
80 Acts 27 33 | mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.~
81 Acts 27 41 | ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma
82 Acts 28 4 | mkono wake waliambiana, "Bila shaka mtu huyu amekwisha
83 Acts 28 6 | kungojea kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa
84 Acts 28 31 | Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi.~ ~
85 Roma 2 4 | uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake
86 Roma 2 12 | 12 Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia
87 Roma 2 25 | ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.~
88 Roma 3 21 | imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. Sheria
89 Roma 3 25 | Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu;~
90 Roma 4 6 | amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake:~
91 Roma 4 18 | ingawa hali yenyewe ilikuwa bila matumaini, na hivyo amekuwa
92 Roma 5 13 | haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.~
93 Roma 7 1 | 1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo,
94 Roma 7 7 | dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua
95 Roma 7 8 | mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.~
96 Roma 12 9 | 9 Mapendo yenu na yawe bila unafiki wowote. Chukieni
97 Roma 15 15 | na pale katika barua hii bila woga, nipate kuwakumbusheni
98 Roma 16 19 | hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.~
99 1Cor 1 8 | mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana
100 1Cor 1 17 | Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba
101 1Cor 4 8 | matajiri! Mmekuwa wafalme bila ya sisi! Naam, laiti mngekuwa
102 1Cor 7 11 | akiachana naye, basi abaki bila kuolewa; ama la, apatanishwe
103 1Cor 9 18 | kuihubiri Habari Njema bure, bila kudai haki ninazostahili
104 1Cor 10 25 | chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu
105 1Cor 10 27 | vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu
106 1Cor 10 33 | kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe
107 1Cor 11 5 | kutangaza ujumbe wa Mungu bila kufunika kichwa chake, anamdharau
108 1Cor 11 11 | ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye mwanamume
109 1Cor 11 11 | naye mwanamume si kitu bila mwanamke.~
110 1Cor 11 13 | mwanamke kumwomba Mungu bila kuvaa kitu kichwani?~
111 1Cor 11 27 | kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, atakuwa na hatia
112 1Cor 11 29 | maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili
113 1Cor 14 8 | 8 La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani
114 2Cor 3 11 | kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu
115 2Cor 4 9 | twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa
116 2Cor 5 3 | tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.~
117 2Cor 5 19 | naye kwa njia ya Kristo, bila kutia maanani dhambi zao
118 2Cor 6 5 | tukachoka; tumekesha na kukaa bila kula.~
119 2Cor 9 4 | hapo sisi tutaaibika - bila kutaja aibu mtakayopata
120 2Cor 11 7 | kwenu Habari Njema ya Mungu bila kudai mshahara; nilijinyenyekeza
121 2Cor 11 27 | na kutaabika, nimekesha bila usingizi mara nyingi; nimekuwa
122 2Cor 11 27 | nimefunga na kukaa katika baridi bila nguo.~
123 2Cor 13 2 | wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine,
124 Gala 1 13 | 13 Bila shaka mlikwisha sikia jinsi
125 Gala 1 16 | watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,~
126 Gala 1 17 | 17 na bila kwenda kwanza Yerusalemu
127 Gala 6 4 | fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha
128 Ephe 1 4 | Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa
129 Ephe 1 8 | 8 aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi
130 Ephe 2 12 | Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii
131 Ephe 2 12 | agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.~
132 Ephe 3 2 | 2 Bila shaka mmekwisha sikia kwamba
133 Ephe 6 18 | kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili
134 Colo 1 22 | mkiwa watakatifu, safi na bila lawama.~
135 2The 3 8 | hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi
136 1Tim 2 8 | kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.~
137 1Tim 3 13 | mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika
138 1Tim 5 21 | uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea
139 Titus 3 6 | alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu
140 Phil 1 14 | Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha
141 Hebr 2 8 | mtawala wa vitu vyote yaani bila kuacha hata kimoja. Hata
142 Hebr 4 16 | 16 Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu,
143 Hebr 9 7 | ambazo watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua.~
144 Hebr 9 18 | agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.~
145 Hebr 10 28 | asiyeitii Sheria ya Mose, huuawa bila ya huruma kukiwa na ushahidi
146 Hebr 11 27 | alihama kutoka nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme;
147 Hebr 12 2 | alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu ya aibu yake,
148 Hebr 12 14 | hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo.~
149 Hebr 13 2 | walipata kuwakaribisha malaika bila kujua.~
150 James 1 4 | wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.~
151 James 1 6 | anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye
152 James 2 16| mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji yao ya
153 James 2 17| Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.~
154 James 2 18| anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha
155 James 2 20| kuonyeshwa kwamba imani bila matendo imekufa?~
156 James 2 26| 26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo
157 James 2 26| umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.~ ~~ ~
158 1Pet 1 17 | kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati
159 1Pet 1 22 | zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni
160 1Pet 3 6 | zake kama mkitenda mema bila kuogopa tisho lolote.~
161 1Pet 4 9 | ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung`unika.~
162 2Pet 3 14 | fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na
163 1Joh 2 28 | atakapotokea tuwe hodari bila kuwa na sababu ya kujificha
164 1Joh 3 17 | lakini akawa na moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje
165 2Joh 1 10 | Basi, kama mtu akija kwenu bila kuwaleteeni mafundisho hayo,
166 3Joh 1 7 | katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka
167 Jude 1 12 | yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama
168 Jude 1 24 | mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu
169 Rev 4 8 | na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "Mtakatifu,
170 Rev 14 10 | kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu
171 Rev 22 17 | maji ya uzima na apokee bila malipo yoyote.~
|