Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 3 | 3 Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya
2 Matt 3 14 | unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe."~
3 Matt 3 17 | mbinguni ikasema, "Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa
4 Matt 11 10 | 10 "Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko
5 Matt 11 14 | mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.~
6 Matt 12 23 | Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?"~
7 Matt 12 50 | yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu
8 Matt 13 28 | 28 Yeye akawajibu, `Adui ndiye aliyefanya hivyo.` Basi,
9 Matt 14 3 | 3 Herode ndiye aliyekuwa amemtia Yohane
10 Matt 16 20 | wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.~
11 Matt 18 4 | anayejinyenyekesha kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkubwa katika Ufalme
12 Matt 21 38 | wakasemezana wao kwa wao: `Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue
13 Matt 21 42 | jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo
14 Matt 23 10 | kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye ~Kristo. ~
15 Matt 24 5 | jina langu wakisema: `Mimi ndiye Kristo,` nao watawapotosha
16 Matt 24 36 | Mwana, ila Baba peke yake ndiye ajuaye.~
17 Matt 26 23 | pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.*fm*~
18 Matt 26 25 | 25 Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, "
19 Matt 26 48 | akisema: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni."~
20 Matt 27 3 | 3 Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba
21 Mark 3 35 | anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na
22 Mark 12 7 | wakulima wakaambiana, `Huyu ndiye mrithi, basi, tumuue ili
23 Mark 12 11 | 11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo
24 Mark 12 29 | Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana.~
25 Mark 13 6 | jina langu, wakisema, `Mimi ndiye!` nao watawapotosha watu
26 Mark 13 13 | atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.~
27 Mark 13 32 | wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.~
28 Mark 14 44 | ishara: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini
29 Mark 14 62 | Yesu akajibu, "Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa
30 Luke 2 11 | Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.~
31 Luke 3 15 | Yohane: kuwa labda yeye ndiye Kristo.~
32 Luke 4 41 | walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo.~
33 Luke 7 5 | analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi."~
34 Luke 7 19 | kwa Bwana wamwulize: "Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie
35 Luke 7 20 | ametutuma kwako tukuulize: `Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie
36 Luke 7 27 | 27 Huyu Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko
37 Luke 9 35 | katika hilo wingu: "Huyu ndiye Mwanangu niliyemchagua,
38 Luke 9 48 | mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."~
39 Luke 11 40 | Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia?~
40 Luke 20 14 | tu, wakasemezana: `Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili
41 Luke 21 8 | jina langu wakisema: `Mimi ndiye`, na, `Wakati ule umekaribia`.
42 Luke 22 70 | Ninyi mnasema kwamba mimi ndiye."~
43 Luke 23 35 | ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye Kristo, mteule wa Mungu!"~
44 Luke 23 38 | kuwekwa juu yake: "Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi."~
45 Luke 24 21 | tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi
46 John 1 13 | mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao.~
47 John 1 15 | akasema kwa sauti, "Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: `
48 John 1 18 | ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za
49 John 1 23 | Yohane akawajibu, "Mimi ndiye yule ambaye nabii Isaya
50 John 1 29 | akimjia, akasema, "Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye
51 John 1 30 | 30 Huyu ndiye niliyesema juu yake: `Baada
52 John 1 33 | na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.`~
53 John 1 34 | ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu."~
54 John 1 36 | akasema, "Tazameni! Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu."~
55 John 4 26 | Mimi ninayesema nawe, ndiye."~
56 John 4 29 | Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?"~
57 John 4 42 | na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."~
58 John 5 12 | Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: `Chukua mkeka
59 John 5 16 | wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.~
60 John 5 37 | zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.~
61 John 5 46 | ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.~
62 John 6 14 | wakasema, "Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni."~
63 John 6 32 | kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi
64 John 6 46 | aliyetoka kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba.~
65 John 6 63 | 63 Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke
66 John 6 71 | Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa
67 John 7 26 | wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?~
68 John 7 29 | sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."~
69 John 7 40 | wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"~
70 John 7 41 | Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine
71 John 8 54 | ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.~
72 John 9 9 | 9 Baadhi yao wakasema, "Ndiye." Wengine wakasema, "La!
73 John 9 19 | wakawauliza hao wazazi, "Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye ninyi
74 John 9 37 | Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa."~
75 John 10 2 | kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.~
76 John 10 24 | mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiye Kristo, basi, tuambie wazi."~
77 John 10 29 | 29 Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa hao ni mkuu kuliko
78 John 11 2 | 2 Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi
79 John 11 2 | zake. Lazaro, kaka yake, ndiye aliyekuwa mgonjwa.)~
80 John 12 4 | wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,~
81 John 12 49 | mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini
82 John 13 26 | nilichochovya katika sahani, ndiye." Basi, akatwaa kipande
83 John 14 21 | zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye
84 John 15 1 | wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.~
85 John 18 5 | Yesu akawaambia, "Mimi ndiye." Msaliti Yuda alikuwa amesimama
86 John 18 6 | Yesu alipowaambia: "Mimi ndiye", wakarudi nyuma, wakaanguka
87 John 18 8 | Nimekwisha waambieni kwamba mimi ndiye. Basi, kama mnanitafuta
88 John 18 14 | 14 Huyo Kayafa ndiye aliyekuwa amewashauri Wayahudi
89 John 18 33 | na kumwuliza: "Ati wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?"~
90 John 19 26 | yake: "Mama! Tazama, huyo ndiye mwanao."~
91 John 19 27 | mwanafunzi: "Tazama, huyo ndiye mama yako." Na tangu saa
92 John 21 20 | anafuata (Huyu mwanafunzi ndiye yule ambaye wakati wa chakula
93 John 21 24 | 24 Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo
94 Acts 2 36 | Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye Mungu amemfanya
95 Acts 3 10 | 10 Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba
96 Acts 3 13 | Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi
97 Acts 3 20 | Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.~
98 Acts 4 11 | 11 Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu
99 Acts 5 31 | 31 Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu
100 Acts 7 35 | 35 "Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa
101 Acts 7 36 | 36 Ndiye aliyewaongoza wale watu
102 Acts 7 37 | 37 Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: `
103 Acts 7 38 | pamoja kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko pamoja
104 Acts 7 38 | aliyeongea naye mlimani Sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno
105 Acts 7 39 | 39 "Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza;
106 Acts 7 47 | 47 Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.~
107 Acts 8 10 | makini wakisema, "Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa `
108 Acts 9 17 | Ndugu Saulo, Bwana ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea
109 Acts 9 22 | alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo, Wayahudi wa huko
110 Acts 10 21 | akawaambia hao watu, "Mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?"~
111 Acts 10 42 | na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe
112 Acts 13 23 | watu wa Israeli Mwokozi, ndiye Yesu.~
113 Acts 14 12 | na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa
114 Acts 17 3 | ambaye mimi namhubiri kwenu ndiye Kristo."~
115 Acts 17 23 | mnayemwabudu bila kujua, ndiye ninayemhubiri kwenu.~
116 Acts 17 25 | kwa maana yeye mwenyewe ndiye anayewapa watu uhai, anawawezesha
117 Acts 18 5 | akawathibitishia Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo.~
118 Acts 19 33 | ule umati walidhani kuwa ndiye. Basi, Aleksanda aliwaashiria
119 Acts 21 28 | Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha
120 Roma 1 25 | Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele!
121 Roma 8 10 | sababu ya dhambi, kwenu Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa
122 Roma 8 34 | atakayewahukumu? Hakuna! Maana Kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka
123 1Cor 1 13 | amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili
124 1Cor 1 30 | 30 Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na
125 1Cor 4 4 | kwamba sina lawama. Bwana ndiye anayenihukumu.~
126 1Cor 4 15 | maisha ya Kikristo mimi ndiye niliyewazaeni kwa kuihubiri
127 1Cor 15 27 | hilo la vitu, maana yeye ndiye anayeviweka vitu hivyo chini
128 2Cor 1 21 | 21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi
129 2Cor 1 21 | ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;~
130 2Cor 1 22 | 22 ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa
131 2Cor 1 23 | 23 Mungu ndiye shahidi wangu - yeye anajua
132 2Cor 3 6 | 6 maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia
133 2Cor 4 6 | uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu,
134 2Cor 11 2 | mwanamume mmoja tu ambaye ndiye Kristo.~
135 Gala 1 12 | mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.~
136 Gala 2 8 | kuwa mtume kwa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha nami pia
137 Gala 3 16 | wake," yaani mmoja, naye ndiye Kristo.~
138 Ephe 2 20 | manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.~
139 Ephe 2 21 | 21 Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo
140 Ephe 4 10 | aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote
141 Ephe 4 11 | 11 Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine
142 Ephe 4 15 | kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;~
143 Colo 1 18 | uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza
144 Colo 2 17 | yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.~
145 2The 3 16 | 16 Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha amani, awajalieni
146 1Tim 2 14 | aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja
147 2Tim 4 11 | 11 Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami.
148 Hebr 1 2 | kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu
149 Hebr 2 10 | utukufu wake. Maana Yesu ndiye anayewaongoza kwenye wokovu.~
150 Hebr 3 4 | mjenzi fulani - na Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.~
151 Hebr 7 26 | 26 Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa
152 Hebr 9 7 | Lakini kuhani Mkuu peke yake ndiye anayeingia katika lile hema
153 Hebr 9 15 | 15 Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya
154 Hebr 11 10 | mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.~
155 Hebr 11 17 | alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi
156 Hebr 12 2 | 2 Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu
157 Hebr 13 6 | tunathubutu kusema: "Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa.
158 James 4 12| 12 Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na
159 1Pet 2 4 | Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa
160 1Joh 2 1 | ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu
161 1Joh 2 2 | 2 Kristo ndiye sadaka iondoayo dhambi zetu;
162 1Joh 2 5 | anayeshika neno la Mungu, huyo ndiye aliye na upendo kamili wa
163 1Joh 5 6 | 6 Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo
164 1Joh 5 20 | Mwanae, Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio
165 Rev 2 23 | yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na
166 Rev 3 19 | 19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi
167 Rev 9 11 | mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina
168 Rev 12 9 | likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye
169 Rev 12 9 | pia Ibilisi au Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu
170 Rev 19 15 | atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo
|