Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 12| kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu
2 Matt 10 15| hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji
3 Matt 11 22| hukumu, ninyi mtapata adhabu kubwa kuliko Tiro na Sidoni.~
4 Matt 13 32| zote, lakini ikishaota huwa kubwa kuliko mimea yote. Hukua
5 Matt 13 46| Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa
6 Matt 15 28| akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka."
7 Matt 18 6 | afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa
8 Matt 24 24| uongo. Watafanya ishara kubwa na maajabu ya kuweza kuwapotosha
9 Matt 26 7 | yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa
10 Matt 26 9 | yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha."~
11 Matt 26 38| akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa.
12 Matt 27 46| tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eli, Eli, lema sabakthani?"
13 Matt 27 50| Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.~
14 Matt 27 60| Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi,
15 Matt 28 2 | Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana
16 Matt 28 4 | kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.~
17 Matt 28 8 | Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi
18 Mark 1 26| kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.~
19 Mark 5 7 | 7 akisema kwa sauti kubwa, "Una shauri gani nami,
20 Mark 5 11| 11 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye
21 Mark 9 42| kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini.~
22 Mark 14 3 | ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo
23 Mark 14 34| Akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa.
24 Mark 15 34| alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eloi, Eloi, lema sabakthani?"
25 Mark 15 37| 37 Yesu akapaaza sauti kubwa, akakata roho.~
26 Mark 15 46| kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.~
27 Mark 16 4 | ondolewa. (Nalo lilikuwa kubwa mno.)~
28 Luke 1 14| 14 Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia
29 Luke 1 42| 42 akasema kwa sauti kubwa, "Umebarikiwa kuliko wanawake
30 Luke 1 58| kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.~
31 Luke 2 13| 13 Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga
32 Luke 4 25| na nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.~
33 Luke 5 20| jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, "Rafiki,
34 Luke 5 29| akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi
35 Luke 5 29| nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu
36 Luke 6 17| Hapo palikuwa na kundi kubwa la wanafunzi wake na umati
37 Luke 6 23| maana hakika tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Kwa maana wazee
38 Luke 6 35| malipo, na tuzo lenu litakuwa kubwa, nanyi mtakuwa watoto wa
39 Luke 7 9 | akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli."~
40 Luke 7 11| wafuasi wake pamoja na kundi kubwa la watu waliandamana naye.~
41 Luke 7 43| yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule
42 Luke 8 4 | 4 Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika,
43 Luke 8 28| yake, na kusema kwa sauti kubwa "We, Yesu Mwana wa Mungu
44 Luke 8 32| 32 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani.
45 Luke 8 37| Gerase walishikwa na hofu kubwa. Kwa hiyo wakamwomba Yesu
46 Luke 9 37| kutoka kule mlimani, kundi kubwa la watu lilikutana na Yesu.~
47 Luke 10 12| ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu
48 Luke 10 14| Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu
49 Luke 11 27| watu, akasema kwa sauti kubwa: "Heri tumbo lililokuzaa,
50 Luke 12 18| nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi
51 Luke 14 16| Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi.~
52 Luke 16 19| alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau,
53 Luke 16 26| na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu
54 Luke 17 2 | kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini,
55 Luke 17 15| akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.~
56 Luke 19 37| kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu
57 Luke 21 11| vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.~
58 Luke 21 23| maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya
59 Luke 23 46| 46 Yesu akalia kwa sauti kubwa: "Baba, naiweka roho yangu
60 Luke 24 52| Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:~
61 John 7 31| Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya
62 John 7 37| alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu
63 John 11 43| sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"~
64 John 12 3 | ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na
65 John 12 12| 12 Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye
66 John 12 44| Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini
67 John 19 11| aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi."~
68 John 19 31| hiyo ya Sabato ilikuwa siku kubwa, Wayahudi walimwomba Pilato
69 Acts 2 6 | Waliposikia sauti hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote
70 Acts 2 14| kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu Wayahudi nanyi nyote
71 Acts 6 5 | Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na Roho
72 Acts 6 7 | ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.~
73 Acts 7 11| 11 Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri
74 Acts 7 11| Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata
75 Acts 7 17| ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi.~
76 Acts 7 60| magoti, akalia kwa sauti kubwa: "Bwana, usiwalaumu kwa
77 Acts 8 7 | waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa
78 Acts 8 8 | 8 Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.~
79 Acts 8 10| kimungu inayoitwa `Nguvu Kubwa."`~
80 Acts 9 25| wakamteremsha chini ndani ya kapu kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako
81 Acts 10 11| zimefunguliwa na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa
82 Acts 11 5 | niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka
83 Acts 11 21| Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini na kumgeukia
84 Acts 11 24| Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.~
85 Acts 11 26| mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia,
86 Acts 11 28| kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo
87 Acts 13 17| na kuwafanya wawe taifa kubwa walipokuwa ugenini kule
88 Acts 14 10| 10 akasema kwa sauti kubwa, "Simama wima kwa miguu
89 Acts 14 14| watu wakisema kwa sauti kubwa:~
90 Acts 16 2 | Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra
91 Acts 16 28| Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: "Usijidhuru mwenyewe kwa
92 Acts 17 4 | na Sila. Kadhalika, idadi kubwa ya Wagiriki waliomcha Mungu
93 Acts 17 11| Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko
94 Acts 19 23| ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso kwa sababu ya
95 Acts 19 24| iliwapatia mafundi faida kubwa.~
96 Acts 21 36| 36 Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga
97 Acts 22 22| walianza kusema kwa sauti kubwa, "Mwondoe duniani! Mtu wa
98 Acts 22 28| Roma kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini
99 Acts 24 2 | wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima
100 Acts 26 11| Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji
101 Acts 26 24| Festo alisema kwa sauti kubwa, "Paulo! Una wazimu! Kusoma
102 Roma 9 2 | kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika
103 Roma 15 23| miaka mingi nimekuwa na nia kubwa ya kuja kwenu,~
104 1Cor 6 20| 20 Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili
105 1Cor 9 11| kati yenu, je, ni jambo kubwa tukichuma kwenu faida ya
106 1Cor 12 23| kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa
107 1Cor 15 34| Hii nawaambieni, ni aibu kubwa kwenu!~
108 2Cor 1 10| alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa;
109 2Cor 5 2 | tunaugua, tukitazamia kwa hamu kubwa kuvikwa makao yetu yaliyo
110 2Cor 7 4 | 4 Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; naona
111 2Cor 7 4 | ninaposema nanyi; naona fahari kubwa juu yenu! Katika taabu zetu
112 2Cor 8 2 | lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu
113 2Cor 8 11| vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni
114 2Cor 8 17| ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua
115 2Cor 8 22| tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa
116 2Cor 9 5 | kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe
117 2Cor 11 33| 33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia
118 Gala 5 10| kwetu na Bwana, nina tumaini kubwa kwamba ninyi hamtakuwa na
119 Gala 6 11| nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.~
120 1The 2 17| baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena!~
121 1The 5 13| 13 Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu
122 2The 3 4 | Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka
123 1Tim 2 9 | lulu au mavazi ya gharama kubwa,~
124 2Tim 2 20| 20 Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo
125 Phil 1 7 | wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe
126 Hebr 1 9 | wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako."~
127 Hebr 3 3 | Yesu anastahili heshima kubwa zaidi kuliko Mose.~
128 Hebr 6 9 | wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua
129 Hebr 10 35| maana utawapatieni tuzo kubwa.~
130 Hebr 11 26| ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote
131 Hebr 12 1 | 1 Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele yetu.
132 Hebr 12 23| Mmefika kwenye kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa
133 James 3 1| sisi walimu tutapata hukumu kubwa zaidi kuliko wengine.~
134 James 3 4| Meli nazo pia, ingawa ni kubwa sana, na husukumwa na upepo
135 James 4 9| na furaha yenu iwe huzuni kubwa.~
136 1Pet 2 4 | jiwe teule, na la thamani kubwa.~
137 1Pet 2 6 | msingi, jiwe la thamani kubwa nililoliteua. Mtu atakayemwamini
138 1Pet 2 7 | jiwe hilo ni la thamani kubwa; lakini kwa wale wasioamini, "
139 1Pet 3 4 | roho, ambao ni wa thamani kubwa mbele ya Mungu.~
140 Rev 1 10 | nikasikia nyuma yangu sauti kubwa kama sauti ya tarumbeta.~
141 Rev 5 2 | nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: "Nani anayestahili kuvunja
142 Rev 6 10 | Basi, wakalia kwa sauti kubwa: "Ee Bwana, uliye mtakatifu
143 Rev 6 12 | sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi
144 Rev 8 10 | tarumbeta yake. Na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto,
145 Rev 8 13 | angani anasema kwa sauti kubwa, "Ole, ole, ole kwa wanaoishi
146 Rev 9 2 | kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza
147 Rev 10 3 | 3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba.
148 Rev 11 12 | manabii wawili wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, "
149 Rev 11 13 | huohuo, kukatokea tetemeko kubwa la ardhi, sehemu moja ya
150 Rev 11 19 | tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe.~ ~~ ~
151 Rev 12 1 | 1 Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa
152 Rev 12 3 | ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi
153 Rev 12 10 | 10 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: "
154 Rev 14 2 | na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa
155 Rev 14 7 | 7 Akasema kwa sauti kubwa, "Mcheni Mungu na kumtukuza!
156 Rev 14 9 | wawili akisema kwa sauti kubwa, "Yeyote anayemwabudu yule
157 Rev 14 15 | akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa
158 Rev 14 18 | madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu
159 Rev 15 1 | ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa
160 Rev 16 1 | 1 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka Hekaluni ikiwaambia
161 Rev 16 17 | bakuli lake hewani. Sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye
162 Rev 16 18 | kelele, ngurumo na tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijapata
163 Rev 16 21 | mvua hiyo ya mawe lilikuwa kubwa mno.~ ~~ ~
164 Rev 18 12 | ndovu, vya miti ya thamani kubwa, vya shaba, chuma na marmari;~
165 Rev 18 21 | akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini
166 Rev 19 1 | nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni
167 Rev 19 6 | maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, "Haleluya! Maana
168 Rev 21 3 | 3 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi
169 Rev 21 11 | kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama
|