Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 2 | Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake,~
2 Matt 1 11 | alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi
3 Matt 4 8 | zote za ulimwengu na fahari zake,~
4 Matt 4 24 | 24 Habari zake zikaenea katika mkoa wote
5 Matt 6 29 | Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri
6 Matt 9 9 | na alipokuwa anakwenda zake, alimwona mtu mmoja aitwaye
7 Matt 12 1 | masuke ya ngano, wakala punje zake.~
8 Matt 12 16 | wasiwaambie watu habari zake,~
9 Matt 12 46 | wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje,
10 Matt 13 25 | magugu kati ya ngano, akaenda zake.~
11 Matt 13 55 | anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu,
12 Matt 13 56 | 56 Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja
13 Matt 15 23 | wakamwambia, "Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata
14 Matt 16 4 | Basi, akawaacha, akaenda zake.~
15 Matt 18 27 | lile deni, akamwacha aende zake.~
16 Matt 19 22 | aliposikia hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana
17 Matt 22 5 | mwingine kwenye shughuli zake, ~
18 Matt 24 1 | Hekaluni, na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake walimwendea,
19 Matt 26 24 | Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu
20 Matt 27 28 | 28 Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi
21 Matt 27 31 | lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.~
22 Matt 27 60 | mlango wa kaburi, akaenda zake.~
23 Mark 1 43 | Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali,~
24 Mark 2 12 | akauchukua mkeka wake, akaenda zake. Watu wote wakashangaa na
25 Mark 3 31 | Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama
26 Mark 6 3 | Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?"
27 Mark 6 4 | katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake."~
28 Mark 8 26 | 26 Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, "
29 Mark 8 30 | wasimwambie mtu yeyote habari zake.~
30 Mark 10 22 | hayo, alisikitika, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana
31 Mark 14 21 | Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu
32 Mark 14 71 | mtu huyu mnayesema habari zake."~
33 Mark 15 20 | lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.~
34 Luke 1 38 | Kisha yule malaika akaenda zake.~
35 Luke 4 6 | falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi
36 Luke 4 14 | Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote
37 Luke 4 30 | akapita katikati yao, akaenda zake.~
38 Luke 4 37 | 37 Habari zake zikaenea mahali pote katika
39 Luke 5 16 | 16 Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa
40 Luke 5 25 | akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza
41 Luke 6 1 | ya ngano, wakaondoa punje zake kwa mikono, wakala.~
42 Luke 7 6 | jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie Yesu: "Bwana,
43 Luke 7 38 | miguu ya Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka
44 Luke 7 44 | na kunipangusa kwa nywele zake.~
45 Luke 7 47 | nakwambia amesamehewa dhambi zake nyingi kwa kuwa ameonyesha
46 Luke 8 5 | alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda zile
47 Luke 8 19 | 19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza
48 Luke 8 20 | habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.~
49 Luke 8 35 | amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa.~
50 Luke 8 37 | wakamwomba Yesu aondoke, aende zake. Hivyo Yesu alipanda tena
51 Luke 9 9 | huyu ninayesikia habari zake?" Akawa na hamu ya kumwona.~
52 Luke 11 22 | kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya
53 Luke 12 27 | Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri
54 Luke 14 4 | akamponya, akamwacha aende zake.~
55 Luke 14 26 | wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake
56 Luke 14 28 | kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi
57 Luke 15 6 | nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, `Furahini pamoja
58 Luke 15 9 | atawaita rafiki na jirani zake akisema, `Furahini pamoja
59 Luke 23 8 | Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia
60 Luke 23 49 | 49 Marafiki zake wote pamoja na wale wanawake
61 John 1 15 | Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "Huyu
62 John 1 23 | nabii Isaya alisema habari zake: `Sauti ya mtu imesikika
63 John 1 45 | manabii waliandika habari zake, yaani Yesu Mwana wa Yosefu,
64 John 2 12 | pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda
65 John 4 50 | maneno ya Yesu, akaenda zake.~
66 John 7 3 | 3 Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa
67 John 7 5 | 5 Hata ndugu zake hawakumwamini!)~
68 John 7 10 | 10 Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu
69 John 7 13 | aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa
70 John 7 53 | wakaondoka, kila mtu akaenda zake;~ ~~ ~
71 John 9 3 | halikutukia kwa sababu ya dhambi zake yeye, wala dhambi za wazazi
72 John 9 8 | 8 Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua
73 John 11 2 | na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro, kaka yake, ndiye
74 John 11 44 | Mfungueni, mkamwache aende zake."~
75 John 12 3 | na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu
76 John 12 36 | maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali nao.~
77 John 12 41 | wa Yesu, akasema habari zake.~
78 John 15 13 | wake kwa ajili ya rafiki zake.~
79 John 19 23 | Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne,
80 John 19 35 | tukio hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini.
81 Acts 1 10 | angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa
82 Acts 1 14 | mama yake Yesu, na ndugu zake.~
83 Acts 7 10 | 10 akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia fadhili
84 Acts 7 13 | alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa
85 Acts 7 23 | aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli.~
86 Acts 9 19 | baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. Saulo alikaa
87 Acts 9 30 | Kaisarea, wakamwacha aende zake Tarso.~
88 Acts 10 7 | hayo alipokwisha kwenda zake, Kornelio aliwaita watumishi
89 Acts 10 7 | nyumbani na mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha Mungu,~
90 Acts 10 11 | chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.~
91 Acts 10 43 | atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."~
92 Acts 11 5 | likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.~
93 Acts 18 18 | Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa
94 Acts 19 27 | cha maana. Hatimaye sifa zake huyo ambaye Asia na dunia
95 Acts 19 31 | wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe
96 Acts 23 22 | wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu
97 Acts 24 23 | na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji
98 Acts 27 3 | kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.~
99 Roma 2 5 | ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.~
100 Roma 4 8 | Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu."~
101 Roma 5 10 | Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye
102 Roma 5 15 | amewazidishia wote neema na zawadi zake.~
103 Roma 6 12 | na hivyo kuzitii tamaa zake.~
104 Roma 9 4 | imani ya kweli na ahadi zake.~
105 Roma 10 14 | hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake
106 Roma 10 14 | zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?~
107 Roma 11 29 | akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba
108 Roma 11 33 | Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia
109 Roma 11 33 | hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo
110 1Cor 7 36 | asipomwoa, na kama tamaa zake zinamshinda, na afanye atakavyo;
111 1Cor 7 37 | anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya,
112 1Cor 9 5 | wafanyavyo mitume wengine, ndugu zake Bwana, na pia Kefa?~
113 1Cor 9 23 | nipate kushiriki baraka zake.~
114 1Cor 9 26 | kama bondia anayetupa ngumi zake hewani.~
115 1Cor 11 6 | chake, afadhali anyoe nywele zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke
116 1Cor 11 6 | mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa; basi, afadhali
117 1Cor 11 15 | ni heshima kwake; nywele zake ndefu amepewa ili zimfunike.~
118 1Cor 14 8 | likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa
119 1Cor 15 25 | Mungu atakapowashinda adui zake na kuwaweka chini ya miguu
120 2Cor 8 18 | ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema
121 2Cor 11 3 | vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa,
122 Gala 5 24 | mawazo yake mabaya na tamaa zake.~
123 Gala 6 6 | amshirikishe mwalimu wake riziki zake.~
124 Ephe 2 15 | Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana
125 Ephe 2 15 | pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo
126 Ephe 4 21 | mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa
127 Ephe 4 22 | uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.~
128 Colo 1 21 | na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu
129 2Tim 4 10 | huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda
130 Titus 3 11| amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea.~
131 Hebr 2 5 | ulimwengu ule tunaoongea habari zake.~
132 Hebr 2 11 | haoni aibu kuwaita hao ndugu zake;~
133 Hebr 2 17 | ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili awe
134 Hebr 4 4 | siku ya saba, akaacha kazi zake zote."~
135 Hebr 5 3 | pia kwa ajili ya dhambi zake.~
136 Hebr 7 27 | kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili
137 Hebr 9 1 | kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu
138 Hebr 9 11 | fika. Yeye anatoa huduma zake katika hema iliyo bora na
139 Hebr 10 13 | Huko anangoja mpaka adui zake watakapowekwa kama kibao
140 Hebr 10 23 | maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu.~
141 Hebr 11 4 | mwenyewe alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa,
142 Hebr 11 11 | kwamba Mungu hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua
143 Hebr 13 4 | kuheshimiwa na watu wote, na haki zake zitekelezwe kwa uaminifu.
144 James 1 11| ataangamizwa katika shughuli zake.~
145 James 1 14| anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.~
146 James 1 24| Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.~
147 1Pet 3 6 | Ninyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda mema bila
148 2Pet 1 9 | alikwisha takaswa dhambi zake za zamani.~
149 2Pet 3 16 | ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala
150 2Pet 3 16 | mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa,
151 1Joh 1 2 | na sasa tunasema habari zake na kuwaambieni juu ya uzima
152 1Joh 2 4 | anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo,
153 1Joh 3 22 | tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.~
154 1Joh 5 2 | kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;~
155 1Joh 5 3 | kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,~
156 1Joh 5 3 | kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,~
157 2Joh 1 6 | kuishi kwa kuzitii amri zake Mungu. Amri niliyoisikia
158 Rev 1 14 | 14 Nywele zake zilikuwa nyeupe kama pamba
159 Rev 2 21 | Nimempa muda wa kutubu dhambi zake, lakini hataki kuachana
160 Rev 12 12 | sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache."~
161 Rev 14 18 | mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!"~
162 Rev 16 15 | mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko
163 Rev 17 11 | mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.~
164 Rev 18 3 | wametajirika kutokana na anasa zake zisizo na kipimo."~
165 Rev 18 4 | msishirikiane naye katika dhambi zake, msije mkaipata adhabu yake.~
166 Rev 18 5 | 5 Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimelundikana
167 Rev 21 15 | mji, milango yake na kuta zake.~
|