Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 24 | mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako,
2 Matt 6 33 | 33 Bali, zingatieni kwanza Ufalme wa Mungu na matakwa
3 Matt 7 5 | 5 Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako
4 Matt 8 21 | akamwambia, "Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu."~
5 Matt 10 2 | kumi na wawili ni haya: wa kwanza ni Simoni aitwae Petro,
6 Matt 12 29 | kumnyang`anya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye
7 Matt 13 30 | nitawaambia wavunaji: kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu
8 Matt 17 10 | Sheria wanasema ati ni lazima kwanza Eliya aje?"~
9 Matt 17 27 | ndoana; chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa
10 Matt 19 30 | 30 Lakini walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio
11 Matt 19 30 | walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.~ ~~ ~
12 Matt 20 8 | na kumalizia na wale wa kwanza.`~
13 Matt 20 10 | 10 Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani
14 Matt 20 16 | walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa
15 Matt 20 16 | watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho."~
16 Matt 20 27 | 27 na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi
17 Matt 21 28 | wawili. Akamwambia yule wa kwanza, `Mwanangu, leo nenda ukafanye
18 Matt 21 31 | Wakamjibu, "Yule mtoto wa kwanza." Basi, Yesu akawaambia, "
19 Matt 21 36 | wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea
20 Matt 22 25 | palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha ~akafa bila
21 Matt 22 38 | 38 Hii ndiyo amri kuu ya kwanza. ~
22 Matt 23 26 | Kisafishe kikombe ndani kwanza na nje kutakuwa ~safi pia. ~
23 Matt 26 17 | 17 Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu ya Mikate
24 Mark 3 27 | anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye
25 Mark 4 28 | kukua na kuzaa matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha
26 Mark 7 4 | sokoni mpaka wamekiosha kwanza.*fc* Kuna pia desturi nyingine
27 Mark 7 27 | 27 Yesu akamwambia, "Kwanza watoto washibe; kwa maana
28 Mark 9 11 | kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"~
29 Mark 9 12 | akawajibu, "Naam, Eliya anakuja kwanza kutayarisha yote. Hata hivyo,
30 Mark 9 35 | Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza lazima awe wa mwisho na
31 Mark 10 31 | 31 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio
32 Mark 10 31 | walio wa mwisho watakuwa wa kwanza."~
33 Mark 10 44 | 44 Anayetaka kuwa wa kwanza, sharti awe mtumishi wa
34 Mark 12 20 | kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha
35 Mark 12 28 | amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?"~
36 Mark 12 29 | 29 Yesu akamjibu, "Ya kwanza ndiyo hii: `Sikiliza, Israeli!
37 Mark 13 8 | haya ni kama tu maumivu ya kwanza ya kujifungua mtoto.~
38 Mark 13 10 | 10 Lakini lazima kwanza Habari Njema ihubiriwe kwa
39 Mark 14 12 | 12 Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
40 Mark 16 9 | mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye
41 Luke 2 2 | Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa
42 Luke 2 7 | akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo
43 Luke 2 23 | imeandikwa: "Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu
44 Luke 6 42 | mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako,
45 Luke 9 59 | akasema, "Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu."~
46 Luke 9 61 | Nitakufuata, lakini niruhusu kwanza nikawaage wale walio nyumbani
47 Luke 10 5 | Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: `Amani
48 Luke 12 1 | wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, "Jihadharini
49 Luke 12 31 | 31 Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo
50 Luke 13 30 | walio wa mwisho watakuwa wa kwanza; na wale walio wa kwanza
51 Luke 13 30 | kwanza; na wale walio wa kwanza watakuwa wa mwisho."~
52 Luke 14 18 | wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi: `Nimenunua
53 Luke 14 28 | akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili
54 Luke 14 31 | mfalme mwingine, hataketi kwanza chini na kufikiri kama ataweza,
55 Luke 16 5 | mmoja, akamwambia yule wa kwanza: `Unadaiwa kiasi gani na
56 Luke 19 16 | 16 Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: `Mheshimiwa,
57 Luke 20 29 | kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila
58 Luke 21 9 | maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote,
59 John 1 41 | 41 Andrea alimkuta kwanza Simoni, ndugu yake, akamwambia, "
60 John 2 10 | mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa
61 John 2 11 | Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha
62 John 5 5 | Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya
63 John 6 62 | akipanda kwenda kule alikokuwa kwanza?~
64 John 7 51 | humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?"~
65 John 8 7 | miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe."~
66 John 18 13 | 13 na kumpeleka kwanza kwa Anasi; Anasi alikuwa
67 John 19 32 | wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa
68 Acts 1 1 | Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo
69 Acts 1 23 | majina ya watu wawili; wa kwanza Yosefu aliyeitwa Barsaba (
70 Acts 3 26 | ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi
71 Acts 7 12 | waende huko Misri mara ya kwanza.~
72 Acts 11 26 | Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
73 Acts 12 10 | 10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili,
74 Acts 12 20 | walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande
75 Acts 13 46 | Mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa
76 Acts 16 12 | Filipi, mji wa wilaya ya kwanza ya Makedonia, na ambao pia
77 Acts 20 18 | nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia.~
78 Acts 26 20 | 20 Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko, halafu
79 Acts 26 23 | Kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili
80 Roma 1 16 | wote wanaoamini: Wayahudi kwanza, na wasio Wayahudi pia.~
81 Roma 2 9 | uovu. Yatawapata Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine
82 Roma 2 10 | wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine
83 Roma 3 2 | iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi
84 Roma 8 23 | tulio na huyo Roho, aliye wa kwanza wa zawadi za Mungu; sisi
85 Roma 8 29 | Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.~
86 Roma 9 12 | aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma.
87 Roma 10 19 | hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: "Nitawafanyeni mwaonee
88 Roma 11 16 | 16 Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu,
89 Roma 11 35 | nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena
90 Roma 12 10 | mmoja amfikirie mwenzake kwanza kwa heshima.~
91 Roma 16 5 | yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini
92 1Cor 11 28 | mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na
93 1Cor 12 28 | Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu
94 1Cor 15 23 | kwa mpango wake: Kristo kwanza, halafu wale walio wake
95 1Cor 15 36 | Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.~
96 1Cor 15 45 | Maandiko yasema: "Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye
97 1Cor 15 47 | 47 Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, alitoka
98 1Cor 16 15 | Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya
99 2Cor 8 5 | hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe
100 2Cor 8 10 | mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua
101 Gala 1 17 | 17 na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata
102 Gala 1 17 | kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena
103 Gala 4 13 | Habari Njema kwa mara ya kwanza.~
104 Gala 4 24 | mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani
105 Ephe 4 9 | gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa
106 Ephe 6 2 | yako," hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi,
107 Colo 1 5 | ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya
108 Colo 1 15 | asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.~
109 Colo 1 18 | ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu,
110 Colo 1 18 | wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote.~
111 Colo 1 21 | 21 Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali
112 1The 4 16 | wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.~
113 2The 2 3 | Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na
114 1Tim 2 1 | 1 Kwanza kabisa, basi naomba dua,
115 1Tim 2 13 | 13 Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.~
116 1Tim 3 10 | 10 Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana
117 2Tim 2 6 | anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.~
118 2Tim 4 16 | nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande
119 Titus 3 10| anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana
120 Hebr 1 6 | anamtuma Mwanae mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, alisema: "Malaika
121 Hebr 2 3 | hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza
122 Hebr 7 2 | alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki
123 Hebr 7 27 | kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake
124 Hebr 8 7 | Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari,
125 Hebr 8 13 | Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa
126 Hebr 9 1 | 1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake
127 Hebr 9 18 | maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.~
128 Hebr 9 19 | 19 Kwanza Mose aliwatangazia watu
129 Hebr 10 8 | 8 Kwanza alisema: "Hutaki, wala hupendezwi
130 Hebr 10 15 | Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:~
131 Hebr 10 32 | yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa
132 Hebr 11 28 | Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli.~
133 Hebr 12 16 | haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.~
134 Hebr 12 23 | kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao
135 James 1 18| tuwe namna ya matunda ya kwanza miongoni mwa viumbe vyake.~
136 James 3 17| hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani,
137 1Joh 4 10 | tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda
138 1Joh 4 19 | sababu Mungu alitupenda kwanza.~
139 Rev 1 5 | Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu,
140 Rev 1 17 | akasema, "Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.~
141 Rev 2 8 | ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa
142 Rev 4 7 | 7 Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha
143 Rev 8 7 | 7 Malaika wa kwanza akapiga tarumbeta yake.
144 Rev 9 12 | 12 Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili
145 Rev 13 12 | kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo
146 Rev 13 12 | kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha
147 Rev 13 14 | kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia
148 Rev 13 15 | sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na
149 Rev 14 4 | binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa
150 Rev 14 8 | wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, "Ameanguka! Naam,
151 Rev 16 2 | 2 Basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli
152 Rev 20 5 | itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.~
153 Rev 20 6 | wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa
154 Rev 21 1 | dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa
155 Rev 21 1 | ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo
156 Rev 21 19 | mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe
157 Rev 22 13 | Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho."~
|