Book, Chapter, Verse
1 Matt 4 8 | akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake,~
2 Matt 5 14 | 14 "Ninyi ni mwanga wa ulimwengu! Mji uliojengwa juu ya mlima
3 Matt 12 32 | hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu
4 Matt 12 32 | ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao.~
5 Matt 13 22 | ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga
6 Matt 13 35 | yaliyofichika tangu kuumbwa ulimwengu."~
7 Matt 13 38 | 38 Lile shamba ni ulimwengu. Zile mbegu nzuri ni watu
8 Matt 16 26 | akiupata utajiri wote wa ulimwengu na hali amepoteza maisha
9 Matt 18 7 | 7 Ole wake ulimwengu kwa sababu ya vikwazo vinavyowaangusha
10 Matt 19 28 | cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata
11 Matt 24 21 | haijapata kuwako tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka leo, wala haitapata
12 Matt 25 34 | mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.~
13 Mark 4 19 | 19 lakini wasiwasi wa ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa
14 Mark 8 36 | kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha
15 Mark 10 6 | 6 Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume
16 Mark 13 19 | haijatokea tangu Mungu alipoumba ulimwengu mpaka leo, wala haitatokea
17 Luke 4 5 | mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,~
18 Luke 11 50 | iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;~
19 Luke 21 26 | wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu
20 John 1 10 | ulimwenguni; na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu
21 John 1 10 | ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua.~
22 John 1 29 | Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!~
23 John 3 16 | 16 Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana
24 John 3 17 | ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.~
25 John 3 17 | ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.~
26 John 4 42 | huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."~
27 John 6 33 | kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima."~
28 John 6 51 | ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu."~
29 John 7 4 | basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."~
30 John 7 7 | 7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi,
31 John 8 12 | aliwaambia, "Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei
32 John 8 23 | nimetoka juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu
33 John 8 23 | ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.~
34 John 8 26 | ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia
35 John 9 5 | ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu."~
36 John 9 32 | 32 Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua
37 John 11 9 | kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.~
38 John 12 19 | kufanya chochote! Tazameni, ulimwengu wote unamfuata."~
39 John 12 25 | anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili
40 John 12 31 | 31 Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala
41 John 12 31 | kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.~
42 John 12 47 | sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.~
43 John 14 17 | 17 Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu
44 John 14 19 | 19 Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini
45 John 14 22 | kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?"~
46 John 14 27 | Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi,
47 John 14 30 | mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi
48 John 14 31 | 31 lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda
49 John 15 18 | 18 "Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni
50 John 15 19 | Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda
51 John 15 19 | mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama
52 John 15 19 | Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni
53 John 15 19 | ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.~
54 John 16 11 | hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa.~
55 John 16 20 | mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni
56 John 16 28 | ulimwenguni; na sasa nauacha ulimwengu na kurudi kwa Baba."~
57 John 16 33 | jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu!"~ ~ ~~ ~
58 John 17 5 | niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.~
59 John 17 9 | Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea hao ulionipa,
60 John 17 14 | nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa sababu
61 John 17 14 | ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami nisivyo wa
62 John 17 14 | kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.~
63 John 17 16 | 16 Wao si wa ulimwengu, kama vile nami nisivyo
64 John 17 16 | kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.~
65 John 17 21 | wawe kitu kimoja kusudi ulimwengu upate kuamini kwamba wewe
66 John 17 23 | na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe
67 John 17 24 | ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.~
68 John 17 25 | 25 Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua.
69 John 18 36 | akamjibu, "Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa
70 John 18 36 | ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu watumishi wangu wangenipigania
71 John 21 25 | ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka
72 Acts 13 47 | uwe njia ya wokovu kwa ulimwengu wote."`~
73 Acts 17 24 | 24 Mungu, aliyeumba ulimwengu na vyote vilivyomo, ni Bwana
74 Acts 17 31 | weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki kwa njia ya mtu
75 Roma 1 20 | 20 Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, uwezo wake wa milele na
76 Roma 3 6 | Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?~
77 Roma 3 19 | kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini ya hukumu
78 Roma 4 13 | Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi
79 Roma 8 39 | 39 Wala ulimwengu wa juu, wala wa chini kabisa.
80 Roma 9 28 | hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote."~
81 Roma 10 18 | yamefika mpaka kingo za ulimwengu."~
82 Roma 11 12 | limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho
83 Roma 11 15 | kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje
84 Roma 12 2 | 2 Msiige mitindo ya ulimwengu huu, bali Mungu afanye mabadiliko
85 1Cor 1 20 | Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu.~
86 1Cor 1 27 | aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili
87 1Cor 1 27 | aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe
88 1Cor 2 12 | sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye
89 1Cor 3 22 | 22 Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya
90 1Cor 4 9 | tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na
91 1Cor 6 2 | watu wa Mungu watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa
92 1Cor 6 2 | watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa nanyi, kwa nini
93 1Cor 7 31 | shughuli sana nayo. Maana ulimwengu huu, kama tuujuavyo, unapita.~
94 1Cor 11 32 | tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.~
95 2Cor 4 4 | kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili
96 2Cor 5 19 | Mungu, amekuwa akiupatanisha ulimwengu naye kwa njia ya Kristo,
97 Gala 1 4 | ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa.~
98 Gala 3 22 | Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala
99 Gala 4 3 | watumwa wa pepo watawala wa ulimwengu.~
100 Gala 6 14 | kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami
101 Gala 6 14 | kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.~
102 Ephe 1 4 | 4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake
103 Ephe 1 21 | kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu
104 Ephe 1 21 | ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.~
105 Ephe 2 2 | kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala
106 Ephe 4 10 | mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.~
107 Ephe 6 12 | vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala,
108 Ephe 6 12 | wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.~
109 Colo 2 20 | nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi
110 Colo 2 20 | tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:~
111 2Tim 4 10 | 10 Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda
112 Titus 2 12| na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa,~
113 Hebr 1 2 | njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu
114 Hebr 1 3 | Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu.
115 Hebr 2 5 | hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule
116 Hebr 2 5 | wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.~
117 Hebr 4 3 | malizika tangu alipoumba ulimwengu.~
118 Hebr 6 5 | neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,~
119 Hebr 9 11 | ya watu, yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa.~
120 Hebr 9 26 | mara nyingi tangu kuumbwa ulimwengu. Lakini sasa nyakati hizi
121 Hebr 11 3 | imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu;
122 Hebr 11 7 | jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea
123 Hebr 11 38 | 38 Ulimwengu haukustahili kuwa na watu
124 James 1 27| mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.~ ~~ ~
125 James 2 5 | ambao ni maskini katika ulimwengu huu ili wapate kuwa matajiri
126 James 3 15| mbinguni; hekima hiyo ni ya ulimwengu, na ya kidunia, tena ni
127 James 4 4 | hamjui kwamba kuwa rafiki wa ulimwengu ni kuwa adui wa Mungu? Yeyote
128 James 4 4 | anayetaka kuwa rafiki wa ulimwengu anajifanya adui wa Mungu.~
129 1Pet 1 20 | ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku
130 2Pet 2 20 | ponyoka katika upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana
131 2Pet 3 4 | kama ilivyokuwa mwanzo wa ulimwengu!"~
132 1Joh 2 2 | sisi tu, bali pia dhambi za ulimwengu wote.~
133 1Joh 2 15 | 15 Msiupende ulimwengu, wala chochote kilicho cha
134 1Joh 2 15 | wala chochote kilicho cha ulimwengu. Mtu anayeupenda ulimwengu,
135 1Joh 2 15 | ulimwengu. Mtu anayeupenda ulimwengu, upendo wa Baba hauwezi
136 1Joh 2 16 | kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.~
137 1Joh 2 17 | 17 Ulimwengu pamoja na vitu vyake vyote
138 1Joh 3 1 | ndivyo tulivyo. Ndiyo maana ulimwengu haututambui sisi, kwani
139 1Joh 3 13 | ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia ninyi.~
140 1Joh 4 4 | aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.~
141 1Joh 4 5 | 5 Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza
142 1Joh 4 5 | mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni
143 1Joh 4 5 | huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.~
144 1Joh 4 14 | alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.~
145 1Joh 5 4 | Mungu anaweza kuushinda ulimwengu. Hivi ndivyo tunavyoushinda
146 1Joh 5 4 | Hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.~
147 1Joh 5 5 | basi, awezaye kuushinda ulimwengu? Ni yule anayeamini kwamba
148 1Joh 5 19 | sisi ni wake Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule
149 Rev 3 10 | wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi
150 Rev 11 15 | zikisema, "Sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo
151 Rev 12 9 | Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani,
152 Rev 13 8 | yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima
153 Rev 16 14 | wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja
154 Rev 17 8 | cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo
|