Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 6 | vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda; maana
2 Matt 9 15 | bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.~
3 Matt 10 16 | nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Muwe na busara
4 Matt 10 35 | nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati
5 Matt 10 35 | kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati
6 Matt 10 35 | kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.~
7 Matt 13 22 | 22 Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano
8 Matt 13 25 | yake akaja akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake.~
9 Matt 18 2 | mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,~
10 Matt 18 20 | jina langu, mimi nipo hapo kati yao."~
11 Matt 20 26 | yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi
12 Matt 20 27 | anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi
13 Matt 21 31 | 31 Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza
14 Matt 23 35 | ambaye mlimuua ~Hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu. ~
15 Matt 26 5 | kusije kukatokea ghasia kati ya watu.~
16 Matt 27 17 | Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba*fq*
17 Matt 27 21 | mkoa akawauliza, "Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka
18 Matt 28 15 | walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo.~
19 Mark 2 20 | bwana harusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.~
20 Mark 9 34 | wamebishana ni nani aliye mkuu kati yao.~
21 Mark 9 36 | mtoto mdogo, akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu
22 Mark 9 50 | yenu na kudumisha amani kati yenu."~ ~~ ~
23 Mark 10 43 | ila anayetaka kuwa mkuu kati yenu, sharti awe mtumishi
24 Luke 1 1 | mambo yale yaliyotendeka kati yetu.~
25 Luke 2 46 | tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza
26 Luke 5 35 | bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo
27 Luke 7 16 | wakisema: "Nabii mkuu ametokea kati yetu. Mungu amekuja kuwakomboa
28 Luke 7 18 | baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake,~
29 Luke 7 28 | kwa kusema, "Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna
30 Luke 7 42 | wote wawili. Sasa ni yupi kati ya hao wawili atampenda
31 Luke 8 7 | 7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti
32 Luke 8 43 | Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi la watu, ambaye
33 Luke 9 46 | 46 Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu
34 Luke 9 46 | wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.~
35 Luke 9 48 | aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa
36 Luke 10 3 | kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.~
37 Luke 10 36 | 36 Kisha Yesu akauliza, "Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha
38 Luke 11 51 | Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu.
39 Luke 12 14 | mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?"~
40 Luke 12 25 | 25 Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi
41 Luke 13 15 | akamjibu, "Enyi wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng`ombe
42 Luke 14 5 | Halafu akawaambia, "Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au
43 Luke 16 26 | 26 Licha ya hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa
44 Luke 17 21 | kweli Ufalme wa Mungu uko kati yenu."~
45 Luke 22 23 | kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo hilo.~
46 Luke 22 24 | 24 Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani
47 Luke 22 26 | 26 Lakini isiwe hivyo kati yenu; bali, yule aliye mkuu
48 Luke 22 26 | yenu; bali, yule aliye mkuu kati yenu ni lazima awe mdogo
49 Luke 22 27 | Hata hivyo, mimi niko hapa kati yenu kama mtumishi.~
50 Luke 24 5 | nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu?~
51 Luke 24 13 | 13 Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa
52 Luke 24 31 | wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.~
53 Luke 24 36 | Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "Amani kwenu."~
54 John 1 26 | maji, lakini yuko mmoja kati yenu, msiyemjua bado.~
55 John 3 25 | 25 Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa
56 John 6 39 | nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue
57 John 6 52 | Wayahudi wakaanza kubishana kati yao:~
58 John 7 35 | Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha
59 John 8 46 | 46 Nani kati yenu awezaye kuthibitisha
60 John 9 16 | hii?" Kukawa na mafarakano kati yao.~
61 John 10 19 | Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya
62 John 10 32 | kutoka kwa Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya mnipige
63 John 11 54 | hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka
64 John 20 19 | Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, "Amani
65 John 20 26 | lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, "Amani kwenu!"~
66 Acts 1 24 | Hivyo, utuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua~
67 Acts 2 22 | ishara Mungu alizofanya kati yenu kwa njia yake, kama
68 Acts 3 22 | atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.~
69 Acts 4 4 | 4 Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe
70 Acts 4 17 | jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee
71 Acts 5 12 | miujiza na maajabu mengi kati ya watu. Waumini walikuwa
72 Acts 6 1 | kulitokea manung`uniko kati ya wanafunzi waliosema Kigiriki
73 Acts 6 8 | anatenda miujiza na maajabu kati ya watu.~
74 Acts 7 42 | 42 Lakini Mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota
75 Acts 8 16 | hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa
76 Acts 8 24 | lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema."~
77 Acts 12 6 | hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa
78 Acts 12 18 | ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa
79 Acts 15 9 | Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa
80 Acts 15 12 | alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine.~
81 Acts 15 22 | walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.~
82 Acts 15 39 | Basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. Barnaba
83 Acts 16 2 | Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra
84 Acts 18 11 | akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja
85 Acts 20 25 | Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme
86 Acts 21 16 | 16 Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea
87 Acts 21 19 | Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi
88 Acts 21 21 | ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa
89 Acts 21 27 | Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia
90 Acts 23 7 | hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo
91 Acts 23 10 | aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo
92 Acts 24 5 | mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali
93 Acts 24 9 | kweli. jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka
94 Acts 26 4 | nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko Yerusalemu.~
95 Acts 26 18 | dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa
96 Acts 27 21 | chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, "Waheshimiwa,
97 Acts 28 25 | kukawa na mtengano wa fikira kati yao. Walipokuwa wanakwenda
98 Roma 1 13 | Ningependa kupata mafanikio mema kati yenu kama nilivyopata kati
99 Roma 1 13 | kati yenu kama nilivyopata kati ya watu wa mataifa mengine.~
100 Roma 10 12 | wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi;
101 Roma 14 22 | Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri
102 Roma 16 7 | nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa
103 1Cor 1 10 | msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja
104 1Cor 1 11 | kwamba kuna kutoelewana kati yenu.~
105 1Cor 3 3 | bado uko wivu na magombano kati yenu? Mambo hayo yanaonyesha
106 1Cor 4 6 | Zingatieni yaliyoandikwa." Kati yenu pasiwe na mtu yeyote
107 1Cor 5 1 | ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu.
108 1Cor 6 5 | cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?~
109 1Cor 9 11 | tumepanda mbegu ya kiroho kati yenu, je, ni jambo kubwa
110 1Cor 11 18 | pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,~
111 1Cor 11 30 | 30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa,
112 1Cor 16 10 | hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi
113 2Cor 1 12 | ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na
114 2Cor 6 16 | makao yangu kwao, na kuishi kati yao; Nitakuwa Mungu wao,
115 2Cor 6 17 | Bwana asema pia: "Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse
116 2Cor 11 8 | 8 Nilipofanya kazi kati yenu, mahitaji yangu yaligharimiwa
117 2Cor 12 20 | kunong`ona, majivuno na fujo kati yenu.~
118 Gala 2 9 | ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine,
119 Gala 2 9 | mataifa mengine, na wao kati ya Wayahudi.~
120 Gala 3 5 | Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza
121 Gala 3 15 | Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba
122 Gala 3 28 | Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa
123 Ephe 4 3 | kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.~
124 Ephe 6 12 | Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni
125 Colo 3 11 | hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa
126 1The 2 7 | Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa
127 1The 2 10 | shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa
128 1The 5 12 | muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza
129 1The 5 13 | wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.~
130 2The 3 1 | heshima kama vile ulivyo kati yenu.~
131 2The 3 8 | tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.~
132 1Tim 3 7 | Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa,
133 1Tim 3 16 | na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote
134 Hebr 4 1 | Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata
135 Hebr 8 6 | vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora
136 Hebr 12 15 | ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa
137 James 2 4 | 4 je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi
138 James 4 1 | Mapigano na magombano yote kati yenu yanatoka wapi? Hutoka
139 James 5 14| 14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee
140 1Pet 2 12 | 12 Mwenendo wenu kati ya watu wasiomjua Mungu
141 2Pet 2 1 | Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo
142 2Pet 2 1 | walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza
143 2Pet 3 8 | ya Bwana, hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu;
144 1Joh 2 19 | 19 Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli
145 1Joh 3 10 | Hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa Mungu na watoto
146 1Joh 4 6 | tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho
147 Jude 1 9 | hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana
148 Rev 17 10 | 10 Kati ya hao wafalme saba, watano
149 Rev 21 3 | Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao,
150 Rev 21 3 | yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake,
|