Book, Chapter, Verse
1 Matt 15 3 | mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?~
2 Matt 15 6 | kufuata mafundisho yenu wenyewe.~
3 Matt 15 14 | 14 Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi
4 Matt 23 4 | watu mabegani, lakini wao wenyewe hawataki kunyosha hata kidole
5 Matt 23 13 | ya macho ya watu. Ninyi wenyewe ~hamwingii ndani, wala hamwaruhusu
6 Matt 23 15 | wa Jehanamu ~kuliko ninyi wenyewe. ~
7 Matt 23 31 | Hivyo mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa
8 Matt 24 6 | budi kutokea, lakini mwisho wenyewe ungali bado.~
9 Matt 25 9 | mwende dukani mkajinunulie wenyewe!`~
10 Matt 27 24 | cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."~
11 Mark 4 28 | 28 Udongo wenyewe huiwezesha mimea kukua na
12 Mark 13 7 | lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.~
13 Luke 5 2 | ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha
14 Luke 8 3 | wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe.~
15 Luke 9 13 | samaki wawili. Labda twende wenyewe tukawanunulie chakula watu
16 Luke 11 17 | Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika,
17 Luke 11 46 | isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.~
18 Luke 11 52 | wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia
19 Luke 12 57 | nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?~
20 Luke 13 28 | Ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!~
21 Luke 16 12 | atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?~
22 Luke 19 33 | wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, "Kwa nini mnamfungua
23 Luke 22 71 | ushahidi mwingine? Sisi wenyewe tumesikia akisema kwa mdomo
24 Luke 23 28 | ila lieni kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya watoto wenu.~
25 John 3 28 | 28 Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa
26 John 4 42 | sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba
27 John 5 45 | sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka
28 John 18 31 | Haya, mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na
29 John 19 6 | Mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana
30 John 21 25 | nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu
31 Acts 2 11 | wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu."~
32 Acts 3 12 | zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze
33 Acts 3 22 | mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.~
34 Acts 4 19 | wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu
35 Acts 7 37 | katika ndugu zenu ninyi wenyewe.`~
36 Acts 7 41 | ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe.~
37 Acts 10 28 | Petro akawaambia, "Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote
38 Acts 10 47 | Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna
39 Acts 12 10 | Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa
40 Acts 15 27 | hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.~
41 Acts 16 37 | Hata kidogo! Ni lazima wao wenyewe waje hapa watufungulie."~
42 Acts 18 6 | Mkipotea ni shauri lenu wenyewe; mimi sina lawama yoyote
43 Acts 18 15 | Sheria yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa hakimu
44 Acts 19 26 | mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya,
45 Acts 20 28 | 28 Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo
46 Acts 20 34 | 34 Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa
47 Acts 22 3 | wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.~
48 Acts 27 19 | vya meli kwa mikono yao wenyewe.~
49 Roma 1 27 | aibu, na hivyo wanajiletea wenyewe adhabu wanayostahili kwa
50 Roma 1 32 | wanafanya mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale
51 Roma 2 14 | wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha Sheria
52 Roma 6 13 | Badala yake, jitoleeni ninyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa
53 Roma 6 16 | kwamba mkijitolea ninyi wenyewe kama watumwa na kumtii fulani,
54 Roma 6 19 | kwa sababu ya udhaifu wenu wenyewe.) Kama vile wakati fulani
55 Roma 6 19 | fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe kutumikia uchafu na uhalifu
56 Roma 6 19 | sasa jitoleeni nafsi zenu wenyewe kutumikia uadilifu kwa ajili
57 Roma 10 3 | wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali
58 Roma 13 2 | hivyo wanajiletea hukumu wenyewe,~
59 Roma 15 1 | yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.~
60 Roma 15 27 | 27 Wao wenyewe wameamua kufanya hivyo;
61 Roma 16 18 | wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na
62 1Cor 1 21 | Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa
63 1Cor 3 17 | na hekalu hilo ni ninyi wenyewe.~
64 1Cor 4 12 | kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia
65 1Cor 5 12 | katika jamii yenu ninyi wenyewe?~
66 1Cor 6 7 | kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha
67 1Cor 6 7 | kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa
68 1Cor 6 19 | Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.~
69 1Cor 10 15 | wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.~
70 1Cor 10 18 | Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa
71 1Cor 11 13 | 13 Amueni wenyewe: Je, inafaa mwanamke kumwomba
72 1Cor 11 31 | 31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.~
73 2Cor 1 9 | kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.~
74 2Cor 3 2 | 2 Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa
75 2Cor 3 5 | chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka
76 2Cor 4 5 | Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo
77 2Cor 4 5 | Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa
78 2Cor 4 7 | Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.~
79 2Cor 5 15 | wanaoishi wasiishi kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye
80 2Cor 6 12 | kizuizi hicho kiko kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu.~
81 2Cor 8 3 | hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,~
82 2Cor 8 5 | Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea
83 2Cor 8 5 | Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na
84 2Cor 9 4 | kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe - kwa sababu tutakuwa tumewatumainia
85 2Cor 10 12 | na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao
86 2Cor 10 12 | na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.~
87 2Cor 10 12 | wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.~
88 2Cor 12 14 | mali zenu, bali ni ninyi wenyewe. Ni kawaida ya wazazi kuwawekea
89 2Cor 12 19 | sasa tumekuwa tukijitetea wenyewe mbele yenu! Lakini, tunasema
90 2Cor 13 3 | 3 Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani
91 2Cor 13 5 | 5 Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo
92 2Cor 13 5 | imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo
93 Gala 3 3 | kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?~
94 Gala 5 12 | wanaowavurugeni wangejikatakata wenyewe!~
95 Gala 5 15 | jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!~
96 Gala 5 15 | mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!~
97 Gala 5 17 | kufanya yale mnayotaka ninyi wenyewe.~
98 Gala 6 1 | na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.~
99 Gala 6 12 | sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa
100 Gala 6 13 | 13 Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki
101 Ephe 2 9 | halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.~
102 Ephe 5 28 | wake zao kama miili yao wenyewe. ((~
103 Colo 1 25 | alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu
104 Colo 2 17 | yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.~
105 Colo 2 23 | namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na
106 1The 2 1 | 1 Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu
107 1The 2 19 | itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu
108 1The 4 9 | ndugu zenu waumini. Ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna
109 1The 5 2 | 2 Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana
110 2The 3 7 | 7 Ninyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata
111 2The 3 12 | ili wajipatie maslahi yao wenyewe.~
112 1Tim 1 7 | lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.~
113 1Tim 5 4 | wa kidini kwa jamaa zao wenyewe na hivyo kuwalipa wazazi
114 2Tim 1 9 | kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi
115 2Tim 3 13 | wengine na kudanganyika wao wenyewe.~
116 2Tim 4 3 | ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele
117 Hebr 9 7 | watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua.~
118 Hebr 11 14 | kwamba wanaitafuta nchi yao wenyewe.~
119 Hebr 12 10 | walituadhibu kwa muda, kama wao wenyewe walivyoona kuwa vema; lakini
120 Hebr 12 10 | kwa ajili ya faida yetu wenyewe, tupate kuushiriki utakatifu
121 James 1 22| 22 Msijidanganye wenyewe kwa kusikiliza tu neno lake,
122 1Pet 1 12 | yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo
123 2Pet 1 16 | utukufu wake kwa macho yetu wenyewe.~
124 2Pet 1 18 | 18 Tena, sisi wenyewe tulisikia sauti hiyo kutoka
125 2Pet 2 1 | watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.~
126 2Pet 2 12 | kutokana na uharibifu wao wenyewe,~
127 2Pet 2 19 | watakuwa huru, kumbe wao wenyewe ni watumwa wa upotovu -
128 2Pet 3 16 | wanasababisha maangamizi yao wenyewe.~
129 1Joh 1 1 | na kuliona kwa macho yetu wenyewe; tulilitazama na kulishika
130 1Joh 1 1 | kulishika kwa mikono yetu wenyewe.~
131 1Joh 1 8 | hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe na ukweli haumo ndani yetu.~
132 1Joh 5 11 | 11 Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia
133 2Joh 1 8 | Basi, jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile
134 3Joh 1 12 | anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa
135 Jude 1 8 | katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu
136 Jude 1 12 | Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu
137 Rev 6 11 | ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.~
138 Rev 9 20 | wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu
139 Rev 21 16 | 16 Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana
140 Rev 21 18 | mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu
|